MNYIKA Asimulia ALIVYOACHA chuo UDSM Akakimbilia UBUNGE, Akanusha "SIKUFUKUZWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MNYIKA Asimulia ALIVYOACHA chuo UDSM Akakimbilia UBUNGE, Akanusha "SIKUFUKUZWA"
    Mbunge wa Kibamba John Mnyika (CHADEMA) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hakuwahi kufukuzwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) bali aliahirisha masomo yake ili aendelee na shughuli za kisiasa na mpaka leo hajawahi kurudi tena chuoni hapo.
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Комментарии • 3

  • @jimjam7687
    @jimjam7687 4 года назад

    Ukweli ni kwamba mahakama zetu azina kazi za kufanya ila utumika kisiyasa tu.

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 4 года назад

    Sasa inahusiana nanin?

  • @samusonibalazingiza3689
    @samusonibalazingiza3689 4 года назад

    Upo vyema kamanda pambaneni Tu nyuma yenu