KUTOKA KUWA MWALIMU HADI KUWA MUIGIZAJI, CLAM NI BOSS WANGU,BAILA ASIMULIA HISTORIA YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 171

  • @skysportsandEntertainment717
    @skysportsandEntertainment717 Год назад +19

    Huyu muandishi ni very talented akipata nafasi ya kuajiliwa media kubwa zaidi kama Azam tv clouds wasaf ndo mutaelewa nn anacho. Anajua

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Год назад +21

    Uvae vizuri huyo bailam amuige Rich rich inafaa

  • @danielngove
    @danielngove Год назад +12

    I just love this guy...yupo real sana na anajua kuact

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад +13

    Anajua sana bailam mashaallah

  • @amidjaja5695
    @amidjaja5695 Год назад +12

    Bailam nampenda sana anajielewa

    • @zainzain1163
      @zainzain1163 Год назад

      Bailam nampenda sana akiwa na vailet

  • @leonardadd
    @leonardadd Год назад +11

    Bailam nimekubali ukarimu wako,madam ana maswali ukikosea utavuruga👍

  • @saidikapacha
    @saidikapacha Год назад +8

    Jamaa namfananisha na Single Mtambalike. Anajua sana

  • @lightnessgoodluck8123
    @lightnessgoodluck8123 Год назад +7

    Anajuaa Sanaa huyu yaani ana kipaji automatically ana hisia za kulia na anajua kuchezaa nafasi zote anazopewaa all the best

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 Год назад +12

    Nakupenda sana❤️❤️❤️❤️

  • @drmdee
    @drmdee Год назад +5

    Mbn mwandxh hujui kuhoj unachanganya mtiririko haujakaa vzl

  • @adamshirima5880
    @adamshirima5880 Год назад +10

    Mbona jamaa anafanana na Single Mtambalike!!

  • @DanteAhDiTicha
    @DanteAhDiTicha Год назад +3

    Nakupenda Kakangu mkubwa umenifumbua macho

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw Год назад +3

    Uyo dad mwandishi nampenda San anavyooongea Yan dah mama mae😊

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz Год назад +18

    Kama unakubali uyu jama ni noma weka like zake 1k na mtangazaji saiz 📌👏

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Год назад

    Hongereni sana twakukubali sanaaaaaaa bailam Mungu azidi kukuongoza vyema ishaallah

  • @aysha9932
    @aysha9932 Год назад +6

    Alaf uwatafte rahma na Kim pia uwahoji🥰

  • @Abdul-latifAdam
    @Abdul-latifAdam Год назад +2

    Mshkaji namuelewa sana yupo serious kweli kwwnye kuigiza respect broo

  • @abigaelchege2059
    @abigaelchege2059 Год назад +5

    Nampenda Sana huyu kakaa ...huku Kenya ananikosesha usingizi jamani

  • @jacquesmulalirya1704
    @jacquesmulalirya1704 Год назад +7

    Mwandishi mimi nakupenda haki from kongo 🇨🇩

  • @ihuriroGroup
    @ihuriroGroup Год назад +2

    Love from Burundi

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 Год назад +2

    Uyu mwamba Ana juwa sanaa

  • @sadamhuseni
    @sadamhuseni Год назад +4

    Daah huyu jamaa namkubali sana, aiseeeeee

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 Год назад +8

    Nampenda sana bailam

  • @margretnjuguna2949
    @margretnjuguna2949 Год назад +6

    Bailam ako sawa namkubali sana

  • @lameckmwansa4785
    @lameckmwansa4785 Год назад +3

    Kweli wamefanana baraha na sauti pia

  • @jackierama1817
    @jackierama1817 Год назад +15

    Nilikuwa namsubir kwa ham huyu bailam 🤞🤞 mwamba anajua mpk bs

  • @YusraYusra-hg7wu
    @YusraYusra-hg7wu Год назад +1

    Mashallah napenda Sana bahlam💓💓

  • @juvenalselemani42
    @juvenalselemani42 Год назад +1

    Unajua unajua unajua kwel

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +7

    Bailam anajielewa wengine kwa vile ni comedi hata wakihojiwa wamekaa kikomed

  • @julianayesayamwailolo8240
    @julianayesayamwailolo8240 Год назад +1

    Mtangazaji tamka maneno uzuri bhanaa si Velo ni Vero

  • @ndogolofadhila6203
    @ndogolofadhila6203 Год назад +1

    Nakupenda tu we mkaka

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 Год назад +3

    Teacher Nasri mwalimu wa mwanagu aliemfundisha a e i o u St. Prince Mbande

  • @ramirezsaane7444
    @ramirezsaane7444 Год назад +1

    Upo vizuri mwamba tafaut na wengine ambao mbwembwe nyingi na majigambo

  • @maisara1275
    @maisara1275 Год назад +1

    Nassir national nasli

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Год назад +9

    Likogo
    😂😂😂😂😂yaan wewe dada jitahidi maana bado safari ni ndefu hata hiyo kofia mmmmh. Sawa bwana

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Год назад +3

      uyu tutaenda nae hiv hiv mpk tutazoea

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 Год назад

      🤣🤣🤣🤣mi kofia tu

    • @Halimamaere
      @Halimamaere Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂Ntamupea ingene abadili

  • @samsonmutuku1803
    @samsonmutuku1803 Год назад +5

    Nice job jamaa wetu watching from Kenya

    • @magrethtuma5843
      @magrethtuma5843 Год назад +1

      Ila huyu baba kumbe yuko serious kweli mi najuag ni uigizaji tu

  • @عائشهعبدالله-ي7ب
    @عائشهعبدالله-ي7ب Месяц назад

    Bhailam yuko sawa kabisa namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤😂😂😂

  • @alexkweka3104
    @alexkweka3104 Год назад +1

    Uko poa kaka nakubali

  • @lilianmoyo316
    @lilianmoyo316 Год назад +2

    Kaka waigiza vizuri sana nakupenda sana

  • @bitricekamyomoza
    @bitricekamyomoza Год назад +1

    Apunguze bei

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +13

    Nampenda huyu baba jamani

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 Год назад +7

    Mashavuuuuuù

  • @leonardodeogratiasdeograti697
    @leonardodeogratiasdeograti697 Год назад +4

    Jamaa namkubari 🔥🔥🙌

  • @naomimwampondele3905
    @naomimwampondele3905 Год назад

    Mi nampenda bailam usiliasi wake anaonyesha ndoualisia wake yupo vzr

  • @suhailaabdul2579
    @suhailaabdul2579 Год назад +2

    Mwamba Namuelewa sana na ni Rich ajae

  • @o.ballek.e4265
    @o.ballek.e4265 Год назад

    My favorite Aaaaah sheeeeenziiiiiiii😂😂I like that piece of your shenzi😁😁

  • @lulutweve6057
    @lulutweve6057 Год назад +3

    Nakupenda sana wewe kaka

  • @wemambonge6256
    @wemambonge6256 Год назад +1

    Yuko vizuri saana huyu kaka

  • @juventusjeremiah-fv8mf
    @juventusjeremiah-fv8mf Год назад +1

    Duh sista uko vizuli in maswali umeolewa lakin

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Год назад +1

    Muoji na mtipe dada

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc Год назад +2

    Huy kaka mm napendaga yuko makin sana na kaz yake

  • @bekawasimba6854
    @bekawasimba6854 Год назад +2

    Good work

  • @SWEETGALKHAN_001
    @SWEETGALKHAN_001 Год назад +3

    This guy is my crush to be honest 😅💯💯❤📌love you from Kenya

  • @halimaahadi6539
    @halimaahadi6539 Год назад

    Bailam anafaham sanaa aisee

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Год назад +1

    Oya mbengo.kwn uyo dada kichwani ana vipele au vip

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Год назад +38

    Mwandishi unatupotezea radha na hiyo kofia we ni mwanamke suka mama Achan na hayo makofiah ya kizee wara hayakupendezi

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Год назад +1

    Mtangazaji sema Mara siyo Mala,Nassir si Nassil.

  • @jemamsham3355
    @jemamsham3355 Год назад +2

    Si ww2 kaka wamakonde wote niwazaifu

  • @maisara1275
    @maisara1275 Год назад +1

    Nassir

  • @tanzngentv3336
    @tanzngentv3336 Год назад

    Nakupenda sana mdgo wang ray upo bike honger uandish unaufanyia hak

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 Год назад

    Mtangazaji acha maringo maana inakufanya uchanganye kwenye R unaweka L

  • @magretcosmas-xg6nz
    @magretcosmas-xg6nz Год назад +1

    Dada iyo kofia unavaa Kila siku jaman badilisha hata nyingine basi au unazo kumi afu rangi ni moja

  • @Bongomtaanitv
    @Bongomtaanitv Год назад +1

    Pokeà pongezi gwiji wangu 🎉

  • @mathayolaurence9226
    @mathayolaurence9226 Год назад

    THE BIG BOSS mmeua

  • @aysha9932
    @aysha9932 Год назад +3

    Kuuliza c ujnga baba asma Ndo huyo kicheche😃 ama n nan mwngne

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 Год назад +1

    Nataka kujua huyu jamaa machozi yatoka wapi kwenye maigizo

  • @MwendaJnr
    @MwendaJnr Год назад

    Hongera sana bailam

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 Год назад

    Umefanana kwa mbali na rich rich

  • @Mary_sup
    @Mary_sup Год назад

    This is my request to mbengo tv,Kuna mdada fulani ana shape,makalio makubwa hivi alifanyaga kazi na Steve mweusi tokea zamani wakiwa na husna,embu mtafute tunatamani sana kusikia kutoka kwake.

  • @reginaeca8975
    @reginaeca8975 Год назад +3

    Kazi nzuri

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Год назад

    Namkubali sana bailam

  • @ramadhanichuka3583
    @ramadhanichuka3583 Год назад

    Ntafute tupge stor za Congo

  • @RobatiKamili
    @RobatiKamili Год назад

    Pamoja sana broo

  • @abichanabii8696
    @abichanabii8696 Год назад

    Sana sana

  • @johnchitete
    @johnchitete Год назад +3

    Namuona Single mtambalike wa siku zijazo 😅😅

  • @ayushjhay4361
    @ayushjhay4361 Год назад +1

    Kwaiyo kicheche ni bake asma

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud Год назад +1

    Ley mwambie Steven mweusi arudi kushabikia yanga Kama alivyorudi nassib mondi

  • @mosesniragira853
    @mosesniragira853 Год назад +3

    Bailam nilikua nakufananisha na single mtambalike, kumbe sio!!! Duuuh nilidhani kua ndio wew ulicheza Katika filam ya #Sabrina 😅😅😅😅🙄😅🙄

  • @youngtwite2451
    @youngtwite2451 Год назад

    Nakukubalikk

  • @simonmachupa6767
    @simonmachupa6767 Год назад +1

    Anaweza sana

  • @lovenesskyungai7882
    @lovenesskyungai7882 Год назад +2

    Dada iyo kofia ni ya mkataba

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Год назад +3

    We dada iyo kofia

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Год назад +1

      Kofia imekuw kofia🤣🤣

  • @salmaramadhan-yj2wl
    @salmaramadhan-yj2wl 8 месяцев назад

    Mitumba mikokoteni😂😂😂😂 we bailam bnh

  • @maxmilianimwakaniki2671
    @maxmilianimwakaniki2671 Год назад +1

    Bailam huna baya kaka unajua mpaka unakera nakukubar sana

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Год назад +1

    Nakkubali sn bailam

  • @mussamuemede-oi6fc
    @mussamuemede-oi6fc Год назад

    nankubali clalam

  • @ezekielmkama905
    @ezekielmkama905 Год назад

    Mtangazaji uwe unampa nafasi ya kujibu

  • @jenistermallya615
    @jenistermallya615 Год назад +1

    Bailam 🔥

  • @annabelkadzo5470
    @annabelkadzo5470 Год назад +2

    Dada unakaaa mgumu c angalau usuke tukuone

  • @AYUBU.MSANGAWALE
    @AYUBU.MSANGAWALE Год назад +4

    Sana

  • @alencleophace2182
    @alencleophace2182 Год назад

    Wewe dada mtangazaji uko na maswali mazuri technically

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Год назад +10

    Mashallah this guy knows real acting. I like him

  • @shadakpotos482
    @shadakpotos482 Год назад +1

    Uyu dada mtangazaji namu kubali sana😍✨❤ na napenda matcho👀 yako ni mazuri sana😍😍😍❤❤❤

  • @salmamkwenda2988
    @salmamkwenda2988 Год назад +1

    Yaan kama Mie tu mtoto Wa Kwanza na mwwisho Kwa mama

  • @emmasoncosmeticshub
    @emmasoncosmeticshub Год назад

    Sitaki dhambi.. mwandishi hamna kitu… 🙏🏾

  • @shaibusaidimusa240
    @shaibusaidimusa240 Год назад

    Mtangazaji una maswali madhaifu sana ebu jitahidi kuuliza maswali ya msingi ili tupate kujifunza nasisi

  • @ramajuma4063
    @ramajuma4063 Год назад +1

    Baba tengenezeni movies ya love full najua itashika sana yani scene zako sakutweswa kimapenzi siko Sawa

  • @pauljosseph
    @pauljosseph Год назад

    Mwandishi ukivua koffia appo utaeleweka asa mi sjakusoma kabisa wemzul vua vaa / suka please 🙏

  • @ezekielmkama905
    @ezekielmkama905 Год назад +1

    Unachoshangaaa ni ualimu au vp na ww mtangazaji bhana

  • @naomisamwel18
    @naomisamwel18 Год назад +1

    Dda badilisha rang ya kikofia na unarudiarudia maneno yan mtu anakwmbia kitu unarudiarudia kuuliza