UKHTY MWANACHA AVAMIWA NA MADAKTARI KWENYE BONANZA LA HALMASHAURI B [OFFICIAL HD VIDEO]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Ukhty Mwanacha aki perform live kwenye bonanza lilikoandaliwa na Uongozi wa Manispaa ya Magharib B.
    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
    Whatsapp. +255772285543
    Call. +255772285543
    Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.

Комментарии • 88

  • @noelgodson9756
    @noelgodson9756 Год назад +1

    Mashallah mashallah ukhty mwanach nakupenda sana 🙏 allah awape muongozo

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 3 года назад +5

    Kaswida za sikuhiz hazinaga utofauti na bongo frela mpka kucheza pia so tupo kati kati👌

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +4

    Hakika nakupenda mwaacha nipo oman nataman nikija zanzibar nikuone kipenzi changu

  • @KazijaMachano-cj7eg
    @KazijaMachano-cj7eg 9 месяцев назад

    nakupend da mwana ,unatulia katk kuimb kasd zak

  • @sabahbakari5155
    @sabahbakari5155 3 года назад +10

    Kasida jamani zimeisha munaimba kiujanja mtajitia kasida ila hongera dada anatisha mashallah

  • @samiramasudi7493
    @samiramasudi7493 3 года назад +4

    Hii sio qasida ni tarabu kwanza ata stara hamna apo mikono njee sula mumezilemba tofauti yenu nini na waimba Tarabu maana ata kwenye Tarabu wanamtaja mungu dunia hii tukumbuke tunapita

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +7

    Innalillah wainnailaih rajiun 😢😢😢😢😢😢😢😢😢Allah atuongoze waja wake👐👐

  • @bintyussuph4979
    @bintyussuph4979 3 года назад +2

    Nyimbo ya kibuki, sasa nilikuwa namuona mshamba mwalimu wangu asietaka mnanda chuoni kumbeeee

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 3 года назад +4

    nakupenda bureee hadi najiogopa mwanacha. kwa burudani zako. 💃💃💃💃❤️

  • @rukiaaa3719
    @rukiaaa3719 3 года назад +5

    Mash Allah Tabaraak Allah 🙏💝💞💪💪💪❤😘😘😍

  • @saidkipaji6285
    @saidkipaji6285 3 года назад +6

    Mbon ukhty Asha na ukhty adila sijawaona vipenzi vyanguu

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +5

    Allah atuondoshee huu mthan

  • @asiahamadi8224
    @asiahamadi8224 3 года назад +8

    Hawa ni waimba nyimbo za taarabu wamejitia kwenye kivuli cha qasida

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 3 года назад +6

    Masha allah🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @drissa515
    @drissa515 3 года назад +6

    Ssa uko unaingia ktka bongo flavor

  • @munasaidmbarak814
    @munasaidmbarak814 3 года назад +4

    Mashallah ukhty 👍👍👍

  • @assmasalim1581
    @assmasalim1581 3 года назад +4

    Nawapenda sana Allah awabariki

  • @ruqaiyyahrashidy35
    @ruqaiyyahrashidy35 3 года назад +5

    Mashaallah Ukhty mwana

  • @tauhidakhamis717
    @tauhidakhamis717 3 года назад +2

    Mwanaacha bibiharusi hongera

  • @zuwenababyvideos548
    @zuwenababyvideos548 3 года назад +1

    Kitu pekee cha kusomwa na kuskiliza ni mawaidha na Quran hkun mtume hakuwahi kuamrisha wala kuanzisha wala kuhimiza kusoma qasida

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +4

    Mwanacha 😊😊

  • @sakhamkhan8903
    @sakhamkhan8903 3 года назад +2

    Aisha nakuonaaa

  • @bintabdul8481
    @bintabdul8481 3 года назад +7

    Ukht mwanach na mwnzio mnajiachia sn mnachZ km rusha roh lzm 2tofautsh kasd na nymbo

    • @bintomarsiri8981
      @bintomarsiri8981 3 года назад

      Wallahi hakuna tena qaswida..lilobakia ni kuomba mwisho mwema.

    • @najmasaidi1412
      @najmasaidi1412 3 года назад

      Alafu uyu mke wa mtu 😏😏😏😔

  • @saidkipaji6285
    @saidkipaji6285 3 года назад +3

    Nawapenda Sana ukhty Asha na ukhty adila

  • @zuhuramwawimo997
    @zuhuramwawimo997 3 года назад +3

    Mashaallaah💃💃💃💃

  • @ondegesauda7028
    @ondegesauda7028 3 года назад +3

    Ukhty mwana💪💪💪

  • @fatimakarossi7343
    @fatimakarossi7343 3 года назад +2

    Mashaallh sauti ansal Mashaallh

  • @omarathmanali3219
    @omarathmanali3219 3 года назад +3

    Wow mojasafii ukhti mwanacha

    • @jbizomakame3176
      @jbizomakame3176 3 года назад +1

      Kwa shati ilo tu pole mwana kavaa pambe kuliko kuvaaa mshati we dada

    • @tauhidakhamis717
      @tauhidakhamis717 3 года назад +1

      @@jbizomakame3176 Eeeee

  • @zaitunihamisi5189
    @zaitunihamisi5189 3 года назад

    Really jaman hii ni nn dini iko hapo ni kujisitiri pekee wacheni kujiita ma ukhty bana

  • @suhailamohd5985
    @suhailamohd5985 3 года назад +2

    Love mwanacha

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 3 года назад +1

    Uyo Mwanamme msenge sanaaaa
    Hana hata hayaa mjinga uyoo

    • @sabraramadhan5420
      @sabraramadhan5420 3 года назад

      Itakuwa na ww ni miongoni mwa awo ndo Mana ukamjua😏😏😏 afu uyo mtu wa afya hupaswi kuwa na haya

    • @saidmuhd611
      @saidmuhd611 3 года назад

      @@sabraramadhan5420 haya ni sifa ya kila muislam, kakosea

    • @mamymamy7938
      @mamymamy7938 3 года назад

      @@saidmuhd611 kabbsa

  • @dianawefila8345
    @dianawefila8345 3 года назад +3

    Nawapenda bure

  • @mamymamy7938
    @mamymamy7938 3 года назад +2

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Weweee

  • @basitena229
    @basitena229 3 года назад +5

    Bila ya aibu unaimba nyimbo yakibuki hadharani unategemea nini kama ckuwachafuwa wengine? kuwa mbunifu/mtunzi sauti nzuri unayo.

  • @halimabinthamisi3818
    @halimabinthamisi3818 3 года назад +2

    Apo sawa mashalaah

  • @malekjr9699
    @malekjr9699 3 года назад +1

    Maashallah hongerani

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @hemedyussuf8176
    @hemedyussuf8176 3 года назад +4

    Yani huyo mmjo kaacha kusoma anapokeya pesa

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад +2

    Ameen yarrab

  • @yahyaali8128
    @yahyaali8128 3 года назад +1

    Muungu amekupa kipaji kwa kukuona unaestahiki kukitumia kwa lengo la kuwaelimisha watu so
    Muungu akubariki uwe na afya njema 👋

  • @ashaamour4309
    @ashaamour4309 3 года назад +2

    Jamani mnaharibu kasida sasa mnaimba kibuki hakuna tofauti na kibuki

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu1214 3 года назад +1

    Kaswida mnaziharibu sasaivi jaman tunakoenda siko ndio tunaangalia maslah lkn tujuwe kuwa tunaharibu tasnia ya kaswida saaivi hatariiii sivo ivyo

    • @shabanhassan4272
      @shabanhassan4272 3 года назад

      Angalia nini anafikisha ktk jamii na eneo husika.
      Hapo ulitaka aimbe nini hapo.
      Lakini mwenzio pia hiyo ni biashara kama biashara nyingine bana acha atafute pesa.

  • @abdouabdouroihim3518
    @abdouabdouroihim3518 3 года назад +2

    Comores chanson

  • @fatmachanzi9966
    @fatmachanzi9966 3 года назад +1

    ukht mwnache unanikosh kaswd zko

  • @faridahamis3844
    @faridahamis3844 3 года назад +2

    Bora hata asingeichomekea hiyo blauz maana loh😏

  • @hasinabaraka304
    @hasinabaraka304 3 года назад +1

    Namuona hapsa kwa mbal

  • @mohammedzanjira3878
    @mohammedzanjira3878 3 года назад +1

    Kuponda hamjakatazwa ila sikizeni na ujumbe,mgala muue na haki yake uumpe.

  • @mohamedsunkari5312
    @mohamedsunkari5312 3 года назад +1

    mashllh

  • @mariamjuma5326
    @mariamjuma5326 3 года назад +4

    Mashaa Allah 🥰

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад +2

    ❤️❤️❤️👌👍

  • @shwalehally4400
    @shwalehally4400 3 года назад +2

    Hamna qaswida tena tafuteni kazi nyengine mufanye. Mwisho wa siku mutapiga muziki sasa

    • @aishaosman6871
      @aishaosman6871 3 года назад +2

      Msinambie hiyo NAyo ni kaswida kaswda ulikua zamani sio sasa

    • @mariamsuleiman1327
      @mariamsuleiman1327 3 года назад

      Mh!

    • @ashaamour4309
      @ashaamour4309 3 года назад

      Ttz haina tofauti na mziki wa kibuki hapo anaharibu

    • @khalidhassan906
      @khalidhassan906 3 года назад

      Mwanacha ushaharibu mchezo wate na janaume ilo senge

    • @khalidhassan906
      @khalidhassan906 3 года назад

      Na km utaendelea hv hutobadilika ktk kaswida tu hata sura yako itabdlika

  • @khadijaali6515
    @khadijaali6515 3 года назад

    Caswida za dida

  • @abubakarabdallah3136
    @abubakarabdallah3136 3 года назад +5

    Uyo Hana akili anavaaje shati

  • @mukhtarhamad5620
    @mukhtarhamad5620 3 года назад +4

    Zenji flever😂😂😂😂😂

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 3 года назад +1

      😂 😂 😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😆😆😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimesheka kwasaut nene khaa Mkhtar umenifanya nijue kukoment Leo wakat nilikuaga sijui miye Napita ga kama upepo daa nacheka kama mazuri ila kiukweli inasikitisha sana wallah Allah atuongoze kwarehma zake Walakin Allah hamuongozi asotaka kuongoka wabillah taufiq

    • @omarhamad1834
      @omarhamad1834 2 года назад

      @@swaumdodoma7591 kweli kabisa

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 3 года назад +3

    🤔🤔

  • @shuubinty1447
    @shuubinty1447 3 года назад +1

    🤣🤣🤣Sio kwa mziki huo

  • @swaumuhassan8550
    @swaumuhassan8550 3 года назад +1

    Mashallah

  • @aminaahmed3504
    @aminaahmed3504 3 года назад +2

    Mashallah