UKWELI WA ARAFA NDIO HUU SHEIKH SULEIMAN JUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июн 2024
  • #kasfat tv#

Комментарии • 49

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Месяц назад +2

    tutawajua sana na uongo wenu

  • @FadhilaHamad-fr3sb
    @FadhilaHamad-fr3sb Месяц назад +1

    Mashallah

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Месяц назад +3

    Sasaivi kuna mtume mpya anaitwa simu na tv

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y Месяц назад +1

    Shkh samahan lkn umekosea mana hujazungumza kielim ila umeongeoa kiutashi t twambie kauli za wanachuon wanasemaje kuhusu kufunga arafa na so utafsir Kwa akili Yako shkh

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Месяц назад +1

    Ukweli unakuja kila jambo litakuwa bayaani ( wazi)

  • @mrishosekiondo8870
    @mrishosekiondo8870 25 дней назад

    Tatizo lenu America ishawanunua Kama vile Saudia ilivo nunuliwa miaka 20 ijayo saudia watajaa mayahudi

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 28 дней назад

    Huu ni upotishaji wa mtu ambaye anajiona anajua!

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Месяц назад +1

    Ayo tunayajua Mzee, povu jingi Huna Cha maana ata kimoja Cha maana😊

  • @YussufIssa-eg3ir
    @YussufIssa-eg3ir 29 дней назад

    Hhi uyu bwana asema abajali akiswali?

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Месяц назад +1

    Tunaomba fatwa kuhusu watu wa marekani mchana wa SAUDIA Arafa wao marekani ni usiku wamelala inamaana wafunge usiku?

    • @allymtito8117
      @allymtito8117 Месяц назад

      Wafunge wakiamka mchana wawo

    • @ahmadikasogota
      @ahmadikasogota Месяц назад

      Kwan wewe marekan umewauzaliza wamesemaj😂😂 Maan naon unawasemea marekani wew nchi yako inatofautian na makkah masaa mangap😅😅😅

  • @darajanida
    @darajanida 28 дней назад

    kuwalazimisha watu wafuwate saudia tu msimamo huwo haopu kishiria

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Месяц назад

    NJAA WANATAFUTA CHEO BAKWATA

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Месяц назад

    MAWAHABI HAWANA AKILI

    • @MwinyimvuaOmary
      @MwinyimvuaOmary Месяц назад

      Mwenye AKILI ni wewe Wala usipate shida
      Ila soma achana na kuwa na AKILI za KUSHIKIWA
      PENYE qauli ya mtume saw mwanachuoni Hana nafasi ya kuyaangusha maneno ya mtume saw

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 Месяц назад

    Dah! huyu mzee arudi tena MADRASA naona hatakikusema ukweli kuwa TV ndio zinazowangoza kwasasa asingizia MITUME NA MASWAHBA alfu hajiulizi kwanini sauti inakatakata acha kupotosha uma

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 28 дней назад

      Ww unafunga kwa kufuata nn kma c hizo cmu na TV na radio

  • @FundiHussein
    @FundiHussein Месяц назад +2

    Unatumia nguvu nyingi kiposha ila elimu huna.kwani mlikuwa mwa wasiliana vip Kaba ya simu na tv

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Месяц назад

      Sijui nani hana elimu kati ya wewe na yeye maana io hoja yako haina mashiko

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 Месяц назад

      Huyu jamaa kachanganikiwa kama unauliza kabla yasimu walikua wanawasilianaje, kwan ktk tanzania kabla ya sim kutoka dar mpaka dodoma walikua wanawasilianaje? wakataa utandawaz mbona taarifa za mwezi kutoka kwa mufti unazipata kwa njia ya mtandao simu au redio au tv acha kukataa mtandao halafu watumia mtandao huko ni kuchanganyikiwa.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Месяц назад

      Uyu ana matatzo ya ubongo, au ana ubongo wa jongoo

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Месяц назад

      ​@@kisomekiguwa3706 KISHA SEMA KUWA ABUU JEHELI FIRAUNI MWENZAO MAWAHABI ALIKUWA MCHAMUNGU SIO MCHEZO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. AKIPIGA SWALA TANO, FUNGA RAMADHAN YOTE, AKITUFU ALKAABA YAANI MCHAMUNGU WAO MAWAHABI NI ABUU JEHEL NDIO MAANA SUFI WAKIFANYA KARAMA KAMA ALIVYOFANYA MIUJIZA MTUME SAW HUA JIBU LAO NI LILE LILE LA BABA YAO ABUU JEHEL KUWA NI UCHAWI TU SUFI. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MWENZAO ALIMUITA MCHAWI MTUME SAW.

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy Месяц назад

      ​@@kisomekiguwa3706soma dini kabla ya technology waislam walikuwa wakifunga na kufungua Kwa kuangalia mwezi wao hapo unavyosema daa na Dodoma walikuwa wanawasiliana vipi huo ni ujinga wa akili kwani zamani kulikuwa na nchi daa na Dodoma?baada ya technology kulikuwa na redio tu na hapo ndipo daa na Dodoma zikawa kwenye inchi Moja kiongozi mmoja

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddy Месяц назад

    Huyo na ni shekh kwali mbona anaongea bila kutafakari kabla ya Tanzania kulikuwa na waislam walikuwa wanafunga arafa

  • @YussufIssa-eg3ir
    @YussufIssa-eg3ir 29 дней назад +1

    Waporja

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Месяц назад

    Ufaham Tatizo kubwa😢😢😢😢

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 Месяц назад +1

    Elimu yako 0

  • @YussufIssa-eg3ir
    @YussufIssa-eg3ir 29 дней назад

    Twambiye ni hadthi gani abajahali kaswali swala gani wewe mzushi

  • @muhammadabdul6272
    @muhammadabdul6272 Месяц назад

    Maskini

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE Месяц назад

    ANA VIDOLE KAMA FIMBO HUYU JAMAA

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Месяц назад

    SASA WEYE MUWAHABI UNAMGOMBA NANI HAPA NA UWAHABIA WAKO?😂😂😂. NAONA MAWAHABI MNATOA POVU KUTETEA UNAFIKI NA UONGO WENU

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Месяц назад

    Uelewa mbovu

  • @user-sy1qp5eg1s
    @user-sy1qp5eg1s 29 дней назад

    Msitupotezee MB kwa watu wanaohitaji kusoma

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Месяц назад

    😂😂😂😂ABUU JAHAL KUMBE MCHAMUNG AKIMUABUDU ALLAH SW, HUYO FIRAUNI WA UMMA HUU KWELI NYIE MAWAHABI MSHACHENGUKA AKILI😂, ALIOKUTOGENI AMEKUFA. YAANI ABUU JAHALI AKIMUABUDU ALLAH NA AKISWALI SWALA TANO NA AKIFUNGA RAMADHAN NA AKIHIJI AU SIO???. AAH ABUU JAHAL KUMBE NI MWALIMU WA MAWAHABI SASA TUNAJUA NA ALIKUWA NA FITNAAAA SIO MCHEZO NA WATOTO WAKE MNARITHI MASHALLAH 😂😂😂. HAO WANAOKUSIKILIZA WEYE HIVI PIA HAWANA AKILI KAMA WEWE AU?😂😂😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Месяц назад

      YAANI ABUU JEHELI AKIFUNGA ARAFA WATU WAKIWA HIJA 😂😂😂😂😂

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Месяц назад

    Hata kuongea hujuo😅

  • @mzeemwinyihassan9774
    @mzeemwinyihassan9774 28 дней назад

    Yeye alikuwepo makka Sasa je tuwambie kabla ya mitandao miaka1400 iliyopota jee wao wafunga vipi aau shekhe anakusudia kutuambia walikuwa wamekosea kufuata mweziii tujibuuubhilooo

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k 29 дней назад

    Katafute pichori ule huna jipya humpati mtu hapa

  • @user-rq7hr8ee7i
    @user-rq7hr8ee7i Месяц назад

    Wacheni ujinga zero wapi iyihadithi yauwongo kwani

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE Месяц назад

    MIMI WAHABI NDO NAWAKUBALI WANAONGEA VITU VINAINAINGIA AKILINI WENGINE WOTE WASUMBUFU