"ETI KAJENGA UWANJA NYUMBANI KWAO, NIKIFA NITAENDA NAO KABURINI?" - MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • "ETI KAJENGA UWANJA NYUMBANI KWAO, NIKIFA NITAENDA NAO KABURINI?" - MAGUFULI
    MGOMBEA Urais (CCM) Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 14, ameendelea na kampeni za kunadi sera zake na za chama chake wilayani Chato mkoani Geita...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 235

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 4 года назад +15

    Wakasema tutakufa kama kuku sasa hivi wanapita kwenye majukwaa kunadi sera zao bila kuvaa barakoa aibu yao, Magufuli baba lao

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 4 года назад +8

    Huyu rais aise ni wa maana sana hapa duniani, ni mzalendo ambaye sijawahi kuona.

  • @shukurumundandu3244
    @shukurumundandu3244 4 года назад +9

    Alikuja amevaa balakoa kubwa Kama mfuko sasaiv kashalitupa anapanua domo Kama kinda la ndege kuponda jitihada za wenzake

  • @mfalmewanyika2804
    @mfalmewanyika2804 4 года назад +9

    Nahuku Tanga rais wetu, uwanja wetu wa ndege unahitaji maboresho kidogo asante. Kazi tunaziona hakuna ubishi. 🙏🙏🙏

    • @marwaabdalla9306
      @marwaabdalla9306 4 года назад

      yupo busy kujenga uwanja wake , wewe kaa tu na mashimo yenu

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 года назад +1

      @@marwaabdalla9306 acha unafiki wewe, sasa akijenga anakotoka kuna tatizo?. Weak mindset, anavyofanya maendeleo mikoa mingine mbona husemi.

    • @marwaabdalla9306
      @marwaabdalla9306 4 года назад

      Eti raisi wako jibu lake kwanj nikifa nitachukua huo uwanja kaburuni, what a weak answer? because everybody know the answe to that question. Just because you not taking something with you when buried does not mean it rhe right thing to do. Tell us why is important for him, by the way only president who built himself an airport. Kisha yeye ni mtu wa wanyonge, nendeni kamtangulizeni Mungu, stop nonsense

    • @mfalmewanyika2804
      @mfalmewanyika2804 4 года назад

      @@marwaabdalla9306 mbona unanifokea kaka. Huyu ninae muomba ndie rais wetu kwa sasa kwahiyo sioni kosa kumuomba nawewe kamuombe huyo rais wako na M.Mungu kama atatuletea rais mwengine pia nitamuomba

    • @marwaabdalla9306
      @marwaabdalla9306 4 года назад

      @@mfalmewanyika2804 sijasema kumuomba vibaya, utakua hujanifahamu mie. I believe its fair request to rennovate airport in Tanga. But to spend billions to build an aiport that will essentially serve him is wrong and abusive of public funds, the money for all Tanzanians regardless their political affiliation.

  • @tizilamassaga6756
    @tizilamassaga6756 4 года назад +5

    Wengine tuko wakulima hiyo mipunga tungeivunaje? Barikiwa raising wetu.

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 4 года назад +7

    Mungu akubariki sana

  • @ARCHANDRAMUMBUNGU
    @ARCHANDRAMUMBUNGU 4 года назад +5

    Magufuli KURA yangu asubuhi na mapema umepata

  • @ARCHANDRAMUMBUNGU
    @ARCHANDRAMUMBUNGU 4 года назад +6

    Magufuli NAKUPENDA sana

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +7

    Pamoja sana kiongozi

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад +4

    Shetani membe na lisu washashindwa na kulegea mpaka amekimbia nchini

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 4 года назад

    Pole baba na kazi.usichoke kupambania Taifa.binadamu atunajema wasioona nini unafanya awataona daima.

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 4 года назад

    Mkuu usiumizwe kichwa baba,kama walikuja na bajaji waseme na kama wana uchungu waende leba wakazae!!! Nakupenda mno na pia namshukuru mwanamke yule aliyekuzaa Mungu amlinde na kumbariki penda sana presdaaa

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 4 года назад +6

    Muache aendelee kuongea maneno yake ya shombo piga kazi baba

  • @justinebahati2875
    @justinebahati2875 3 года назад

    Mungu akulinde huko uliko baba yetu.
    sisi wanao huku umetuacha salama.japo hali ni ngumu ya kimaisha

  • @saleimanfaida1920
    @saleimanfaida1920 4 года назад

    Baba Magufuli tunakupenda sana..Mola akubariki na akuongezee Nuru ktk kazi zako...ubarikiwe sana baba..utashinda baba Mola yu pamoja nawe..

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 4 года назад +1

    Pole mzee mungu yu nawe

  • @patterypaschal5212
    @patterypaschal5212 4 года назад +6

    Pa1 Sana rais we2 unaongea point sana

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 4 года назад +5

    ALLAH bariq baba magufuri stay in peace. Ami.

    • @marwaabdalla9306
      @marwaabdalla9306 4 года назад

      who??? Allah? Abariki mtu aliyewaweka mashekhe ndani bila kosa, you are out of mind, if you have any

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 4 года назад +18

    Lisu ushindwe na ukalegee na michuma yako hiyo ikufiatuke ichomoke yote shenzi mkubwa kabisa.

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 4 года назад +4

      Kweli ashindwe, maana anatuchosha na kelele zake

    • @feristamussa4181
      @feristamussa4181 4 года назад +3

      Tena apigwe upofu na alaniwe lisu

    • @bacteria5184
      @bacteria5184 4 года назад

      Ssa uwanja Wa chato ni Wa nni wakati wenyeji maskini

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 4 года назад +6

    Mimi hapa magu nakupa 💯💯💯💯💯💯

  • @anwaritesal4695
    @anwaritesal4695 4 года назад +3

    Safi Sana..mitano mingine Tena.

  • @mukildoto9930
    @mukildoto9930 4 года назад +1

    upo sahihi baba

  • @dismasmmasi2657
    @dismasmmasi2657 4 года назад +1

    Kwani uongo mzee si umejenga nyumbani Hongera

  • @user-jk5ir4ke3z
    @user-jk5ir4ke3z 4 года назад

    CCM namba moja

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 4 года назад

    Mr president hapo umeteleza. Kujenga hata choo ni political favoratism. you shouldnt have done that....

  • @Johnmasanja27
    @Johnmasanja27 4 года назад +3

    Waambie wakamuulize mai zumo atawaambia faida za kununua ndege😆

  • @zenamanjemu8742
    @zenamanjemu8742 4 года назад +4

    Usijifu sana mkuu corona bado ipo

  • @aishamalunkwi8316
    @aishamalunkwi8316 4 года назад

    Sahihi mkuu

  • @samwelimwanisawa9035
    @samwelimwanisawa9035 4 года назад +2

    ata utufokee hatukupi kula maana umewaweka ndugu zetu sana mtaani miaka mitano na wewe katafute kazi nyingne ufanyeee lisuuuuuuu hoyeeeeeeeeee

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 4 года назад

      Usimpe wewe kula kabisa

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 4 года назад +1

      Mie na wenzangu kadhaa tutampa kura nyingi sana tena asubuhi tu yaani hapa tunaomba Mungu atujaalie tu uhai - TUKUTANE 28/10/2020

    • @malkiadianney2627
      @malkiadianney2627 4 года назад

      We mwenyew umesoma unataka uajiriw haunaa chetii!!

    • @farajamaduhu1981
      @farajamaduhu1981 4 года назад

      Wivu tu....
      Kikura chako hata usipompa magufuli atashinda tu.

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 4 года назад

      @@farajamaduhu1981 tena kwa kishindo ambacho hawajahi ona

  • @vitolomohd4979
    @vitolomohd4979 4 года назад +4

    Babu lisu nimwehu tutamnyoosha mwaka huu.

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti9160 4 года назад +1

    Baba umesema vema mno pongezi nyingi

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 4 года назад +2

    Hata mbeya kiwanja kikubwa baba wasikuumize kichwa

  • @alihu3752
    @alihu3752 4 года назад

    Hao wanapenda Hera mifukoni tu ndio waafrica tulivyo hata akipita barabara za matope na uchafu lakini akiwa napita juu take ni Sawa tu wapo waovyo.

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 4 года назад +6

    Chato ni sehemu ya TZ ina haki ya kupata maendeleo pia kama zilivyo sehemu zingine

    • @oswaldshayo2758
      @oswaldshayo2758 4 года назад +1

      Kwani chato ni burundi?

    • @salmuhassansalmu4040
      @salmuhassansalmu4040 4 года назад

      Lisu nimuoga mbaguzi hanataka kuleta ukanda naukabila vitu ambavyo mwalimu nyerere alisha vifuta nashangaa kumbe tz bado malofa wavivu wazembe wapumbavu bado wapo Tanzania yaleo kweli sikuzote utongundua neema mpaka ikutoke majuto ni mjukuu

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 4 года назад +2

    Mkuu ukimjibu unampa kiki ya yakuongea sio saizi yako ...Saizi yake ni sisi tar 28 October tunamkata asubuhi ili akalie ubeligiji kwa mabwana wake
    .

  • @gaudensiaevarist8031
    @gaudensiaevarist8031 3 года назад

    hatutachoka kukulilia shujaa watu mtetezi wetu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 года назад +2

    Waache wabwabwaje daddy. Kwn wananchi wa chato hawataki maendeleo. Wapite wakienda tena kwa kukimbiza. Wasikupe headache baba yetu. Shame upon them

    • @lilianestephanie7881
      @lilianestephanie7881 3 года назад

      Mwenyewe nilikuwa nashangaa. Sasa chato ndo hawataki maendeleo auu???

  • @kalistusauzebi5707
    @kalistusauzebi5707 4 года назад +2

    Mzee tumechoka huna sera

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 4 года назад

      Hana sera huyo Lissu wenu yan watz wengine mnakera jamani mkatawazwe ndo mjue mtu mzalendo sishangai ndomn mpk leo Africa inatawaliwa na wazungu sababu weng akili hamna kabisa

    • @farajamaduhu1981
      @farajamaduhu1981 4 года назад

      Hizo zako ni kama kelele za chura, haziizuii nguvu ya buldoza kuchukua na kuweka waaa. Chuki zako ni sawa na tone la mvua baharini. Mtatotoa rasmi mayai yenu na kujipatia vifaranga vya kulea trh 28/10/2020 maaana jogoo limeshawika. CCM hoyeee...

  • @kelvinmnyingi1151
    @kelvinmnyingi1151 4 года назад +1

    Lisu no chizi kamili

  • @abdullasuleiman4477
    @abdullasuleiman4477 3 года назад

    P

  • @ephrandandu180
    @ephrandandu180 4 года назад +1

    Wanajua ndege itamsaidia mwananchi kiipanda tuu.kumbe hata asipopanda maingizo yatamsaidia tuu mwananchi

  • @emmynkuu1533
    @emmynkuu1533 4 года назад +2

    Mipango ya kujenga kiwanja kwa kweli ni mipana! Ila motive ndo ishu.

  • @lukasjastin8749
    @lukasjastin8749 4 года назад +3

    Kapumzike MZEE tumekuchoka

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 года назад +2

      Sema ww umemchoka sio wote

    • @ramadhanikambalame5185
      @ramadhanikambalame5185 4 года назад +2

      Lucas mwambie baba ako apumzike

    • @lukasjastin8749
      @lukasjastin8749 4 года назад

      @@ramadhanikambalame5185 hivikweli unaufaham wakutosha kweli .magufuli ni booonge la jizi

    • @feristamussa4181
      @feristamussa4181 4 года назад

      Kwani were sio mwizi kalale wewe magufuli oyeeeee CCM oyeeeeeee

    • @stephenpaul8679
      @stephenpaul8679 4 года назад

      Tupe ushaidi wa wizi wake lukas jastin

  • @martinmalisa2946
    @martinmalisa2946 4 года назад +2

    Kwahiyo mheshimiwa korona iko kwenye ilani yenu na je uwanja wa chato unalisaidia Nini taifa mkuu ? Na je vp kuhusu mdahalo mh.

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna8110 4 года назад

    Yani hii imenifundisha sana wanasema wachaga tukipewa nchi tunapendelea kwetu kumbe nawasukuma mpo??? Kwetu kwanza , pia (asiependa kwake nimtumwa)

  • @zenamanjemu8742
    @zenamanjemu8742 4 года назад

    Usitufokee mzee

  • @augustinejoseph8957
    @augustinejoseph8957 4 года назад +1

    M4C. 4life

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 4 года назад +1

    Kwanza yule pimbi hana hoja. Swali langu moja kwa lisu hatoe majibu kwa watanzania kwamba fedha za chama chao kinachojinasibu kinataka kushika madaraka zimefanya nini mpaka Leo na huku wanachama wao wanalalamika hawaruhusiwi kuhoji matumizi yake? Maana uwanja wa chato sisi wtz tumeouona ata kama yeye anadai hauna faida haina shida . atujibu fedha ambazo wabunge wa chadema walikuwa wanakatwa kwenye mishahara yao zimefanya kazi gani kwenye chama chao ata jamii kwa ujumla ? Kazi yake kukosoa vitu vinavyofanywa na serilali kwa waziwazi kabisa wakati ya kwao ambayo ata hatuyaoni hakosoi.jinga sana yule.

  • @estermarcely1058
    @estermarcely1058 4 года назад

    SEMA Baba Huyo Anae Sena Vyauwanja Na Ndege Ashindwe Kwelikweli Maendeleo Tunayaona.

  • @robertelias114
    @robertelias114 4 года назад +2

    hatujafungiwa lakn tunakipta cha mtema kuni

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 года назад

      Kwenu kafa nan au unafk na uzandiki

    • @znz9083
      @znz9083 4 года назад

      Wamezoea ufisadii kula buree

    • @lilianestephanie7881
      @lilianestephanie7881 3 года назад

      Hamna shukrani yaani.

    • @lilianestephanie7881
      @lilianestephanie7881 3 года назад

      Ingetokea lockdown Hadi sasahivi Kama nchi zingine, unadhani ungekuwa hai wewe au Ni mwendo wa kufa kwa njaa...

  • @veronicamwanalinze9532
    @veronicamwanalinze9532 4 года назад

    Uzuri wa Tznia kampeni zote hata kama huna sera wachache watashangilia wengine wanabaki km watazamaji, wengine matusi tu, utafiikiri yanaongeza idadi ya kura, ila kupiga kura ukifika ni siri ya mtu amchaguae.

  • @yaqoobalhinai3805
    @yaqoobalhinai3805 4 года назад +1

    Hiyo sio hoja yakorona watanzania wanataka uhuru haki maendeleo jamaa kapata cha kuzungumzia huna sera umechemka

    • @bahatisanga8664
      @bahatisanga8664 4 года назад

      Uhuru gan unatak Uhuru ukizidi ni matatizo

    • @znz9083
      @znz9083 4 года назад

      Ttzo ukosefu wa kutembea uko anakotaka kukupelekeni lissu kwa mifano mtajuta Maana hana akili

    • @memurutisaitoti1822
      @memurutisaitoti1822 4 года назад +2

      Wewe unaujinga mwingi ujui kenye unasema Rais anaweka watanzania kwa hali suri ati unasema ana Sera wewe unayo ? Ati amechemka wewe unafanana na lissu wenu mtuwachie mangufuli wetu wewe kama unangoja uwekewe chakula kwa mdomo utangoja sana kama unataka ushikwe mkono ufanye kazi utangoja

    • @allenmsuya002
      @allenmsuya002 4 года назад

      Iv mtu unasemaje una uhuru we unajua kweli uhuru lisu anaoutafuta kutukana watu wanavyo taka ushoga kam walivyo wahahidi wazungu wao unakuwa mkosa akili ukisema auko huru

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 4 года назад +3

    Na kwanini. Uanze kwenu mshezi tu wewe huna lakusema

  • @justice607
    @justice607 4 года назад +2

    Wewe ndio rais wa Tanzania 🇹🇿 mteule

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 4 года назад +2

    Hahaha na elegeee kabisa

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 4 года назад

    😂😂😂 hana hasiraaa 😂😂😂😂
    siasa na utendaji n vtu viwil tofauti😂😂😂😂

  • @deomushi7290
    @deomushi7290 4 года назад

    Tuachie baba tutamfundisha adabu arudi alipotoka magufuli oyeeeeeee

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 года назад +2

    Acha usenge

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 4 года назад

    Magifuri ana foka

  • @selemanimmeswa3556
    @selemanimmeswa3556 4 года назад +4

    Usinge mjibu nisawaswa nakupoteza muda

  • @lucymollel6509
    @lucymollel6509 4 года назад

    Kanda ya ziwa hiyo maendeleo

  • @stephenmwaisela263
    @stephenmwaisela263 4 года назад

    Mzeee maguu huyu nyumbu tundu lisu tuachie sisi,tutamuonesha jinsi gani tumejitambua hii kizazi,yy kaja na mawazo ya wakoloni ili ajishibishe yy na family yake.acha tumfurahishe ifikapo tar 29/10/2020.atajua hajui mpumbafuu sana huyu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 года назад +1

    Nonsense shall never end. Watuache na Magufuli weetu. Mussa wetu,baba tuvushe sisi twende zetu Cananiiiiii(Tanzania mpyaaaa). Tupo ulipo tena pamoja mno. Kelele kwa daddy akeeeeee

  • @lucymollel6509
    @lucymollel6509 3 года назад

    Kanda ya ziwa oyee uzunguni

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад

    Tunaomba nasie kusini mkoa wa ruvuma tufikirie viwanda chooonde raisi wa wanyonge

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад

    Piga kazi raisi wetu usiwasikilize wanao penda njia za mkato kushineee piga kazi upate pesa.

  • @mahijamsigiti6752
    @mahijamsigiti6752 4 года назад

    Baba fanya kazi kura tutakapa tu?????

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 4 года назад

    Wapimwe akili wanamatatizo makubwa sana
    Hivi wanaiona chato nikama siyo Tanzania au kwani kuna ubaya kujenga chato! Kama angejenga chato tu basi wangesema lakini mikoa mingi umejenga sasa wao wanamatatizo gani sijuw

  • @lucyraphael1078
    @lucyraphael1078 4 года назад

    Pigakazi baba wao maneno tu wewe ndochaguo letu magu 5 yako

  • @tanzaniapatrioticorganizat9413
    @tanzaniapatrioticorganizat9413 4 года назад

    Magufuli Baba lao...!!!! JPM 4 TANZANIA

  • @augustinejoseph8957
    @augustinejoseph8957 4 года назад

    Naww mzee plesha itakuua 😂😂

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 4 года назад

      Muombea janga mwenzie janga hilo humrudia mwenyewe - safari njema kama utatangulia kabla yake.

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 4 года назад

    Sasa kwnn isiwe uwanja ukajengwa dodoma kwanza adi chato kwanza?

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 года назад

      Uwanja dodoma ulikuwepo kabla ya chato, ila wanaongeza zaidi na kupanua cha awali kwasababu ya jiji. Wakati mwingine tukue kiakili vyovyote ni sawa

    • @lilianestephanie7881
      @lilianestephanie7881 3 года назад

      Kumbe hata hujui kama dodoma Kuna uwanja wa ndege😂tulia tuu acha baba afanye yake. Kwani chato kuna wanyama?

  • @cyprianshayo4044
    @cyprianshayo4044 4 года назад

    Kati ya chato na shinyanga wapi paanze?????

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 года назад

      Popote panatakiwa kuanza, kama kuna viwanja vilianza kabla ya chato kuna tatizo gani chato pia ikianza kuliko sehemu nyingine?

  • @andronicomanasemkuyu5333
    @andronicomanasemkuyu5333 4 года назад

    Kujenga uwanja chato ndo mipango mipana?

    • @maulakaroli8323
      @maulakaroli8323 4 года назад

      SMS yako inanuka mavi mtoto wewe tuache wapiga kura tuna jambo letu october na tunahakikisha mashoga wote mnarudi ubelgiji

    • @bacteria5184
      @bacteria5184 4 года назад

      Ina faida gani huo uwanja wakati wenyeji maskini

  • @jazaliluyaya9451
    @jazaliluyaya9451 4 года назад

    Dah kwakweli hii ni hatali chato lami kama yote uwanja wa ndege pia ila kusini mmmh barabara ni za shida mimi ni CCM ila eeeh kura yangu upande wa pili

  • @virginiapetro6228
    @virginiapetro6228 4 года назад +1

    Maendeleo tumeyaona asiye macho aambiwi tazama,. Yeye anatangaza kuwa ata ajiri Kama sio leri, vituo vya afya, barabara, shule, ndege ,viwanda unavyoendelea kuvifufua,. Angeajiri Nini? Jpm wewe ndie simba wa Tanzania wanaogopa ngurumo hao. Wasuopenda maendeleo na mafissdi bdo hao hao. Hapa kazi iendelee

  • @alicekyai2746
    @alicekyai2746 4 года назад

    Hakuja na Bajaj Ila ametua uwanja unaotumiwa na public siyo chato hivi Kuna mtu anakata ticket ya ndege kwenda chato? Mzee acha panic jibu hoja za lisu ili watz tukuelewe siyo ubabe

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 4 года назад

      Wajinga ninyi ndo mnamuelewa sisi wenye akili tunaenda nae

    • @malkiadianney2627
      @malkiadianney2627 4 года назад

      Ana hoja gani huyo lisu, mbn hatuambii atafany nn tukimchagua

    • @farajamaduhu1981
      @farajamaduhu1981 4 года назад

      Mshamba wewe, kwaiyo sisi watu wa Chato hatuna hadhi ya ndege! Mjinga mmoja wewe! Na bado..tutawanyooosha trh 28/10/2020 mpaka mhame Nchi.

    • @colethakindimba6686
      @colethakindimba6686 4 года назад

      Ulitaka wajenge kwako?ubinafs tu huo

  • @seiftaji4416
    @seiftaji4416 4 года назад

    Umefeli sana kwahiyo kila rais ajae ajenge uwanja kwao? huo niubinafsi mkubwa mboni kikwete hakujenga uwanja kwao? hayo nimatumizi mabaya ya pesa za uma

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 года назад +4

      Kwan songea, mtwara, Dodoma, musoma, singida, simiyu, shinyanga na tabora ni kwao magufuli?? Fungua akili yako ujue ulipo na unapoenda usishikiwe akili

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 4 года назад

      Wivu

    • @simonkaheza5685
      @simonkaheza5685 4 года назад +1

      Aaah Kumbe naikulu angeipeleka Chato ndyo mngeridhika au sio

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 4 года назад +1

      Anasema hakujenga kwao tu kajenga vingi tu hata singida hujasikia? Au ndio wale wale wanaoungana na vibaraka kupinga kila kitu?

    • @fatumachagudadui3138
      @fatumachagudadui3138 4 года назад

      Ninyi wenye wivu na mashavu yamewavimba polen sana hamtafika salama

  • @zerobrain9683
    @zerobrain9683 4 года назад

    No friction no motion

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma2202 4 года назад +1

    Na kweli wanatoka ulaya kwa bajaji?

    • @DavidDavid-is9yk
      @DavidDavid-is9yk 4 года назад

      mzee wewe nimzuri umebana Sana mbaka Hali imekua ngumutanzania

    • @DavidDavid-is9yk
      @DavidDavid-is9yk 4 года назад

      mzee ninakusifia kwa mambo ulio yafanya mazuri ila mengi yao unakosea unabana Sana mbaka Hali unajua ngumu tanzania

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 года назад

    Tundu la lisuuuuuuu tokaaaaaaaaaaaaàaa

  • @kuchiafricancinema
    @kuchiafricancinema 4 года назад

    Mbona unatufokea mzee

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад

      Ukweli inauma Sana

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 4 года назад

      Ulikuwa unataka aongeeje

    • @kuchiafricancinema
      @kuchiafricancinema 4 года назад

      @@presseg.6362 nilitaka aseme alijenga uwanja wa chato kwa gharama gani wakati bunge halijapitisha pia hata kwenye ilani ya chama chake haikuwepo

    • @farajamaduhu1981
      @farajamaduhu1981 4 года назад

      Umetoka kuzimu wewe! Huna lolote,

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 4 года назад

    Huyuuu jamaaa hana selaaaa anatumia mpango kazi aliyoiacha j k""""

  • @marwaabdalla9306
    @marwaabdalla9306 4 года назад

    Kwani watu wanapojikumbizia utajiri wanaona watakwenda nao kaburini? jibu gani hili alilotoa MAGUFULI

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 4 года назад

    🤣🤣🤣Jpm unafurahishaa. Ashindwe NA aregeee.

  • @jamesngulimi1922
    @jamesngulimi1922 4 года назад

    Mh vumilia najua ukiwaunafanya mazuli kunawengi hawatapenda pagakazi tunakuombe kuanaloho pana

  • @delphinuskanyawela3818
    @delphinuskanyawela3818 4 года назад

    Ukweli unauma rais wangu gharama ya uwanja wa Chato ungetoa ajira kiasi gani

  • @sekuludevid6413
    @sekuludevid6413 4 года назад

    Maguu tunakupa kura tutamwonye th28

  • @faidamngele6061
    @faidamngele6061 4 года назад

    Me bado cjakuelew mkuu, ko point niktoktufngia. 2mechoka mzee achaktufokea ngoja tumwone na mwenzio.

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад

      Msikize na mwezio risasi kumi na sita na ushoga

  • @kennedymboma8268
    @kennedymboma8268 4 года назад

    Unaonaje magu tuwaachieinchi wakishindwa tuwatoe

    • @feristamussa4181
      @feristamussa4181 4 года назад +1

      Lisu hawez hata kuongoza watoto was chekechea ichi ataweza kwer nahivyo vuma mwili wote

    • @sittakibona4560
      @sittakibona4560 4 года назад

      Nyerere alikataa kuwapa nchi kw majarbio

    • @kennedymboma8268
      @kennedymboma8268 4 года назад

      @@feristamussa4181 tuwapetu ichisiyawote

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h 4 года назад

    Lisu kichaa kiuno kinamchanganya kudadeki sizani kama anaweza kula mzigo

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +2

    Suala ni je chato una kazi IPI huo uwanja na ulitumia gharma kiasi gani

  • @chibunews5642
    @chibunews5642 4 года назад +4

    Miaka mitano inakutosha acha tumpe mwenzio

    • @raphaelelisha8975
      @raphaelelisha8975 4 года назад +1

      Umpe na nani na mkeo

    • @piuslevokatuss1160
      @piuslevokatuss1160 4 года назад +1

      Yani watanzania hadi naumia sana bịkusona kometi wanakutukana naumia sana yani wana dam hata ukiwapa kila siku pesa watakutukanatu yania bola wali nyama kilịko wanadam

    • @sixbertsimon4323
      @sixbertsimon4323 4 года назад

      Katiba tuibadili tumpe miaka 20

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад +1

      @@piuslevokatuss1160 dio maanake kaka binadamu ni wale wale tu ameshidwa Musa wakati Wana wa Israeli waliteremushiwa chakuła kutoka mbinguni walimwambia Musa amwambie Mungu wake eti wameshoka na chakuła aina moja awambadishie na isharaka nyingi tu zimeteka, sasa dio itakuwa Mh Magufuli? Kumbuka Gaddafi, haha wanadamu kuongaza ni kazi

    • @ngwanafabian9668
      @ngwanafabian9668 4 года назад +1

      @@jarsaduba2626 ningekuwa mimi ndo naongoza Tanzania sijui kama ningeendelea maana watu wenyewe kama wamelaaniwa vile hawana jema

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 4 года назад

    Watu njaa zimezidi unaeleza nini mbww we wamba wewe

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад +2

      Jaa imekuzidi wewe na :familia yako wavivu Nyie mlizoea ya ufisadi sasa mnabaki tu hamjielewi, Awamu hu mtaisoma number Nyie wapinga maendeleo

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 4 года назад +1

      Tz hakuna njaa kama njaa unayo ww na familia yako ubabe wake nini?? Hama nchi basi huyo basha wene alikimbia na karudi bila balakoa mtapata tabu sana

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 4 года назад

      We ndo una njaa , acha kushoboka!! We ndo mbwa

    • @colethakindimba6686
      @colethakindimba6686 4 года назад

      Njaa imekujaa saaana mpaka yanayokutoka mdomon huyajui