Mch. Mm nashukru na msanii na alinifanyia usanii kwelikweli miaka miwili kasoro Niko na msanii,lkn mungu hakuniacha alinitenganisha na yule msanii na leo hii Niko na mtumishi wa mungu
Lime nitokea alikuwa amekuwa mkali sana kubwa alisha zaa Mtoto Asante Yesu kwa kuniepusha nailo janga I am happy right now I can't wait for my husband to come God bless me I am ready😂😂😂
Napenda sana mafundisho yako past ubarikiwe sana na mungu
Mch. Mm nashukru na msanii na alinifanyia usanii kwelikweli miaka miwili kasoro Niko na msanii,lkn mungu hakuniacha alinitenganisha na yule msanii na leo hii Niko na mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana pastor nimefurahia mfutisho yako,may God bless you
Asante sana mchungaji unanibariki sana Mungu azidi kukutumia kutuelimisha
Pastor Mungu akubariki nakupenda na familia yako.
Nabarikiwa mungu akubariki sana
Lime nitokea alikuwa amekuwa mkali sana kubwa alisha zaa Mtoto Asante Yesu kwa kuniepusha nailo janga I am happy right now I can't wait for my husband to come God bless me I am ready😂😂😂
Ubarikiwe
Mung akubariki sana kwa mafundisho mazuri
Pasta itapendeza sana kama utakua unaweka namba zako kwenye video unazo lusha
ameen pastor balikiwa kwa somo zurii
Mungu akubariki kwa kipindi kizuri...
Ubarikiwe mchungaji
God bless you Pr.
nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor lkn nina changamoto ktk mahusiano yangu natamani kuongea na wewe kwa ushauri zaidi
Pastor mahubiri yako Ni ya kutia moyo sana.naomba kuwasiliana nawe.natoka kenya
Somo nzuri sana
Good
Ni kwel vijana tuko hatarin
Somo zur sana lina funzo
pastor kwa habari ya usanii nimekuelewa hatari
Nikweli kabisa
Kweli mtakatifu wa Baba.
👏
Babaikiwa ndani ya yesu
Samahani kaka ofisi yako ipo wapi?
Ati wakipatana watakusema haha
Ati wakipatana watakusema haha