4 - NEEMA YA MUNGU INAVYOKUJULISHA NA KUKUONDOLEA KILICHOKUKWAMISHA || Mwl Christopher Mwakasege.
HTML-код
- Опубликовано: 23 фев 2024
- Semina ya Neno la Mungu Dar es salaam || DAY 4 || TAREHE 24|2|2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
amen amen amen, asante Yesu kwa neema hii ya kujua siri za mbinguni.
Mungu nisaidie neema ya MANENO yasiyo FAA yafe kwakupitia maombi haya na semina hiii na MANENO yangu yapate kibali mbele zako Mungu na Neema Yako Mungu ilinde kinywa changu Amen
Ubarikiwe Mtumishi wa Neno la Mungu uliyepewa neema ya kutuhubiria ufunuo huu maana kama si neema uliyopewa je tungekuwa wapi leo. Maana tulikuwa vipofu. Our Heavenly God bless you.
Mungu uwatie watoto wote wakiume wamwabudu Mungu na Neema ya Mungu iwafunulie Kwa kazi zao Mungu uwakumbuke watoto wa kiume.
Mwenyezi Mungu,ninakuomba kupitia mtumishi wako mwalimu Christopher mwakasege akufungue mwanangu liberty katika masomo yake, akawe kichwa na siyo mkia katika masomo yake, akawe na hofu ya Mungu.Amen.
Mungu akubariki sana mwalim pamoja na huduma yote ya mana❤
Utukufu kwa Mungu
Mungu anatisha sana
Ehe Mwenyezi Mungu najua wewe ni mwaminifu naomba baraka zako za kufungukiwa katika maisha yangu
Babakatika jina la Yesu kristo. Naomba neema ya mungu iandike upya kwenye maisha yangu. Nirehemu niko hapa chini ya msalaba wako. Nikumbuke baba usinipite.
Haleluya
Mungu abariki kazi yake kwa sababu imetukuka
Bwana Atukuzwe milele
Nabarikiwa Sana natamani ningefika huko
Amin
Nabarikiwa sana
Bwana aendelee kukutunza mtumishi.naomba mnisaidie kuomba kwa ajili ya mwanangu mgonjwa tupo hospital
Yesu ampoule kwa jina la Yesu. Amen
Ameen
Nimeikosa roho inaniuma yote kwa yote Mungu Atukuzwe
Mungu nipe neema na kibali cha kuoa.ndio ombi langu.
Na lihimidiwe Jina la Bawna Yesu kristo
Naomba nisaidie kuomba kwa ajili ya watoto wangu ndalusya na mpoki nyenesya na kiristofa na bright mungu awaongezee neema ya ufufuo
Utukufu kwa bwana
Sifa apewe mungu
Ubarikiwe sana mwl mungu awabariki waimbaji ndio ninaushuuda zaidi ya moja
Amen,Utukufu kwa Yahwe
❤❤❤❤
Natangaza ukombozi juu ya vijana wa Tanzania kwa Jina lipitalo majina yote la YESU KRISTO. Damu ya YESU ikawafunike vijana wote wa Tanzania
Ubarikiwe sana sana
Sifa na shukurani apewe Bwana
I see the goodness of God😊❤
Amen
Heshima na utukufu kwa Bwana
Nabarikiwa
Amen
Utkufu kwa bwana
🎉🎉
Eeeeeee MUNGU usie lala juu yetu ninaomba mke kutoka kwako
Ameen
❤❤❤❤