Kaka habari...mimi napitia mahala pagumu sana nimezaa na mwanaume ambae hana malengo na mimi na kila nikikaa nae chini nikiulizia malengo yake na mimi hana muda wa kuongea chochote kwa sasa hatuongei wala hataki kujua kuhusu mtoto wake naumia sana na napitia kwenye mawazo mengi sana na sina hata kazi kaka sina kipato chochote kile kaka sina pakutoa pesa namtegemea yeye ila ndio anazidi kuniumiza naomba unisaidie kaka.
@@heriethtenga9069 pole sana dada Nimejisikia kuumia sana ,Mungu akutie nguvu Jitahidi utafute kazi yoyote ya kukuingizia kipato usimtengemee tena mtu,hii itakupa amani na furaha kiasi fulani najua unaumia sana sababu unamtegemea huyo mtu Simama imara una nguvu na unaweza kufanya hivyo, fanya kwabidii ili mtoto wako ajivunie wewe na siku moja atakutafuta huyo mwanaume Usiache kumuomba Mungu atakusaidia sana.
Asante nimehisi kama nimetua mzigo Dr asante napenda kukufatilia zaidi ili unisaidie zaidi nipo kwenye kipindi kigumu sana
Asante Mungu akubariki na familia yako usipate maumivu tuliyopitia ,Asante Tena na Tena,
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Kaka Criss MUNGU akubariki Sana,,unaponya watu wengi Sana SEMA bas tu hatuwez kufika krb nawe kukushukuru
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Umeniponya Dr. Mungu akubariki mno na ninakuombea uendelee kuwepo tusikose ushauri wako
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 yah nimesubscribe Dr.
Asante sana
Shukran doct NAKUPENDA Kwa ajili ya mungu be blessed 💖💖🙏tunajifunza mengi
Best Doctor. Mungu akubariki mnooo
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante
Amen Nashukuru sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 nimesha subscribe dr.
Ahsante kwa masomo yako Bora
Ahsante
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Dr. Naomba kuwasiliana na wewe ninashida najiona ninamajeraha ya moyo yananitesa sana
Tupigie 0713407182
Aamiin
Dr naomba namba za cm Nina shida nisaidie
Asante kwa kutuhudumia.ninashida naomba kuwasiliana nawe private
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
0713407182
Thankyou Doc. How can i consult you on how to overcome this especially if it is continuos.. one on one. Kindly advise.
Call 0713407182
Kaka habari...mimi napitia mahala pagumu sana nimezaa na mwanaume ambae hana malengo na mimi na kila nikikaa nae chini nikiulizia malengo yake na mimi hana muda wa kuongea chochote kwa sasa hatuongei wala hataki kujua kuhusu mtoto wake naumia sana na napitia kwenye mawazo mengi sana na sina hata kazi kaka sina kipato chochote kile kaka sina pakutoa pesa namtegemea yeye ila ndio anazidi kuniumiza naomba unisaidie kaka.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 ndio nimefanya hivyo tangu muda mrefu
@@heriethtenga9069 pole sana dada Nimejisikia kuumia sana ,Mungu akutie nguvu
Jitahidi utafute kazi yoyote ya kukuingizia kipato usimtengemee tena mtu,hii itakupa amani na furaha kiasi fulani najua unaumia sana sababu unamtegemea huyo mtu
Simama imara una nguvu na unaweza kufanya hivyo, fanya kwabidii ili mtoto wako ajivunie wewe na siku moja atakutafuta huyo mwanaume
Usiache kumuomba Mungu atakusaidia sana.
Pole sana
Hiw can i contant you napitia pagumu sanaa kwa sasa kaka piah nina umri mdogo sana lkni napitia magumu sanaa
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Piga 0713407182
Sawa nitapiga
Kaka garama zako nikubwa lkn sijui nafanyaje na mie ni mwanafunzi sina wa kunisaidia kwenye izo gharama kaka
Naomba kuwasiliana na wewe Doctor na tatizo la nafsi nahisi naitaji ushauri wako tafadhali
Mungu Wa mbinguni asikupungukie, Pamoja Na uzao wako wote. Aendelee kukupa afya njema. Barikiwa sana.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Pole
Mbona naona unaongea na viti tu !!!! Somo kubwa kiac hicho alaf watu hamna
Ilikuwa ni live coverage zaidi,
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿