DR. MANYAUNYAU ULAYA HAKUNA UBAGUZI WA RANGI NI UWONGO WATANZANIA UJUAJI MWING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • ULAYA HAKUNA UBAGUZI WA RANGI NI UWONGO MIMI NIPO HUKU SIJAWAI KUBAGULIWA NAISHI VIZURI.

Комментарии • 61

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 3 месяца назад +3

    Tanzaniai ubaguzi upo hujamsikia Tundu Lissu au Mbowe wote wa Chadema huwa na msemo mama Samia Suluh Hassan ni m Zanzibar sio ni m Tanganyika je ? Huo sio ubaguzi upo kwenye damu sisi wa Tanzania

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад +1

    Ubaguzi upo sana hata canada sana

  • @Afroking2001
    @Afroking2001 3 месяца назад +3

    UBAGUZI UPO ILA SIO KWA WA ZUNGU WOTE INCHI ZA ULAYA NDIO HIVYO HALI YAO SISI TUNA VIMILIA HALI KWA WATU SIO KWENU KILA MTU ANA KWAO NA KWASABAU SISI WAFRIKA ATUJA JITAMBUA BADO

  • @DGMTyson
    @DGMTyson 3 месяца назад +7

    Ila nilisoma koment nyingi kwenye ile interview nikagundua watanzia wengi tunachuki balaaa

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 3 месяца назад +1

      Jidanganye sasa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 месяца назад

      😂😂ni kawaida

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 3 месяца назад

      Sana

    • @fatmasalim8293
      @fatmasalim8293 3 месяца назад

      Kweli kabisa wa Tanzania 🇹🇿 doh mmezidi na ndio watapata tabu kwa roho mbaya na uhasidi

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 3 месяца назад +1

      @@fatmasalim8293 Kabisa saa nyingine hata kama ni ndugu zako utakuta unapigwa majungu kibao!

  • @hawidahjannedy5337
    @hawidahjannedy5337 3 месяца назад

    True

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 3 месяца назад +1

    Watu weusi ni washenzi... ila wabongo ni shwaini.

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Si kweli unayosema

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm 3 месяца назад +1

    Tatizo ww apo umeenda jana tu so changamoto bado hazijakufika, so subiri zikufike, na wazungu ucfikirie wazungu kama wabongo kwamba eti ukimpenda mtoto wa kizungu ndio ufate utaratibu wa kwenda kwao, no hawako hivyo wenzetu wapo free sana but wanachomfanyia mshkaji ni ubaguzi tosha, manyaunyau unaonekana wazi ni mshamba

  • @someaafrika.3379
    @someaafrika.3379 3 месяца назад +1

    Hapa Marekani pia ubaguzi ndio upo, lakini kusema kweli huu ni mwaka wa 14 tangu nifike hapa.
    Nafanya biashara zangu na miongoni mwa wateja wangu ni wamarekani weusi lakini pia wazungu.
    Kifupi tu ni kwamba sijatendewa yanayo husiana na ubaguzi.
    Kumbe kila mtu ana historia yake na hatuwezi kupinga maana ubaguzi kweli upo.

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 3 месяца назад +3

    Acha ukenge WEWE mapaka paka nyau huku TANZANIA tunakaa na waraab na wanajua DINI lakini wanaubaguzi vibaya WANAPENDANA WAO KwA wao muarabu KwA muarabu KWANZA mswahili baadae

    • @fatmasalim8293
      @fatmasalim8293 3 месяца назад

      Sasa mpaka mtaje warabu mhhh mbona roho mbaya hivyo mwarabu gani mwenye ubaguzi safisha roho wazungu mnawaogopa warabu wanao kaa na nyie vizuri kila siku kuwasema hasbillahu wanemal wakeel 😢😢😢😢

    • @Ali-uh9wb
      @Ali-uh9wb 3 месяца назад

      @@fatmasalim8293ahsante mlimishe huyo 😂

  • @gwennipah9072
    @gwennipah9072 3 месяца назад +2

    Acha ujinga wwe hayajakukuta wwe punguza maneno,hayajakukuta wwe, usiombe yakukute ndugu zangu...

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Hata uingereza kuna ubaguzi sana tu

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 3 месяца назад

    Hayajakukuta, mpaka sikumoja wakikuweka kwenye "ZOO" Ndipo utajuwa.
    Ubaguzi upo tena wa wazi.

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 3 месяца назад

    Kuna kitu nimeona kwako eti unasema ulaya akuna ubaguzi wewe nishoga kabisa kwasababu Mashoga hapa ulaya hawabaguani wewe kutombwa kwenye matako inakusumbua wacha hiyo kazi tunawajua vitendomnavyafanya hapa ulaya mimi naishi ujerumani sasa utasemaje akuna ubaguzi wewe shoga mashoga wanaishi maisha yaraa pole wewe shoga alafu nyini mashoga mnadanganya watu wanyumba eti ulaya akuna maisha magumu tumegundua nimashoga ndo wanapeleka zile habari kaka wawatu
    Yupo
    Finland kasema kweli wewe una pings wewe shoga kabisa na tena usipande mtandaone kusema tena hivyo shoga anayeishi maisha magumu una tombwa ili upate kibali wewe ili utombwe vizuri mimi
    Nakujua wewe nishoga toka afrika tulipo
    Kuwa tunaishi

  • @touchgloves2613
    @touchgloves2613 3 месяца назад

    Mwandisha Canada cyo ulaya😂😂😂

  • @cideboy100
    @cideboy100 3 месяца назад

    Manyau nyau watafute ma SKIN HEAD uwakaribishe hapo kwako mnywe chai pamoja

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 месяца назад +1

    Ivo anavosema tu kama mtu unatumia akili basi umesha elewa. Kama kazi kazi hakuna cha kanisa wala msikiti!!! Ujuwe ww ukienda huko ni mtumwa ni kupiga kazi kama punda.

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 3 месяца назад

    Opra ni mama tajiri mweusi aliwahi kulalamikia ubaguzi wewe umeenda mitaa ya weusi nenda kwenye vitovu vya wazungu uone😢

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 3 месяца назад +1

    Tok hp mpuuzi mmoj hakun ubaguz UN uhakika kitu zim hovyo

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 3 месяца назад

    Uyu nae kama chiz 😏

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2cc 3 месяца назад

    Ubaguzi upo tena nusu ya wazungu duniani hawapendi mtu mweusi

  • @Is-hakaAbdallah
    @Is-hakaAbdallah 3 месяца назад +1

    Ubaguzi upo tunauona hata kwenye mpira

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 3 месяца назад

    Umemaliza na bando yangu .tu sijui unaongea nn.ushetan tu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад

    Neno ubaguzi Lipo Kwa English ? Kama lipo basi ubaguzi upo, kama TZ ubaguzi upo saaaana , kuwa Kiongozi hata wa kidini kigoma au kaskazini alafu usiwe mzawa wa huko uone majungu na fitna

  • @eliamwakalong6160
    @eliamwakalong6160 3 месяца назад

    Haha uyu jamaa anafanya kazi na waafrika kwaio awezi elewa ubaguzi ukoje mpaka akichinja paka hazarani ndo atajua ubaguzi ukoje

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Canada makanisa yapo labda wewe unakokaa hakuna

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    I don’t agree with you

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 3 месяца назад

    Pumbavu zako ww? Wachezaji wa mpira tena maarufu wanalalamika ubaguzi wa rangi sebuse ww!?

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 3 месяца назад

    Footballa wenyewe wanaongea kuhusu ubaguzi

  • @DGMTyson
    @DGMTyson 3 месяца назад +1

    Ni kweli kabisa jamaa analazimisha vitu ambavyo havipo

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 месяца назад

    Usirudi mana chalamira ana wewe ukirudi uwe na vibari....mganga yupo ulaya

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 месяца назад

    Matukio wewe si tapeli

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Wewe usimpinge huyo mvulana ubaguzi upo

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 3 месяца назад

    😂Sasa we umefika juzi tu hapo, watu tupo kitambo unajua nini😂😂😂

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Si kweli sababu unatoa wewe finland hajalishi umeoa au hujaoa ubaguzi upo

  • @mariamuharubu6577
    @mariamuharubu6577 3 месяца назад

    Kk unaongea kwasababu hujuwi kitu ww umeenda kuuza dawa zako wazungu NI wabaguzi kinyama unaficha kitu gani unaogopa utazuwiliwa kuingia ulaya uyo mkaka anacho kiongea NI ukweli mtupu maana Sisi ndo tunao ishi nao alafu wazungu NI Watu ambao wanapenda kuzulumu

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Ubaguzi upo sana tu hajalisha uko kwa madhuni gani siyo sababu

  • @hustlersmart7917
    @hustlersmart7917 3 месяца назад

    Uyu anaongea sana kwasababu hajui nini alichokisema kama hujui bora ukae kimyaa hakuna anaye chafua nchi ila vile tunavyo wanyenyekea uku bongo ndo mana inavyokuja swala la kubaguliwa lipo waz waz

  • @ColestMakolo
    @ColestMakolo 3 месяца назад

    Manyau nyau unatoka nje ya maada ilibidi wewe uwenderee na uganga tu ulaya ubaguzi upo acha ivyo vitu

  • @AllyAmour-nu1js
    @AllyAmour-nu1js 3 месяца назад

    Good brother umeonge beautiful

  • @thamani5842
    @thamani5842 3 месяца назад

    Omba yasikukute

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 месяца назад

    Sio wote tuna roho mbaya bwana wewe, sema baadhi ya watu.

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 3 месяца назад

    Wewe usiwatetee

  • @solomonamenkaraniamen9713
    @solomonamenkaraniamen9713 3 месяца назад +1

    Ubaguzi iko africa Sana

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 3 месяца назад

    Ubaguzi kila sehemu na watu weusi ndo wabaguzi zaidi afadhari ya wazungu na kutokana sisi watu weusi wenyewe tunabaguana ivyo ndomana mataifa mengine yanatubagua, 1 wa Hindi,2 wa Arabu,3 wazungu 4 waafrika.

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 3 месяца назад

    Hauna Story. Wadanganye haohao wasiojua.
    Kingereza chenyewe hujui

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 3 месяца назад

    Huyu mshamba kufika ulaya yeye imekuwa malaa unakujuaje na weye haishi unakwenda kutapeli tu unarudi ulaya ubaguzi upo wa rangi mpaka dini isipokuwa tu baadhi ya wazungu ndio hawana mambo ya acha kudanya watu mshamba weye sifa nyingi tu kufika huko ulaya unajiona kama umefika peponi sisi tupo tunaishi ndio tunajua tapeli uondoke usilete za kuleta hapa mshamba wee

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 3 месяца назад

    Noma sana tujitaidi kumuerewa home boy😂😂😂

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 3 месяца назад

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR MY BROTHER U SAY EVERYTHING IS TRUE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 3 месяца назад

    Ni kweli kabisa, ubaguzi upo kila sehemu hspa duniani 🙄 . Na vijana wa faamu ya kwamba- hukuna binadamu mkamilifu asitende jambo hilo la ubaguzi maana mwengine wamezaliwa tumbo moja lakini wanabaguana😮

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 3 месяца назад

    Hello manyau manyau kwa kuwa elimisha vijana kuhusu ubaguzi, help👍