Instrumental arrangement esp. guitars, sounds similar to the late Franco Lwambo's OK Jazz as well as that in a number by the esterwhile Benga genre outfit, Victoria Kings 'B' Jazz, of the late lead guitarist, Collella Mazee!!
Zaita musica ya marehemu ndala kasheba aliyeimba mama nipe nauli nikamfuate monica amakimbilia Zambia na treni ya mizigo...lkn huu wimbo kautunga na kuimba king kiki akiwa na zaita ya kasheba
King kiki uyo kazi nzuri sana
Wimbo huu naupenda sana...keep adding more video tuzitizame
Wimbo safi sana huu mzee 🤴
Hii nyimbo yanikumbusha mbali sana. Nyumbani ni nyumbani. Za kale haziishi mafunzo na utamu👊🏿
Wazee wameisha jamani mungu amlaze pema peponi
Mungu akupe uponyaji Mzee King kikii.
Uko vizuri
Pumzika kwa amani legend 🙏
Pole Papa King kiki
Instrumental arrangement esp. guitars, sounds similar to the late Franco Lwambo's OK Jazz as well as that in a number by the esterwhile Benga genre outfit, Victoria Kings 'B' Jazz, of the late lead guitarist, Collella Mazee!!
Naupenda huu wimbo jaman
Mzee anajua sana huyu
Wimbo mzuri lakini kwanini uko vipande?!
Pumzika kwa amani hakika uliutendea haki mziki
✨
Hii bendi waitwaje?
king kikii
Bendi hii initwa la capital,wazee sugu
Zaita musica ya marehemu ndala kasheba aliyeimba mama nipe nauli nikamfuate monica amakimbilia Zambia na treni ya mizigo...lkn huu wimbo kautunga na kuimba king kiki akiwa na zaita ya kasheba
Alipokuwa ktk chati,nimesikia amefariki,ni kweli,namkumbuka ktk kitambaacheupe na mtoto Kaanza tambaa,dodoma nk,na wakati akiwa maquiz
Nani kakwambia kafariki yupo hai ila anaumwa
Mgonjwa tu
Rip kipenzi changu ktk mziki
Seaml
Vipi Cute girl.
Zaita bandi ya mzee kingi kiki hiyo
Huu wimbo yasemekana ni story ya kweli.
Yes ni kwa wakwe zake huko mbozi ameoa
@@hajimnubi4581Huyu mzee yuko vema sana kwenye utunzi wa nyimbo.
Namsinde mkulwee,geta znaongea,yelee uuwii
ù
1n8Up
Kuna wimbo unaitwa mateso sijui kama waufaham