Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mungu awajalie ndoa yenu idumu na iwe na Furaha na Amani na upate kustawi
Ee Mungu naomba unipe nami wangu
Me naamini muda wangu na me utafika ❤kila muda naangali hii sijui kwann yaaan
Ee mwenyezi Mungu nipe wakunipa furaha wakunifuta machozi,na kutibu jeraha la moyo wngu.Amen
Amina
Ameeen! Utapata tu best shaka ondoa kbs..
Utamupat
Uko wap
Nijibu
Nimejikuta natabasam tu😊😊
Wew nimimi kabisa 😂🤣
hongeren sana mmependeza MUNGU AWABARIKI
Neema umechagua au umechaguliwa mkachaguana 😂😂😂😂😂😂 shemela katisha !!!! Sio wengine wakifwata wanakua km wajeda sura wamekaza 😂😂😂😂 mmeendana kwel hongeren
Ndugu cku hiyo ulipewa soda za ziada au champagne 🍾?
Mpk raha ukimpata wa kufanana nae ❤❤❤
Anaonekana innocent kabisa. Yaani ni wa kipekee sana huyu binti. Ana kitu nashindwa kukijua lkn ni special 🎉🎉
Waaoo mnaendan mpk raha nam mung nijalie wakuendana ishaalah🎉❤❤❤
Mmependeza sana🎉
Naomba mungu awalinde katika ndoa yenu mzidi kupenda kwenye shida na rahaa ❤❤❤❤❤❤❤
Waooo mmenoga sana MUNGU na mimi unipe tulizo la moyo
Aamin
Waooooo mungu awajalie maixha marefu
😂 kila bb harus ana figure alooAnyway hongeren kwa hatua hii nzur
Mungu nione na mm nifurai
DJ chukua maua Yako hongera sana ,, wajua kupanga nyimbo kwa wakati
Wamependeza Haswaaa ❤❤❤🎉
hadi kifo kiwatenganishe🎉❤🎉
Bwana harusi best sana
😂😂😂😂😂😂saa tulokua atuna wapenz tunafanaj
Mumenoga sanaa i like you guys mungu awalinde
So good maua yenu wapendanao
Mungu nimsaidie na mm
Ee Mungu nipe na mm frha nayoitegemea krbunii
Ongera sana jamni nimejikuata nafurahi tu
Duh! Wasichana wa enzi hizi wana tusheipu tuzuri aisee
Mungu mwema kila jambo na wakati wake
Mmependeza jamani yesu awabariki sana
Sema Mungu sio yesu
Kila lakheri kwenu❤❤
Bwanahsrus kajinywea zake yuko njwiiiii
Na amepiga vyombo ndyo maaana anajiachia mbaya safi sana
Hongera Sana Mungu Mungu akawe baraka katika ndio yenu hakuna mwanamke asiye tamani kuwa na ndoa ndoa ni baraka mshukuru Mungu Sana kuipata ndoa
hongera umepata ila ututrie na uvumirie kwa shida naraha
Kama mm ni nyani bas mungu nirudishe msituni mungu daah
😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂😢😢😢 kwanini my dear
Usjali my dear utapata na wew wako kuwa na Subra to
Jamn umeonge kwa uchungu usijal mway
😂😂😂😂😂😂
Ee mungu nisikilize na mimi maombi yangu
Mc uko vzr jaman yaan hongera kwa kweli
Eeee inapendeza na me nataman mungu anipe furaha kama hiyo
Mbele ya ko ❤❤❤🎉
Hongera kipenzi changu
❤
Mungu nipe siku nam pia
WAMETISHA SANA
Atakupa ishallah
Ayo majukumu mazito sio yakulilia
hongereni natamani nirudi ujana
Maisha fumbo wa kufanana sio tabia kuchukuliana wengi tunawaza mengi
Rahaa sanaa jmn
Waooooooo
Baba nae anakuwepo
Kwa mtazamo huo huko honeymoon utoboi😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji tulia kidogo
Amiin
Mungu naomba na mimi unibariki ndoa nifurahi eee na mimi❤❤❤❤❤
Yaliyomo humo ndani ni mazito shoga angu ukiingia unaanza kujuta
Bwana harusi kapiga maji yamekubali
😁😁😁😁
@@WemaAkyoo-t5lYuko njwiiiiii 😂😂😂😂
😂
Neema angeachia huo mkono sijui ingekuwaje😅
Katika harusi zote nimeangali ila hii noma kwanza wanafuraha adi raha mkp nataman sasa kuolewa
Eeemungu nibariki na mimi nipate wa kwangu 😢
Mungu jamani 😢kwanini na mimi sipati au kama ni mamba nirudishe baharini nimechoka haya maisha 😭😭😭😭
Mungu akukumbe umetia huruma
Amen 😢
Jaman wajina utapata wako 🙏
@@SamouOman 🙏
😂😢
Kuna wale hafu kuna ss rahaaa
👏👏👏👏🥰🥰🥰🥰
N huyo meme mwakan❤🎉
Kabisa
❤❤🎉
Eeeh Mungu unipe na mimi furaha hii
Wacha.
@@innocentKimambo-qs6ts yes
Inshallah hakuna kubwa kwa mungu
Mungu yupo..kila mtu anae wa kwake..ni muda tu
@@MaryNdondole Amen.
MUNGU AWATUNZE ADUI ASIPATE NAFASI MILELE
Mc unaboa unavochekea maneno
🎉🎉🔥🔥🌹
Hogera
Kama najiona vile 😊
🎉
Maisha yenye akiliii......nyingiii
Dah mpaka wanafikia hii hatua ivi uwa wanaongea lugha gani wakaelewana jaman😢😢😢 Mungu sikia kilio changu na mimi
Muombe Mungu atakusaidia....pia unapokuwa kwenye mahusiano na mwanaume behave sana ...usijirahisi wanaume wanaangalia wife material...Mungu akukumbuke
Nguo nzuri saana ila nyonyo kuwa nje
Jina la wimbo jamani
Pwita by Zuchu
Far away by Jay Melody
Hĥhĥ
Mungu awajalie ndoa yenu idumu na iwe na Furaha na Amani na upate kustawi
Ee Mungu naomba unipe nami wangu
Me naamini muda wangu na me utafika ❤kila muda naangali hii sijui kwann yaaan
Ee mwenyezi Mungu nipe wakunipa furaha wakunifuta machozi,na kutibu jeraha la moyo wngu.Amen
Amina
Ameeen! Utapata tu best shaka ondoa kbs..
Utamupat
Uko wap
Nijibu
Nimejikuta natabasam tu😊😊
Wew nimimi kabisa 😂🤣
hongeren sana mmependeza MUNGU AWABARIKI
Neema umechagua au umechaguliwa mkachaguana 😂😂😂😂😂😂 shemela katisha !!!! Sio wengine wakifwata wanakua km wajeda sura wamekaza 😂😂😂😂 mmeendana kwel hongeren
Ndugu cku hiyo ulipewa soda za ziada au champagne 🍾?
Mpk raha ukimpata wa kufanana nae ❤❤❤
Anaonekana innocent kabisa. Yaani ni wa kipekee sana huyu binti. Ana kitu nashindwa kukijua lkn ni special 🎉🎉
Waaoo mnaendan mpk raha nam mung nijalie wakuendana ishaalah🎉❤❤❤
Mmependeza sana🎉
Naomba mungu awalinde katika ndoa yenu mzidi kupenda kwenye shida na rahaa ❤❤❤❤❤❤❤
Waooo mmenoga sana MUNGU na mimi unipe tulizo la moyo
Aamin
Waooooo mungu awajalie maixha marefu
😂 kila bb harus ana figure aloo
Anyway hongeren kwa hatua hii nzur
Mungu nione na mm nifurai
DJ chukua maua Yako hongera sana ,, wajua kupanga nyimbo kwa wakati
Wamependeza Haswaaa ❤❤❤🎉
hadi kifo kiwatenganishe🎉❤🎉
Bwana harusi best sana
😂😂😂😂😂😂saa tulokua atuna wapenz tunafanaj
Mumenoga sanaa i like you guys mungu awalinde
So good maua yenu wapendanao
Mungu nimsaidie na mm
Ee Mungu nipe na mm frha nayoitegemea krbunii
Ongera sana jamni nimejikuata nafurahi tu
Duh! Wasichana wa enzi hizi wana tusheipu tuzuri aisee
Mungu mwema kila jambo na wakati wake
Mmependeza jamani yesu awabariki sana
Sema Mungu sio yesu
Kila lakheri kwenu❤❤
Bwanahsrus kajinywea zake yuko njwiiiii
Na amepiga vyombo ndyo maaana anajiachia mbaya safi sana
Hongera Sana Mungu Mungu akawe baraka katika ndio yenu hakuna mwanamke asiye tamani kuwa na ndoa ndoa ni baraka mshukuru Mungu Sana kuipata ndoa
hongera umepata ila ututrie na uvumirie kwa shida naraha
Kama mm ni nyani bas mungu nirudishe msituni mungu daah
😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂😢😢😢 kwanini my dear
Usjali my dear utapata na wew wako kuwa na Subra to
Jamn umeonge kwa uchungu usijal mway
😂😂😂😂😂😂
Ee mungu nisikilize na mimi maombi yangu
Mc uko vzr jaman yaan hongera kwa kweli
Eeee inapendeza na me nataman mungu anipe furaha kama hiyo
Mbele ya ko ❤❤❤🎉
Hongera kipenzi changu
❤
Mungu nipe siku nam pia
WAMETISHA SANA
Atakupa ishallah
Ayo majukumu mazito sio yakulilia
hongereni natamani nirudi ujana
Maisha fumbo wa kufanana sio tabia kuchukuliana wengi tunawaza mengi
Rahaa sanaa jmn
Waooooooo
Baba nae anakuwepo
Kwa mtazamo huo huko honeymoon utoboi😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji tulia kidogo
Amiin
Mungu naomba na mimi unibariki ndoa nifurahi eee na mimi❤❤❤❤❤
Yaliyomo humo ndani ni mazito shoga angu ukiingia unaanza kujuta
Bwana harusi kapiga maji yamekubali
😁😁😁😁
@@WemaAkyoo-t5lYuko njwiiiiii 😂😂😂😂
😂
Neema angeachia huo mkono sijui ingekuwaje😅
Katika harusi zote nimeangali ila hii noma kwanza wanafuraha adi raha mkp nataman sasa kuolewa
Eeemungu nibariki na mimi nipate wa kwangu 😢
Mungu jamani 😢kwanini na mimi sipati au kama ni mamba nirudishe baharini nimechoka haya maisha 😭😭😭😭
Mungu akukumbe umetia huruma
Amen 😢
Jaman wajina utapata wako 🙏
@@SamouOman 🙏
😂😢
Kuna wale hafu kuna ss rahaaa
👏👏👏👏🥰🥰🥰🥰
N huyo meme mwakan❤🎉
❤
Kabisa
❤❤🎉
Eeeh Mungu unipe na mimi furaha hii
Wacha.
@@innocentKimambo-qs6ts yes
Inshallah hakuna kubwa kwa mungu
Mungu yupo..kila mtu anae wa kwake..ni muda tu
@@MaryNdondole Amen.
MUNGU AWATUNZE ADUI ASIPATE NAFASI MILELE
Mc unaboa unavochekea maneno
🎉🎉🔥🔥🌹
Hogera
Kama najiona vile 😊
🎉
Maisha yenye akiliii......nyingiii
Dah mpaka wanafikia hii hatua ivi uwa wanaongea lugha gani wakaelewana jaman😢😢😢 Mungu sikia kilio changu na mimi
Muombe Mungu atakusaidia....pia unapokuwa kwenye mahusiano na mwanaume behave sana ...usijirahisi wanaume wanaangalia wife material...Mungu akukumbuke
Nguo nzuri saana ila nyonyo kuwa nje
Jina la wimbo jamani
Pwita by Zuchu
Far away by Jay Melody
Hĥhĥ