🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 08 SEPTEMBA 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 16

  • @mizingayaudongo1097
    @mizingayaudongo1097 7 дней назад

    Excellent ❤ !!

  • @AltenKiswaga-zw9rf
    @AltenKiswaga-zw9rf 8 дней назад +1

    Utekaji huu Samia anafikiria Nini kama yeye ndiye mwenyenchi

  • @kelvinchaula
    @kelvinchaula 7 дней назад

    Tanzania hakuna viongozi....Samia achia kazi

  • @HappyMihale
    @HappyMihale 8 дней назад

    Ivi vitendo na mungu anawaona

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 8 дней назад +1

    Mbona mnasema Ali ametekwa na watu wasio julikana na hawa watu wasio julikana wametoa bunduki wapi na pingu

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 8 дней назад

    Watakuwa wakekaa wanapongezana kwa kazi ya mauaji, maarufu kwa jina la watu wasiojulikana, makundi haya ndo hufungulia milango ya vita, haya tunashukuru kwa kazi yao...damu ya madai ikae juu Yao NA watoto wao..

  • @AltenKiswaga-zw9rf
    @AltenKiswaga-zw9rf 8 дней назад

    Kanun za nchi hii pamoja vyombo vyadora nimapambo tu Bora vifutwee

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 8 дней назад

      Alafu watanzania bado tumelala mtu anashushwa kwenye basi na Watu wenye siraha hawana nguo za kazi ilitakiwa lile gari liende polisi na abilia wote kutoa Taarifa ya hicho kilichotokea

  • @Lestickmollel
    @Lestickmollel 7 дней назад

    Hii hali kwakweli niyakusikitika kwasababu nchi yetu ya sasa watu hawana huruma nchi ya kuteka watu na kutesa wananchi pasipo jalii kuwa hawa wananchi wanaoteswa hawana hatia na wengine ni maskini na viongozi pamoja na jeshi la polisi wakaye na watambuwe kwamba wananchi ndio wamewajiri na mshahara yenuu hawa watu ndio wanawalipa kwahiyoo muache hiyo mambo ya kuteka watu!

  • @JuxvatonOmmari
    @JuxvatonOmmari 8 дней назад

    ivi uhumchezo wameupatawap?

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 8 дней назад

    Thubutu mjiweke mahali pa watu wa kawaida? Mmm! Basi wokovu utakuwa umekuja Tanzania..

  • @kijabahame1307
    @kijabahame1307 8 дней назад

    Selikar kama vitedo vyahivyo tunaeda wapi

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 8 дней назад

    Rais,unafikiri hii damu.inayo endelea kumwagika kila siku.kwa dhuruma kiasi hiki.mikono yako inikwepaje?au kwa kuwa kwenu kuuwa ni dhahabu.maana ukimya wa serikali yako umetutisha mno kwa sasa,tunaona kama mahusiano bila shaka,kwa namna fulani.

  • @PapaaKibaki
    @PapaaKibaki 8 дней назад

    Zanzibar Amani imetawala bara tunatekana wote wa mama 1