Rip manji mw mng akupumzishe mahali pema peponi wakati yupo madarakan alifanya wananchi tuwe na furaha muda wote yanga ilikua ya makombe kama ya GSM tutakukumbuka daima shujaa wetu mbele yako nyuma yetu akika wote ni wamwenz mngu na kwake tutarejea.
Yanisimba mchanganyikiwa Simba bado mlikuwa mnapenda sema alishagoma kusaini na hataangekuwa na mkataba msingetuuzia ndio tabia zenu vumilieni tu acheni majungu
Kijana natoa ushauri ngao yà Jamii iwe CHAMA's DAY.
Hii imeenda msemaji wetu weka signature kabisa hapa
Ayaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
Simba sisi yanga tutawachapa Yani kichapo kipo palepale
Mbona mnachukua walio maliza mikataba si mvunje mkataba
Tuliza mtori nyama zipo chini.
Rip manji mw mng akupumzishe mahali pema peponi wakati yupo madarakan alifanya wananchi tuwe na furaha muda wote yanga ilikua ya makombe kama ya GSM tutakukumbuka daima shujaa wetu mbele yako nyuma yetu akika wote ni wamwenz mngu na kwake tutarejea.
Hakika Yanga tumempoteza kiongozi jasiri aliyeipenda Yanga kwa moyo wake wote!
Aaah 😂😂
غفر الله له وأسكنه الفردوس الأعلى
Mwenyezimungu twakuomba mlaze mahala pema amii😢😢😢
Mwenyezimungu twakuomba mlaze maala pema yussuph manji amii😢😢😢
Mwachen chama aende huko
Yanisimba mchanganyikiwa Simba bado mlikuwa mnapenda sema alishagoma kusaini na hataangekuwa na mkataba msingetuuzia ndio tabia zenu vumilieni tu acheni majungu
Kuondoka kwa chama sio mwisho wa simba mzee
Kolo kumi zinakuhuxu
Anawagawa wachezaji sasa
Siku zinahesabika
Kwan chama nani wachezaji wangapi wamepita. Simba utopolo furahini kwa sababu mmechukua mchezaji. Kutoka. Club. Kubwa. Ndio maana mna furahi
Huu ni ushamba
Tukumbuke kumrehemu Yusuph Manji kwa hitma pale klabuni
Ally Kamwe ,, Prince Dube tunamtaka mnoooo
Uko anaenda kuuwa kipaji chake sio kwa ushirikina uliokuweppoooo pale nyuma mwiko atajuta kwenda uko
Hicho kikosi ulichokitaja kuna timu zitaogopa kuingiza timu uwanjani😅😅😅😅😅
Kuongea2 kuoga aaaah
sawa sis tulimsimanga hata nyie mtamsimanga2 then atakumbka nyumbani usilale namke wamtu ipo siku atamkumbka mmewe
ila ali kamwe ni chizi kabsa😂😂😂
Kungekuwa naugumugani kumpata Mzee bwana Acha ubwege wewe
Nzur sana hii chuma hiki.. Simba nguvu moja
Mamake maji wataita mma
Usajili wa kifala kuwahi kutokea
Alikamwe siomzima
Ali kamwe akili hana
Alikamwe ungea kwa staa
Gazeti tusha lisoma miaka7 leo mnataka kweli hamjielewi,,,,,
wee ndo hujielewi hahahahaha
@@DoreenMlay-e8g kazi yenu kungoja tuwachoshe wakishuka bei muwaokote halafu mnatulingia uo ni ushamba
Na bado
Hatununi nahatutanuna tunajuwa yupo kazini 2
Kuwakera tuuuu
😂😂😂 Ayaaaaaah
kulen mjane, ss tunatafuta mwali
Wajane watamuuuuuu
Free agent!!? Zogo? He!! Nchi Ina wapenzi wajinga kweli hii
Nikiwepo na Mimi 😂😂😂😂 ila ujinga Raha sana
Mbappe anaend madrid as free agent na madrid wana shangwe balaaa itakua sisi
Bado hamjasema na mtasemaa
Koloooooooo
Kwani ngoma na babaake saar muliwanunua?