NDOA YAVUNJIKA; MKE AFUMANIWA, MUME ASIMULIA MAZITO YA MAMA WA MIAKA 49

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 887

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 2 года назад

    Pole Saana Izii Yote Kwa Yote Cmama Kung'uta Vumbi Omba Msamaha Kwa Wazazi Wako Muombe Saana M/Mungu Akusamehe Na Akufungulie Milango Ya Heri Baraka Na Mafanikio

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 года назад

    Izy pole.hilo lilikua darasa.alafu wewe ni mtumishi mzuri sana wa Mungu.anza kumtumikia Mungu atakufanya mpya na maisha yako yatakua mapya ya baraka tele.una kitu cha Mungu kijana.

  • @rosekawala5182
    @rosekawala5182 2 года назад +16

    Mungu atakupa wa kufanana na wewe. You are still very young and handsome boy.

    • @ashurakodd1589
      @ashurakodd1589 2 года назад +2

      Pole kijana hata yeye watoto wake watafanyiwa hiana hii ni dunian tu

  • @salimabass2288
    @salimabass2288 2 года назад

    Wewe umeingia Cho Cha like, yule mwanamke alikuwa sio saizi yako kwa pesa Wala umri. Wazazi walikuwa hawako radhi na hiyo ndoa,he matokea yake umeyaona. Mzazi ni mzazi tu,tunapaswa kuwasikiliza.polebusirudie tana

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 года назад +19

    Mwanangu Mimi nimeumia Sana pamoja na kumtetea Sana ukakosana na wazazi wako lakini malipo yako ndiyo kuzalilishwa umeona? hebu Rudi kwa wazazi wako uwaombe msamaha utapata mafanikio

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 2 года назад +23

    Huyo mama alikuwa akitaka kukutumia tu. Mungu alikuepusha sana 😢 pole mkaka,

  • @bintimwakumanya6127
    @bintimwakumanya6127 2 года назад +1

    Pole sana kakangu Mungu akupe subra

  • @mozespaul7138
    @mozespaul7138 2 года назад

    Pole dogo,,tunajifunza kutokana ,Na makosa,usirudie makosa

  • @magiriterandei2764
    @magiriterandei2764 2 года назад +22

    Kakangu iziii kapambane,,,pili nenda ukapimwe afya asije akakuletea maradhi ya maisha,,,tafuta vibarua bambana kimaisha na ipo siku moja atakuheshimu

    • @hadija846
      @hadija846 2 года назад

      Aamiin🙏🏼😭

  • @marysiasawaki3698
    @marysiasawaki3698 2 года назад +2

    Dah pole sana kijana ila kiukweli tafuta maisha mengine kupenda mserereko sio kitu kizuri hata kdg jamani............angalia unavyoumbuka kijana wa watu na ungewasikiliza wazazi wako haya yasingekukuta kabisa sio siri jamani,Mungu akupe nguvu siku zote ila jifunze kutokana na maisha haya ...Vijana wengi mnapenda sana kulelewa na kutokupenda kufanya kazi,ungekuwa hata bodaboda ni mara mia kuliko kuparamia mijimama..........

  • @jophreysound6537
    @jophreysound6537 2 года назад

    Aisee Pole Sana ndugu yangu maisha ndivyo yalivyo, muachie Mungu yey e peke yake atakulipia

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 2 года назад

    Ndio mkamage siku nyingine kuchezea nyuchi za watu wazima lazima laana ikuvae,pole pambana kivingine maisha yaendelee

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 года назад

    Aisee pole Sana.......Allah Atakufanyia Wepesi In sha Allah.

  • @bonifasmpogole6960
    @bonifasmpogole6960 2 года назад

    Pole ndugu yangu wanawake wengi wao wanadanganywa na wajinga wenzie.mungu akuinue umejisusa kiume mungu atakupandisha na wanaume tujifunze na wamama zetu tujifunze kupitia hiki Kati yahao mwenyemakosa atalaaniwa kuanzia Sasa natoa baraka kwamwenye haki mwajina la yesu Kristo Arie hai amina

  • @يوسف-ح1ل9ن
    @يوسف-ح1ل9ن 2 года назад +33

    Nimeshukuru umeachana nae ni mwenyezi mngu ndio alikutia huko sasa angalia sana wazazi oa wa rika lako achana kuburuxa mijimama

    • @yolandachuwa5554
      @yolandachuwa5554 2 года назад

      😃😃😃😃eti nyumba yangu ,,,Ni nyumba yako au ni yake ?

    • @salma-gf8ek
      @salma-gf8ek 2 года назад +1

      Uyo Bibi Achana nae kacheki afya yako Malaya Tu uyo asikopotezee mdae

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 года назад +1

      @@yolandachuwa5554 huyu dogo ni mario, anapenda kitonga..anaishi kwa mwanamke..huyo mwanamke ndo alikuwa anamlisha, kumhifadhi,kuvalisha.

    • @evalineemmanuel8178
      @evalineemmanuel8178 2 года назад

      acha ujinga fanya kazi mmezoea kulelewa

    • @gabriellyadam9415
      @gabriellyadam9415 2 года назад

      😂😂😂

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 года назад +3

    pole sana ndugu yangu M/mungu atakulinda kwa nguvu zake zote. Aamiin🙏😭
    Na huyo mwanamke M/mungu hamlaani kwa upumbavu wake

  • @yohanabasili7837
    @yohanabasili7837 2 года назад

    Pole sana kijana. Kina mama wengi watu wazima watumia nyota za vijana hasa anapokua ameshamaliza haja zake kwako. Nenda kanisani ukatubu ujisalimishe kwa Mungu ili huyo mama asiendelee kutumia nyota yako.

  • @marysona9999
    @marysona9999 2 года назад +4

    Pole mtoto, Naomba usisahau kwenda kwa wazazi, Nenda kabla ya yote ukaombe msamaha ili upate baraka zao ndipo ukaanze maisha mapya.

  • @liliansindiyo1214
    @liliansindiyo1214 2 года назад +2

    Pole Sana mdogo wangu siku nyingine sikiliza sauti ya wazazi Ila usiogope utafanikiwa tu na utampata mke mzuri kwny heshima

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 2 года назад +2

    Hongera sana mdogo wng, steling hauawi tafuta mmama mwingine mpaka kieleweke ipo sku utampata wa maisha yako. Mtangulize MUNGU

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 2 года назад +7

    Niseme pole sana kaka na wahenga walisema siku zote mtegemea M.mungu ktk kila hali ya maisha yake, pekee M.mungu ndie muokozi kwa kila aliemuamini. M.mungu atakupa faraja Inshallah kaka ,usihuzunike mno mpaka ukakufuru.

  • @aminamusa9174
    @aminamusa9174 2 года назад +13

    Duh mama mshenzi sana yule mwenyezi mungu atakulipia mwanangu

    • @mariathomas3111
      @mariathomas3111 2 года назад +1

      Pole Sana kaka mung yup nenda kwa wazazi ukaombe msamah utafanikiwaa tu achan na huy mpmbavuu

  • @annahsimiyu1401
    @annahsimiyu1401 2 года назад +2

    😢😢😢😢😢😥😥😥heeeei heeei waaaah Pole saana kaka izee uko mdogo utapata mke wa Rika Yako usinganganie yule mwanamke kabisa ,Mungu akupee mke mwema inshaAllah kutoka mbinguni waah makubwa mwanamke hajiheshimu yule 😢😢😥😥😥🥺🥺🥺🤔🤔

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 2 года назад

    Pole sana huyo alikua tapeli,ashindwe pepola mwanamke huyo,ww ungali mdogo utaoa warikalako🇰🇪🇰🇪.

  • @siamakala1945
    @siamakala1945 2 года назад

    Kaka Cha msingi kaombe msamaha kwa wazazi na ndugu zako kila k2 kitakiwa sawa tu.mengn pambana Mungu hata kuacha takubarik hakika na pia jiweke sawa na Mungu wako

  • @mimie254official8
    @mimie254official8 2 года назад +1

    Good, and thanks to God. Hata kama siwajui Asante Mungu,,,, kwa huyu kijana

  • @hadija846
    @hadija846 2 года назад +13

    pole sana ndugu yangu M/mungu atakulinda kwa nguvu zake zote. Aamiin🙏🏼😭
    Na huyo mwanamke M/mungu hamlaani kwa upumbavu wake

    • @josykitua505
      @josykitua505 2 года назад +1

      Hawa wa mama lo wanaribu vijana wadogo.

    • @hadija846
      @hadija846 2 года назад

      @@josykitua505 kweli kabisa

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 2 года назад

      We dogo ni mpumbavu sana,hujui kwamba hiyo ndoa haikubalikiwa na wazazi wako?Pumbavu sana wewe.Mzazi ni Mungu wako wa pili,duniani.Pumbavu waheshimu baba na mama yako upate maisha marefu na heri duniani.

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 2 года назад

      @@josykitua505 ilibidi ashtakiwe huyo mama kabakaa

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 2 года назад +12

    😭😭😭😭😭 duuuuh pole kijan mdg ,umetukanwa ,umetengwa na family kwa ajili yake bado anafany upuziiii wakee

  • @virginiakariuki6479
    @virginiakariuki6479 2 года назад

    What? Pole Sana Kijana. Hio ni Aibu sana huyo Mama hio tabia mbovi Sana. Hajiheshimu hata kidogo.

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 2 года назад +2

    pole sana Izo hataa hivyo amezaa ako na watoto niliona hadi niko sema mbona hauna furaha anyway mungu ni mwaminifu utapata vingi na utafanikiwa nakuomba usirudi tena kwa huyo mama kabisaa atakuua mungu amekukomboa hataa akikupigia magoti don't try I wish you all the best in your new life utafanikiwa tena zaidi hiyo ni mutiani tu mwanamke asiye kuwa na adabu wala heshima kwa watoto wa watu muombe mungu atakupigania kwa kila Jambo 💞🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 2 года назад

    Asanten kwa kutuzubaisha kwa kiki zenu mmejua kuchukua akili zetu

  • @nikascleophace7948
    @nikascleophace7948 2 года назад

    Pole sana ndugu mambo yatakuwa sawa mtoa riziki ni Mungu prkee

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 2 года назад

    Mmmm vijana fanyeni kazi ona sasa mambo ya kulelewa hayo pole sana

  • @faridadondo2103
    @faridadondo2103 2 года назад +4

    Duuh pole saan kijan muombe mungu atakufungulia Milango ya rizki huyo mama alikuwa anakudharau na alitak umaarufu kupitia ww ajulikane mitandao kajivua nguo mpk watoto wake wamemzarau pole saan

  • @youngjaywinfrey9854
    @youngjaywinfrey9854 2 года назад

    Ni kweli kabisa, naona kweli umepungua sana! Dah pole sana jama

  • @zainabkiluwa8650
    @zainabkiluwa8650 2 года назад

    Mwana kiranga haliliwi wala hakaliwi matanga.sasa Dunia imemekufunza.penda Rika llako.hata kama mapenzi hayana umri.nadhani amejifunza.pole sana.

  • @halima7255
    @halima7255 2 года назад

    Siku zote waenga wana sema asie sikia la mkuu mwisho u unjika mguu ulia mbiwa na wazazi wako Razi ya wazazi iyo rudi kigoma ukapate baraka za wazazi wako pole sana ndugu yangu

  • @scholasticamswata3548
    @scholasticamswata3548 2 года назад

    Wewe kijana pole Sana lakini wamwela hawatuliagi na mume moja ww unafikiria huyo mwenzio aliotoka hakupenda kuishi na watoto wake alimshindwa kwasababu ya umalaya

  • @ashatembo1567
    @ashatembo1567 2 года назад

    Ayo maumivu uliyoyapitia ndy najiuliza ulikuwa unayavumiliaje duuu htr pole sana

  • @zawadilutufyo231
    @zawadilutufyo231 2 года назад +2

    Kapungua Uwii! Asijekuwa kapewa gonjwa! Mungu aepushe

  • @fatemahassan5125
    @fatemahassan5125 2 года назад

    Pole kaka mungu atakusaidia muachie mungu atamlaani

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 года назад +6

    Wanasema mtoto wa kike ukiolewa ukubali kulala bila nguo sasa mtoto wa kiume ukikubali kulelewa ukubaliane na hizo changamoto...na mi nilijua tuu hakuna ndoa hapo kirikuu kuivuta SKANIA ni lazma iunguze klachi mzee pambana mdogo wangu maisha so rahisi hivo.

  • @asumtamapunda4822
    @asumtamapunda4822 2 года назад

    Pole sana iziii ile hilo nalo Liwe funzo kwako pia wazazi ni Mungu wa pili duniani Tambua hilo

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 года назад +1

    kwanza kabisa ukiwa katika hali hiohio, nenda kaombe msamaha kwa wazazi wako na ndugu zako ndipo uanze maisha yakupambana upya baraka siku zote zinatoka kwa Mungu na kwa wazazi, ukisamehewa na wazazi hata mafanikio utayapata na msaada utapewa kikubwa kaombe samahani kwa wazazi ujipatanishe nao na kwa Mungu wako

  • @vanessajohn6046
    @vanessajohn6046 2 года назад

    Mm nilijua tu maskini kabaki kichwatu pambana ww nimzr tena sana unaweza pata kijana mwenzio naasiesikialamkuu huvunjika guuu umeyaona?

  • @babymussa918
    @babymussa918 2 года назад

    Weee kaka mi nilidhani unatafuta msaada wa kazi upambane usimame mwenyewe.Tatizo kutegemea kulelewa.Pole amka sasa.

  • @joycekiheka6071
    @joycekiheka6071 2 года назад +6

    Dahaa Dunia Ina mambo Kigoma hiyooo. Wazazi walishasema Hiyo Ndoa itavunjika tu. Pole Izee"

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 2 года назад

    Shetani hapendi ndoa mmedumu kwenye uznzi miaka 2. Lkn kwenye ndoa ya halali miezi 2 tuu shetani kavuruga. Pole Sana kijana utapata mwingine

  • @manirambonareverien664
    @manirambonareverien664 2 года назад

    Hii kjana nimuongo anastairi kukamatwa aereze visuri ju anacafua Jina la Huo Mama kiisha afungwe

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 2 года назад +22

    Ila umekonda sana duh!kapime kama mzima tafuta mwengine huyo ni gumegume

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +1

    Kina kalumanzila wameshafanya yao huko siyo bure hapo wanajipongeza kuachana kwenu pole🙌🙌

  • @veronikafrancis5049
    @veronikafrancis5049 2 года назад

    Pole sana mdogo wangu ila usiumie MUNGU ameamua kukutenga nahuyo Delila sema tu limekupotezea mda

  • @bakarimohammed9851
    @bakarimohammed9851 2 года назад

    Duh pole Sana uyo mama sio MTU mzur

  • @JustArkon
    @JustArkon 2 года назад

    Pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigum inauma Sana

  • @selinamwambe5311
    @selinamwambe5311 2 года назад

    Kweli umekonda Sana pole Mungu akutie nguvu

  • @Said_Abdul
    @Said_Abdul 2 года назад

    Mke akitoka nje ujue mume hafanyi kazi vizuri

  • @deboraadolfu4011
    @deboraadolfu4011 2 года назад +1

    Huyu kaka ni mwongo sana haukuw ndoa ile ilikuwa ni njia ya kumsaidia yey atoke kimaisha ndio shida yakjitoa kusaidia vijana malipo ni kukuzalilisha ninachokusii kijana mwombe yule mama msamaha na uangalie njia nyingine ya kutoka maana lengo ni kukusaidia

    • @jumaramadhani5861
      @jumaramadhani5861 2 года назад

      Kumbe uliisikiliza ile clip ya yule mama,maneno ya yule mama na maneno yake kijana ni tofauti sana,kijana alikuwa anatafuta kiki na apate jina awe kama diamond....

  • @irenembura5684
    @irenembura5684 2 года назад +41

    kweli mwanamke mwenzetu amejua kutudhalilisha!!

    • @oman7901
      @oman7901 2 года назад +4

      Tena sana mwanamke hajielewi mama mzima

    • @rosemofuga8101
      @rosemofuga8101 2 года назад +11

      Ni kweli kabisa mm amenikera balaa,huyu kijana ni mpole isee

    • @omanmwajabumbeguoman8642
      @omanmwajabumbeguoman8642 2 года назад +6

      🙄🙄🙄🤗🤗🤗uyo kahaba warrah

    • @marymabula3878
      @marymabula3878 2 года назад +5

      Ahaahaahaa makubwa haya,tulijua hamtafika mbali. Ndo ujifunze.

    • @betitympeleta9697
      @betitympeleta9697 2 года назад +2

      Kabisa

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 2 года назад

    Asie sikia LA mkuuu huvunjika guu uligombana na mama ako mzazi na baba ako Leo kikoapi pole Sana dogo jifunze kitu Sasa kaombe msamaha kwa baba na mama Kisha mambo yako yatanyooka tuu pole dogo

  • @rebbeccarubben4366
    @rebbeccarubben4366 2 года назад

    Dahh pole broo

  • @adidacemwakatika1569
    @adidacemwakatika1569 2 года назад

    Make sure una test blood Yako,afu kwanza shukuru god kukuonyesha mapema kwani mengi mabaya yalikua yanakuja,sahau Kila kitu hata iyo mimba xio Yako,get back 🏠 katafte kiki ya kuanza nayo Mr we Bado Young km mm.

  • @judyjudy3513
    @judyjudy3513 2 года назад +6

    Pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigum inauma Sana 😭😭😭😭

    • @nuruelsamiu
      @nuruelsamiu 2 года назад

      Huyo anapepo la ngono kijana ulichanganya

  • @glorycheyo1081
    @glorycheyo1081 2 года назад

    Pole mwanangu ujifunze usioe mwanamke mwenye umri sawa namama yako

  • @farajaluvanda9822
    @farajaluvanda9822 2 года назад +1

    Pole Sana kaka mungu akusaidie

  • @mwantumujumbe6483
    @mwantumujumbe6483 2 года назад

    Pole sn kijana m/ mungu atakupa wa rika lako na mtaishi milele.

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 2 года назад

    Mbn nmeumia hv huyu Kaka nilipenda sana caple yao...ila huyu mama mungu amlaaan kabsa 😢😢😢😢....pole na vuta subra utapata ataekulea na kukuamn Mana wenye upendo wa zat tupo wachache

  • @jamesnyaulingo673
    @jamesnyaulingo673 2 года назад

    Pole sana

  • @منااكمتت
    @منااكمتت 2 года назад

    Pole bro Allah atakulipa

  • @marymasawe9854
    @marymasawe9854 2 года назад +1

    Pole sana kaka mwanamke mwenzetu ametuzalilisha sana

  • @naomichristopher8984
    @naomichristopher8984 2 года назад

    Pole Sana kijana , Ila umeipata fundisho , uliingia ktk choo Cha kike huyo alikuwa Mama yako Wala si make 45, 20 her pole Sana .

  • @lilliankathure9812
    @lilliankathure9812 2 года назад

    Pole sana bro wanawake ni masetani

  • @georginamakena1660
    @georginamakena1660 2 года назад

    Alipata "messagi jamani.kiswahili sanifu 💕💕🇰🇪

  • @mwajabulyimo7928
    @mwajabulyimo7928 2 года назад

    Shida ni short kati za maisha kama sii kiki basi kazi ipo, fanyeni kazi na tafuteni age moja mweeee

  • @joycemakungwa1307
    @joycemakungwa1307 2 года назад +3

    Pole Sana Ila ukome kwani umekosa nn wewe kijana au unataka umaarufu unajidhalilisha ungekuwa mwanangu Cha Moto ungekipata

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 года назад +9

    Pole sana mshukuru mungu kakuonyesha mazaifu yake mapema ila piga moyo konde utampata mke mwema kacheki afya

    • @gloriousfrancis8201
      @gloriousfrancis8201 2 года назад

      mbona mnawahi afya ?nyie mnajionaje afya zenu na mlionao

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 2 года назад

      Huyo jimama ni shetani kabisa hafai anaharibu watoto wa wenzie alaaniwe

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 2 года назад +2

      Ni wewe kijana tafuta vijana wenzio achana na vijimama

  • @maryambaby8509
    @maryambaby8509 2 года назад +2

    Pole kaka allah akujaalie moyo wa ujasiri inshaa allah

  • @daud405
    @daud405 2 года назад

    pole san kaka.mm hayo ilinikuta dar es salaam.ila huyu binti alikuwa ana miaka 22 tu.ulichosema ni ya maana sana.mwanamke akishazoea tabia chafu hauwezi kumbadili hata ufanyaje.wa kwangu tuliachana hata baaday ya kumnunulia gari.mwanamke hata umpe nn kama ni mbovu ni mbovu tu hawezi kubadilika .nikisafiri magari ya wanaume wanapishana ilikuwa ni aibu.kutokana na story yako iwe fundisho kwa watu wengine mwanaume kama mwanaume usimtegemee mwanamke .tafuta mali yako sio kutegemea maisha kwa mwanamke

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +1

    Pole izeee kwa mtihan uliyopithia

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 2 года назад

    Pole sana bro ndo maisha yalivyo Ila usirudie tena kosa

  • @congestamatemu697
    @congestamatemu697 2 года назад +1

    Hongera sana kwa uvumilivu na maamuzi magumu

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen6950 2 года назад +1

    God have a meaning for that with God everything is possible God have plans for you bro

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад +4

    Subhanaallah ulikuwa unavumilia vipi wazazi wako WALIKUWA hawataki usipo sikia la mkuu huvunjika mguu wakina mama acheni kumdanganya watoto wa wenzenu kujitia aibu tu

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 года назад +3

    Mungu wangu magonjwa ni mengi ucje kufa huyo mama ni kahaba Sana

  • @upendonzovu9790
    @upendonzovu9790 2 года назад +1

    Bora mmeachana,Mungu ni mwema.Rudi kwa wazazi wako uombe radhi ili ujipatie Baraka

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 2 года назад

    Ndio maana mungu amesema alaniwe mtu yoyote anaye mtegemea binadamu iwe kwa kazi yake au uzuri wake. Kwanza binadamu haja kamilika pili ana kufa mda na saa isiyo julikana. Kama unatafuta maisha ya furaha kupitia mahusiano ya ndoa na mahusiano ya kawaida . Kaa ukijua mapenz nizaidi ya bomu la nyukilia.ipo siku utajuta kuzaliwa . watu wamepoteza maisha kwa ujinga huo . mpende mungu tu inatosha .

    • @fredymziwanda1283
      @fredymziwanda1283 2 года назад

      Dunia ya leo ni zaidi ya dodoma na gomora. Usitegemee mahusiano ya kuto kusalutiwa katika kizazi hiki. Ndoa ilikuwa ya adamu na hawa pekee yao kabla hawaja muasi mungu. Baada ya kumuasi mungu adamu na hawa. Amani ya ndoa na maisha yote kwa ujumla imekuwa ni virugu mechi

    • @fredymziwanda1283
      @fredymziwanda1283 2 года назад

      Mtafuteni mungu kwa uangalifu mtapata furaha ya kweli. Hizi ni nyakati za mwisho za dodoma na gomora.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад +1

    Safi sana kijana ungeweza kupigana kwa ajili ya kuna halafu uuwawe kisa kuna

  • @marymasawe9854
    @marymasawe9854 2 года назад

    Naomba unitafute kaka tuongee please

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 2 года назад +1

    Usizini tena kaka mwamini Mungu wako ktk maisha yako ili akupiganie

    • @roserweyemamu5341
      @roserweyemamu5341 2 года назад

      Uyo mama alikua nimalaya ,basi ata angekuonea uruma ,uekosana mpaka na wazazi wako kwaajili yake!!kenge Mkubwa uyo pole sana kijana

  • @chausikungowa8614
    @chausikungowa8614 2 года назад

    Mungu akulipe kheri kaka

  • @ishyjuma2246
    @ishyjuma2246 2 года назад +24

    Amekupotezea muda, umekosana na wazazi juu yake, lkn mungu yuko.. utapata mrembo saizi yako na utulie

    • @asiaali1124
      @asiaali1124 2 года назад +1

      Hil ni fuzo Kwa wakaja km hawa kuowa majitu mazima ukawategemez unaacha wzee Kwa mwanamke Sasa hii ni shda akaimbe msamaha

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 года назад +1

      Anapenda mtelezo....hujachunguza mtu unajitia tuu sehem....mtt mdg ushakomaa....sura sasa....

    • @مباركا-ر3ف
      @مباركا-ر3ف 2 года назад +2

      Wazazi walisema mtoto hawana kinyongo nae akiachana na huyu mwanamke hakuna matatizo watampokea na mtoto wao walimkana kwa sababu ya mwanamke na walisema akienda nyumbani akiwa peke yake watampokea wazazi wake hawana shida na mtoto wao watampokea

    • @omanphone3455
      @omanphone3455 2 года назад +1

      Nipe nambazako izzi njoo kwangu walai jikusahulishe yote wamama achananano njoo kwavijana wenzako

    • @kdeghtnzanea7187
      @kdeghtnzanea7187 2 года назад

      @@omanphone3455 😂😂umeona aje kwa vijana wenzake tumpe raha za dunia mpy

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 2 года назад +1

    Duh, dogo muongo sana. Mnapenda kiki sana… pesa zitawapeleka papaya , fanyeni kazi halali..

  • @hawaramadhani7254
    @hawaramadhani7254 2 года назад

    Pole kaka

  • @jacintandukumiriti1824
    @jacintandukumiriti1824 2 года назад

    Mungu akufungulie milango ,Kila jambo ufanyika kwa sababu Mungu ananjua kwa nini

  • @marydzame4347
    @marydzame4347 2 года назад

    Inamana uyu kijana hakupangiwa ,,na mungu alichukia kitendo cha ndoa io,,, so ilitokea ivyo kimfumania ILa mke wake kamili yupo sehem ingine labda ,....pia maneno ya wazazi yalishika

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +2

    Daa pole sana mdg wangu aziii yule mama kumbee nilishenzi sanaa achana naloo huko kawaombe wazazi msamaha nauanze maisha yako mengine mungu atakupa mke mwema na mzr tuu mwenye hofu ya mungu 😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @neemakikoti5091
    @neemakikoti5091 2 года назад

    Wakati ulionao wewe mpe Yesu maisha yako.tu.utasamehewa utasafishwa pia utapewa mke wa ubavu wako halisi hii ilikuwa ni shule tu tambua Mungu yupo hai

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 2 года назад +1

    Mnazindua hii movie lini🤔🤔🤔

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 2 года назад

    Pole sana nitakusaidia Huyo mama ni nyoko sana

  • @rebeecaree2204
    @rebeecaree2204 2 года назад

    Pole sana broo mungu akutie nguvu

  • @navokisembo
    @navokisembo 2 года назад

    Pole saana kaka huyo ni kurumbembe sugu, move on with your life. Una maisha na future kubwa kaka.

    • @misinzodavid7918
      @misinzodavid7918 2 года назад

      Ujinga wako,na yote unayoyaongea eti kusamehe inaonyesha ufahamu Ni mdogo sana