MAGUFULI Akuta MADUDU Hospitali ya CHATO, ACHARUKA - "UTALIWA WEWE SIO HELA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 40

  • @ubuzimabuzimatv
    @ubuzimabuzimatv 4 года назад +3

    MAGUFULI Anaweza Sana Raisi munyenyekevu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 3 года назад +3

    Magufuli atabaki kwenye akili na Mioyo yetu

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 5 месяцев назад

    MAKOSA yake yapasayo kutubu ni yapi maana hata Mfalme Saul alietiwa mafuta kwa chupa na Mfalme Daudi alietiwa mafuta kwa kujazwa pembe .hawakutubu kwaajili ya taifa ispokua watawaliwao ndio watubu kwa kukaa na viongozi pasipo kumuuliza Mungu kama imempendeza huyo kiongozi kuwepo ktk nafasi ama ameruhusu awepo lkn SI chaguo lake.maana WAFALME WAKIWA chaguo la Mungu INCHI hujaa NEEMA ispokua tu pale wanapoasi na kukaidi sauti ya Bwana ndipo MAPIGO yatawashukia au kumshukia yule kiongozi aliejikuza Sana. Ktk nyakati tulizonazo wapo hata watumishi wenye CHOYO.kumbuka YESU alionya WANAFUNZI kujihadhari na CHOYO maana uzima wa mtu haumo katika mali.mtu atajionyesha kwa watu na kutoa iitwayo zawadi ambayo kwa hakika haiwi zawadi Bali ni rushwa ambayo huupotoa ufahamu na baada ya hapo haki inapotea.sasa je kwa viongozi wa ulimwengu itakuaje.kwanini viongozi wasitubu wakati wa KAMPENI na wakati wa kutangaza matokeo kupitia nguvu ya dola.itokee toba mtu aombe msamaha nakuacha ubunge kama aliupata kwa hila.hio ngumu atubu mtumishi wa umma ALIESEMA nitawatumikia mkinipa kura lkn. Kumbe anawageuza kuwa WATUMWA wake...WATUMWA wamepanda punda lkn WAFALME wanakwenda kwa miguu juu ya inchi

  • @jumamohamedy2005
    @jumamohamedy2005 4 года назад +3

    Baba lao dunia inakuelewa sana JPM ninani habahatishi anaokoa Muda kwenye maamuzi hao wagonjwa wanakuombea sana kwa utu wako.

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад +7

    Mzeee baba Kenya wanakuelewa sana

  • @Wastara001
    @Wastara001 4 года назад +9

    Napenda hii kauli: Hela ya watanzania hailiwi ataliwa yeye.

  • @andrewmlamba
    @andrewmlamba 4 года назад +3

    Wanamchezeya Magufuli,anajua gharama ya kila kitu.

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola798 4 года назад +6

    Duuu, Jamaaa katisha Sana.

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад +3

    Amina Amina

  • @fabianaloyce7427
    @fabianaloyce7427 4 года назад +2

    magufuli baba lao

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад +3

    Safi sana

  • @salimasalima7820
    @salimasalima7820 4 года назад +2

    Baba lao

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад +1

    Nakupenda sana magufuli hapa kaz tu

  • @kabetakanuda2639
    @kabetakanuda2639 4 года назад +1

    Amina amina kubwa

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 4 года назад +2

    Baba lao

  • @linusmagezi8398
    @linusmagezi8398 4 года назад +1

    Baba lao

  • @fabianaloyce7427
    @fabianaloyce7427 4 года назад +1

    baba lao magufuli

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 3 года назад

    Very good kijana. Ubarikiwe nawew pia.

  • @salmaayub61
    @salmaayub61 4 года назад

    MAGEGE UMETISHA UMEPATA NAFASI YA KUMUOMBEA RAISI

  • @mathlahamedkhalfaan956
    @mathlahamedkhalfaan956 4 года назад

    Doooo jomba hapo tuuuu nakupendea amri zako km zangu nathani ninaasili ya chato

  • @amonamiri4487
    @amonamiri4487 3 года назад

    Magege nimekumisi

  • @kentekaponya2316
    @kentekaponya2316 4 года назад +1

    Magege

  • @mosesshagembe6402
    @mosesshagembe6402 3 года назад

    Usalama
    Ukopoa

  • @amonamiri4487
    @amonamiri4487 3 года назад

    Magege i miss u

  • @mashamasha2854
    @mashamasha2854 3 года назад

    tunαkukumвukα ѕαnα вαвα😭😭😭

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад

    Amina

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад

    .

  • @jamesmartine211
    @jamesmartine211 4 года назад

    Huyo Ndie Magege

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 4 года назад

      Eeemungu mjaalie babahuyu atembelee hata wilaya yachemba asikilize shida zetu tunakupenda sana muheshimiwa

    • @wardajoseph6909
      @wardajoseph6909 4 года назад

      @@omanimujsa9756 allahumma Amiin