Tanzaniai ubaguzi upo hujamsikia Tundu Lissu au Mbowe wote wa Chadema huwa na msemo mama Samia Suluh Hassan ni m Zanzibar sio ni m Tanganyika je ? Huo sio ubaguzi upo kwenye damu sisi wa Tanzania
UBAGUZI UPO ILA SIO KWA WA ZUNGU WOTE INCHI ZA ULAYA NDIO HIVYO HALI YAO SISI TUNA VIMILIA HALI KWA WATU SIO KWENU KILA MTU ANA KWAO NA KWASABAU SISI WAFRIKA ATUJA JITAMBUA BADO
Tatizo ww apo umeenda jana tu so changamoto bado hazijakufika, so subiri zikufike, na wazungu ucfikirie wazungu kama wabongo kwamba eti ukimpenda mtoto wa kizungu ndio ufate utaratibu wa kwenda kwao, no hawako hivyo wenzetu wapo free sana but wanachomfanyia mshkaji ni ubaguzi tosha, manyaunyau unaonekana wazi ni mshamba
Hapa Marekani pia ubaguzi ndio upo, lakini kusema kweli huu ni mwaka wa 14 tangu nifike hapa. Nafanya biashara zangu na miongoni mwa wateja wangu ni wamarekani weusi lakini pia wazungu. Kifupi tu ni kwamba sijatendewa yanayo husiana na ubaguzi. Kumbe kila mtu ana historia yake na hatuwezi kupinga maana ubaguzi kweli upo.
Acha ukenge WEWE mapaka paka nyau huku TANZANIA tunakaa na waraab na wanajua DINI lakini wanaubaguzi vibaya WANAPENDANA WAO KwA wao muarabu KwA muarabu KWANZA mswahili baadae
Sasa mpaka mtaje warabu mhhh mbona roho mbaya hivyo mwarabu gani mwenye ubaguzi safisha roho wazungu mnawaogopa warabu wanao kaa na nyie vizuri kila siku kuwasema hasbillahu wanemal wakeel 😢😢😢😢
Kuna kitu nimeona kwako eti unasema ulaya akuna ubaguzi wewe nishoga kabisa kwasababu Mashoga hapa ulaya hawabaguani wewe kutombwa kwenye matako inakusumbua wacha hiyo kazi tunawajua vitendomnavyafanya hapa ulaya mimi naishi ujerumani sasa utasemaje akuna ubaguzi wewe shoga mashoga wanaishi maisha yaraa pole wewe shoga alafu nyini mashoga mnadanganya watu wanyumba eti ulaya akuna maisha magumu tumegundua nimashoga ndo wanapeleka zile habari kaka wawatu Yupo Finland kasema kweli wewe una pings wewe shoga kabisa na tena usipande mtandaone kusema tena hivyo shoga anayeishi maisha magumu una tombwa ili upate kibali wewe ili utombwe vizuri mimi Nakujua wewe nishoga toka afrika tulipo Kuwa tunaishi
Ivo anavosema tu kama mtu unatumia akili basi umesha elewa. Kama kazi kazi hakuna cha kanisa wala msikiti!!! Ujuwe ww ukienda huko ni mtumwa ni kupiga kazi kama punda.
Neno ubaguzi Lipo Kwa English ? Kama lipo basi ubaguzi upo, kama TZ ubaguzi upo saaaana , kuwa Kiongozi hata wa kidini kigoma au kaskazini alafu usiwe mzawa wa huko uone majungu na fitna
Kk unaongea kwasababu hujuwi kitu ww umeenda kuuza dawa zako wazungu NI wabaguzi kinyama unaficha kitu gani unaogopa utazuwiliwa kuingia ulaya uyo mkaka anacho kiongea NI ukweli mtupu maana Sisi ndo tunao ishi nao alafu wazungu NI Watu ambao wanapenda kuzulumu
Uyu anaongea sana kwasababu hajui nini alichokisema kama hujui bora ukae kimyaa hakuna anaye chafua nchi ila vile tunavyo wanyenyekea uku bongo ndo mana inavyokuja swala la kubaguliwa lipo waz waz
Ubaguzi kila sehemu na watu weusi ndo wabaguzi zaidi afadhari ya wazungu na kutokana sisi watu weusi wenyewe tunabaguana ivyo ndomana mataifa mengine yanatubagua, 1 wa Hindi,2 wa Arabu,3 wazungu 4 waafrika.
Huyu mshamba kufika ulaya yeye imekuwa malaa unakujuaje na weye haishi unakwenda kutapeli tu unarudi ulaya ubaguzi upo wa rangi mpaka dini isipokuwa tu baadhi ya wazungu ndio hawana mambo ya acha kudanya watu mshamba weye sifa nyingi tu kufika huko ulaya unajiona kama umefika peponi sisi tupo tunaishi ndio tunajua tapeli uondoke usilete za kuleta hapa mshamba wee
Ni kweli kabisa, ubaguzi upo kila sehemu hspa duniani 🙄 . Na vijana wa faamu ya kwamba- hukuna binadamu mkamilifu asitende jambo hilo la ubaguzi maana mwengine wamezaliwa tumbo moja lakini wanabaguana😮
Tanzaniai ubaguzi upo hujamsikia Tundu Lissu au Mbowe wote wa Chadema huwa na msemo mama Samia Suluh Hassan ni m Zanzibar sio ni m Tanganyika je ? Huo sio ubaguzi upo kwenye damu sisi wa Tanzania
Ubaguzi upo sana hata canada sana
UBAGUZI UPO ILA SIO KWA WA ZUNGU WOTE INCHI ZA ULAYA NDIO HIVYO HALI YAO SISI TUNA VIMILIA HALI KWA WATU SIO KWENU KILA MTU ANA KWAO NA KWASABAU SISI WAFRIKA ATUJA JITAMBUA BADO
Ila nilisoma koment nyingi kwenye ile interview nikagundua watanzia wengi tunachuki balaaa
Jidanganye sasa
😂😂ni kawaida
Sana
Kweli kabisa wa Tanzania 🇹🇿 doh mmezidi na ndio watapata tabu kwa roho mbaya na uhasidi
@@fatmasalim8293 Kabisa saa nyingine hata kama ni ndugu zako utakuta unapigwa majungu kibao!
True
Watu weusi ni washenzi... ila wabongo ni shwaini.
Si kweli unayosema
Tatizo ww apo umeenda jana tu so changamoto bado hazijakufika, so subiri zikufike, na wazungu ucfikirie wazungu kama wabongo kwamba eti ukimpenda mtoto wa kizungu ndio ufate utaratibu wa kwenda kwao, no hawako hivyo wenzetu wapo free sana but wanachomfanyia mshkaji ni ubaguzi tosha, manyaunyau unaonekana wazi ni mshamba
Hapa Marekani pia ubaguzi ndio upo, lakini kusema kweli huu ni mwaka wa 14 tangu nifike hapa.
Nafanya biashara zangu na miongoni mwa wateja wangu ni wamarekani weusi lakini pia wazungu.
Kifupi tu ni kwamba sijatendewa yanayo husiana na ubaguzi.
Kumbe kila mtu ana historia yake na hatuwezi kupinga maana ubaguzi kweli upo.
Acha ukenge WEWE mapaka paka nyau huku TANZANIA tunakaa na waraab na wanajua DINI lakini wanaubaguzi vibaya WANAPENDANA WAO KwA wao muarabu KwA muarabu KWANZA mswahili baadae
Sasa mpaka mtaje warabu mhhh mbona roho mbaya hivyo mwarabu gani mwenye ubaguzi safisha roho wazungu mnawaogopa warabu wanao kaa na nyie vizuri kila siku kuwasema hasbillahu wanemal wakeel 😢😢😢😢
@@fatmasalim8293ahsante mlimishe huyo 😂
Acha ujinga wwe hayajakukuta wwe punguza maneno,hayajakukuta wwe, usiombe yakukute ndugu zangu...
Hata uingereza kuna ubaguzi sana tu
Hayajakukuta, mpaka sikumoja wakikuweka kwenye "ZOO" Ndipo utajuwa.
Ubaguzi upo tena wa wazi.
Kuna kitu nimeona kwako eti unasema ulaya akuna ubaguzi wewe nishoga kabisa kwasababu Mashoga hapa ulaya hawabaguani wewe kutombwa kwenye matako inakusumbua wacha hiyo kazi tunawajua vitendomnavyafanya hapa ulaya mimi naishi ujerumani sasa utasemaje akuna ubaguzi wewe shoga mashoga wanaishi maisha yaraa pole wewe shoga alafu nyini mashoga mnadanganya watu wanyumba eti ulaya akuna maisha magumu tumegundua nimashoga ndo wanapeleka zile habari kaka wawatu
Yupo
Finland kasema kweli wewe una pings wewe shoga kabisa na tena usipande mtandaone kusema tena hivyo shoga anayeishi maisha magumu una tombwa ili upate kibali wewe ili utombwe vizuri mimi
Nakujua wewe nishoga toka afrika tulipo
Kuwa tunaishi
Mwandisha Canada cyo ulaya😂😂😂
Manyau nyau watafute ma SKIN HEAD uwakaribishe hapo kwako mnywe chai pamoja
Ivo anavosema tu kama mtu unatumia akili basi umesha elewa. Kama kazi kazi hakuna cha kanisa wala msikiti!!! Ujuwe ww ukienda huko ni mtumwa ni kupiga kazi kama punda.
Opra ni mama tajiri mweusi aliwahi kulalamikia ubaguzi wewe umeenda mitaa ya weusi nenda kwenye vitovu vya wazungu uone😢
Tok hp mpuuzi mmoj hakun ubaguz UN uhakika kitu zim hovyo
Uyu nae kama chiz 😏
Ubaguzi upo tena nusu ya wazungu duniani hawapendi mtu mweusi
Ubaguzi upo tunauona hata kwenye mpira
Umemaliza na bando yangu .tu sijui unaongea nn.ushetan tu
Neno ubaguzi Lipo Kwa English ? Kama lipo basi ubaguzi upo, kama TZ ubaguzi upo saaaana , kuwa Kiongozi hata wa kidini kigoma au kaskazini alafu usiwe mzawa wa huko uone majungu na fitna
Haha uyu jamaa anafanya kazi na waafrika kwaio awezi elewa ubaguzi ukoje mpaka akichinja paka hazarani ndo atajua ubaguzi ukoje
Canada makanisa yapo labda wewe unakokaa hakuna
I don’t agree with you
Pumbavu zako ww? Wachezaji wa mpira tena maarufu wanalalamika ubaguzi wa rangi sebuse ww!?
Footballa wenyewe wanaongea kuhusu ubaguzi
Ni kweli kabisa jamaa analazimisha vitu ambavyo havipo
Usirudi mana chalamira ana wewe ukirudi uwe na vibari....mganga yupo ulaya
😂😂
Matukio wewe si tapeli
Wewe usimpinge huyo mvulana ubaguzi upo
😂Sasa we umefika juzi tu hapo, watu tupo kitambo unajua nini😂😂😂
Si kweli sababu unatoa wewe finland hajalishi umeoa au hujaoa ubaguzi upo
Kk unaongea kwasababu hujuwi kitu ww umeenda kuuza dawa zako wazungu NI wabaguzi kinyama unaficha kitu gani unaogopa utazuwiliwa kuingia ulaya uyo mkaka anacho kiongea NI ukweli mtupu maana Sisi ndo tunao ishi nao alafu wazungu NI Watu ambao wanapenda kuzulumu
Ubaguzi upo sana tu hajalisha uko kwa madhuni gani siyo sababu
Uyu anaongea sana kwasababu hajui nini alichokisema kama hujui bora ukae kimyaa hakuna anaye chafua nchi ila vile tunavyo wanyenyekea uku bongo ndo mana inavyokuja swala la kubaguliwa lipo waz waz
Manyau nyau unatoka nje ya maada ilibidi wewe uwenderee na uganga tu ulaya ubaguzi upo acha ivyo vitu
Good brother umeonge beautiful
Omba yasikukute
Sio wote tuna roho mbaya bwana wewe, sema baadhi ya watu.
Wewe usiwatetee
Ubaguzi iko africa Sana
Ubaguzi kila sehemu na watu weusi ndo wabaguzi zaidi afadhari ya wazungu na kutokana sisi watu weusi wenyewe tunabaguana ivyo ndomana mataifa mengine yanatubagua, 1 wa Hindi,2 wa Arabu,3 wazungu 4 waafrika.
Hauna Story. Wadanganye haohao wasiojua.
Kingereza chenyewe hujui
Huyu mshamba kufika ulaya yeye imekuwa malaa unakujuaje na weye haishi unakwenda kutapeli tu unarudi ulaya ubaguzi upo wa rangi mpaka dini isipokuwa tu baadhi ya wazungu ndio hawana mambo ya acha kudanya watu mshamba weye sifa nyingi tu kufika huko ulaya unajiona kama umefika peponi sisi tupo tunaishi ndio tunajua tapeli uondoke usilete za kuleta hapa mshamba wee
Noma sana tujitaidi kumuerewa home boy😂😂😂
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR MY BROTHER U SAY EVERYTHING IS TRUE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni kweli kabisa, ubaguzi upo kila sehemu hspa duniani 🙄 . Na vijana wa faamu ya kwamba- hukuna binadamu mkamilifu asitende jambo hilo la ubaguzi maana mwengine wamezaliwa tumbo moja lakini wanabaguana😮
Hello manyau manyau kwa kuwa elimisha vijana kuhusu ubaguzi, help👍