🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 08 SEPTEMBA 2024
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Excellent ❤ !!
Utekaji huu Samia anafikiria Nini kama yeye ndiye mwenyenchi
Tanzania hakuna viongozi....Samia achia kazi
Ivi vitendo na mungu anawaona
Mbona mnasema Ali ametekwa na watu wasio julikana na hawa watu wasio julikana wametoa bunduki wapi na pingu
Shangaaa sasa
Watakuwa wakekaa wanapongezana kwa kazi ya mauaji, maarufu kwa jina la watu wasiojulikana, makundi haya ndo hufungulia milango ya vita, haya tunashukuru kwa kazi yao...damu ya madai ikae juu Yao NA watoto wao..
Kanun za nchi hii pamoja vyombo vyadora nimapambo tu Bora vifutwee
Alafu watanzania bado tumelala mtu anashushwa kwenye basi na Watu wenye siraha hawana nguo za kazi ilitakiwa lile gari liende polisi na abilia wote kutoa Taarifa ya hicho kilichotokea
Hii hali kwakweli niyakusikitika kwasababu nchi yetu ya sasa watu hawana huruma nchi ya kuteka watu na kutesa wananchi pasipo jalii kuwa hawa wananchi wanaoteswa hawana hatia na wengine ni maskini na viongozi pamoja na jeshi la polisi wakaye na watambuwe kwamba wananchi ndio wamewajiri na mshahara yenuu hawa watu ndio wanawalipa kwahiyoo muache hiyo mambo ya kuteka watu!
ivi uhumchezo wameupatawap?
Thubutu mjiweke mahali pa watu wa kawaida? Mmm! Basi wokovu utakuwa umekuja Tanzania..
Selikar kama vitedo vyahivyo tunaeda wapi
Mungu tuepushe na masononeko haya
Rais,unafikiri hii damu.inayo endelea kumwagika kila siku.kwa dhuruma kiasi hiki.mikono yako inikwepaje?au kwa kuwa kwenu kuuwa ni dhahabu.maana ukimya wa serikali yako umetutisha mno kwa sasa,tunaona kama mahusiano bila shaka,kwa namna fulani.
Zanzibar Amani imetawala bara tunatekana wote wa mama 1