Shkh samahan lkn umekosea mana hujazungumza kielim ila umeongeoa kiutashi t twambie kauli za wanachuon wanasemaje kuhusu kufunga arafa na so utafsir Kwa akili Yako shkh
Mwenye AKILI ni wewe Wala usipate shida Ila soma achana na kuwa na AKILI za KUSHIKIWA PENYE qauli ya mtume saw mwanachuoni Hana nafasi ya kuyaangusha maneno ya mtume saw
Dah! huyu mzee arudi tena MADRASA naona hatakikusema ukweli kuwa TV ndio zinazowangoza kwasasa asingizia MITUME NA MASWAHBA alfu hajiulizi kwanini sauti inakatakata acha kupotosha uma
Huyu jamaa kachanganikiwa kama unauliza kabla yasimu walikua wanawasilianaje, kwan ktk tanzania kabla ya sim kutoka dar mpaka dodoma walikua wanawasilianaje? wakataa utandawaz mbona taarifa za mwezi kutoka kwa mufti unazipata kwa njia ya mtandao simu au redio au tv acha kukataa mtandao halafu watumia mtandao huko ni kuchanganyikiwa.
@@kisomekiguwa3706 KISHA SEMA KUWA ABUU JEHELI FIRAUNI MWENZAO MAWAHABI ALIKUWA MCHAMUNGU SIO MCHEZO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. AKIPIGA SWALA TANO, FUNGA RAMADHAN YOTE, AKITUFU ALKAABA YAANI MCHAMUNGU WAO MAWAHABI NI ABUU JEHEL NDIO MAANA SUFI WAKIFANYA KARAMA KAMA ALIVYOFANYA MIUJIZA MTUME SAW HUA JIBU LAO NI LILE LILE LA BABA YAO ABUU JEHEL KUWA NI UCHAWI TU SUFI. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MWENZAO ALIMUITA MCHAWI MTUME SAW.
@@kisomekiguwa3706soma dini kabla ya technology waislam walikuwa wakifunga na kufungua Kwa kuangalia mwezi wao hapo unavyosema daa na Dodoma walikuwa wanawasiliana vipi huo ni ujinga wa akili kwani zamani kulikuwa na nchi daa na Dodoma?baada ya technology kulikuwa na redio tu na hapo ndipo daa na Dodoma zikawa kwenye inchi Moja kiongozi mmoja
😂😂😂😂ABUU JAHAL KUMBE MCHAMUNG AKIMUABUDU ALLAH SW, HUYO FIRAUNI WA UMMA HUU KWELI NYIE MAWAHABI MSHACHENGUKA AKILI😂, ALIOKUTOGENI AMEKUFA. YAANI ABUU JAHALI AKIMUABUDU ALLAH NA AKISWALI SWALA TANO NA AKIFUNGA RAMADHAN NA AKIHIJI AU SIO???. AAH ABUU JAHAL KUMBE NI MWALIMU WA MAWAHABI SASA TUNAJUA NA ALIKUWA NA FITNAAAA SIO MCHEZO NA WATOTO WAKE MNARITHI MASHALLAH 😂😂😂. HAO WANAOKUSIKILIZA WEYE HIVI PIA HAWANA AKILI KAMA WEWE AU?😂😂😂
Yeye alikuwepo makka Sasa je tuwambie kabla ya mitandao miaka1400 iliyopota jee wao wafunga vipi aau shekhe anakusudia kutuambia walikuwa wamekosea kufuata mweziii tujibuuubhilooo
tutawajua sana na uongo wenu
Mashallah
Sasaivi kuna mtume mpya anaitwa simu na tv
Shkh samahan lkn umekosea mana hujazungumza kielim ila umeongeoa kiutashi t twambie kauli za wanachuon wanasemaje kuhusu kufunga arafa na so utafsir Kwa akili Yako shkh
Ukweli unakuja kila jambo litakuwa bayaani ( wazi)
Tatizo lenu America ishawanunua Kama vile Saudia ilivo nunuliwa miaka 20 ijayo saudia watajaa mayahudi
Huu ni upotishaji wa mtu ambaye anajiona anajua!
Ayo tunayajua Mzee, povu jingi Huna Cha maana ata kimoja Cha maana😊
Hhi uyu bwana asema abajali akiswali?
Tunaomba fatwa kuhusu watu wa marekani mchana wa SAUDIA Arafa wao marekani ni usiku wamelala inamaana wafunge usiku?
Wafunge wakiamka mchana wawo
Kwan wewe marekan umewauzaliza wamesemaj😂😂 Maan naon unawasemea marekani wew nchi yako inatofautian na makkah masaa mangap😅😅😅
kuwalazimisha watu wafuwate saudia tu msimamo huwo haopu kishiria
NJAA WANATAFUTA CHEO BAKWATA
MAWAHABI HAWANA AKILI
Mwenye AKILI ni wewe Wala usipate shida
Ila soma achana na kuwa na AKILI za KUSHIKIWA
PENYE qauli ya mtume saw mwanachuoni Hana nafasi ya kuyaangusha maneno ya mtume saw
Dah! huyu mzee arudi tena MADRASA naona hatakikusema ukweli kuwa TV ndio zinazowangoza kwasasa asingizia MITUME NA MASWAHBA alfu hajiulizi kwanini sauti inakatakata acha kupotosha uma
Ww unafunga kwa kufuata nn kma c hizo cmu na TV na radio
Unatumia nguvu nyingi kiposha ila elimu huna.kwani mlikuwa mwa wasiliana vip Kaba ya simu na tv
Sijui nani hana elimu kati ya wewe na yeye maana io hoja yako haina mashiko
Huyu jamaa kachanganikiwa kama unauliza kabla yasimu walikua wanawasilianaje, kwan ktk tanzania kabla ya sim kutoka dar mpaka dodoma walikua wanawasilianaje? wakataa utandawaz mbona taarifa za mwezi kutoka kwa mufti unazipata kwa njia ya mtandao simu au redio au tv acha kukataa mtandao halafu watumia mtandao huko ni kuchanganyikiwa.
Uyu ana matatzo ya ubongo, au ana ubongo wa jongoo
@@kisomekiguwa3706 KISHA SEMA KUWA ABUU JEHELI FIRAUNI MWENZAO MAWAHABI ALIKUWA MCHAMUNGU SIO MCHEZO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. AKIPIGA SWALA TANO, FUNGA RAMADHAN YOTE, AKITUFU ALKAABA YAANI MCHAMUNGU WAO MAWAHABI NI ABUU JEHEL NDIO MAANA SUFI WAKIFANYA KARAMA KAMA ALIVYOFANYA MIUJIZA MTUME SAW HUA JIBU LAO NI LILE LILE LA BABA YAO ABUU JEHEL KUWA NI UCHAWI TU SUFI. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MWENZAO ALIMUITA MCHAWI MTUME SAW.
@@kisomekiguwa3706soma dini kabla ya technology waislam walikuwa wakifunga na kufungua Kwa kuangalia mwezi wao hapo unavyosema daa na Dodoma walikuwa wanawasiliana vipi huo ni ujinga wa akili kwani zamani kulikuwa na nchi daa na Dodoma?baada ya technology kulikuwa na redio tu na hapo ndipo daa na Dodoma zikawa kwenye inchi Moja kiongozi mmoja
Huyo na ni shekh kwali mbona anaongea bila kutafakari kabla ya Tanzania kulikuwa na waislam walikuwa wanafunga arafa
Waporja
Ufaham Tatizo kubwa😢😢😢😢
Elimu yako 0
Twambiye ni hadthi gani abajahali kaswali swala gani wewe mzushi
Maskini
ANA VIDOLE KAMA FIMBO HUYU JAMAA
SASA WEYE MUWAHABI UNAMGOMBA NANI HAPA NA UWAHABIA WAKO?😂😂😂. NAONA MAWAHABI MNATOA POVU KUTETEA UNAFIKI NA UONGO WENU
Uelewa mbovu
Msitupotezee MB kwa watu wanaohitaji kusoma
😂😂😂😂ABUU JAHAL KUMBE MCHAMUNG AKIMUABUDU ALLAH SW, HUYO FIRAUNI WA UMMA HUU KWELI NYIE MAWAHABI MSHACHENGUKA AKILI😂, ALIOKUTOGENI AMEKUFA. YAANI ABUU JAHALI AKIMUABUDU ALLAH NA AKISWALI SWALA TANO NA AKIFUNGA RAMADHAN NA AKIHIJI AU SIO???. AAH ABUU JAHAL KUMBE NI MWALIMU WA MAWAHABI SASA TUNAJUA NA ALIKUWA NA FITNAAAA SIO MCHEZO NA WATOTO WAKE MNARITHI MASHALLAH 😂😂😂. HAO WANAOKUSIKILIZA WEYE HIVI PIA HAWANA AKILI KAMA WEWE AU?😂😂😂
YAANI ABUU JEHELI AKIFUNGA ARAFA WATU WAKIWA HIJA 😂😂😂😂😂
Hata kuongea hujuo😅
Yeye alikuwepo makka Sasa je tuwambie kabla ya mitandao miaka1400 iliyopota jee wao wafunga vipi aau shekhe anakusudia kutuambia walikuwa wamekosea kufuata mweziii tujibuuubhilooo
Katafute pichori ule huna jipya humpati mtu hapa
Wacheni ujinga zero wapi iyihadithi yauwongo kwani
MIMI WAHABI NDO NAWAKUBALI WANAONGEA VITU VINAINAINGIA AKILINI WENGINE WOTE WASUMBUFU
Wahabi ndio dini gani?