MZEE KADUGUDA KUWA MKWELI ULE WAKATI WA SIMBA KUNUSURIKA KUSHUKA DARAJA KINA NANI WALIOKAA CHINI NA KUOMBA ILI SIMBA ISISHUKE DARAJA ILI UTANI UBAKI KWENYE MASHINDANO.MBONA KIPENGELE HICHO UNAKIFICHA ONGEA UKWELI. NAKUSAIDIA KDG WAZEE WA TIMU MBILI WALIKAA NA KUOMBANA ILI MAMBO YAWE SAWA UPANDE WA SIMBA.
mzee kaduguda unanikumbusha mengi mazuri, mbaraka, shidz stuwer, musa libabu, juma mzee, yusuf salum,(4) adam juma, choteka, haji lesso simba wa mbojo Emanuel mbele Albert,(Ema) akina Rased, Ali kajo Hassan mlapakolo nk
Mungu ibariki simba hasa wakati kama huu wenye kipindi kigumu ,kwasababu wasaliti wamekua wengi Sana ,,SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
Kweli kabisa mzee wetu kaduguda ; viongozi wa simba ni tatizo kubwa sana ,
Mungu akupe siku nyingi mzee wetu
MZEE KADUGUDA KUWA MKWELI ULE WAKATI WA SIMBA KUNUSURIKA KUSHUKA DARAJA KINA NANI WALIOKAA CHINI NA KUOMBA ILI SIMBA ISISHUKE DARAJA ILI UTANI UBAKI KWENYE MASHINDANO.MBONA KIPENGELE HICHO UNAKIFICHA ONGEA UKWELI.
NAKUSAIDIA KDG WAZEE WA TIMU MBILI WALIKAA NA KUOMBANA ILI MAMBO YAWE SAWA UPANDE WA SIMBA.
mzee kaduguda unanikumbusha mengi mazuri, mbaraka, shidz stuwer, musa libabu, juma mzee, yusuf salum,(4) adam juma, choteka, haji lesso simba wa mbojo Emanuel mbele Albert,(Ema) akina Rased, Ali kajo Hassan mlapakolo nk
Mdogo wangu Mwina Kaduguda kamsahau Mussa Tayari.
Mm namwamini Sana kaduguda akisema Simba inashinda kweli inashinda alisema kigoma na tukashinda alisema hi ndroo na ikawa droo kweli
Ni kweli hamsikiki Vizuri hasa huyu Jamaako wa Shati Jeupe
Nyie mlikua mnapenda timu wenzengu waliokuja wanapenda hela wa natuumiza kila siku
Kaduguda anaamini bado uchawi. Mpira huo haupo.
Wee Nawee!!
Ongea ukweli mzee wasimba
Nipeni nmba za kaduguda
Leo nimeona hasa rangi ya Kaduguda nilikuwa namsikia tu,lkn kumbeni hazina iliyokusanya maadini mengi,Mungu akubariki akupe maisha marefu
Baba yangu mpaka hapo naona kuna haja ya kuwapa nafas wachezaji wa zaman wa club ya smb waendeshe gurudumu smb
Jaman mm nop na mzeee kaduguda kabisaaa Yanga wametuzid kwa kuwashirikisha wazee
Hakika tulpoteza mtu wakaz tunakuomba uludi kwenye kiti mze wetu
Huyu mzee apewe uenyekit au mkuu wa usajili
KADUGYDA NI BRAND YA AKINA BA MCHAWI, KIRUNDU, HASSAN HAJI, HABIBU SEGUMBA, KESY MJINGA, RAJAB HASARA HAO NA WENGI WENGINE WENYE SIMBA LIALIA
Mtu wa maana sana
Smb ni yako ulichokiona ni kweli ombi langu kwako tumia utu uzima
Kaduguda mnyama .iyo mechi kashaimaliza.simba anashinda
Akiri hii ni Tela bytes 100....
Ukweli unauma
Baba sema tupo tunaokuelewa
Mzee mtu wa maana kabisa
Mpira wa sasa mzee kaduguda ni science kama hauna kikosi bora ni nothing tu
Mzee Kaduguda,Aden Rage,mzee Dalali,Abdallah Kibade,Magori wote hawamo simba watu muhimu hawa inatosha kuwa simba kuna jambo
KADUGUDA ALIRUDI SIMBA ASHIRIKIANE NA BABRA, MAGOLI CRISTENSOUS,,HUYU MZEE NI HAZINA SAAANA NA SIMBA WETU WALE WAKALE
Simba wa yuda upo sahihi wachezaji siyo wabovu wabovu ni viongozi waliowaleta wachezaji
Mtu wa mana kabisa huyu
Huyu mzee kashaona tayari,yanga mpoooooo????
Huyu mzee anajua mambo kwakweli
Yule dada ni mtu na nusu
Mzee anapenda uchawi huyo
Una uhakika? Usiongee kitu ambacho hauna uhakika na ukweli nacho
DAH NIMECHEKA KWA NGUVU SANA AISEE HII COMEDY YAKO ALAFU NIPO KWENYE OFISI ZA WATU.....
Wazo la simba day ni la magori mpe maua yake mzee
Kaka sio magori ni dalali
Father pambania gemu ijayo na yanga
Ujinga wote huu ni sababu za benchi la ufundi ndiyo inafanya inachofanya kushindwa kubadili mfumo
Jitaidi kesho tunakazi gemu zito