Pole Saana Izii Yote Kwa Yote Cmama Kung'uta Vumbi Omba Msamaha Kwa Wazazi Wako Muombe Saana M/Mungu Akusamehe Na Akufungulie Milango Ya Heri Baraka Na Mafanikio
Izy pole.hilo lilikua darasa.alafu wewe ni mtumishi mzuri sana wa Mungu.anza kumtumikia Mungu atakufanya mpya na maisha yako yatakua mapya ya baraka tele.una kitu cha Mungu kijana.
Wewe umeingia Cho Cha like, yule mwanamke alikuwa sio saizi yako kwa pesa Wala umri. Wazazi walikuwa hawako radhi na hiyo ndoa,he matokea yake umeyaona. Mzazi ni mzazi tu,tunapaswa kuwasikiliza.polebusirudie tana
Mwanangu Mimi nimeumia Sana pamoja na kumtetea Sana ukakosana na wazazi wako lakini malipo yako ndiyo kuzalilishwa umeona? hebu Rudi kwa wazazi wako uwaombe msamaha utapata mafanikio
Dah pole sana kijana ila kiukweli tafuta maisha mengine kupenda mserereko sio kitu kizuri hata kdg jamani............angalia unavyoumbuka kijana wa watu na ungewasikiliza wazazi wako haya yasingekukuta kabisa sio siri jamani,Mungu akupe nguvu siku zote ila jifunze kutokana na maisha haya ...Vijana wengi mnapenda sana kulelewa na kutokupenda kufanya kazi,ungekuwa hata bodaboda ni mara mia kuliko kuparamia mijimama..........
Pole ndugu yangu wanawake wengi wao wanadanganywa na wajinga wenzie.mungu akuinue umejisusa kiume mungu atakupandisha na wanaume tujifunze na wamama zetu tujifunze kupitia hiki Kati yahao mwenyemakosa atalaaniwa kuanzia Sasa natoa baraka kwamwenye haki mwajina la yesu Kristo Arie hai amina
Pole sana kijana. Kina mama wengi watu wazima watumia nyota za vijana hasa anapokua ameshamaliza haja zake kwako. Nenda kanisani ukatubu ujisalimishe kwa Mungu ili huyo mama asiendelee kutumia nyota yako.
Niseme pole sana kaka na wahenga walisema siku zote mtegemea M.mungu ktk kila hali ya maisha yake, pekee M.mungu ndie muokozi kwa kila aliemuamini. M.mungu atakupa faraja Inshallah kaka ,usihuzunike mno mpaka ukakufuru.
😢😢😢😢😢😥😥😥heeeei heeei waaaah Pole saana kaka izee uko mdogo utapata mke wa Rika Yako usinganganie yule mwanamke kabisa ,Mungu akupee mke mwema inshaAllah kutoka mbinguni waah makubwa mwanamke hajiheshimu yule 😢😢😥😥😥🥺🥺🥺🤔🤔
Kaka Cha msingi kaombe msamaha kwa wazazi na ndugu zako kila k2 kitakiwa sawa tu.mengn pambana Mungu hata kuacha takubarik hakika na pia jiweke sawa na Mungu wako
We dogo ni mpumbavu sana,hujui kwamba hiyo ndoa haikubalikiwa na wazazi wako?Pumbavu sana wewe.Mzazi ni Mungu wako wa pili,duniani.Pumbavu waheshimu baba na mama yako upate maisha marefu na heri duniani.
pole sana Izo hataa hivyo amezaa ako na watoto niliona hadi niko sema mbona hauna furaha anyway mungu ni mwaminifu utapata vingi na utafanikiwa nakuomba usirudi tena kwa huyo mama kabisaa atakuua mungu amekukomboa hataa akikupigia magoti don't try I wish you all the best in your new life utafanikiwa tena zaidi hiyo ni mutiani tu mwanamke asiye kuwa na adabu wala heshima kwa watoto wa watu muombe mungu atakupigania kwa kila Jambo 💞🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Duuh pole saan kijan muombe mungu atakufungulia Milango ya rizki huyo mama alikuwa anakudharau na alitak umaarufu kupitia ww ajulikane mitandao kajivua nguo mpk watoto wake wamemzarau pole saan
Siku zote waenga wana sema asie sikia la mkuu mwisho u unjika mguu ulia mbiwa na wazazi wako Razi ya wazazi iyo rudi kigoma ukapate baraka za wazazi wako pole sana ndugu yangu
Wewe kijana pole Sana lakini wamwela hawatuliagi na mume moja ww unafikiria huyo mwenzio aliotoka hakupenda kuishi na watoto wake alimshindwa kwasababu ya umalaya
Wanasema mtoto wa kike ukiolewa ukubali kulala bila nguo sasa mtoto wa kiume ukikubali kulelewa ukubaliane na hizo changamoto...na mi nilijua tuu hakuna ndoa hapo kirikuu kuivuta SKANIA ni lazma iunguze klachi mzee pambana mdogo wangu maisha so rahisi hivo.
kwanza kabisa ukiwa katika hali hiohio, nenda kaombe msamaha kwa wazazi wako na ndugu zako ndipo uanze maisha yakupambana upya baraka siku zote zinatoka kwa Mungu na kwa wazazi, ukisamehewa na wazazi hata mafanikio utayapata na msaada utapewa kikubwa kaombe samahani kwa wazazi ujipatanishe nao na kwa Mungu wako
Huyu kaka ni mwongo sana haukuw ndoa ile ilikuwa ni njia ya kumsaidia yey atoke kimaisha ndio shida yakjitoa kusaidia vijana malipo ni kukuzalilisha ninachokusii kijana mwombe yule mama msamaha na uangalie njia nyingine ya kutoka maana lengo ni kukusaidia
Kumbe uliisikiliza ile clip ya yule mama,maneno ya yule mama na maneno yake kijana ni tofauti sana,kijana alikuwa anatafuta kiki na apate jina awe kama diamond....
Asie sikia LA mkuuu huvunjika guu uligombana na mama ako mzazi na baba ako Leo kikoapi pole Sana dogo jifunze kitu Sasa kaombe msamaha kwa baba na mama Kisha mambo yako yatanyooka tuu pole dogo
Make sure una test blood Yako,afu kwanza shukuru god kukuonyesha mapema kwani mengi mabaya yalikua yanakuja,sahau Kila kitu hata iyo mimba xio Yako,get back 🏠 katafte kiki ya kuanza nayo Mr we Bado Young km mm.
Mbn nmeumia hv huyu Kaka nilipenda sana caple yao...ila huyu mama mungu amlaaan kabsa 😢😢😢😢....pole na vuta subra utapata ataekulea na kukuamn Mana wenye upendo wa zat tupo wachache
pole san kaka.mm hayo ilinikuta dar es salaam.ila huyu binti alikuwa ana miaka 22 tu.ulichosema ni ya maana sana.mwanamke akishazoea tabia chafu hauwezi kumbadili hata ufanyaje.wa kwangu tuliachana hata baaday ya kumnunulia gari.mwanamke hata umpe nn kama ni mbovu ni mbovu tu hawezi kubadilika .nikisafiri magari ya wanaume wanapishana ilikuwa ni aibu.kutokana na story yako iwe fundisho kwa watu wengine mwanaume kama mwanaume usimtegemee mwanamke .tafuta mali yako sio kutegemea maisha kwa mwanamke
Subhanaallah ulikuwa unavumilia vipi wazazi wako WALIKUWA hawataki usipo sikia la mkuu huvunjika mguu wakina mama acheni kumdanganya watoto wa wenzenu kujitia aibu tu
Ndio maana mungu amesema alaniwe mtu yoyote anaye mtegemea binadamu iwe kwa kazi yake au uzuri wake. Kwanza binadamu haja kamilika pili ana kufa mda na saa isiyo julikana. Kama unatafuta maisha ya furaha kupitia mahusiano ya ndoa na mahusiano ya kawaida . Kaa ukijua mapenz nizaidi ya bomu la nyukilia.ipo siku utajuta kuzaliwa . watu wamepoteza maisha kwa ujinga huo . mpende mungu tu inatosha .
Dunia ya leo ni zaidi ya dodoma na gomora. Usitegemee mahusiano ya kuto kusalutiwa katika kizazi hiki. Ndoa ilikuwa ya adamu na hawa pekee yao kabla hawaja muasi mungu. Baada ya kumuasi mungu adamu na hawa. Amani ya ndoa na maisha yote kwa ujumla imekuwa ni virugu mechi
Wazazi walisema mtoto hawana kinyongo nae akiachana na huyu mwanamke hakuna matatizo watampokea na mtoto wao walimkana kwa sababu ya mwanamke na walisema akienda nyumbani akiwa peke yake watampokea wazazi wake hawana shida na mtoto wao watampokea
Inamana uyu kijana hakupangiwa ,,na mungu alichukia kitendo cha ndoa io,,, so ilitokea ivyo kimfumania ILa mke wake kamili yupo sehem ingine labda ,....pia maneno ya wazazi yalishika
Daa pole sana mdg wangu aziii yule mama kumbee nilishenzi sanaa achana naloo huko kawaombe wazazi msamaha nauanze maisha yako mengine mungu atakupa mke mwema na mzr tuu mwenye hofu ya mungu 😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Pole Saana Izii Yote Kwa Yote Cmama Kung'uta Vumbi Omba Msamaha Kwa Wazazi Wako Muombe Saana M/Mungu Akusamehe Na Akufungulie Milango Ya Heri Baraka Na Mafanikio
Izy pole.hilo lilikua darasa.alafu wewe ni mtumishi mzuri sana wa Mungu.anza kumtumikia Mungu atakufanya mpya na maisha yako yatakua mapya ya baraka tele.una kitu cha Mungu kijana.
Mungu atakupa wa kufanana na wewe. You are still very young and handsome boy.
Pole kijana hata yeye watoto wake watafanyiwa hiana hii ni dunian tu
Wewe umeingia Cho Cha like, yule mwanamke alikuwa sio saizi yako kwa pesa Wala umri. Wazazi walikuwa hawako radhi na hiyo ndoa,he matokea yake umeyaona. Mzazi ni mzazi tu,tunapaswa kuwasikiliza.polebusirudie tana
Mwanangu Mimi nimeumia Sana pamoja na kumtetea Sana ukakosana na wazazi wako lakini malipo yako ndiyo kuzalilishwa umeona? hebu Rudi kwa wazazi wako uwaombe msamaha utapata mafanikio
Huyo mama alikuwa akitaka kukutumia tu. Mungu alikuepusha sana 😢 pole mkaka,
Pole sana kakangu Mungu akupe subra
Pole dogo,,tunajifunza kutokana ,Na makosa,usirudie makosa
Kakangu iziii kapambane,,,pili nenda ukapimwe afya asije akakuletea maradhi ya maisha,,,tafuta vibarua bambana kimaisha na ipo siku moja atakuheshimu
Aamiin🙏🏼😭
Dah pole sana kijana ila kiukweli tafuta maisha mengine kupenda mserereko sio kitu kizuri hata kdg jamani............angalia unavyoumbuka kijana wa watu na ungewasikiliza wazazi wako haya yasingekukuta kabisa sio siri jamani,Mungu akupe nguvu siku zote ila jifunze kutokana na maisha haya ...Vijana wengi mnapenda sana kulelewa na kutokupenda kufanya kazi,ungekuwa hata bodaboda ni mara mia kuliko kuparamia mijimama..........
Aisee Pole Sana ndugu yangu maisha ndivyo yalivyo, muachie Mungu yey e peke yake atakulipia
Ndio mkamage siku nyingine kuchezea nyuchi za watu wazima lazima laana ikuvae,pole pambana kivingine maisha yaendelee
Aisee pole Sana.......Allah Atakufanyia Wepesi In sha Allah.
Pole ndugu yangu wanawake wengi wao wanadanganywa na wajinga wenzie.mungu akuinue umejisusa kiume mungu atakupandisha na wanaume tujifunze na wamama zetu tujifunze kupitia hiki Kati yahao mwenyemakosa atalaaniwa kuanzia Sasa natoa baraka kwamwenye haki mwajina la yesu Kristo Arie hai amina
Nimeshukuru umeachana nae ni mwenyezi mngu ndio alikutia huko sasa angalia sana wazazi oa wa rika lako achana kuburuxa mijimama
😃😃😃😃eti nyumba yangu ,,,Ni nyumba yako au ni yake ?
Uyo Bibi Achana nae kacheki afya yako Malaya Tu uyo asikopotezee mdae
@@yolandachuwa5554 huyu dogo ni mario, anapenda kitonga..anaishi kwa mwanamke..huyo mwanamke ndo alikuwa anamlisha, kumhifadhi,kuvalisha.
acha ujinga fanya kazi mmezoea kulelewa
😂😂😂
pole sana ndugu yangu M/mungu atakulinda kwa nguvu zake zote. Aamiin🙏😭
Na huyo mwanamke M/mungu hamlaani kwa upumbavu wake
Pole sana kijana. Kina mama wengi watu wazima watumia nyota za vijana hasa anapokua ameshamaliza haja zake kwako. Nenda kanisani ukatubu ujisalimishe kwa Mungu ili huyo mama asiendelee kutumia nyota yako.
Pole mtoto, Naomba usisahau kwenda kwa wazazi, Nenda kabla ya yote ukaombe msamaha ili upate baraka zao ndipo ukaanze maisha mapya.
Pole Sana mdogo wangu siku nyingine sikiliza sauti ya wazazi Ila usiogope utafanikiwa tu na utampata mke mzuri kwny heshima
Hongera sana mdogo wng, steling hauawi tafuta mmama mwingine mpaka kieleweke ipo sku utampata wa maisha yako. Mtangulize MUNGU
Niseme pole sana kaka na wahenga walisema siku zote mtegemea M.mungu ktk kila hali ya maisha yake, pekee M.mungu ndie muokozi kwa kila aliemuamini. M.mungu atakupa faraja Inshallah kaka ,usihuzunike mno mpaka ukakufuru.
Duh mama mshenzi sana yule mwenyezi mungu atakulipia mwanangu
Pole Sana kaka mung yup nenda kwa wazazi ukaombe msamah utafanikiwaa tu achan na huy mpmbavuu
😢😢😢😢😢😥😥😥heeeei heeei waaaah Pole saana kaka izee uko mdogo utapata mke wa Rika Yako usinganganie yule mwanamke kabisa ,Mungu akupee mke mwema inshaAllah kutoka mbinguni waah makubwa mwanamke hajiheshimu yule 😢😢😥😥😥🥺🥺🥺🤔🤔
Pole sana huyo alikua tapeli,ashindwe pepola mwanamke huyo,ww ungali mdogo utaoa warikalako🇰🇪🇰🇪.
Kaka Cha msingi kaombe msamaha kwa wazazi na ndugu zako kila k2 kitakiwa sawa tu.mengn pambana Mungu hata kuacha takubarik hakika na pia jiweke sawa na Mungu wako
Good, and thanks to God. Hata kama siwajui Asante Mungu,,,, kwa huyu kijana
pole sana ndugu yangu M/mungu atakulinda kwa nguvu zake zote. Aamiin🙏🏼😭
Na huyo mwanamke M/mungu hamlaani kwa upumbavu wake
Hawa wa mama lo wanaribu vijana wadogo.
@@josykitua505 kweli kabisa
We dogo ni mpumbavu sana,hujui kwamba hiyo ndoa haikubalikiwa na wazazi wako?Pumbavu sana wewe.Mzazi ni Mungu wako wa pili,duniani.Pumbavu waheshimu baba na mama yako upate maisha marefu na heri duniani.
@@josykitua505 ilibidi ashtakiwe huyo mama kabakaa
😭😭😭😭😭 duuuuh pole kijan mdg ,umetukanwa ,umetengwa na family kwa ajili yake bado anafany upuziiii wakee
What? Pole Sana Kijana. Hio ni Aibu sana huyo Mama hio tabia mbovi Sana. Hajiheshimu hata kidogo.
pole sana Izo hataa hivyo amezaa ako na watoto niliona hadi niko sema mbona hauna furaha anyway mungu ni mwaminifu utapata vingi na utafanikiwa nakuomba usirudi tena kwa huyo mama kabisaa atakuua mungu amekukomboa hataa akikupigia magoti don't try I wish you all the best in your new life utafanikiwa tena zaidi hiyo ni mutiani tu mwanamke asiye kuwa na adabu wala heshima kwa watoto wa watu muombe mungu atakupigania kwa kila Jambo 💞🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Asanten kwa kutuzubaisha kwa kiki zenu mmejua kuchukua akili zetu
Pole sana ndugu mambo yatakuwa sawa mtoa riziki ni Mungu prkee
Mmmm vijana fanyeni kazi ona sasa mambo ya kulelewa hayo pole sana
Duuh pole saan kijan muombe mungu atakufungulia Milango ya rizki huyo mama alikuwa anakudharau na alitak umaarufu kupitia ww ajulikane mitandao kajivua nguo mpk watoto wake wamemzarau pole saan
Ni kweli kabisa, naona kweli umepungua sana! Dah pole sana jama
Mwana kiranga haliliwi wala hakaliwi matanga.sasa Dunia imemekufunza.penda Rika llako.hata kama mapenzi hayana umri.nadhani amejifunza.pole sana.
Siku zote waenga wana sema asie sikia la mkuu mwisho u unjika mguu ulia mbiwa na wazazi wako Razi ya wazazi iyo rudi kigoma ukapate baraka za wazazi wako pole sana ndugu yangu
Kabisa 👌👌👌
Wewe kijana pole Sana lakini wamwela hawatuliagi na mume moja ww unafikiria huyo mwenzio aliotoka hakupenda kuishi na watoto wake alimshindwa kwasababu ya umalaya
Ayo maumivu uliyoyapitia ndy najiuliza ulikuwa unayavumiliaje duuu htr pole sana
Kapungua Uwii! Asijekuwa kapewa gonjwa! Mungu aepushe
Pole kaka mungu atakusaidia muachie mungu atamlaani
Wanasema mtoto wa kike ukiolewa ukubali kulala bila nguo sasa mtoto wa kiume ukikubali kulelewa ukubaliane na hizo changamoto...na mi nilijua tuu hakuna ndoa hapo kirikuu kuivuta SKANIA ni lazma iunguze klachi mzee pambana mdogo wangu maisha so rahisi hivo.
atia huruma maskini😥
@@maisarah6819 acha avune alichopanda
@@maisarah6819 kakonda
Pole sana iziii ile hilo nalo Liwe funzo kwako pia wazazi ni Mungu wa pili duniani Tambua hilo
kwanza kabisa ukiwa katika hali hiohio, nenda kaombe msamaha kwa wazazi wako na ndugu zako ndipo uanze maisha yakupambana upya baraka siku zote zinatoka kwa Mungu na kwa wazazi, ukisamehewa na wazazi hata mafanikio utayapata na msaada utapewa kikubwa kaombe samahani kwa wazazi ujipatanishe nao na kwa Mungu wako
Mm nilijua tu maskini kabaki kichwatu pambana ww nimzr tena sana unaweza pata kijana mwenzio naasiesikialamkuu huvunjika guuu umeyaona?
Weee kaka mi nilidhani unatafuta msaada wa kazi upambane usimame mwenyewe.Tatizo kutegemea kulelewa.Pole amka sasa.
Dahaa Dunia Ina mambo Kigoma hiyooo. Wazazi walishasema Hiyo Ndoa itavunjika tu. Pole Izee"
Kweli kabisa wazazi ndiyo mungu wa pili hapa duniani
Shetani hapendi ndoa mmedumu kwenye uznzi miaka 2. Lkn kwenye ndoa ya halali miezi 2 tuu shetani kavuruga. Pole Sana kijana utapata mwingine
Hii kjana nimuongo anastairi kukamatwa aereze visuri ju anacafua Jina la Huo Mama kiisha afungwe
Ila umekonda sana duh!kapime kama mzima tafuta mwengine huyo ni gumegume
Acha n 👂🙆♀️
😂😂😂😂😂
Sina uhakika na afya yako masikini
dunia hadaa binadamu shujaaa
Kina kalumanzila wameshafanya yao huko siyo bure hapo wanajipongeza kuachana kwenu pole🙌🙌
Hakuna mganga wala nn mijimama ndio zao hizoo.....
Pole sana mdogo wangu ila usiumie MUNGU ameamua kukutenga nahuyo Delila sema tu limekupotezea mda
Duh pole Sana uyo mama sio MTU mzur
Pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigum inauma Sana
Kweli umekonda Sana pole Mungu akutie nguvu
Mke akitoka nje ujue mume hafanyi kazi vizuri
Huyu kaka ni mwongo sana haukuw ndoa ile ilikuwa ni njia ya kumsaidia yey atoke kimaisha ndio shida yakjitoa kusaidia vijana malipo ni kukuzalilisha ninachokusii kijana mwombe yule mama msamaha na uangalie njia nyingine ya kutoka maana lengo ni kukusaidia
Kumbe uliisikiliza ile clip ya yule mama,maneno ya yule mama na maneno yake kijana ni tofauti sana,kijana alikuwa anatafuta kiki na apate jina awe kama diamond....
kweli mwanamke mwenzetu amejua kutudhalilisha!!
Tena sana mwanamke hajielewi mama mzima
Ni kweli kabisa mm amenikera balaa,huyu kijana ni mpole isee
🙄🙄🙄🤗🤗🤗uyo kahaba warrah
Ahaahaahaa makubwa haya,tulijua hamtafika mbali. Ndo ujifunze.
Kabisa
Asie sikia LA mkuuu huvunjika guu uligombana na mama ako mzazi na baba ako Leo kikoapi pole Sana dogo jifunze kitu Sasa kaombe msamaha kwa baba na mama Kisha mambo yako yatanyooka tuu pole dogo
Dahh pole broo
Make sure una test blood Yako,afu kwanza shukuru god kukuonyesha mapema kwani mengi mabaya yalikua yanakuja,sahau Kila kitu hata iyo mimba xio Yako,get back 🏠 katafte kiki ya kuanza nayo Mr we Bado Young km mm.
Pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigum inauma Sana 😭😭😭😭
Huyo anapepo la ngono kijana ulichanganya
Pole mwanangu ujifunze usioe mwanamke mwenye umri sawa namama yako
Pole Sana kaka mungu akusaidie
Pole sn kijana m/ mungu atakupa wa rika lako na mtaishi milele.
Mbn nmeumia hv huyu Kaka nilipenda sana caple yao...ila huyu mama mungu amlaaan kabsa 😢😢😢😢....pole na vuta subra utapata ataekulea na kukuamn Mana wenye upendo wa zat tupo wachache
Pole sana
Pole bro Allah atakulipa
Pole sana kaka mwanamke mwenzetu ametuzalilisha sana
Pole Sana kijana , Ila umeipata fundisho , uliingia ktk choo Cha kike huyo alikuwa Mama yako Wala si make 45, 20 her pole Sana .
Pole sana bro wanawake ni masetani
Alipata "messagi jamani.kiswahili sanifu 💕💕🇰🇪
Shida ni short kati za maisha kama sii kiki basi kazi ipo, fanyeni kazi na tafuteni age moja mweeee
Pole Sana Ila ukome kwani umekosa nn wewe kijana au unataka umaarufu unajidhalilisha ungekuwa mwanangu Cha Moto ungekipata
Pole sana mshukuru mungu kakuonyesha mazaifu yake mapema ila piga moyo konde utampata mke mwema kacheki afya
mbona mnawahi afya ?nyie mnajionaje afya zenu na mlionao
Huyo jimama ni shetani kabisa hafai anaharibu watoto wa wenzie alaaniwe
Ni wewe kijana tafuta vijana wenzio achana na vijimama
Pole kaka allah akujaalie moyo wa ujasiri inshaa allah
pole san kaka.mm hayo ilinikuta dar es salaam.ila huyu binti alikuwa ana miaka 22 tu.ulichosema ni ya maana sana.mwanamke akishazoea tabia chafu hauwezi kumbadili hata ufanyaje.wa kwangu tuliachana hata baaday ya kumnunulia gari.mwanamke hata umpe nn kama ni mbovu ni mbovu tu hawezi kubadilika .nikisafiri magari ya wanaume wanapishana ilikuwa ni aibu.kutokana na story yako iwe fundisho kwa watu wengine mwanaume kama mwanaume usimtegemee mwanamke .tafuta mali yako sio kutegemea maisha kwa mwanamke
Pole izeee kwa mtihan uliyopithia
Pole sana bro ndo maisha yalivyo Ila usirudie tena kosa
Hongera sana kwa uvumilivu na maamuzi magumu
God have a meaning for that with God everything is possible God have plans for you bro
Subhanaallah ulikuwa unavumilia vipi wazazi wako WALIKUWA hawataki usipo sikia la mkuu huvunjika mguu wakina mama acheni kumdanganya watoto wa wenzenu kujitia aibu tu
Mungu wangu magonjwa ni mengi ucje kufa huyo mama ni kahaba Sana
Bora mmeachana,Mungu ni mwema.Rudi kwa wazazi wako uombe radhi ili ujipatie Baraka
Ndio maana mungu amesema alaniwe mtu yoyote anaye mtegemea binadamu iwe kwa kazi yake au uzuri wake. Kwanza binadamu haja kamilika pili ana kufa mda na saa isiyo julikana. Kama unatafuta maisha ya furaha kupitia mahusiano ya ndoa na mahusiano ya kawaida . Kaa ukijua mapenz nizaidi ya bomu la nyukilia.ipo siku utajuta kuzaliwa . watu wamepoteza maisha kwa ujinga huo . mpende mungu tu inatosha .
Dunia ya leo ni zaidi ya dodoma na gomora. Usitegemee mahusiano ya kuto kusalutiwa katika kizazi hiki. Ndoa ilikuwa ya adamu na hawa pekee yao kabla hawaja muasi mungu. Baada ya kumuasi mungu adamu na hawa. Amani ya ndoa na maisha yote kwa ujumla imekuwa ni virugu mechi
Mtafuteni mungu kwa uangalifu mtapata furaha ya kweli. Hizi ni nyakati za mwisho za dodoma na gomora.
Safi sana kijana ungeweza kupigana kwa ajili ya kuna halafu uuwawe kisa kuna
😁😁kuna
Naomba unitafute kaka tuongee please
Usizini tena kaka mwamini Mungu wako ktk maisha yako ili akupiganie
Uyo mama alikua nimalaya ,basi ata angekuonea uruma ,uekosana mpaka na wazazi wako kwaajili yake!!kenge Mkubwa uyo pole sana kijana
Mungu akulipe kheri kaka
Amekupotezea muda, umekosana na wazazi juu yake, lkn mungu yuko.. utapata mrembo saizi yako na utulie
Hil ni fuzo Kwa wakaja km hawa kuowa majitu mazima ukawategemez unaacha wzee Kwa mwanamke Sasa hii ni shda akaimbe msamaha
Anapenda mtelezo....hujachunguza mtu unajitia tuu sehem....mtt mdg ushakomaa....sura sasa....
Wazazi walisema mtoto hawana kinyongo nae akiachana na huyu mwanamke hakuna matatizo watampokea na mtoto wao walimkana kwa sababu ya mwanamke na walisema akienda nyumbani akiwa peke yake watampokea wazazi wake hawana shida na mtoto wao watampokea
Nipe nambazako izzi njoo kwangu walai jikusahulishe yote wamama achananano njoo kwavijana wenzako
@@omanphone3455 😂😂umeona aje kwa vijana wenzake tumpe raha za dunia mpy
Duh, dogo muongo sana. Mnapenda kiki sana… pesa zitawapeleka papaya , fanyeni kazi halali..
Pole kaka
Mungu akufungulie milango ,Kila jambo ufanyika kwa sababu Mungu ananjua kwa nini
Inamana uyu kijana hakupangiwa ,,na mungu alichukia kitendo cha ndoa io,,, so ilitokea ivyo kimfumania ILa mke wake kamili yupo sehem ingine labda ,....pia maneno ya wazazi yalishika
Daa pole sana mdg wangu aziii yule mama kumbee nilishenzi sanaa achana naloo huko kawaombe wazazi msamaha nauanze maisha yako mengine mungu atakupa mke mwema na mzr tuu mwenye hofu ya mungu 😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Wakati ulionao wewe mpe Yesu maisha yako.tu.utasamehewa utasafishwa pia utapewa mke wa ubavu wako halisi hii ilikuwa ni shule tu tambua Mungu yupo hai
Mnazindua hii movie lini🤔🤔🤔
Pole sana nitakusaidia Huyo mama ni nyoko sana
Nitafute
Pole sana broo mungu akutie nguvu
nnnnnn
Pole saana kaka huyo ni kurumbembe sugu, move on with your life. Una maisha na future kubwa kaka.
Ujinga wako,na yote unayoyaongea eti kusamehe inaonyesha ufahamu Ni mdogo sana