UNITALENTSHOW|GRAND FINALE|SEASON 04|PART 4
HTML-код
- Опубликовано: 28 май 2023
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04 Развлечения
Naona vigezo na masharti ya Unitalent siyo mbaya zaidi ila wote ambao walifuzu final wamefanya vizuri na walistahili kuwa ma bingwa, next time natowa pendekezo Hip-hop wawe na perform upande wao magicians upande wao na Rnb upande wao, itakuwa nzuri zaidi kwa7bu wote hawafanyi kazi moja
Yan nmjikuta nangalia lakn urassa alifaa awe mshindibmajaj mhmeznguaaa bana
Nice
Ibraihim Urasa alipaswa awe wakwanza Ila haki haijatendeka kabisaaaaaaaa
Untouchable well done dogo keep it up mziki utakupa unachotaka don't give up
MSHINDI ALIPASWA KUA UNTOUCHABLE... LAKINI NAJUA KUNA VIINI MACHO VINGI SANA HAPA BONGO ILA MNABOA SANA. BINAFSI HATA NILIKUA SIYAJUI HAYA MASHINDANO ILA UNTOUCHABLE NDO ALIFANYA NIYAFATILIE
Ibrahim urasa ndo mshindi huyo dem mlimpa tu kwa sababu yy ndo mwanamke pekiake 😢😢😢
Wapendwa urasa is the best hata kama sio mshindi
Kitu mziki kina vitu vingi sana ww unaona anastahil hanawez asikidhi vigezo... Then kitu mashindano hayaitaji uanze ukiwa wa moto alaf performance zinazokuja unapoa no. It's better uanze vibaya kuliko umalze vibaya the girl performed well by the way.... If u blame first do research on different performer even outside of the country utagundua mdada kafanya vizur.... My self i appreciate always bongo hatuishiwi lawama
Mume muonea Fumau bwana, tungunga mashairi sio mchezo jaribuni muone
aisee mnisamehe kwa kucomment vibaya insta. huyu dada ni balaaaaaaaaaa....mwanetu untochouble amefanya low quality performance ukifananisha na za mwanzo. mshindi wa pili,,aliua perfomance ya mwanzo ya mwisho kaua pia bt huyo dada kafunika. kiufupi huyo dada anajua kufunga, alifanya mazoezi ya fainali kweli....hakuna upendeleo wowote hapo. performance za mwisho zilizofanyika namba moja ya huyo dada. ingawa mkizingatia za nyuma huyo dada hayupo. ila kama kigezo kilikuwa perfomance ya mwisho basi apewe maua yake. na ndio hivo kila mtu aliyefika fainali anaweza kua mshindi kwa hiyo tusilalamike... big up unitalent 👏
Hatuwezi kuchagua mshindi Kwa Fainali moja tu... Ndo maana unaishia kusema " huyu dada" kama inshu ni talent basi untouchable alistahili
nakubaliana nawewe huyo dada amefanya vema mwisho
Huyu dada show hii ameuwa kiukweli anastahili. Hata kwenye mtihani wako wa kumaliza shule hawaangalii matokeo yako ya mwanzo kupata ufaulu wako wanaangali sasa umefanya nini
Asa uyo wa megic anashindania ela wakat anaweza kukusanyaakaratasi akayageuza ela😀😀
😂😂😂😂😂😂
😮😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂💔
Grace na urasa ni watu wabad kweny hii final
Ila acha tu uyu dada ashinde hii round ya pili kauwa kinoma aisee
No way she deserved this 👏 what a performance
uyu dada alifanyia mazoez fainal
Huyo dogo no 2 akapige show atatoka
Oya antachabo fany tyu kupambania mzkiwqko studio Apo unapoteza mdaa tyu cahli
Hats off to you Grace Amnon👏🎉 much love from kenya🇰🇪
Thanks ❤. I appreciate you Kenyans more love ❤
Mshindi alipaswa kuwa Ibrahim Urassa huu ni upendeleo
❤❤
Ya MCHONGO hii unitalent dadek
She did a gud job as a judge, but binafsi simkubali kwasababu ni mjuajii mjuajii much know sanaaaaaah
Jomba hiyo ni njia gani imetumika ?
Mshindi alikua antachable
That man ibra ndo mshind huyo Dada naona akina gnako walidata na maacrobatic
Wanachokifanya sio kit chepes mm wote niwashindi
According to my opinion...mashindano yalikua Free and fare.. from ke.
Haijatendeka haki hapo huyo dada no 1 haikumstahili kbs
Inahitajika akili tu🔓
Yan alie nifanya nipend kuwafuatilia et hayupo dah! BONGO KIKUBWA UZIMA Ila allah anawaona
Fumau ndio ali nifanya niangalie hii show for real
Ila huyu dogo number mbili mbona anafaa kuwa number moja aiseee
huyo dada anatisha bhanaa.....anajua kufanya live.
Upendeleo TU huooo
mh
Mbona dislike mmeficha kumbe hata nyie ni wamchongo
Wa2 hatuna furaha kabxa😡😡😡🚶🚶🚶
Sijapenda walipomtoa Untouchable this was not fair.
Hata kama untouchable hakufanya sawa ila magician hajafamfikia untouchable yaani kazi yote aliyofanya jamaa ni bure kwa vitu vya kijinga aakh mumeharibu mb zangu, mumekuwa kama CHAMA CHAKAVU MILELE
Sks beiby
mwanetu yuko vizuri lakini fainali kafanya kawaida sanaa.. kiufupi kazingua... alikuwa na mashabiki wengi sanaa. lakini ameshindwa kuwatumia.
Hamn ww unajua kutunga nyimbo yako na kucopy ya mwingine, kaz kutunga na hilo wangeliangalia pia