UKHTY MWANACHA AVAMIWA NA MADAKTARI KWENYE BONANZA LA HALMASHAURI B [OFFICIAL HD VIDEO]
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Ukhty Mwanacha aki perform live kwenye bonanza lilikoandaliwa na Uongozi wa Manispaa ya Magharib B.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.
Mashallah mashallah ukhty mwanach nakupenda sana 🙏 allah awape muongozo
Kaswida za sikuhiz hazinaga utofauti na bongo frela mpka kucheza pia so tupo kati kati👌
Hakika nakupenda mwaacha nipo oman nataman nikija zanzibar nikuone kipenzi changu
nakupend da mwana ,unatulia katk kuimb kasd zak
Kasida jamani zimeisha munaimba kiujanja mtajitia kasida ila hongera dada anatisha mashallah
Hii sio qasida ni tarabu kwanza ata stara hamna apo mikono njee sula mumezilemba tofauti yenu nini na waimba Tarabu maana ata kwenye Tarabu wanamtaja mungu dunia hii tukumbuke tunapita
Mavazi pia yako ovyo
Innalillah wainnailaih rajiun 😢😢😢😢😢😢😢😢😢Allah atuongoze waja wake👐👐
Nyimbo ya kibuki, sasa nilikuwa namuona mshamba mwalimu wangu asietaka mnanda chuoni kumbeeee
nakupenda bureee hadi najiogopa mwanacha. kwa burudani zako. 💃💃💃💃❤️
Mash Allah Tabaraak Allah 🙏💝💞💪💪💪❤😘😘😍
Mbon ukhty Asha na ukhty adila sijawaona vipenzi vyanguu
Allah atuondoshee huu mthan
Acha tuu wallah tena unaenea kwa kasi mno
Hatari walimwengu wa sasa
Hawa ni waimba nyimbo za taarabu wamejitia kwenye kivuli cha qasida
Kweli tena
Masha allah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ssa uko unaingia ktka bongo flavor
Mashallah ukhty 👍👍👍
Nawapenda sana Allah awabariki
Mashaallah Ukhty mwana
Kaswida
Mwanaacha bibiharusi hongera
Kitu pekee cha kusomwa na kuskiliza ni mawaidha na Quran hkun mtume hakuwahi kuamrisha wala kuanzisha wala kuhimiza kusoma qasida
Mwanacha 😊😊
Aisha nakuonaaa
Ukht mwanach na mwnzio mnajiachia sn mnachZ km rusha roh lzm 2tofautsh kasd na nymbo
Wallahi hakuna tena qaswida..lilobakia ni kuomba mwisho mwema.
Alafu uyu mke wa mtu 😏😏😏😔
Nawapenda Sana ukhty Asha na ukhty adila
bdo sjaunga mkono kwahilo mbaya sana
Asha na adila badoo sanaa
Mashaallaah💃💃💃💃
Ukhty mwana💪💪💪
Mashaallh sauti ansal Mashaallh
Wow mojasafii ukhti mwanacha
Kwa shati ilo tu pole mwana kavaa pambe kuliko kuvaaa mshati we dada
@@jbizomakame3176 Eeeee
Really jaman hii ni nn dini iko hapo ni kujisitiri pekee wacheni kujiita ma ukhty bana
Love mwanacha
Uyo Mwanamme msenge sanaaaa
Hana hata hayaa mjinga uyoo
Itakuwa na ww ni miongoni mwa awo ndo Mana ukamjua😏😏😏 afu uyo mtu wa afya hupaswi kuwa na haya
@@sabraramadhan5420 haya ni sifa ya kila muislam, kakosea
@@saidmuhd611 kabbsa
Nawapenda bure
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Weweee
Bila ya aibu unaimba nyimbo yakibuki hadharani unategemea nini kama ckuwachafuwa wengine? kuwa mbunifu/mtunzi sauti nzuri unayo.
Apo sawa mashalaah
Maashallah hongerani
MashaAllah
Yani huyo mmjo kaacha kusoma anapokeya pesa
Ameen yarrab
Muungu amekupa kipaji kwa kukuona unaestahiki kukitumia kwa lengo la kuwaelimisha watu so
Muungu akubariki uwe na afya njema 👋
P
Jamani mnaharibu kasida sasa mnaimba kibuki hakuna tofauti na kibuki
Kaswida mnaziharibu sasaivi jaman tunakoenda siko ndio tunaangalia maslah lkn tujuwe kuwa tunaharibu tasnia ya kaswida saaivi hatariiii sivo ivyo
Angalia nini anafikisha ktk jamii na eneo husika.
Hapo ulitaka aimbe nini hapo.
Lakini mwenzio pia hiyo ni biashara kama biashara nyingine bana acha atafute pesa.
Comores chanson
ukht mwnache unanikosh kaswd zko
Bora hata asingeichomekea hiyo blauz maana loh😏
Namuona hapsa kwa mbal
Kuponda hamjakatazwa ila sikizeni na ujumbe,mgala muue na haki yake uumpe.
mashllh
Mashaa Allah 🥰
Mh zambii tupuu
❤️❤️❤️👌👍
Hamna qaswida tena tafuteni kazi nyengine mufanye. Mwisho wa siku mutapiga muziki sasa
Msinambie hiyo NAyo ni kaswida kaswda ulikua zamani sio sasa
Mh!
Ttz haina tofauti na mziki wa kibuki hapo anaharibu
Mwanacha ushaharibu mchezo wate na janaume ilo senge
Na km utaendelea hv hutobadilika ktk kaswida tu hata sura yako itabdlika
Caswida za dida
Uyo Hana akili anavaaje shati
Aaahhh binti wa town hyoo
Kila mtu Ana haki y kuvaa apendavyo
@@munasaidmbarak814 sio kweli
@@munasaidmbarak814 lla fadhiha😡😡😡😡
Zenji flever😂😂😂😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😆😆😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimesheka kwasaut nene khaa Mkhtar umenifanya nijue kukoment Leo wakat nilikuaga sijui miye Napita ga kama upepo daa nacheka kama mazuri ila kiukweli inasikitisha sana wallah Allah atuongoze kwarehma zake Walakin Allah hamuongozi asotaka kuongoka wabillah taufiq
@@swaumdodoma7591 kweli kabisa
🤔🤔
🤣🤣🤣Sio kwa mziki huo
Mashallah
Mashallah
Naomba audio ya kasida hii
Hy