Utasikia baadhi ya mashekhe wanakwambia sisi Tanzania tukitangaza mwezi saudia wataukubali?Hivi Tanzania nchi ambayo imesema wazi Haina dini utaifananisha na saudia nchi ya mbora ya mbora wa viumbe na inasimamiwa na dola ya kiislamu
Mbona bado we unaishi Tanzania nenda Kule ukaishi Saudia Wazazi wako si wamezaliwa Kule Saudia Hata we hapo ulipo si unaishi Saudia Ndomana Tanzania haina Dini Je mwezi ukionekana Palestine Saudia watafunga
@@MohamediHussein-o9b KWANI MTUME SAW ALIPOSEMA TUSHUHUDIE MWEZI KWA MUISLAMU MMOJA INATOSHA AU KWA NCHI YA SAUDIA INATOSHA?. YAANI UNATAKA KUWAAMINISHA WATU HUO UJINGA WAKO YA KUWA, MWEZI AKIUDHUHUDIA MTU AMBAE SIO MSAUDIA HATA KAMA MUISLAMU BASI USHAHIDI WAKE HAUFAI AU VIPI?!!!. EEEH JAHILIA MURAKAB LA KIWAHABIA WEEEEE😂
Lakini nyakati zetu za sala ni tofauti. Hebu jaribu kufuatilia saudia wanasali magharibi saa ngapi na sisi huku tunasali saa ngapi. Ukipata jibu rudi utueleweshe
@@suleimanh1826 Ndivyo nilivyomaanisha kwamba magharibi yetu na ya Suudiya ni tofauti ikizingatiwa wakati jua linazama na kila mahali na kwa wakati tofauti... Angalia hata Ramadan timetable Malindi na Mombasa wanafungua kivyao.
Mfano Leo jumapili. Na saudia jumapili. Kizungu Leo Ni TAREHE 16/06/2023 na saudia Ni hivyo hivyo Muda pia Ni tunafanana iweje tupishane kwenye TAREHE ya kiislamu. ?
dozi iendeleee
Dah! Ina lillah waina illah rajjiun
Sheikh yuko sawa maana ana soma vitabu vya wanachuon Tena wa saudia Sasa nyie mnahoji na kutukana
mzee mwenyewe kusoma hawezi 😂
Kila mtu afuate msimamo wake msiwahangaishe watu.
Jameni mwezi wa kwanza haunekani na wote ndo maana mtume swa akaapisha mtu ili asihesabu vibaya.sikuyapili ya mwezi huoneka na kila mtu akili tu
Wazungu wanatushinda wao ndo wanafata uislam ila ss sasa tunafata yakwao
Ukiambiwa mwezi umetoka kubali mtaharibu tarehe nyinyi
Utasikia baadhi ya mashekhe wanakwambia sisi Tanzania tukitangaza mwezi saudia wataukubali?Hivi Tanzania nchi ambayo imesema wazi Haina dini utaifananisha na saudia nchi ya mbora ya mbora wa viumbe na inasimamiwa na dola ya kiislamu
Mbona bado we unaishi Tanzania nenda Kule ukaishi Saudia
Wazazi wako si wamezaliwa Kule Saudia
Hata we hapo ulipo si unaishi Saudia
Ndomana Tanzania haina Dini
Je mwezi ukionekana Palestine Saudia watafunga
@@MohamediHussein-o9b huu ndo ujinga tunaoukataaa khabari za Palestine zinatokea wapi
Acha umimi Palestine katoka Nani? Muhammad?
@@MohamediHussein-o9b KWANI MTUME SAW ALIPOSEMA TUSHUHUDIE MWEZI KWA MUISLAMU MMOJA INATOSHA AU KWA NCHI YA SAUDIA INATOSHA?. YAANI UNATAKA KUWAAMINISHA WATU HUO UJINGA WAKO YA KUWA, MWEZI AKIUDHUHUDIA MTU AMBAE SIO MSAUDIA HATA KAMA MUISLAMU BASI USHAHIDI WAKE HAUFAI AU VIPI?!!!. EEEH JAHILIA MURAKAB LA KIWAHABIA WEEEEE😂
@@MohamediHussein-o9bushahidi Ni NCHI au muislamu?
Kla mtu anatoa fatua kwel uislamu ume vamiwa bla kujijua
Tueleweni... Kwa kuwa kimasaa tuko sawa na 'Suudiya' haimaanisha lazima tutakuwa sawa kuuona mwezi... Ulimwengu wa Science na ipo katika Qur'an...
Lakini nyakati zetu za sala ni tofauti. Hebu jaribu kufuatilia saudia wanasali magharibi saa ngapi na sisi huku tunasali saa ngapi. Ukipata jibu rudi utueleweshe
Kama tumepishana basi dakika chache mno radio zetu za kiislamu kila zikitangaza saa zinasema ' sawia na saa za Makkah'
@@suleimanh1826 Ndivyo nilivyomaanisha kwamba magharibi yetu na ya Suudiya ni tofauti ikizingatiwa wakati jua linazama na kila mahali na kwa wakati tofauti... Angalia hata Ramadan timetable Malindi na Mombasa wanafungua kivyao.
Saa zetu zipo wakati mmoja, japo jua kuzama na mwezi kuonekana zinapishana. Sasa hatukuambiwa tuangalie saa...
Mfano Leo jumapili. Na saudia jumapili. Kizungu Leo Ni TAREHE 16/06/2023 na saudia Ni hivyo hivyo
Muda pia Ni tunafanana iweje tupishane kwenye TAREHE ya kiislamu. ?
wasaudia wenyewe ndio wanotuambia tusiwafuate Sasa tuwalazimishe Kwa Nini na Hali hawataki tuwafuate
@@jumafaki2891kwani jee unataka kuwaambia watu haijawahi kutofautiana tarehe ya kiislamu?.