NYIMBO ZA ROHO MTAKATIFU KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA MBURAHATI | JOHN MAJA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Karibuni wapendwa tusali pamoja na kumwomba Roho Mtakatifu aweze kutujalia mapaji na neema zake mbalimbali kupitia nyimbo za Roho Mtakatifu zilizoandaliwa na kwanya ya Mtakatifu Secilia Mburahati.
#nyimbo hizi ni pamoja na:
1.ROHO WA BWANA IMEUJAZA ULIMWENGU BY F.KASHUMBA
2. NJOO WANGU MFARIJI WIMBO WA ASILI BY J. MAKOYE
3. ROHO MTAKATIFU BY JOHN MAJA
Na zingine nyingi
KARIBU TUIANGALIE CHANNEL HIIYENYE MAUDHUI YA NYIMBO MBALIMBALI ZA KANISA KATOLIKI
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI
#JUGOMEDIA,#NYIMBOZAROHOMTAKATIFU,#KWAYAYAMTAKATIFUSECILIA
#catholicchurch #nyimbo #japan #ukraine #nyimbozakikatoliki #usa #christmassong #tanzania #jesuschrist #masiha #japan #christmassong #jesuschrist #masiha #album #pesa #newsong
MAWASILIANO:
JOHN MAJA
NAMBA YA SIMU: +255 754 057 262
DAR ES SALAAM
Kama Leo umeisikiliza hii list gonga like twende pamoja tukiifurahia birthday ya kanisa👏👏👏👏👏👏👏👏
Nimebarikiwa sana leo nikiwa nasherehekea pentekoste happy bday to the Catholic Church
Sijutii kuwa mkatoliki jamani nyimbo mzuri sana
Yaani huu ndio ukatoliki wetu,nakumbukq mwaka 1999 nikipokea kipaimara,yaani kila nikisikiliza najikuta nalia machozi
Kiongozi, tunashukuru sana kuendelea kupata neno la Mungu.
Amina
Mungu aubariki utume wenu❤❤
Tunakushukuru MUNGU kwa kutupatia vipaji watuwako nakuimba nyimbo nzuri zenye kunjirisha nyimbo zimakonga mioyo asante Mungu ,,Aameen,,
Nimefurahi sana leo kumpokea roho mtakatifu,kwan nisikiapo nyimbo hiz nabarikiwa ht km nina mawazo nafarijika,,,,aamin
Maja umenikumbusha albam yenu ya kule SAUT ya tulijenge jiji la Mungu. Kule Mwanza miaka ya 99 ndiyo nilianza kukusikia. Hongera sana tz 1
Asante
Binafsi naamini John Major is the best organist in Tanzania
Tumshukuru Mungu
Ila Mburahati imeacha alama kubwa sanaa.. Hizi nyimbo bdo zinabariki sanaaa yaani... Wakati wa Kipaimara make me remember more blessings 1999
Hizi nyimbo zitadumu milele... Ile napita zangu nkasikia inapigwa studio pale Moshi, nkapita nayo... Legendary John Maja with good organ.
Hii kwaya imeweka alama kubwa sana kila inapofika pentekoste lazma tuwakumbuke...
Amina
Zitadumu milele amina
Nimegundua kwaya za Mt. Cecilia zinaimba vizuri sana. Nikianzisha kwaya lazma nimpe Mt. Cecilia aisimamie
watunzi wa zamani walijazwa roho mtakatifu katika tungo zao,Hakika ni karama za roho mtakatifu
Kwetu sisi tuliokulia Mburahati miaka ya 80 na 90 hii ni zaidi ya lulu! Asante sana John Maja kwa kutupa ibada njema na muziki safi tangu tupo vijana wadogo. Jumapili zilikuwa ni tamu sana, enzi hizo za Fr. Luambano. Mimi ni wale watoto waliokuwa wanakaa kwenye ngazi pembeni ya kinanda wakati wa ibada.Umenipa msukumo (inspiration) sana utotoni brother. Ukipata fursa uweke na ya Kufufuka pia.
Amina kaka yangu nitAiwekaka
Roho mtakatifu atuongoze muda wote
Am really blessed. I do remember my Olevel memories at Hekima Girls xul, Bukoba during Pentecost day. Am proud of being a roman catholic 🙏
Siku ya shule ni sherehe kubwa Kwa wanahekima
Kila nikisikiliza album hii Utube nawakumbuka sana Kunambi, Haule, Misana, Mzee Makoti, John Maja, Tetula, Mama Kibasa, Dimoso dah Secilia hii na Fr. LUAMBANO mambo yalikuwa Moto Mburahati
Roho Mungu tushukie...kaa nasi atuongoze kutenda yalio mema tujaze mapaji yako yote 7
Amina
Amina na tizidi kumuomba Roho Mtakatifu atujaze Mapaji yake
Happy Ndege haii
Miaka hiyo ya tisini ilikuwa lazima nitenge jumapili moja au mbili ktk kila mwezi kwenda kusali Mburahati na kuisikilza hii kwaya na ubunifu wa organist John Maja. Asante sana mkuu.
Tumshukuru Mungu
👍
Kweli kabisa, unachukua karadio kako unaenda nako malishoni
Ahsante sana,,na Mungu akubariki na tujazwe na Roho wa Bwana katika kutenda kazi zake.
Very nice
nyimbo hizi zinagusa sana. Asante sana wanakwaya wa kwaya hii
Hizi nyimbo hazitakuja kuisha utamu wake vizazi hata vizazi. Amina
Totally concur with you... timeless compositions these🎶👍
Nice oldies jamanii rc tupo vizuri kwenye ufundi wa hizi mambo aisee
Sifa kwa Mungu
Dah hongera saaana mwalim John Maja
Tumshukuru Mungu
Mbarikiwe wapendwa. Sala zenyu kwa nyimbo zinanifaa na kunifariji. Ahsanteni sana!
Asante sana Mwl. J-Maja kwa nyimbo Nzuri sana!!! Umenikumbusha ile ALBUM Ya zamaniii ya MT. KIZITO ilokuwa na wimbo ENYI VIUMBE G. KAYETTE!!
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Congratulations for the beutiful songs.
Ooh thanks
Njoo wangu mfariji, Mungu awabariki milele.
Na ww pia kaka.
Kila mwenye pumzi na amsifu bwana Munguh wake🙏🙏🙏 mbarikiwe snaaah
Amina
Asante ndugu Mungu akubariki
Tumshukuru Mungu Zaidi Tuzidi kumuomba Roho Mtakatifu Atujaze Neema
Wimbo wa mwisho mtunzi alitulia sana. Mungu awabariki.
Zimenifaa sana leo siku ya Pentekoste
Hongereni
Proud Catholic
Shukran sana kwa nyimbo hizi...moyo wangu unainuka kila ninapozisikiliza...
Pole sana
Roho mungu tushukie
Roho Mtakatifu Joo kwetu tuwe imara,oooh nimezipenda Sana hizi Ni zaidi ya dawa.Zinaponya mwili na moyo..Nashukuru.
Nimebarikiwa sana mungu awabariki sana
Amina tumshukuru Mungu
This is incredible 💞🙏watching from Germany🇩🇪
Ooh good
@@JohnMaja wewe unachagua watu wa kujibu kwa hiyo umeona hiyo german duuh
Oh my God🙏 sote ni wana wa Mungu binafsi nilijikuta nabarikiwa sana baada ya kusikiliza, kumbuka tupo ukanda wa lockdown ni mwaka wa pili sasa hakuna cha misa so ni humu youtube nikibahatisha nasali
@@edgarnandonde48 Yani naingianga Mara chache tusameehane
Mungu ni mwema kila wakati
Njoo roho mtakatifu
Mung ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏
Nyimbo hizi zabariki kweli. Asante
Lila mwenye pumzi asifu mung🙏🙏🙏
Thanks Jesus for giving me, your Holly spirit
Safi sana Mkuu
Njoo roho mtakatifu🙏🙏🙏
Njoo Roho wa Mungu njooo
Am blessed 🙏
Mara ya kwanza kiisikiliza. Asante sana
Aminaaaa
NYiMBo ZiMeNiBaRiKi SaNa BaRiKiWa Mtu Wa MuNGu.
So nice song
Safi sana kwaya husika Mungu awabariki
Niko mwanza ninahitaji hii album inapatikana wap
0754057262
I really love this compilation. Keep it up.
A good song, keep it up
thanks
2023 watchng
❤
Wow!sweet melodies Amen🙏🏽🙋♀️
Ameen
Ameen tomorrow we celebrate pentecostal
Happy pentecoste!!!💌🙏🕊️
Nikiwa kiwawa enzi hizo
Sasa hivi Bibi hongera mdogo wangu
Asante 😂😂 tumshukuru MUNGU 🙏
Isack Florian Ngali
Hii album naipataje nikiitaka Kwa Leo 0716118803
Jamapili zitakua parokia ya mburahati au nipigie nikuelekezw.0754057262
Nam naitaji ila sipo dar nitaiipajee