ALLY KAMWE" SIMBA WAMEMPIGIA SANA MAGOTI CHAMA/HAWEZI KUCHEZA SHIRIKISHO/UBINGWA WA AFRIKA NI WETU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 50

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 3 месяца назад +6

    Kijana natoa ushauri ngao yà Jamii iwe CHAMA's DAY.

    • @robertnyangasa3758
      @robertnyangasa3758 3 месяца назад

      Hii imeenda msemaji wetu weka signature kabisa hapa

  • @JohnMagofi
    @JohnMagofi 3 месяца назад +3

    Ayaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂

  • @RauwrencMbwana
    @RauwrencMbwana 3 месяца назад

    Simba sisi yanga tutawachapa Yani kichapo kipo palepale

  • @leonidaskyarubota8145
    @leonidaskyarubota8145 3 месяца назад +3

    Mbona mnachukua walio maliza mikataba si mvunje mkataba

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 3 месяца назад +1

      Tuliza mtori nyama zipo chini.

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 3 месяца назад +2

    Rip manji mw mng akupumzishe mahali pema peponi wakati yupo madarakan alifanya wananchi tuwe na furaha muda wote yanga ilikua ya makombe kama ya GSM tutakukumbuka daima shujaa wetu mbele yako nyuma yetu akika wote ni wamwenz mngu na kwake tutarejea.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 месяца назад

      Hakika Yanga tumempoteza kiongozi jasiri aliyeipenda Yanga kwa moyo wake wote!

  • @Andrew_Kibasa
    @Andrew_Kibasa 3 месяца назад +3

    Aaah 😂😂

  • @jafaribenta73
    @jafaribenta73 3 месяца назад

    غفر الله له وأسكنه الفردوس الأعلى

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 3 месяца назад +2

    Mwenyezimungu twakuomba mlaze mahala pema amii😢😢😢

    • @TwahirMohammed-x2h
      @TwahirMohammed-x2h 3 месяца назад +1

      Mwenyezimungu twakuomba mlaze maala pema yussuph manji amii😢😢😢

  • @BarakaMlowe
    @BarakaMlowe 3 месяца назад

    Mwachen chama aende huko

  • @makamahenge1347
    @makamahenge1347 3 месяца назад +5

    Yanisimba mchanganyikiwa Simba bado mlikuwa mnapenda sema alishagoma kusaini na hataangekuwa na mkataba msingetuuzia ndio tabia zenu vumilieni tu acheni majungu

  • @tonymmbando4015
    @tonymmbando4015 3 месяца назад

    Anawagawa wachezaji sasa

  • @kombosiwa423
    @kombosiwa423 3 месяца назад

    Siku zinahesabika

  • @HappymassaoMassao
    @HappymassaoMassao 3 месяца назад

    Kwan chama nani wachezaji wangapi wamepita. Simba utopolo furahini kwa sababu mmechukua mchezaji. Kutoka. Club. Kubwa. Ndio maana mna furahi

  • @christophermpogole4944
    @christophermpogole4944 3 месяца назад

    Huu ni ushamba

  • @fadhirhemed5740
    @fadhirhemed5740 3 месяца назад

    Tukumbuke kumrehemu Yusuph Manji kwa hitma pale klabuni

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 3 месяца назад

    Ally Kamwe ,, Prince Dube tunamtaka mnoooo

  • @MagrethMoleli-py3zu
    @MagrethMoleli-py3zu 3 месяца назад

    Uko anaenda kuuwa kipaji chake sio kwa ushirikina uliokuweppoooo pale nyuma mwiko atajuta kwenda uko

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 3 месяца назад

    Hicho kikosi ulichokitaja kuna timu zitaogopa kuingiza timu uwanjani😅😅😅😅😅

  • @FredyCharles-sz4gr
    @FredyCharles-sz4gr 3 месяца назад +1

    Kuongea2 kuoga aaaah

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 3 месяца назад

    sawa sis tulimsimanga hata nyie mtamsimanga2 then atakumbka nyumbani usilale namke wamtu ipo siku atamkumbka mmewe

  • @jovinmashauriTv
    @jovinmashauriTv 3 месяца назад +1

    ila ali kamwe ni chizi kabsa😂😂😂

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 3 месяца назад

    Kungekuwa naugumugani kumpata Mzee bwana Acha ubwege wewe

  • @rubenemanuel2240
    @rubenemanuel2240 3 месяца назад

    Nzur sana hii chuma hiki.. Simba nguvu moja

  • @ZarafiAlly
    @ZarafiAlly 3 месяца назад

    Mamake maji wataita mma

  • @JumaNdalla-wk4rh
    @JumaNdalla-wk4rh 3 месяца назад

    Usajili wa kifala kuwahi kutokea

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 3 месяца назад +1

    Alikamwe siomzima

  • @MagrethMoleli-py3zu
    @MagrethMoleli-py3zu 3 месяца назад

    Ali kamwe akili hana

  • @ZainabShomary
    @ZainabShomary 3 месяца назад

    Alikamwe ungea kwa staa

  • @OMARYJUMANNEMWINYIHERI
    @OMARYJUMANNEMWINYIHERI 3 месяца назад

    Gazeti tusha lisoma miaka7 leo mnataka kweli hamjielewi,,,,,

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 3 месяца назад

      wee ndo hujielewi hahahahaha

    • @OMARYJUMANNEMWINYIHERI
      @OMARYJUMANNEMWINYIHERI 3 месяца назад

      @@DoreenMlay-e8g kazi yenu kungoja tuwachoshe wakishuka bei muwaokote halafu mnatulingia uo ni ushamba

  • @yusuphenock673
    @yusuphenock673 3 месяца назад

    Na bado

  • @chikualiy8705
    @chikualiy8705 3 месяца назад

    Hatununi nahatutanuna tunajuwa yupo kazini 2

  • @rukiamtego
    @rukiamtego 3 месяца назад

    😂😂😂 Ayaaaaaah

  • @NtuzuNtuzu
    @NtuzuNtuzu 3 месяца назад

    kulen mjane, ss tunatafuta mwali

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 3 месяца назад +1

    Free agent!!? Zogo? He!! Nchi Ina wapenzi wajinga kweli hii

    • @SebaProcess
      @SebaProcess 3 месяца назад

      Nikiwepo na Mimi 😂😂😂😂 ila ujinga Raha sana

    • @mchox1679
      @mchox1679 3 месяца назад +2

      Mbappe anaend madrid as free agent na madrid wana shangwe balaaa itakua sisi

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 3 месяца назад +1

      Bado hamjasema na mtasemaa

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 3 месяца назад

      Koloooooooo

    • @IddyAmir-gq1jr
      @IddyAmir-gq1jr 3 месяца назад

      Kwani ngoma na babaake saar muliwanunua?