Wanavyuoni Wanasema Nini Kuhusu Arafa-Sheikh Huseein Ismail Aja na Hoja Hizi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 22

  • @abubakarwazir5572
    @abubakarwazir5572 4 месяца назад +1

    dozi iendeleee

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 4 месяца назад

    Dah! Ina lillah waina illah rajjiun

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy 3 месяца назад +2

    Sheikh yuko sawa maana ana soma vitabu vya wanachuon Tena wa saudia Sasa nyie mnahoji na kutukana

  • @abubakarwazir5572
    @abubakarwazir5572 4 месяца назад +2

    mzee mwenyewe kusoma hawezi 😂

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 4 месяца назад +1

    Kila mtu afuate msimamo wake msiwahangaishe watu.

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7ge 4 месяца назад

    Jameni mwezi wa kwanza haunekani na wote ndo maana mtume swa akaapisha mtu ili asihesabu vibaya.sikuyapili ya mwezi huoneka na kila mtu akili tu

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 4 месяца назад

    Wazungu wanatushinda wao ndo wanafata uislam ila ss sasa tunafata yakwao

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7ge 4 месяца назад

    Ukiambiwa mwezi umetoka kubali mtaharibu tarehe nyinyi

  • @yusuphhamisi504
    @yusuphhamisi504 4 месяца назад +3

    Utasikia baadhi ya mashekhe wanakwambia sisi Tanzania tukitangaza mwezi saudia wataukubali?Hivi Tanzania nchi ambayo imesema wazi Haina dini utaifananisha na saudia nchi ya mbora ya mbora wa viumbe na inasimamiwa na dola ya kiislamu

    • @MohamediHussein-o9b
      @MohamediHussein-o9b 3 месяца назад

      Mbona bado we unaishi Tanzania nenda Kule ukaishi Saudia
      Wazazi wako si wamezaliwa Kule Saudia
      Hata we hapo ulipo si unaishi Saudia
      Ndomana Tanzania haina Dini
      Je mwezi ukionekana Palestine Saudia watafunga

    • @yusuphhamisi504
      @yusuphhamisi504 3 месяца назад

      @@MohamediHussein-o9b huu ndo ujinga tunaoukataaa khabari za Palestine zinatokea wapi
      Acha umimi Palestine katoka Nani? Muhammad?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      ​@@MohamediHussein-o9b KWANI MTUME SAW ALIPOSEMA TUSHUHUDIE MWEZI KWA MUISLAMU MMOJA INATOSHA AU KWA NCHI YA SAUDIA INATOSHA?. YAANI UNATAKA KUWAAMINISHA WATU HUO UJINGA WAKO YA KUWA, MWEZI AKIUDHUHUDIA MTU AMBAE SIO MSAUDIA HATA KAMA MUISLAMU BASI USHAHIDI WAKE HAUFAI AU VIPI?!!!. EEEH JAHILIA MURAKAB LA KIWAHABIA WEEEEE😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      ​@@MohamediHussein-o9bushahidi Ni NCHI au muislamu?

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 4 месяца назад

    Kla mtu anatoa fatua kwel uislamu ume vamiwa bla kujijua

  • @daymalhomebae9488
    @daymalhomebae9488 3 месяца назад

    Tueleweni... Kwa kuwa kimasaa tuko sawa na 'Suudiya' haimaanisha lazima tutakuwa sawa kuuona mwezi... Ulimwengu wa Science na ipo katika Qur'an...

    • @suleimanh1826
      @suleimanh1826 3 месяца назад

      Lakini nyakati zetu za sala ni tofauti. Hebu jaribu kufuatilia saudia wanasali magharibi saa ngapi na sisi huku tunasali saa ngapi. Ukipata jibu rudi utueleweshe

    • @daymalhomebae9488
      @daymalhomebae9488 3 месяца назад

      Kama tumepishana basi dakika chache mno radio zetu za kiislamu kila zikitangaza saa zinasema ' sawia na saa za Makkah'

    • @daymalhomebae9488
      @daymalhomebae9488 3 месяца назад

      @@suleimanh1826 Ndivyo nilivyomaanisha kwamba magharibi yetu na ya Suudiya ni tofauti ikizingatiwa wakati jua linazama na kila mahali na kwa wakati tofauti... Angalia hata Ramadan timetable Malindi na Mombasa wanafungua kivyao.

    • @daymalhomebae9488
      @daymalhomebae9488 3 месяца назад

      Saa zetu zipo wakati mmoja, japo jua kuzama na mwezi kuonekana zinapishana. Sasa hatukuambiwa tuangalie saa...

  • @yusuphhamisi504
    @yusuphhamisi504 4 месяца назад

    Mfano Leo jumapili. Na saudia jumapili. Kizungu Leo Ni TAREHE 16/06/2023 na saudia Ni hivyo hivyo
    Muda pia Ni tunafanana iweje tupishane kwenye TAREHE ya kiislamu. ?

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 3 месяца назад

      wasaudia wenyewe ndio wanotuambia tusiwafuate Sasa tuwalazimishe Kwa Nini na Hali hawataki tuwafuate

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      ​@@jumafaki2891kwani jee unataka kuwaambia watu haijawahi kutofautiana tarehe ya kiislamu?.