UNITALENTSHOW|GRAND FINALE|SEASON 04|PART 4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 май 2023
  • Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
    Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
    INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
    TIKTOK: UNITALENTSHOW
    PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
    #kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 50

  • @estheralexjoseph275
    @estheralexjoseph275 8 месяцев назад +1

    Naona vigezo na masharti ya Unitalent siyo mbaya zaidi ila wote ambao walifuzu final wamefanya vizuri na walistahili kuwa ma bingwa, next time natowa pendekezo Hip-hop wawe na perform upande wao magicians upande wao na Rnb upande wao, itakuwa nzuri zaidi kwa7bu wote hawafanyi kazi moja

  • @victorwilfred2686
    @victorwilfred2686 2 месяца назад +1

    Yan nmjikuta nangalia lakn urassa alifaa awe mshindibmajaj mhmeznguaaa bana

  • @ShabanMtunda-zl9jg
    @ShabanMtunda-zl9jg 3 дня назад

    Nice

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 11 месяцев назад +2

    Ibraihim Urasa alipaswa awe wakwanza Ila haki haijatendeka kabisaaaaaaaa

  • @dorotheafrancis2776
    @dorotheafrancis2776 Год назад +1

    Untouchable well done dogo keep it up mziki utakupa unachotaka don't give up

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Год назад +7

    MSHINDI ALIPASWA KUA UNTOUCHABLE... LAKINI NAJUA KUNA VIINI MACHO VINGI SANA HAPA BONGO ILA MNABOA SANA. BINAFSI HATA NILIKUA SIYAJUI HAYA MASHINDANO ILA UNTOUCHABLE NDO ALIFANYA NIYAFATILIE

  • @swalehomari2019
    @swalehomari2019 Месяц назад

    Ibrahim urasa ndo mshindi huyo dem mlimpa tu kwa sababu yy ndo mwanamke pekiake 😢😢😢

  • @danielbukundi8659
    @danielbukundi8659 Год назад +2

    Wapendwa urasa is the best hata kama sio mshindi

  • @Vboy255
    @Vboy255 Год назад +1

    Kitu mziki kina vitu vingi sana ww unaona anastahil hanawez asikidhi vigezo... Then kitu mashindano hayaitaji uanze ukiwa wa moto alaf performance zinazokuja unapoa no. It's better uanze vibaya kuliko umalze vibaya the girl performed well by the way.... If u blame first do research on different performer even outside of the country utagundua mdada kafanya vizur.... My self i appreciate always bongo hatuishiwi lawama

  • @rehemasalim2720
    @rehemasalim2720 3 месяца назад

    Mume muonea Fumau bwana, tungunga mashairi sio mchezo jaribuni muone

  • @manpierre571
    @manpierre571 Год назад +3

    aisee mnisamehe kwa kucomment vibaya insta. huyu dada ni balaaaaaaaaaa....mwanetu untochouble amefanya low quality performance ukifananisha na za mwanzo. mshindi wa pili,,aliua perfomance ya mwanzo ya mwisho kaua pia bt huyo dada kafunika. kiufupi huyo dada anajua kufunga, alifanya mazoezi ya fainali kweli....hakuna upendeleo wowote hapo. performance za mwisho zilizofanyika namba moja ya huyo dada. ingawa mkizingatia za nyuma huyo dada hayupo. ila kama kigezo kilikuwa perfomance ya mwisho basi apewe maua yake. na ndio hivo kila mtu aliyefika fainali anaweza kua mshindi kwa hiyo tusilalamike... big up unitalent 👏

    • @Jabali_Media
      @Jabali_Media Год назад

      Hatuwezi kuchagua mshindi Kwa Fainali moja tu... Ndo maana unaishia kusema " huyu dada" kama inshu ni talent basi untouchable alistahili

    • @calebmshairi8963
      @calebmshairi8963 Год назад

      nakubaliana nawewe huyo dada amefanya vema mwisho

    • @salmakayeke2747
      @salmakayeke2747 5 месяцев назад

      Huyu dada show hii ameuwa kiukweli anastahili. Hata kwenye mtihani wako wa kumaliza shule hawaangalii matokeo yako ya mwanzo kupata ufaulu wako wanaangali sasa umefanya nini

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger Год назад +2

    Asa uyo wa megic anashindania ela wakat anaweza kukusanyaakaratasi akayageuza ela😀😀

  • @eddymakata2999
    @eddymakata2999 11 месяцев назад

    Grace na urasa ni watu wabad kweny hii final

  • @anterianmohamed3213
    @anterianmohamed3213 Год назад +1

    Ila acha tu uyu dada ashinde hii round ya pili kauwa kinoma aisee

  • @gastinmwambozi9753
    @gastinmwambozi9753 Год назад

    No way she deserved this 👏 what a performance

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Год назад +1

    uyu dada alifanyia mazoez fainal

  • @eliyajeremiah8055
    @eliyajeremiah8055 Год назад

    Huyo dogo no 2 akapige show atatoka

  • @rusinaflow7239
    @rusinaflow7239 Год назад

    Oya antachabo fany tyu kupambania mzkiwqko studio Apo unapoteza mdaa tyu cahli

  • @ibrahimgisunte343
    @ibrahimgisunte343 Год назад

    Hats off to you Grace Amnon👏🎉 much love from kenya🇰🇪

    • @graceamnon5553
      @graceamnon5553 Год назад

      Thanks ❤. I appreciate you Kenyans more love ❤

  • @matelephone4892
    @matelephone4892 6 месяцев назад

    Mshindi alipaswa kuwa Ibrahim Urassa huu ni upendeleo

  • @user-fr7nc6gq9w
    @user-fr7nc6gq9w Год назад

    ❤❤

  • @CodeWithCrescent
    @CodeWithCrescent Год назад

    Ya MCHONGO hii unitalent dadek

  • @amakeypeace8559
    @amakeypeace8559 Год назад

    She did a gud job as a judge, but binafsi simkubali kwasababu ni mjuajii mjuajii much know sanaaaaaah

  • @hassaissa-tt6wn
    @hassaissa-tt6wn Год назад

    Jomba hiyo ni njia gani imetumika ?

  • @CalvinFlorian-xf3rf
    @CalvinFlorian-xf3rf 10 месяцев назад

    Mshindi alikua antachable

  • @amakeypeace8559
    @amakeypeace8559 Год назад

    That man ibra ndo mshind huyo Dada naona akina gnako walidata na maacrobatic

  • @eddymakata2999
    @eddymakata2999 11 месяцев назад

    Wanachokifanya sio kit chepes mm wote niwashindi

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro1615 Год назад

    According to my opinion...mashindano yalikua Free and fare.. from ke.

  • @davidpeter2398
    @davidpeter2398 Год назад

    Haijatendeka haki hapo huyo dada no 1 haikumstahili kbs

  • @yaotv1204
    @yaotv1204 Год назад

    Inahitajika akili tu🔓

  • @molicewamadrasa9531
    @molicewamadrasa9531 10 месяцев назад

    Yan alie nifanya nipend kuwafuatilia et hayupo dah! BONGO KIKUBWA UZIMA Ila allah anawaona

    • @rehemasalim2720
      @rehemasalim2720 3 месяца назад

      Fumau ndio ali nifanya niangalie hii show for real

  • @dishonmanyi3152
    @dishonmanyi3152 Год назад +1

    Ila huyu dogo number mbili mbona anafaa kuwa number moja aiseee

    • @manpierre571
      @manpierre571 Год назад

      huyo dada anatisha bhanaa.....anajua kufanya live.

  • @kassimushadow1468
    @kassimushadow1468 Год назад

    Upendeleo TU huooo

  • @molicewamadrasa9531
    @molicewamadrasa9531 10 месяцев назад

    mh

  • @molicewamadrasa9531
    @molicewamadrasa9531 10 месяцев назад

    Mbona dislike mmeficha kumbe hata nyie ni wamchongo

  • @agapeagape7503
    @agapeagape7503 Год назад

    Wa2 hatuna furaha kabxa😡😡😡🚶🚶🚶

  • @morefarah2710
    @morefarah2710 Год назад

    Sijapenda walipomtoa Untouchable this was not fair.

  • @viladhatv4473
    @viladhatv4473 Год назад +2

    Hata kama untouchable hakufanya sawa ila magician hajafamfikia untouchable yaani kazi yote aliyofanya jamaa ni bure kwa vitu vya kijinga aakh mumeharibu mb zangu, mumekuwa kama CHAMA CHAKAVU MILELE

  • @alicerobert-bf4bk
    @alicerobert-bf4bk Год назад

    Sks beiby

    • @manpierre571
      @manpierre571 Год назад

      mwanetu yuko vizuri lakini fainali kafanya kawaida sanaa.. kiufupi kazingua... alikuwa na mashabiki wengi sanaa. lakini ameshindwa kuwatumia.

    • @agapeagape7503
      @agapeagape7503 Год назад

      Hamn ww unajua kutunga nyimbo yako na kucopy ya mwingine, kaz kutunga na hilo wangeliangalia pia