Njia Rahisi za Kuepuka Marafiki Wenye Madhara

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024
  • Katika somo hili, tutajadili njia rahisi za kuepuka marafiki wenye madhara na kujenga uhusiano mzuri na watu walio na athari chanya katika maisha yetu
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA RUclips CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Mafanikio, Malengo, Mipango, Kuhamasisha, Ushawishi, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya mwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Tabia, Kujenga uwezo, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri, Swahili Motivation,
    .
    #epuka #marafiki #wabaya

Комментарии • 14

  • @user-jt3yw1gz2j
    @user-jt3yw1gz2j Месяц назад

    Kweli kabisaaaaa aiseee wapo sana hao Tunaishi nao

  • @latifahjanja6679
    @latifahjanja6679 2 месяца назад

    Rafiki yangu ana hz sifa karibia zote 😅lkn kila nikijaribu kumkataa anajipendekeza kwangu sn lkn yy ni mbinafsi sana anapenda kujizungumzia yeye tuu lkn pia anajionaga yy ndo mwenye akili kushinda wengine ajafanikiwa hvyoo japo ana ndoto kubwa lkn anaishi maisha ya zarau sn mtaan lawama nyingi kwa watu wa mtaan ni nyingi kua anajiskia nikimwambia anasema wananichukia tuu sipo hvy lkn nishamchunguza sana hz tabia anazo ataki mazoea na watu wa hali ya chini kisa anahis km watamuambukiza ujinga na umaskin😂rafiki anaowazungumzia yeye ni wenye kazi nzuri (almashauli,walimu,TRA,madaktar etc)au wafanya biashara wenzie kwasababu anajipendekeza kwako kila anapopata tatizo llte ni rahis kupata msaada ni sawa lkn swala la kuzarau wengn hili ndo linanikera zaid na ubinafsi na apendi kushaulika je na huyu ni wakuachana nae...???🤯

  • @AmaniMuderwa-vm4uz
    @AmaniMuderwa-vm4uz 2 месяца назад

    Somo nzuri ,nafwata from Zambia unakuaka unanijenga bro,,,naomba iyi somo jinsi yakuacha kunywa pombe

  • @imakitori399
    @imakitori399 2 месяца назад

    Umeeleweka brother

  • @suleim505
    @suleim505 2 месяца назад

    Asante sana mwalimu.

  • @omarially1812
    @omarially1812 2 месяца назад

    Daah fact broo

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 2 месяца назад

    Mashallah Asante nimejifunza

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 месяца назад

      Tabaaraka LLAH
      Hongera Kwa kujifunza
      Na endelea kujifunza na waalike na wengine waje kujifunza

  • @SalumMohammed-wg2my
    @SalumMohammed-wg2my 2 месяца назад

    3,kupunguza baadhi ya mambo kumwambia kama siri zako
    Yaan mtu kama huy unakuta ajali mamb ya w2 wengn anawasema wengn vby anajiona yy ni bora kuliko w2 wengine unamwambia siri zako kiaje anaweza kukusikiliz ww itakua anakusikiliza ile bac 2

  • @SalumMohammed-wg2my
    @SalumMohammed-wg2my 2 месяца назад

    Jambo la pili la kumkataa m2 ambaye si sahihi kwako
    2,kumomba
    Kiaje kumuomba yaani unakuta unakuw wa kumuomba vi2 kumnyenyekea unakut mshikaj anakuw na kali katabia kakujua kama yaan sijui hata nisemaje

  • @njochelanim
    @njochelanim 2 месяца назад

    Fact🤝

  • @user-xy5fl9zy2h
    @user-xy5fl9zy2h 2 месяца назад

    Wa2 kma hawa mtani kwe2 tunawaita machawa yni ukiwancho utwaona ukiwa huna wanakaa 100m

  • @SalumMohammed-wg2my
    @SalumMohammed-wg2my 2 месяца назад

    Duniania hakuna ki2 kinachoshindikana kama ukiamua siku zote hakufukuzae akwambii nenda jinsi ya kumkataa m2 jama huyo inahitaj uanze kujiepusha nae kdg kdg mfano amekwambia twende mjini tukatembee ukamjibu kwa sasa nakaz kuna ki2 natak nikifanye mf 2, mara nyingi mtu kama huy huw anajua ni ki2 gan unachokipenda ko atatumia hio njia ya kuwa karibu na ww ko hap kumkataa m2 kama huy kama ukiendelea kuw unafanya ki2 kama icho ataendelea kuw karib na ww kwa maan anajua aisha nikimwambia twende beach hawez akakataa hilo ndo jamb la kwanz la kukaa na mbali na m2 kama huy
    Ezden jumanne axant sana na wote