TANZANIA BARA 0-2 KENYA: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS ( FINAL: CECAFA WOMEN CUP - 25/11/2019)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 ноя 2019
  • Kenya wameibuka mabingwa wapya wa michuano ya CECAFA kwa wanawake mwaka 2019, wakiwapokonya tonge mdomoni, Tanzania Bara.
    Ubingwa huo ni baada ya kushinda mabao 2-0 kwenye mechi ya fainali iliyochezwe leo jioni Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Jijini Dar es Salaam.
    Jahazi la Tanzania Bara, limezama kwa magoli mawili yaliyofungwa na mshambuliaji hatari, Jentrix Shikangwa, katika dakika ya 71 kwa mkwaju wa penati na dakika ya 88 kwa shuti kali.
    Hivi ndivyo mechi ya fainali ilivyokuwa, na kisha Kenya wakakabidhiwa kombe, wakiivua Ubingwa Kilimanjaro Queens, ambayo ilikuwa imetwaa mara mbili mfululizo.
    Mara baada ya mchezo, Kocha wa Kenya David Ouma akaeleza kilichowapa ushindi leo, azungumzia sababu ya kumuanzishia benchi mshambuliaji wake Jentrix Shikangwa katika kila mechi.
    Kwa upande wa Tanzania Bara Kocha wa Kilimanjaro Queens Bakari Shime akieleza kilichoiangusha timu yake, awaomba radhi Watanzania akiwataka wasivunjike moyo huku akilia na mwamuzi "Ni fainali bora iliyokosa mwamuzi bora".
    #CecafaSeniorWomensChallengeCup
  • СпортСпорт

Комментарии • 177

  • @izoomwenyewe7840
    @izoomwenyewe7840 4 года назад +33

    Kitu nimeona ni kuwa Hata watangazaji hawajui sheria za mpira...referee ako sawa sana hapa..best referee I've ever seen

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa2878 4 года назад +23

    Charaza wao Tanzania magufuli nyumbani kwao... 🇰🇪 Hooe 🏆

  • @jeffk4342
    @jeffk4342 4 года назад +34

    Kenya we do it twa twa twa....congrats Starlets

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 года назад +1

      We lost the title because of CCM politicians. They are only thinking about flights. They don't think of young generations. Magufuli and CCM only motivate those who use them in campaign. Footballers,runners, are not essential to them. We are paying a lot of tax players should be treated well. Viongozi wa Tanzania acheni Siasa za maji taka. Hata wenzenu mnawanyima kuchagua viongozi na tunajenga nchi moja. Hizi Siasa za Magufulification mbovu sana ni za kujenga uhasama. Magufuli ameigawa nchi na imekuwa na Makundi. Magufuli, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Kinana, Makamba, Nape kila mtu kundi lake. Nchi ya Makundi na mwisho wake ni vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • @lennyalega1559
    @lennyalega1559 3 года назад +18

    Najivunia kuwa Mkenya. I also love u Tz our good neighbours

    • @ramadhanibanyeke1189
      @ramadhanibanyeke1189 2 года назад

      Mungu azidi kudumisha ujilani wetu 🤲🤲

    • @kereto20
      @kereto20 7 месяцев назад

      sema na kiswahili waelewe

  • @mainagithambo833
    @mainagithambo833 4 года назад +21

    This lady commentator was a true patriot of Tz but Kenyans are always tough.

  • @lawrencekiniti336
    @lawrencekiniti336 4 года назад +31

    OUR KENYAN GALS HAS SHOWN US WHAT THEY DO BEST. CONGRATULATIONS

  • @wilsonmn136
    @wilsonmn136 4 года назад +29

    Commentators were not fair to the starlet's but walijua hawajui. Twa twa

  • @alfredmazanza7116
    @alfredmazanza7116 4 года назад +10

    Congrats our girls for making Kenya Proud! Wanasiasa ndio wanaturudisha tu nyuma hii nchi yetu.

  • @jamesokello9812
    @jamesokello9812 4 года назад +10

    Jentrix Shikangwa! Wonderfull, Beutifull etc

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 4 года назад +9

    Mchezo wa hali ya juu sana kutoka Africa mashariki...

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 3 года назад +3

    Commentator: Kenya wakipata wanapiga mbele wakimbizane huko huko... Jentrix Shikangwa.. goal getter huyu... piga shuti mbali lileee... G.O.O.O.A.A.L!

  • @lennyalega1559
    @lennyalega1559 3 года назад +14

    That second goal was a painful Twaaaaa! To the keeper.

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 года назад +6

    Naomba hiki kikosi cha Kenya kiende vile kilivyo Uropa 3/3/2020 wasiache mtu inje is the best team

  • @wambuimoses5676
    @wambuimoses5676 4 года назад +36

    Goli la pili kweli ilikuwa ya kimataifa... Mchezaji mzuri kweli...

    • @Don-fq3yg
      @Don-fq3yg 4 года назад +2

      boss, tuongee sheng yetu

    • @thevipers4727
      @thevipers4727 2 года назад +2

      @@Don-fq3yg aache umbwakni 😂😂😂😂

    • @alhadrynassir1757
      @alhadrynassir1757 2 года назад +1

      🤣😂😂

    • @yupinikipkoech5408
      @yupinikipkoech5408 2 года назад

      @@thevipers4727 mujitume kuwesa kufuzu kuigia katika ligi kubwa kule parani iji sa kigeni kujioyesa mumeshinda kwa jia ya utaratibu na watakia mema

  • @mildredlibendi2542
    @mildredlibendi2542 3 года назад +5

    Hongera🇰🇪🇰🇪

  • @wallenpilrapt6679
    @wallenpilrapt6679 3 года назад +4

    Nyinyi watangazaji mnaegemea upande mmoja na hata hamjui sheria za mpira (kenya rules😍✌)

  • @danbitali713
    @danbitali713 4 года назад +7

    Jentrix angeanzishwa Tanzania ingeumizwa💥

  • @eddymtoro2778
    @eddymtoro2778 4 года назад +14

    jamani mnaona kama mimi!! goli la pili naona kama badala ya kurukia mpira yeye kainama na kukaa chini

  • @marienicholus6528
    @marienicholus6528 4 года назад +7

    i can't stop watching this game mwa stalets

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 4 года назад +3

    Wembe ni ule ule wa Misri, safari hii watasema Emunike hayupo, asiyekubali kushindwa..........🤩

  • @lakishatoili6479
    @lakishatoili6479 2 года назад +2

    Nani yupo hapa from Kenya na confarm to

  • @Kelvin_njengak
    @Kelvin_njengak 4 года назад +16

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twa twa

  • @Kny-tn1mg
    @Kny-tn1mg 4 года назад +4

    Timu zote nzuri.
    Hongera kutoka Kenya

  • @getrudewanyonyi4598
    @getrudewanyonyi4598 3 года назад +5

    Wonderful memories reawakened; congratulations Harambee Starlets.

  • @magnusbugingo7471
    @magnusbugingo7471 4 года назад +7

    deonisia my lovely one forever

  • @harunmugweru7002
    @harunmugweru7002 4 года назад +10

    You can't get bored watching all this beautiful jewelries play and score great goals. Wanaenda mbali. Great future here indeed

  • @mainagithambo833
    @mainagithambo833 3 года назад +3

    Kenyan ladies are superb

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 4 года назад +6

    Comments are interesting twa twa mpaka viwanjani

  • @digitalcyber8170
    @digitalcyber8170 4 года назад +5

    They only concentrated on TZ's moves and passes, unaeza dhania Kenya hawakua na ball. Anyway ushindi ulikua wetu

  • @virussella9979
    @virussella9979 4 года назад +11

    Hii timu ya wanawake inapiga mpira mtamu sana kuzidi wanaume watt wanapiga sambusa zenye nyama na iriki

  • @ameeraaljassim4138
    @ameeraaljassim4138 4 года назад +3

    Wote wako sawa hapo ilikua simchezo from kenya

  • @serahkalunde7440
    @serahkalunde7440 3 года назад +8

    Proud of my fellow Kenyans,,,,how can I join you I'm good in this section.

  • @georgemwendwa1520
    @georgemwendwa1520 3 года назад +2

    Hawa wawili (commentators) ni wabinafsi sana

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud 4 года назад +7

    Daaaah nimeumia kishenz

    • @dhakomodherooherokoko6037
      @dhakomodherooherokoko6037 4 года назад

      Na bado.....tuliwapiga Afcon tena tukawapiga kwenu...heshima ya mpira idumu.

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 4 года назад

      Ibrahim Were umesahau kuwa umetolewa CHAN wapi eti??

    • @saheelameir4313
      @saheelameir4313 4 года назад

      Mm mzanzibar funga hao watanganyika 100

    • @jayramadhan4584
      @jayramadhan4584 4 года назад

      @@mnzavachris5423 chan ilikua penalties hamuku wafunga kwenye 90 mints

  • @aminkeyali3854
    @aminkeyali3854 2 года назад +1

    harambe star well play i am so happy for our lady extremely fantastic

  • @brodricksbaruni3645
    @brodricksbaruni3645 3 года назад +3

    am proud of country kenya big up

  • @allanmwangi4843
    @allanmwangi4843 5 месяцев назад

    Big congratulation to a girls for making Kenya proud

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 года назад +2

    Hongera Kenya twastahiki kushinda, Tanzania wametuzoea vibaya mda mrefu sana

  • @ibrahimomary8484
    @ibrahimomary8484 4 года назад +8

    Wanao sema awa mademu wazuri kuliko wanaume uyo fara

    • @mudmohamed6911
      @mudmohamed6911 3 года назад +1

      Nikweli mademu wanazidi wanaume kwani uwongo fatilia mechi utajua

  • @neymarkkinyua8421
    @neymarkkinyua8421 4 года назад +1

    TWA! Ball ya kwanza.TWA ,ball ya pili ,Tanzania wakazaa.Kenya forever na sihamii

  • @rarefootball10
    @rarefootball10 2 года назад +3

    These are biased highlights. Kwani Kenya haikua na attacks before wapate mabao"?

  • @abdallaahmed9032
    @abdallaahmed9032 4 года назад +4

    Viva Tanzania 👍👍👍👍👍

  • @user-ic5yl7mz4d
    @user-ic5yl7mz4d 2 месяца назад +1

    Ball position kenya hatumo kabisa😂😂😂 hatujatulia
    Ball control hamna😂😂
    But congratulations to Kenya
    Coaches mfanye kazi muache uzembe

  • @MARK-nh4hx
    @MARK-nh4hx 2 года назад +1

    Kiwanja high class napongeza tz pia kazi nzuri cameraworks...Kenya hatujafika hapo...hongera TZ.

    • @Excuvation04
      @Excuvation04 2 года назад +1

      Unless haujui Kenya

    • @peterchege6657
      @peterchege6657 2 года назад

      Sasa hiki n kiwaja Cha kulingia😂😂😂😂

  • @dadysteve9096
    @dadysteve9096 4 года назад +7

    Congratulations harambee starlets

  • @chinuruhchinuruhbae2254
    @chinuruhchinuruhbae2254 2 года назад +1

    Hawa commenters ni wabinafsi sana,,but kubali tu we are de best

  • @r..6842
    @r..6842 3 года назад +4

    Kenya tunakalianga hao watanzania sana 😂😂

  • @nooornoor120
    @nooornoor120 9 месяцев назад

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 hongera❤❤❤❤❤

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 4 года назад +3

    Haaaahaaa safi sana nmefurahi mno

  • @user-vm9me9jr5n
    @user-vm9me9jr5n 6 месяцев назад

    Congratulations kenya imeenda hiyo tumebeba

  • @jmidunga82
    @jmidunga82 4 года назад +5

    TWA!!TWA!!

  • @Josephmakokha-pn9mu
    @Josephmakokha-pn9mu 7 месяцев назад

    Congratulations 👏👏👏👏 Kenya proud of being a Kenyan citizen by birth much love.

  • @stvkun8438
    @stvkun8438 4 года назад +2

    Luv 2 b a Kenyan indeed

  • @jamesmulwa1137
    @jamesmulwa1137 8 месяцев назад +1

    Suluhu daughters wamesuluhiswa

  • @davidmanyasa5848
    @davidmanyasa5848 2 года назад +1

    Kitu mnatushindia ni kiswahili tu

  • @dribros3754
    @dribros3754 4 года назад +3

    Kwani team ya kenya hawakai wanawake hata hawana titi

    • @josephwafula7558
      @josephwafula7558 3 года назад +3

      Ni mavazi rasmi ya soka siyo kuingia uwanjani Na sindiria kucheza soka!

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад

      Ndio maana wamewabaka wenzao!!

    • @azmanaman5503
      @azmanaman5503 3 года назад +1

      hata wewe uko na recism

    • @peterchege6657
      @peterchege6657 2 года назад +1

      Nimegudua hivi majuzi kua tz katika mechi za riadha wao hushida diamond na Platinum 😂😂😂😂😂

  • @zakiazubery2055
    @zakiazubery2055 4 года назад +3

    Gaucho ni mchoyo sana

  • @davidongeng3631
    @davidongeng3631 4 года назад +1

    These young ladies are great

  • @saint_j7263
    @saint_j7263 4 года назад +15

    Tunafanyaje sasa ndo washachukua shemeji zetu😭😭😭😭😭

  • @EvansMzito-xt4zj
    @EvansMzito-xt4zj 6 месяцев назад

    Mpira mzuri kweli 🔥🔥

  • @richardjuma7584
    @richardjuma7584 4 года назад +1

    Good luck and congratulations starlet

  • @jacobomondi6471
    @jacobomondi6471 7 месяцев назад

    Congratulations Kenyan ladies

  • @mubecomedyofficial7720
    @mubecomedyofficial7720 2 года назад +2

    kama uko hapa ju a national anthem ya kenya tujuane

  • @luigipellegrini9221
    @luigipellegrini9221 2 месяца назад

    Kwa kandanda wajaluo ndio hubeba Kenya ❤

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 года назад +1

    Kenya tanzania uwani nduggu

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 3 года назад +1

    Kenya is not a joke

  • @canon5059
    @canon5059 8 месяцев назад

    Jez ya Kenya nayo huwa top notch. Nimeona ya Tz inakaa kws😂

  • @aliimwasiri2764
    @aliimwasiri2764 4 года назад +2

    Pengine wawashinde kwa kudanga ila kimpira aaahhh subuuutu

  • @sammynjuguna9658
    @sammynjuguna9658 3 года назад

    Uyo namba 10 ni kuoa tu

  • @danielodongo2417
    @danielodongo2417 8 месяцев назад

    Amazing keep the good work❤❤❤

  • @DaughterofUbuntu1988
    @DaughterofUbuntu1988 3 года назад

    Nithamu chaii, anyways proudly Kenyan

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172 8 месяцев назад

    1981 Kenya iliwafunga Tanzania Final kwao . 1982 Kenya ikawafunga Uganda Final kwao . 1983 Kenya ikawafunga Zimbabwe Final Nairobi .

  • @mohammedalimohammed9322
    @mohammedalimohammed9322 8 месяцев назад

    Ww mtagazaji wakike hana mana huchocheya tu kazi yke😊

  • @user-lp7dq3hf1p
    @user-lp7dq3hf1p 7 месяцев назад

    Good job ladies🎉

  • @fredgomes8639
    @fredgomes8639 3 года назад +3

    Kumbe kenya women kwa football ni wazuri.

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172 8 месяцев назад

    Mechi hii inanikumbusha Final ya Senior Challenge Cup 1981 Kenya ikiifunga Tanzania moja bila uwanja wa Taifa Dar es Salam mfungaji James Jacaranda Ouma . Timu ya Kenya ikiwa na wachezaji kina Mahmoud Abbas , Hussein Kheri , Peter Otieno Bassanga , Bobby Ogolla , Josphat Murila , Sammy Tabu , Aggrey Evayo , Wilberforce Mulamba , James Ouma , Nashon Mahila

  • @kensimiyu5926
    @kensimiyu5926 7 месяцев назад

    Kenya pongezi ijapokuwa watanzania majirani wapenndeza muno

  • @peterkyalo8569
    @peterkyalo8569 7 месяцев назад

    Nice to kenya

  • @Ochieng-eh3hg
    @Ochieng-eh3hg 8 месяцев назад

    Wonderful

  • @marienicholus6528
    @marienicholus6528 4 года назад +1

    walikiona kweli, walijua kweli samaki harusingi reverse

  • @listerkongola6872
    @listerkongola6872 4 года назад +3

    Simuelewi kocha wetu,kwanini alibadilisha kikosi kilichocheza kwenye makundi??? Tukakoswakoswa na Uganda,tumekuja fungwa na Kenya! WHY CHANGE A WINNING TEAM???

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 4 года назад +7

    Inauma lakini itabidi mzoee

  • @jafarali2372
    @jafarali2372 3 года назад +1

    We are winners mpaka kwao.ile kitu wanaeza tushinda nao ni uchawi tu

  • @bobtalksseries650
    @bobtalksseries650 4 года назад +1

    Twa TWA Twa nation ...uzito

  • @valaryawour6016
    @valaryawour6016 3 года назад

    Wao

  • @maxwellkibet2011
    @maxwellkibet2011 3 года назад

    Women football woow

  • @wonjadenno974
    @wonjadenno974 4 года назад

    wanacheza ngoma ya NASA TIBIM tanzania wametii

  • @jamesrasi-co4py
    @jamesrasi-co4py 8 месяцев назад

    Wakenya 2ko juu 2sana

  • @benmzuri
    @benmzuri 4 года назад +6

    THIS TEAM IS THE TRUE HARAMBEE STARS. NOT STARLETS. That name diminishes their power. They are more powerful than Kenya Mens Team.

  • @georgemtelela2973
    @georgemtelela2973 4 года назад +4

    wachezaji wa kikosi cha kwanza kama watatu kwa nn wameanzia benchi

  • @trucillahgesare9501
    @trucillahgesare9501 2 года назад

    2021 still

  • @mediacare6744
    @mediacare6744 2 года назад

    WaTZ wamejaa maziwa daa!

  • @hodanmohamud9880
    @hodanmohamud9880 3 года назад

    woman soccer kenya vs men Kenya play International friendly stadium

  • @user-zp2vw4tw1d
    @user-zp2vw4tw1d 8 месяцев назад

    Lakini tazania wakona game nzuri

  • @mohdabdalla6184
    @mohdabdalla6184 2 года назад

    Ini

  • @RajabuMajidi-lm7gv
    @RajabuMajidi-lm7gv 8 месяцев назад

    Aisee refarii alikuwa upande wa Kenya bila kificho kabisa na alidhamiria Kenya awe bingwa

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 года назад

    Wanacheza better than Harambee stars wanaume

  • @judaspantaleo9779
    @judaspantaleo9779 4 года назад +3

    Refer was not good in the final that's why Tanzanian team has became the desprined team in the tournament

  • @kashindisaidikshindisaidi5002
    @kashindisaidikshindisaidi5002 3 года назад

    Tanzania vs malawi 2021

  • @johnMorris...4032
    @johnMorris...4032 2 года назад

    Huyu commentator anafaa viboko😂😂😂🥲