Sheikh Izudin - Barking, London

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 46

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Год назад +2

    Maa shaa ALLAH shekhe wetu. MUNGU akuhifadhi akuweke uzudi kunufaisha watu

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад

    Sheikh izxudin yuwaongea mambo vizuri saana nimej8funza mengi lutoka kwake Allah awahifadhi awaongoze awaoe afya na umri mrefu

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Год назад +1

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @Shakila-t3c
    @Shakila-t3c Год назад +1

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi Allah akulinde, akupe umri furaha na mafanikio duniani na akhera. Nimefurahishwa na adhana iliotolewa Muadhin alikua tayari kabisa kutoa adhana Masha Allah tabarakallah yassalam. Allah atupe nguvu katika kutekeleza ibada. Jazakallah kheir 🙏. Allah awalinde🙏

  • @uuunnn3145
    @uuunnn3145 Год назад

    Mashallah Allah akujazee kheri kila uendapo amiin yarabb amiin

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад

    Nikiwa na huzuni mamfunguwa shekh naskiza darasa zake nafurahika mashalla

  • @gangstabiraza
    @gangstabiraza Год назад +1

    Mashallah Tabarakallah, next destination USA inshallah. Shekhe letu tunamuomba Allah amzidishie katika Elimu, taqwa na barakah Aameen

  • @HalimaJira
    @HalimaJira Год назад +1

    Mashallah sheikh wetu Allah akuhifadhi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Год назад +1

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Год назад

    Barak feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @114chapters
    @114chapters Год назад +2

    Assalaam Alaikum. Nasaha kwa wale ndugu zangu waliomsema ndugu yetu sheikh Izuddin....Wallahi khasara kwenu kwa maneno mulioyasema na mukiwa na akili na mwaipenda sunnah , nawaomba mufute maneno mulioyasema na kumuomba msamaha ili musamehewe na Mola azza wajalla. Na pili iwe ajua kiarabu ama hajui yeye ametowa alilonalo katika ilmu yake na ame baligh hata kama ni aya moja. Na Mola akubaali khutba yake....aamin!

    • @abuuzainab8581
      @abuuzainab8581 Год назад

      kwa sababu ya chuki zaooo... aliye mbeee yuko mbeee

    • @hashimsaid3766
      @hashimsaid3766 Год назад

      Bora ujumbe umefika hiyo lugha hatakam hajui

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 Год назад

      Mti wenye matunda ndio upigwao

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 Год назад

      Ss hatutaki kiarabu kwasababu ss waswahili na hatujui kiarabu

  • @ahmedymasimba1096
    @ahmedymasimba1096 Год назад +1

    Mashaa Allaah

  • @khasimjeilani5647
    @khasimjeilani5647 Год назад +1

    MashaAllah

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Год назад

    Hata mtume Muhammad walimsema hajui kitu,kwahyo hatuwashangai nyinyi waswahili kumsema shekhe tena ni mirithi wa mitume na maswahaba,mujiandae kesho kujibu kwa mungu

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

    Maa shaa Allah khutba kwa kiarabu mzuri, ingawa chunga lugha naona imekupita sana, ingekuwa bora ungeandika ukasoma, maana wakiiskia mawahabi duh watatuumbua.

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Год назад

    Mtu akikutunikia h7fai kumvunja utaipokea vizuri saana kwan8 ni.dhambi aliomba amemtunukia kheikh wake ni.vizuri sote tuatunikie ma sheikh wetu hawastahiki musiwaudhi wenezenu ma sheikh kwa maneno mbaya mbaya .ung8 haradhi na nyinyi mukuwa mutawasema vibaya waja wa mungu hawa

  • @abdul6609
    @abdul6609 Год назад

    Fadhali angeandika bora zaidi

  • @SuleimanHassan-o6f
    @SuleimanHassan-o6f Год назад

    Uzuri angeandika amejishusha

  • @abuyusuf-it5rm
    @abuyusuf-it5rm Год назад +1

    Miskini kumbe sheikh izzuddin n mtupu kw arabik mbn mwamkalifisha

    • @omarkhamis4804
      @omarkhamis4804 Год назад

      Maana ameongea kiswahili ama

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      ​@omarkhamis4804 hhhhhhhhhhhhhhhh ameongea kiarabu lakini kina makosa mengi sana kaka, ndio nimeelewa hivyo.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      Jamani kiarabu kina wenyewe hhhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂 wacha tu, twasema piga goti kumbe wenyewe hatumo.

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Год назад +2

      Watu wengine mwachekesha badili.yakubeba faida wabeba makosa SUBHANNALLAH

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Год назад

      Waonaje uende wewe ukaongee fluently arabic

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Год назад

    Shehe izudini wapenda hagallah.. Na masharifu hamuruhusiwi hizo bahshishi kwa mimbar.. Ahlu beiti hyfai kupokeya sadaka 😮😂😂😂😂😂😂

  • @abdul6609
    @abdul6609 Год назад +1

    Hajui hata kuongea kiaraubu sub Allah aibu

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 Год назад

      Wewe mwenye kujua kiarabu soma hapa chini👇
      قال الحسنُ في قوله تعالى: بل الإنسانُ على نفسه بصيرة، يعني: بصيرٌ بعُيُوب غيره، جاهلٌ بعيوب نفسهِ. (تفسير القرطبي).
      وقال العلماء: اشتغل بنفسك ثم غيرك.
      وقال العرب: من دخل فيما لا يعنيهِ لقيَ ما لا يُرضِيهِ.

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 Год назад

      Kisha ndugu yangu Umeona kuwa wewe umeyaona ya Mwengine yako huyajui, Sasa tazama kiswahili chako ulicho andika Kiko sawa?
      ALLAH ATUHIFADHI SOTE.

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 Год назад

      wewe mwenyewe hujui

    • @swalehfarid5466
      @swalehfarid5466 День назад

      Angekuwa Msanii Asingekosolewa Hata Angeanguka Kwenye Jukwaa Ila Kwakuwa Ni Shekhe Ana Anatangaza Dini Ya ALLAH Lazima MASHETANI WAKOSOWE ILI WATIE DOSARI KATIKA UTAJO WA ALLAH.Cha Kufurahisha Nikwamba Wanapokosowa WALLAHI DINI NDIO INAZIDI KITAWALA ALHAMDULILLAH

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Год назад

    Shehe kapewa bahshishi kwa mimbar ama ni hagalla..? 😂😂😂

    • @maryamsalim3233
      @maryamsalim3233 Год назад

      Ni zawadi

    • @JK-um6op
      @JK-um6op Год назад

      @@maryamsalim3233 zawadi kwa mimbar..? Lol 🤣🤣🤣 mashehe wetu wanapenda hizo hagallah.. 😂😂😂