Msaniii mpaka ukiitwa ikulu ufanye yako ujue ushakuwa mkubwa kimziki ....asichokijua mmakonde mama anapenda sana kutumia kiswahili fasaha akiwa anazungumza na waswahili wenzie
Hili nalo Kumbe Fara kiasi hiki,,Hana washauri kwakweli,,na mkubali Kua mpambanaji,,na kawezea Sana kuwaonesha upande ule kuwa yeye anaweza,,,BT Kwa Heleni kanibour sana
Jombaa bado sana live pia engilishi huwez imba live kos ngeli bado ujui vizur pia kama uliamua kuimba huo wimbo kama life stor yako usinge kiluka kipande ulicho muimba diamond koz ndio kabeba istoria yako yamaisha
kijana itaqllah mwogope allah kwanini anayoyakataza allah mwanaume anaejifananisha jinsia ya kike ghadhabu zake vipi juu yake na mwanamke anaejifananisha na jinsia ya kiume ghadhabu zake vipi yake hereni na wewe rajab wapi mnaelekea vizazi vyetu nyie mwoonyesha nini kwa kizazi kinacho chipukia dunia saa maishali akhera rudini ktk akhilaq ili tupate nusura wazazi enyi mlio amin watahadhirisheni ahlil zenu kuwa jiokoeni nafsi zenu na watu wenu na moto ambao kuni zake ni watu na mawe wanausimamia malaika wakali wenye nguvu hawamuasi mwenyezi mungu kwa amri zake
KOSA NI HERENI NA SIO KUIMBA LIVE KATI YA MOND NA HARMO ANAYEWEZA KUIMBA LIVE NI HARMO PEKE YAKE HILO HALINA UBISHI🙌
Nikweriiiiii namkubali harmonize sana sema hiyo mihereni sasa
Waliomkataa hamo ni wawili ila wengini wamemkubali ila hamo kazingua kuvaa hereni
Kwenye hereni kweli kabisa
Sio heren 2 hawez chochot m ximkubal hata
Mtu mmoja hataree Sana huyu jamaa sio poa
Mashallah harmonize nyimbo nzuriiiiii sana very touchy
Kijna ungevaa hereni za msalaba zote mbili maana yesu ni mungu huenda tukakubatza
Sasa ndo namini sasa alicho sema master jay kuwa awa mabwana kuimba iviiv mtiani sasa nime aminnn
Unaweza harmonise, keep going on. Every one has his/her posion. Their is no need to worry. LOVE YOUR WAY OF BEHAVING. YOUR A GENTLEMAN. 😎😎😎😎😎
Nakubali San mwamb harmo umetisha jeeesh kaza kaza
Nimekuelewa hormones n ever give up my brother meseji toshaa. Big up
I'm the first...nipepen like zangu kama unampenda mama
Msaniii mpaka ukiitwa ikulu ufanye yako ujue ushakuwa mkubwa kimziki ....asichokijua mmakonde mama anapenda sana kutumia kiswahili fasaha akiwa anazungumza na waswahili wenzie
Msanii wangu bora Tanzania
Boraaa zaidii
Mwanaume heren zanini wew
Kama unampenda MAMA gonga like
Kijana usiyekata tamaa Mungu akuongoze vyema
Like 💯 zakonde 🐘🐘Kama unamuerea
Asante kakangu Mdogo......💣💣💣💣
hongera sana harmo ila umeingia heren iyo
Konde boy.🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🥰⭐⭐⭐⭐⭐💪
mm ni shabiki yako mkubwa sana na nakupenda ila angalia sehem ya kuvaa miheren
Uko powa konde nakukubali sana hata waseme husijali pambana Nia yako mungu yupo nawewe2 binadamu tumeumbiwa maneno zaidi watanzania tumezidi chuki
Kuimba live ni shida
Apo mwenye izo kazi Fundi wao Banana zoro
vijana wangine ni wapuuz sana yani mihereni ckioni afla anaitwa na rais mtoto wakiume acha wakina NIKK WAPILI WAPEWE UONGOZI
Sure umeongea
Kwakweli
Ovyo kweli😏.
Kanikera apo kwenye hereni tu
Sawa konde geng🔥🔥🔥🎤
Kwenye kuimba live hapo ndo kamtihani mwamba...
P0le bro
Live hawezi kabisa huyu jamaa alaf pumzi ya kubishana na watu angeitumia huku angetwaa BET sio f**k kwny kila neno analolitoaga
@@asimemodern8376 mwenye pumzi vipi uko America, amekusanya tuzo ngapi
Never give up 🙏🏻
I, m Waiting..........
Heren Ni kero kweli kweli
Live performance wachia Kiba, Aslay na Barbaba. Baki huko kwa kelele tu😂
jeshiiiii🔥🔥🔥🔥🐘🐘🐘🐘,,never give up😭😭😭😭
Hizi heren jaman zanini nyinyi au zinamaanagani tusoijua dah tunaendawap!!
Hana lolote huyo
Wanaambiwa ni kiyoo cha jamiii ila ni chooo cha jamiii
Waiting..........
Jeshiiiii
Hili nalo Kumbe Fara kiasi hiki,,Hana washauri kwakweli,,na mkubali Kua mpambanaji,,na kawezea Sana kuwaonesha upande ule kuwa yeye anaweza,,,BT Kwa Heleni kanibour sana
Nomaaa
C ajabu anabikini
I love TZ people 🇰🇪🇰🇪🇯🇲
Jeshiiiiii
You is good musician
Master J aliongea ukweli, kuimba hawajui lakini matukio ndio wako sawa.
Master J mwenyew angeenda kuimba tuone kipaji chake kuliko kuchagua watu
Hajui huyo maheren
Amevaa na hereni uwiiiiii ,,
Teacher of High school....Konge Hand for Everybody...
Inabidi ajitahidi kubalance sauti wasanii wetu wengi kwenye live tunafeli
Mshindi wetu wa Tuzo za BET 2022
Kabisa
Kha
Amen
Ajambe
Mbona hereni tena watoto wakiume tena asee
Baba we ni mkali
Nikki w pili kw hereni atr
Mwamba unafeli ayo maherini ndo unamaanisha nini, ww ni kioo cha jamii jielewe kijana
Bigapu Sana konde au jeshiii!!!!!!!!.
🔥🔥🔥🔥🔥
Harmonize
Watakubariii III watakee wastakee lazimaaa wakubaroii
🔥🔥🔥🔥
Live performance Hakuna kitu
Unge enda Wewe mwenye nacho🤣🤣
Big up harmo broo
Wacha kujisahau ww dogo hiyo herini ya msalaba inakuwaje
ina maana yake ndo maan kavaa msalaba kila kitu kina maana yake bhn
Eleni waachieni akina Dada jeshi badilika huwa nakuelewa Sana'a acha hizo ww ni kioo
Dah
Kuimba live ngumu sanaaa!
Wewe unajua msiki
Never never
Hatariiii👈👈👈👈
Mhhhh kofia kubwa lakn umevaa herin za misalaba duhhhh kumbuka mwisho wake utaodoka dunian
Big up harmo
Hajui k2 huyo
Rusha roho zanini ikulu
Jeshii
Mbona haileweki?
Live kwenye hereni kabolonga
Sauti za k vant utazijua
❤🔥❤
Do!!! Rabana na msalaba sikioni mtihani
Jeshiiiiiiiiiiiiii
Jombaa bado sana live pia engilishi huwez imba live kos ngeli bado ujui vizur pia kama uliamua kuimba huo wimbo kama life stor yako usinge kiluka kipande ulicho muimba diamond koz ndio kabeba istoria yako yamaisha
Umevaa vizur huo msaraba uko maskioni vp unayumba harmonize
Jeshiiiii Kama jeshiiii
Sauti inakwaruza sana, pia hukupaswa kuvaa hereni boss @konde gang iwafikie hadi huyu CEO
💣💣💣🙏🙏
NA AJAPATA ZAWADI KAMA RAYVANNY 🤣🤣🤣🤣🤣
mali na watoto ni mtihani kwetu wazazi nasi ni masuuli juu yao acha kabisa hereni kusuka allah atuhifadhi sote alkamalu allah
Konde boy ww ndiyo msani wa tz na afrika ww ndiyo pacha wa ban boy
#AMEZINGUA
👍👍👍
Hiyo heleni ya msalaba ndiyo nn hujielewi ww hatakiwa havae dada yako bhana
kijana itaqllah mwogope allah kwanini anayoyakataza allah mwanaume anaejifananisha jinsia ya kike ghadhabu zake vipi juu yake na mwanamke anaejifananisha na jinsia ya kiume ghadhabu zake vipi yake hereni na wewe rajab wapi mnaelekea vizazi vyetu nyie mwoonyesha nini kwa kizazi kinacho chipukia dunia saa maishali akhera rudini ktk akhilaq ili tupate nusura wazazi enyi mlio amin watahadhirisheni ahlil zenu kuwa jiokoeni nafsi zenu na watu wenu na moto ambao kuni zake ni watu na mawe wanausimamia malaika wakali wenye nguvu hawamuasi mwenyezi mungu kwa amri zake
✌✌✌✌
Haya umeamua uvae msalaba haya , bwana
nice ......
Lihereni La nn sasa hilo
Hereni sasa kama mwanadada
🤣😛🤣
Umeumwa ww
Acha miheren kijana mzki unaujua
Kwa sababu ya hereni raisi .anakuona Kama choko flan hivi
Hamo n shanga kavaa mxli herini kvaa hhhh😀😀😀
Maheren yann jesh avai heren bhana
Sauti kaiharibu kwa smoke na pombe mikwaruzo hayasemeki ..herini mama anakuona huna madili ya kitanzania
Heleni sasa Kijana kama huyu wa kislamu kuvaa io heleni ya msalaba noma saana madili yetu halafu io heleni yenyewe hairuhusiwi kabisa kwa wanaume
Hamna ktu hapo...
Ulichoharibu hapo ni hiyo hereni halafu ni msalaba wakati wewe mwenyewe unasema swala tano Kweli msikiti gani unakuruhusu kuingia na hereni?
Simpendi huyu mahereni
Kuimba live achia Barnaba huwez kabisa
Angeenda huyo sasa kwanini hayupo hapo wamemwita sababu ana kitu
@@camistechnology2091 Huwez juwa ww Barnaba Classic fundi kwelikweli kwa kuimba live
kumbe anaasaut mbay ivi
😄😄