Maseneta waikosoa hazina ya kitaifa kwa kutuma mgao wa kaunti kwa kuchelewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024
  • Maseneta wameikosoa hazina ya kitaifa kwa kutuma mgao wa kaunti kwa kuchelewa na hivyo kulemaza shughuli za magatuzi. Hayo yalijiri kwenye kamati ya seneti kuhusu uwekezaji wa umma wakati gavana wa Machakos Wavinya Ndeti alikuwa akijibu maswali ya ukaguzi wa hesabu wa kaunti hiyo. Maseneta walimpongeza gavana Wavinya kwa jinsi alivyokabiliana na janga la mafuriko licha ya kukosa hazina ya dharura ya majanga.

Комментарии •