Dr. Chris Mauki: Jinsi ya kushuhulikia Majeraha ya Nafsi. Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 43

  • @terezaraphael7693
    @terezaraphael7693 3 года назад +2

    Asante nimehisi kama nimetua mzigo Dr asante napenda kukufatilia zaidi ili unisaidie zaidi nipo kwenye kipindi kigumu sana

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Asante Mungu akubariki na familia yako usipate maumivu tuliyopitia ,Asante Tena na Tena,

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 года назад

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @dapriccy3574
    @dapriccy3574 3 года назад +1

    Kaka Criss MUNGU akubariki Sana,,unaponya watu wengi Sana SEMA bas tu hatuwez kufika krb nawe kukushukuru

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @stellahmelkiony8890
    @stellahmelkiony8890 3 года назад +3

    Umeniponya Dr. Mungu akubariki mno na ninakuombea uendelee kuwepo tusikose ushauri wako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @stellahmelkiony8890
      @stellahmelkiony8890 3 года назад

      @@ChrisMauki1 yah nimesubscribe Dr.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      Asante sana

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад

    Shukran doct NAKUPENDA Kwa ajili ya mungu be blessed 💖💖🙏tunajifunza mengi

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 3 года назад +1

    Best Doctor. Mungu akubariki mnooo

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mutwalesylvie1305
    @mutwalesylvie1305 3 года назад

    Asante

  • @Jastus100
    @Jastus100 3 года назад +1

    Amen Nashukuru sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @Jastus100
      @Jastus100 3 года назад

      @@ChrisMauki1 nimesha subscribe dr.
      Ahsante kwa masomo yako Bora

  • @ceciliasadala6220
    @ceciliasadala6220 3 года назад

    Ahsante

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lecross.40
    @lecross.40 3 года назад

    Dr. Naomba kuwasiliana na wewe ninashida najiona ninamajeraha ya moyo yananitesa sana

  • @aishajumanne2698
    @aishajumanne2698 3 года назад

    Aamiin

  • @priscapili4938
    @priscapili4938 2 года назад +1

    Dr naomba namba za cm Nina shida nisaidie

  • @graceshella9416
    @graceshella9416 3 года назад

    Asante kwa kutuhudumia.ninashida naomba kuwasiliana nawe private

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      0713407182

  • @suemundati1765
    @suemundati1765 3 года назад

    Thankyou Doc. How can i consult you on how to overcome this especially if it is continuos.. one on one. Kindly advise.

  • @heriethtenga9069
    @heriethtenga9069 3 года назад +1

    Kaka habari...mimi napitia mahala pagumu sana nimezaa na mwanaume ambae hana malengo na mimi na kila nikikaa nae chini nikiulizia malengo yake na mimi hana muda wa kuongea chochote kwa sasa hatuongei wala hataki kujua kuhusu mtoto wake naumia sana na napitia kwenye mawazo mengi sana na sina hata kazi kaka sina kipato chochote kile kaka sina pakutoa pesa namtegemea yeye ila ndio anazidi kuniumiza naomba unisaidie kaka.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @heriethtenga9069
      @heriethtenga9069 3 года назад +1

      @@ChrisMauki1 ndio nimefanya hivyo tangu muda mrefu

    • @Jastus100
      @Jastus100 3 года назад

      @@heriethtenga9069 pole sana dada Nimejisikia kuumia sana ,Mungu akutie nguvu
      Jitahidi utafute kazi yoyote ya kukuingizia kipato usimtengemee tena mtu,hii itakupa amani na furaha kiasi fulani najua unaumia sana sababu unamtegemea huyo mtu
      Simama imara una nguvu na unaweza kufanya hivyo, fanya kwabidii ili mtoto wako ajivunie wewe na siku moja atakutafuta huyo mwanaume
      Usiache kumuomba Mungu atakusaidia sana.

    • @janechaula2870
      @janechaula2870 11 месяцев назад

      Pole sana

  • @heriethtenga9069
    @heriethtenga9069 3 года назад

    Hiw can i contant you napitia pagumu sanaa kwa sasa kaka piah nina umri mdogo sana lkni napitia magumu sanaa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
      Piga 0713407182

    • @heriethtenga9069
      @heriethtenga9069 3 года назад

      Sawa nitapiga

    • @heriethtenga9069
      @heriethtenga9069 3 года назад

      Kaka garama zako nikubwa lkn sijui nafanyaje na mie ni mwanafunzi sina wa kunisaidia kwenye izo gharama kaka

  • @boniphacenuru288
    @boniphacenuru288 3 года назад +2

    Naomba kuwasiliana na wewe Doctor na tatizo la nafsi nahisi naitaji ushauri wako tafadhali

    • @hellenkombe8835
      @hellenkombe8835 3 года назад

      Mungu Wa mbinguni asikupungukie, Pamoja Na uzao wako wote. Aendelee kukupa afya njema. Barikiwa sana.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @janechaula2870
      @janechaula2870 11 месяцев назад

      Pole

  • @hapsaally1860
    @hapsaally1860 3 года назад

    Mbona naona unaongea na viti tu !!!! Somo kubwa kiac hicho alaf watu hamna

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      Ilikuwa ni live coverage zaidi,

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 года назад

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿