Silaha Pesa Omari Omari na Atomic Advantage (Sauti ya Utawala)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 41

  • @athumaniathumani3082
    @athumaniathumani3082 2 года назад

    Atari sana, pesa, vida Pala vida, yakele zahabu, hii Ngoma Ina nikumbusha mbali, omali, alikua vizuli kwenye Ngoma izi ,

  • @issakingboy9679
    @issakingboy9679 4 года назад +2

    Kaka mudi Mwanaharakati, natamani kuiskia nyimbo ya Mapenzi kama dalaja

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 5 лет назад +1

    Umetisha kaka

  • @athumaniathumani3082
    @athumaniathumani3082 2 года назад

    Kaka sijasikia Ngoma omali omali akiwa na topazi, inayoitwa filola namba Moja,

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 5 лет назад +1

    Omry x2 noma sana

    • @adammillanzi6087
      @adammillanzi6087 4 года назад +1

      Mwanaharakati muddy tuwekee na nyimbo. X mas ya atomic.

    • @nassorolikoko9191
      @nassorolikoko9191 4 года назад +1

      @@adammillanzi6087 karibu Xmas karibu....karibu mwaka mpya karibu...

    • @mjombahaowamechokamshale6964
      @mjombahaowamechokamshale6964 4 года назад +2

      Yani kwa marehemu omari omari sina Ata la kusema kweli alikuwa mtalamu wa mchiliku sauti alikuwa nayo kwa kinanda ndio usiseme kwa kutunga ndio kabisa yani kapotea mtalamu wa mchiliku tanzania

    • @hshusen2807
      @hshusen2807 4 года назад

      @@mjombahaowamechokamshale6964 ela wamekula wahindi jamaa hawakuwa na maisha mazuri

  • @nassorolikoko9191
    @nassorolikoko9191 5 лет назад +3

    Double ommy alitisha sana na kundi lake la Atomic music(AMC)

  • @dullamtutuma1096
    @dullamtutuma1096 3 года назад

    Omy omy fit kira idara vyombo viache vitawale

  • @musaumakusa4698
    @musaumakusa4698 5 лет назад +1

    Duniaeeduniae siraa pesa mudyeb kisu Atari

  • @mariamabdullah489
    @mariamabdullah489 2 года назад

    kaka yang mambo za masiku tele, usipoteee kaka unatunyima Radha, nakuomba ngoma ya Topaz kama sikosei ni ile album sake ya kwanza, ngoma inaitwa (Nenda wangu njiwa) mimi nakutuma, nenda mpaka msangaaa kamwambie namwita dada mwajuma, mwambie arudi bado namuhitaji akitaka kanga boymamnda mimi nitanunua, ngoma kali sana kaka mudy, mwaka 1990

    • @mariamabdullah489
      @mariamabdullah489 2 года назад

      mwambie mimi siweeezi kurudi kwake mwenzio nimeshaolewa

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  2 года назад

      Ngoja nikutafutie TOPAZ sista!

    • @twahamtumbi7823
      @twahamtumbi7823 2 года назад

      @@TamuzaKale bro Muddy dada Mariam ameliomba hilo da ngoma kali sana kama unnalo liweke

    • @mariamabdullah489
      @mariamabdullah489 Год назад

      @@TamuzaKale mwaka sasa kaka mudy, nenda wangu njiwa mimi nakutuma haualipata

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  Год назад

      @@mariamabdullah489 Ngoja nicheki kwa masela. Dah! Nimepitiwa sistangu. Wanasemaje majuu? Ungenicheki Whatsapp ama namba yangu umeitupa?

  • @mzeemudy8905
    @mzeemudy8905 5 лет назад +1

    Nawapata sana hao Atomic advantage watoto wa Temeke

  • @ibraibrahim8935
    @ibraibrahim8935 4 года назад

    Umeetisha pairot RIP home

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 4 года назад +3

    Fundi au mtaalam omry omary wa piano, Yani anapiga kwa vituo bila papala kinanda.

  • @abdallahalambure7767
    @abdallahalambure7767 2 года назад

    Kinanda 2 omy omy m2 m bady we acha TU chini vinaenda vingi

  • @husseinshaban2382
    @husseinshaban2382 5 лет назад

    Kule topsi uku gusta sandali roba kama zote maisha yanaenda kasi sana

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  5 лет назад

      Hahahaha baba umekumbuka Sandalai ya miaka ya 90? Mwanangu kule mithani.... Minazi mirefuuuuu pale katika kipori... Siku hizi hakuna tena... Daah! Kipande cha Kwa Muhindi ukipita salama unashukuru!

    • @husseinshaban2382
      @husseinshaban2382 5 лет назад +1

      @@TamuzaKale bado nipo hapa mjini maeneo yamebadilika sana kaka nimeama maeneo ya manova city

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale  5 лет назад

      @@husseinshaban2382 pamoja sana

    • @idrissamohamed8469
      @idrissamohamed8469 5 лет назад +1

      Nakumbuka kipindi cha miaka 94 had 98 sikua nauelewa mchiliku wowot tofaut na Omar Omar

    • @aminimrisho9043
      @aminimrisho9043 5 лет назад

      @@TamuzaKale kaka samahani tafuta ngoma za eleven starz hamadi mududu wapambe mikosi nk au chaukucha ya kitambo ya baba jey

  • @mwajabujumbe2036
    @mwajabujumbe2036 4 года назад

    A