KENYA WAKUBALI HARAKATI ZA TANZANIA || YANUNUA VIUADUDU KUTOKA TBPL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Serikali ya Kenya imenunua viuadudu vya kuangamiza mazalia ya mbu kutoka kiwanda cha Serikali, Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), katika harakati zake za kupambana na ugonjwa wa malaria na magonjwa mengine yanayo enezwa na mbu kama dengue, chikungunya, matende na mabusha.

Комментарии • 2

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 9 дней назад

    Wakenya ni Wabishi sana, mpaka Wabaanweee sana Ndio wanakubali.

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 2 месяца назад

    Looking good follow back done God bless you ❤🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷💖💖💖💖💪