Комментарии •

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 2 года назад +4

    Nimependa iyo pamba ulovaa na mazingira pia. God bless u pasta.

  • @user-vg5iy9us3m
    @user-vg5iy9us3m 6 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙌 papa

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 года назад +2

    Weeeee Mungu ni mwema sana nimejifunxa kitu kikubwa sana God bless you pastor 🙏

  • @paulmagembe1556
    @paulmagembe1556 2 года назад +5

    Unagusa sehem kubwa. Sana ya maisha ya vijana na unafundi mwenye kuyashika. Na ayashike yatakuwa ni ufunguo wa maisha yake ?? Amen paster

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 2 года назад +2

    Umegusa maisha yangu Ahsante pastor leo nimekuwa huru tena huru kweli kweli.

  • @damaslukando8592
    @damaslukando8592 2 года назад +2

    Mungu akuwekee ulinzi Hadi mwisho wa makambi haya kabisa, maana una tuimarisha viema.

  • @aishasabubakari2642
    @aishasabubakari2642 2 года назад +3

    Amen mafundisho mazuri sana

  • @pendowilliam7533
    @pendowilliam7533 2 года назад +3

    Pastor unanibariki sanaaa

  • @subiragamoses8658
    @subiragamoses8658 Год назад

    Ninabarikiwa na mafundisho haya mungu aendelee kukuongoza zaidi kukuweka katika nuru zaidi

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 года назад +1

    Amina,barikiwa mno pastor

  • @paulynewangia9481
    @paulynewangia9481 2 года назад +3

    Basi mm niliziona dalili hizi lakini nilikuwa mjamzito tayari wa mapacha, lakini tuliachana, watoto wako miaka saba, sasa apo nifanyaje

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 2 года назад +1

    Pastor Mungu aendelee kukutumia, maana unaongea uhalisia tunaefuatilia tunapona kwa jina la Yesu.

  • @buyegisayi8615
    @buyegisayi8615 2 года назад

    Amina vijana tunajifuza yaliyo kweliii Mungu akubariki pr...🙏

  • @MarycianaDonald-bx1he
    @MarycianaDonald-bx1he Год назад

    Hakika pst Mungu atusaindie 2

  • @annnangunda4971
    @annnangunda4971 2 года назад +1

    Ubarikiwe Kwa mafundisho hayo

  • @hbenson4320hb
    @hbenson4320hb 2 года назад

    Asante Sana pastor ubarikiwe

  • @jukaelfelix4070
    @jukaelfelix4070 2 года назад

    Pr David mmbaga somo zur Sana...ntatumia kuoa kanuni hzo

  • @mamalaozphilemon.8800
    @mamalaozphilemon.8800 2 года назад +1

    pastor upo vizur👍

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад +1

    Ndiyo mtumishi hinaitajika macho ya Mungu hili tukubali kuitazama mapenzi

  • @nepoleonjoshua4892
    @nepoleonjoshua4892 2 года назад +1

    Amen

  • @FelisiMsuma-vr2le
    @FelisiMsuma-vr2le 7 месяцев назад

    Amn

  • @nzonelnzumbi4634
    @nzonelnzumbi4634 2 года назад

    Ubarikiwe mtumish

  • @chachazacharia7905
    @chachazacharia7905 2 года назад

    Pastor Mungu akusaidie zaidi Ili uzidi kutusaidia kutambua ukweli

  • @piliezra4657
    @piliezra4657 2 года назад +1

    Yani haya yamenigusa japo Niko kwenye ndoa Yani umenibaliki mnoo

  • @seleman6950
    @seleman6950 2 года назад

    Ni mafundisho ya kutufanya sisi vijana kujifunza zaidi na kuchukua hatua kabla ya kuhalibikiwa.

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 2 года назад

    Yaniii ni kweli kabisaa mchungaji

  • @mborawakiche7564
    @mborawakiche7564 9 месяцев назад +1

    Kama ena asilimia 90 ya ivyo wefundisha na mwaguhana tayari na wafikwa kugurumijao uteaze? Gaya du sa Mshauri iki😂😂

    • @mborawakiche7564
      @mborawakiche7564 9 месяцев назад

      Tungoje ukoanga nikayaaaaaa😂😂😂

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 2 года назад +1

    Amen Mungu atusaidie sana🙏

  • @danielzablon8388
    @danielzablon8388 2 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi.
    ila masomo Yako yamepungua Sana.
    Kulikoni......!!!!???

  • @silvestarlema72
    @silvestarlema72 2 года назад

    Pastor umenena yatugusayo vijana na tutalajiayo ila nikumtegemea Mungu tu

  • @nuhuphyscist502
    @nuhuphyscist502 2 года назад

    Nice

  • @salomethomas3241
    @salomethomas3241 2 года назад

    Jamani mbona mimi sikuona hizo dalili, lakini yamekuja kutokea nimeisha barikiwa watoto 4muda mwingine naona kama ndoto

  • @Blessings3176
    @Blessings3176 2 года назад

    Na mm nilikua nikikatazwa huyu mjamaa nlevi but sikutilia maanani,sai ndo najuta

  • @numbulajango9040
    @numbulajango9040 2 года назад

    kweli kabsa hata mmi nimewhi kuulizwa jambo kumbe nilishawahi kuulizwa majibu yakawa tofauti aisee kiliwaka 😆😆😆😆😆😆😆

    • @duniakema1170
      @duniakema1170 2 года назад

      Mchungaji ni kweli tupu, Mungu akubariki, wengi tumepitia ila Bwana ashukuriwe kwa ustahimilivu wake

  • @eustina837
    @eustina837 2 года назад +1

    Asnte paster

  • @agustimariki5026
    @agustimariki5026 2 года назад

    Mafundisho yako yanatubariki mungu awe nawe

  • @nicksonkalaghe2319
    @nicksonkalaghe2319 2 года назад

    Ò

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @mercymungai3784
    @mercymungai3784 2 года назад

    Direct to me

  • @deborashagama3540
    @deborashagama3540 2 года назад

    Balikiwa San ujumbe mzuli vijana msikie

  • @marthanakhungu8370
    @marthanakhungu8370 2 года назад +1

    Amen