Yani kwa marehemu omari omari sina Ata la kusema kweli alikuwa mtalamu wa mchiliku sauti alikuwa nayo kwa kinanda ndio usiseme kwa kutunga ndio kabisa yani kapotea mtalamu wa mchiliku tanzania
kaka yang mambo za masiku tele, usipoteee kaka unatunyima Radha, nakuomba ngoma ya Topaz kama sikosei ni ile album sake ya kwanza, ngoma inaitwa (Nenda wangu njiwa) mimi nakutuma, nenda mpaka msangaaa kamwambie namwita dada mwajuma, mwambie arudi bado namuhitaji akitaka kanga boymamnda mimi nitanunua, ngoma kali sana kaka mudy, mwaka 1990
Hahahaha baba umekumbuka Sandalai ya miaka ya 90? Mwanangu kule mithani.... Minazi mirefuuuuu pale katika kipori... Siku hizi hakuna tena... Daah! Kipande cha Kwa Muhindi ukipita salama unashukuru!
Atari sana, pesa, vida Pala vida, yakele zahabu, hii Ngoma Ina nikumbusha mbali, omali, alikua vizuli kwenye Ngoma izi ,
Kaka mudi Mwanaharakati, natamani kuiskia nyimbo ya Mapenzi kama dalaja
Sawa mkuu!
Umetisha kaka
Kaka sijasikia Ngoma omali omali akiwa na topazi, inayoitwa filola namba Moja,
Omry x2 noma sana
Mwanaharakati muddy tuwekee na nyimbo. X mas ya atomic.
@@adammillanzi6087 karibu Xmas karibu....karibu mwaka mpya karibu...
Yani kwa marehemu omari omari sina Ata la kusema kweli alikuwa mtalamu wa mchiliku sauti alikuwa nayo kwa kinanda ndio usiseme kwa kutunga ndio kabisa yani kapotea mtalamu wa mchiliku tanzania
@@mjombahaowamechokamshale6964 ela wamekula wahindi jamaa hawakuwa na maisha mazuri
Double ommy alitisha sana na kundi lake la Atomic music(AMC)
Nassoro Likoko ..
@@fatumamfaume9780 niambie fatuma mfaume(FM)
Omy omy fit kira idara vyombo viache vitawale
Duniaeeduniae siraa pesa mudyeb kisu Atari
Hahahahaa
kaka yang mambo za masiku tele, usipoteee kaka unatunyima Radha, nakuomba ngoma ya Topaz kama sikosei ni ile album sake ya kwanza, ngoma inaitwa (Nenda wangu njiwa) mimi nakutuma, nenda mpaka msangaaa kamwambie namwita dada mwajuma, mwambie arudi bado namuhitaji akitaka kanga boymamnda mimi nitanunua, ngoma kali sana kaka mudy, mwaka 1990
mwambie mimi siweeezi kurudi kwake mwenzio nimeshaolewa
Ngoja nikutafutie TOPAZ sista!
@@TamuzaKale bro Muddy dada Mariam ameliomba hilo da ngoma kali sana kama unnalo liweke
@@TamuzaKale mwaka sasa kaka mudy, nenda wangu njiwa mimi nakutuma haualipata
@@mariamabdullah489 Ngoja nicheki kwa masela. Dah! Nimepitiwa sistangu. Wanasemaje majuu? Ungenicheki Whatsapp ama namba yangu umeitupa?
Nawapata sana hao Atomic advantage watoto wa Temeke
Kaka!
Umeetisha pairot RIP home
Fundi au mtaalam omry omary wa piano, Yani anapiga kwa vituo bila papala kinanda.
inafurahisha sana
Hatari na nusu!
Kinanda 2 omy omy m2 m bady we acha TU chini vinaenda vingi
Kule topsi uku gusta sandali roba kama zote maisha yanaenda kasi sana
Hahahaha baba umekumbuka Sandalai ya miaka ya 90? Mwanangu kule mithani.... Minazi mirefuuuuu pale katika kipori... Siku hizi hakuna tena... Daah! Kipande cha Kwa Muhindi ukipita salama unashukuru!
@@TamuzaKale bado nipo hapa mjini maeneo yamebadilika sana kaka nimeama maeneo ya manova city
@@husseinshaban2382 pamoja sana
Nakumbuka kipindi cha miaka 94 had 98 sikua nauelewa mchiliku wowot tofaut na Omar Omar
@@TamuzaKale kaka samahani tafuta ngoma za eleven starz hamadi mududu wapambe mikosi nk au chaukucha ya kitambo ya baba jey
A