Story Nzima: MWALIMU wa MADRASA ADAIWA KULAWITI WANAFUNZI ARUSHA, AAMBUKIZWA UKIMWI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Story Nzima: MWALIMU wa MADRASA ADAIWA KULAWITI WANAFUNZI ARUSHA, AAMBUKIZWA UKIMWI...
    Wanafunzi Tisa Wa Shule ya Msingi Mkonoo Mkoani Arusha Wanadaiwa kuthibitika kulawitiwa na Mwalimu Wa Madrasa huku Mwanafunzi Mmoja Wao akibainika kuambukizwa virusi Vya ukimwi.
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 448

  • @manieayoop7165
    @manieayoop7165 Год назад +11

    Laana za Alla zikuandameni nyote mliomsingizia Mzee wa watu
    Alhmdulillahi ukweli umejulikana Mungu ni mkubwa sana

  • @heletuuabdalla9434
    @heletuuabdalla9434 Год назад +1

    Mzee jumanne kwanza pole sana ila kiukweli hapa kuna vita ya kitu. mliohusika kuanzia walioupanga huu uongo mpaka waliochukua hatua bila uchunguzi wote Mungu ahukumu kwa ukubwa wake wa hukumu aamin

  • @bashiryomary8151
    @bashiryomary8151 Год назад +3

    Allah atawadhibu wote mliomsingizia mzee.

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Год назад +1

    Diwanai mshenzi sana uyu

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu akupe moyo wa subra walaniwe wote waliokusingizia

  • @mudiomari3007
    @mudiomari3007 Год назад +6

    Allah Awaangamize kwa kumchafua mzee wa watu

  • @nasirtuno8043
    @nasirtuno8043 Год назад +2

    Yani nchi hii kwahiyo Hawa watu wote wameshirikiana ili Kumfunga mzee ila wameshinda kweli wanao kwenda jera sio wote wanaatia. Pole sana mzee Allah atukulipia

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад +1

    Nakuomba Mwenyezi Mungu Uadhibu watu waliyo husika kunidhalilisha uaadhibu Duniani na Akhera

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 Год назад

      Amin mungu atakulipia maana malipo ni hapa hapa na akher ni mahesabu na adhabu

    • @Michoarbah
      @Michoarbah Год назад

      Pole sanaaa mzeee jumaaa

  • @أمطارقالبحرية
    @أمطارقالبحرية Год назад

    Allah atawaadhirisha insh kl aliyehusika na uongo huo
    Hizo ni njama xa makafiri

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 Год назад +1

    Allah awaangamize enyi wachafua watu ,,,hamtaachwa salama na allah

  • @bernadethapeter6590
    @bernadethapeter6590 2 года назад +3

    Hapo ingekua mkristo ungesikia waislam"am proud to be a Muslim"

    • @rachaelmapenzi8747
      @rachaelmapenzi8747 2 года назад +2

      Kweli kabixa 😏😏😏😏

    • @gabrielnyangasi240
      @gabrielnyangasi240 2 года назад +1

      Kabisa yaan wanajikuta watu wa dini sana kumbe zero

    • @khayrathahamadi656
      @khayrathahamadi656 2 года назад +1

      Msisahau kua bado we are proud to be Muslim.

    • @abdulimapande4265
      @abdulimapande4265 2 года назад

      Wewe unasema ingekuwa mkristo ungesikia waislamu "kwani alichokifanya ndio uislamu imeruhusu hivyo au ni ushetani wa mtu acha kuchanganya mafaili soma dini vizuri uelewe

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 Год назад

    Huyo diwani na walimu mnadhima kubwa sana kujibu mbele ya Mungu.

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад +2

    Hakuna hata mtoto mmoja niliye mfanyia ukatili huo nakuomba Mwenyezi Mungu Uwaadhibu Adhabu KUBWA SANA walie nifanyia dhuluma hii

    • @mercypaul351
      @mercypaul351 Год назад

      Sikuhukumu inawezekana ni kweli au uwongo,,MUNGU ndio anajua ukweli ni upi yy ndio mtoa hukumu

  • @shafiimwehemba4549
    @shafiimwehemba4549 Год назад

    Allah awasamehe wote waliotengeneza njama za kinafiki/fitina na awaongoze ktk swirat'wal mstaqiima

  • @zainabukhamis3667
    @zainabukhamis3667 Год назад

    SubhannaAllah yalabi nusulu vizazivyetu na uwaongoze watoto hao ktk njia sahii

  • @magarikiswili5934
    @magarikiswili5934 Год назад

    Wewe diwani nguruwe na uyo mwalim nguruwe mungu atawalaani

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад +16

    Waliyo niombea ninyongwe waliyo niombea nifungwe maisha na adhabu zote watu waliyo niombe niadhibiwe Nakuomba Mwenyezi Mungu Iwapate waliyo nitengenezea kisi hii na vizazi vyao adi cha mwisho

    • @kbmsouth
      @kbmsouth Год назад +2

      Allah Akbar .. MWENYEZIMUNGU ALALI ALLAH AENDELEE KUKUPA MOYO HUO HUO MZEE WANG NA LEO UPO HURU. ILA HII NDYO DUNIA NA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIAN MPKA AKHERA

    • @nasirtuno8043
      @nasirtuno8043 Год назад +1

      Yani hiyo hospital pia ilibidi ifungwe maana imethibitisha vitu vya uongo

    • @kassupulumuka1991
      @kassupulumuka1991 Год назад +2

      Kama ni uongo mungu atakudhidishia heri na baraka kwa yote uliopitia ila kama ulifanya kweli utaondoka tu kwenye mikono ya serikali ila mungu atakuadhibu milele

    • @salumusauko5632
      @salumusauko5632 Год назад +1

      Allah ndo muweza wa yote shukuru mungu bado upo hai ni kiwasamehe tu

    • @salumusauko5632
      @salumusauko5632 Год назад

      Shekh nenda kawafungulie kesho ya kukudhalilisha na kukuaribia jina

  • @hawakitoki9465
    @hawakitoki9465 Год назад

    Mungu yupo,Mungu wetu sio kipofu wala kiziwi kila kitu kitalipwa.hii inaonekana ilikuwa ni chuki na wivu

  • @swaumuabdul6592
    @swaumuabdul6592 Год назад

    Waislamu unawauma sana mpaka mnaleta fitina kwa waislamu subiri mfe ndio mjue

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Год назад

    KILIO CHA MTU ALIYEDHULUMIWA...
    HAKIKA ALLAH ATAWAANGAMIZA NYOTE..
    AMIN AMIN AMIN...
    HAKIKA UISLAM UTAENDELEA KUSIMAMA, NA UTAINGIA MPAKA MAJUMBANI KWENU...
    CHUKI HAISAIDII....

  • @sauda4505
    @sauda4505 Год назад

    Allah awasamehe buree

  • @sharifaally9546
    @sharifaally9546 2 года назад +5

    Subhanallah 😭😭😭😭

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 2 года назад +6

    Innalillah wainnaillah raj'uun

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад +10

    Kweli binadamu ni hatari sana sana Mungu Nakuomba Nakuomba Laana zote niliyo laaniwa na watu ziende kwa waliyo nitengenezea kesi hii

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 Год назад

    Mama samia Nakuomba mtumbue huyu mkuu wa mkoa Hawaii kwenye Jamii

  • @hassanhassmak3288
    @hassanhassmak3288 Год назад

    Allah mtukufu anawaona

  • @salumusauko5632
    @salumusauko5632 Год назад +1

    Aya yule Mzee mlie msingizia ametoka na kesi zenu ya uzushi

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 2 года назад +8

    Mzazi anayemuamini kiongozi Wa dini huo ni upofu, hawa watu wana vijitabia vya kipepo sana ila sio wote.😡😭😭😭😭😭

  • @abuutamliikhaothmaan7244
    @abuutamliikhaothmaan7244 Год назад

    Hii mnatakiwa mposti Tena huyu mzee hakuhusika 💯 Bali Ni walimu walicheza mchezo kumsingizia mzee wawatu ambae ana Mali na huwasaidia kuwapa Hadi mikopo mtu anapewa 400000 anarudisha hiyohiyo 400000 nendeni mkonoo mkamuhoji ametoka Hana hatia

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +5

    Imegundulika ni waongo ww Mwalimu una Hatari sana usiwe na chuki Binafsi sio vizuri usipinge maendeleo ya watu mmemsingizia Mzee wa watu inabidi mkamuombe msamaha

  • @shillahkenny4818
    @shillahkenny4818 Год назад

    M mungu atawalaani nyie watu wazee wazima mnamtengenezea mzee wa watu kesi

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад

    Eee Mwenyezi Mungu nakuomba huyu mwalimu wa mkuu wa mkonoo na wote waliyo husika kunidhalilisha waadhibu wao na kizazi chao hadi cha mwisho

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 Год назад

    Hapa ndo maana watu Wanamsema vibaya mama samia kwa viongoz kama hawa

  • @أمطارقالبحرية
    @أمطارقالبحرية Год назад

    Lengo lao ni kuwapaka matope waislam na watu wasiamini masomo ya madrassa
    حسبنا الله ونعم الوكيل

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +3

    Acheni udini na ukabila hozo ni chuki binafsi.

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 2 года назад

    poleni watanzania wenzangu na wazazi

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 2 года назад +4

    Dunia jmn haitkiwi tuzae sasa daaaah😭😭😭

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Год назад +1

    Hawa wote walio toa tarifa hizi za uongo wanatakiwa wawajibishwe ipasavyo,serikali isilifumbie macho hili swala.

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +8

    Mwl mkuu mbn umepooza ivyo, poleni wazaz jmn inauma xna!!!

    • @jumannekingu68
      @jumannekingu68 2 года назад +1

      Anapooza kwa unafiki

    • @jumannekingu68
      @jumannekingu68 2 года назад

      Awana hofu ya Mungu kunitengenezea kesi Laana ya Mungu itawaangamizi adi kizazi chenu cha wisho

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    Kwanza huyu jamaa anaongea anaonekana kbs kuna kitu ndani yake amejtwngeneza sana mzee jumanne inshallah mungu ameshakulipia uko uraian

  • @ellenmakungu9440
    @ellenmakungu9440 Год назад +1

    Mkuu ndo ushalaaniwa wew na uzao wako na mzee ........

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад +2

    Mimi ndio Mzee Jumanne Kingu kesi hii nimetengenezewa Namshukuru Mungu kesi zote 22 zimefutwa Namuomba Mungu adhabu zote nilieombewa na watu ziwapate waliyo nitengenezea na vizazi vyao

    • @sarahout-fitchannel1011
      @sarahout-fitchannel1011 Год назад

      Mmh

    • @kelvinmsigwa4197
      @kelvinmsigwa4197 Год назад

      Hivi mzee walitaka eneo lako wataifishe au? Anza kuandaa wosia na mirathi za mali zako mzee wangu maana binadamu wanakutakia mabaya. Pole sana mzee wangu kwa yaliyokukuta

  • @happymrema6728
    @happymrema6728 2 года назад

    Mungu atunusur kwa kwel

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    Duh Sina la kusema ,hasad ni kitu kibaya

  • @jameslyimo662
    @jameslyimo662 2 года назад +10

    Hizi madrasa zina wahuniwahuni tu...kwa kivuli cha dini...

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 2 года назад +2

      Acha chuki za kidini kuna mapadri wangap wanafira watoto ktk makanisa na mashule ya mission hayo yaliotokea hata sisi waislam tunayalaani na huyo aliyefanya hivyo achukuliwe hatua na kazi ya madrasa ni kufundisha watoto maadili ya kidini na upande wa mapadri nao wachunguzwe kuna uozo mkubwa upo lkn haujaibuliwa

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 года назад +1

      @@husseinissa7118 sasa wewe ndio unaleta chuki za kidini hapo angekuwa kiongozi wa dini ya kikiristo ndio kafanya hivyo mgeongea vibaya kama nini acha hizo

    • @amour8802
      @amour8802 2 года назад

      @husein hapa haikutajwa dini Fulani Kwa nn ww umejikita kwenye dini Fulani?

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 2 года назад

      @@amour8802 umeona koment ya james lyimo ametukana madrasa zote na kutukana madrasa ni kutukana uislam kwani ndo vyuo vya kufundisha uislam na mm sijatukana ukristo nimetukana mapadri wanaojishirikisha na vitendo vya ulawiti kama huyu mwalimu wa mdrasa alichofanya

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 2 года назад +1

      @@husseinissa7118 huyu kaka japo ni mkristo lkn alichosema ni kweli hizi madrasa za mitaan haswa za madufu uhuni ni mwingi sana hili suala la upotofu wa maadili halina mkristo wala muislam ni msiba mkubwa sana. Wazazi tuweni makini sana kwa watt wetu usimwamin ustaadh sijui mchungaji au mjomba au babu sijui baba mdogo na binamu hayo mambo yalishapitwa na wakati

  • @lilianfidelis7559
    @lilianfidelis7559 2 года назад +6

    Wazazi tunawajibu wa kuwalinda watoto wetu sio kuwa bize kutafuta pesa afu kizazi chetu kinapotea...

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 года назад

    Watt wasasa wanamapepo tuwaombee sana yaaaani puuu kizazi cha nyoka watt wadogo wanapenda pesa sana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Год назад

    Waongo wakubwa mzee hakufanya hayo na yupo huru mungu awalaan nyoko nyie udini

  • @mohamedmashaka4680
    @mohamedmashaka4680 Год назад

    Walaanie wote waliomsingizia mzee

  • @shabbywahimo9850
    @shabbywahimo9850 Год назад

    Diwani umekosea saana jinsi ulivyoongea sio sawaa mbele za munguu kabisa hizo Ni hila za kimaendeleo daah

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein4479 Год назад

    Waislam wa icho kijiji jitahidini mufungue kesi muwapelk hawo makafir mahakamani Diwani pamoja na walimu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +1

    Usitoe Ushahidi wa uongo unaweza kumdhuru mtu akafa mtaibeba hiyo dhambi kwa kweli huyo alieathirika pengine kazaliwa hivyo kapata kwa wazazi wake

  • @ezekielwatson9926
    @ezekielwatson9926 2 года назад +1

    Hili tukio si la kwanza katika kumbukumbu zangu hawa maostadhi vipi.

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Год назад

    Nadhani hapa unatengenezwa udini

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Год назад

    Laaana wakubwa nyinyi makafili munafiki hamta udhulu uisilamu hata Zanzibar waliifunga madrasa Tena kaimu wamufti aliifunga wote maadui wawaisilamu wafe woooote nawafuasi wao wao wafe tupumzike mungu waaangamize

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Год назад +1

    Ninyi hamnazo hivi mlipanga kumtokomeza yule mzee

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 2 года назад +1

    Madrasa izi sio kabisa

  • @salha8799
    @salha8799 Год назад

    Surazenyewe zimejawa na uongo pumbavu

  • @asiaoman3040
    @asiaoman3040 2 года назад +4

    Jmn imeniuma sana name nina mtoto😢😢😢

    • @abdallahomary9614
      @abdallahomary9614 Год назад

      Hao makafiri wamemtengenezea kesi fuatilia mpaka mwisho utajua ukweli baada ya uchunguzi

  • @ivanmbuyah9077
    @ivanmbuyah9077 Год назад

    Dah halafu hii kesi ndio walivyojikusanya ili kumpa kesi mbaya kama hii mzee wa watu, walaaniwe wote

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Год назад +1

    Jamani vitendo hivi Havikubaliki kwa namna yoyote ile lkn pia siku izi watu watu wanao Watengenezea wenzao kesi za namna hii? Naomba kama kuna mtu anajua mwisho wa hili jambo anijulishe Tafadhali je ni kweli au ni Mizengwe?

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад

    Hilo zee likatwe viganja vya mikono.

  • @cutedon6804
    @cutedon6804 Год назад

    Jamani twende mbele turudi nyuma mimi nahisi kuna ukweli kuhusu jambo hili japokua sijui lakini waswahili wanasema yasemwayo yamo 😞😞😞😞😞

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад

    daaah wameumbuka ss wanamuonea wivu sijui babu wa wawatu mzalilisha Mungu ndo mtoa hukumu uko kesho mbinguni

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 2 года назад +3

    Siasa ni taaluma, kuuongea na kupanga maneno, kunachukua nafasi kubwa ya taaluma hiyo, tusigombee nafasi za uogonzi wa kisiasa, kama hatuna mwanga wa jambo hili.

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Год назад +1

    Hahaha daah mmemtuhum mzee wa watu bure!!! Inauma sana kumchafua

  • @allyathumani1195
    @allyathumani1195 2 года назад

    Allah allah allah tuteteee allah allah allah

  • @ibrahimkhamis3324
    @ibrahimkhamis3324 Год назад

    Mzee alikuwa anaongea uongo mpaka anajishtukia mwennyewe

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад +1

    mnapo Fanya mahojiano mrekodi

  • @deluxermahyono5290
    @deluxermahyono5290 Год назад

    Mkuu wa Wilaya tafadhali rudi tena hapo Kijijini na Umtake radhi na umsafishe Mzee Juma4 kwa Ushenzi ulioufanya na Upumbavu wako wa kutuhumu bila kujirizisha

  • @mansourselemani4867
    @mansourselemani4867 Год назад

    Mzee wetu wasamehe tu hao nia yao ni kukuchafua ww na waislamu wote hao ni wanaharamu

  • @bilalisalim360
    @bilalisalim360 Год назад

    Aki watu na Leo mwalimu ako free watu wanaekea watu kesi Kwa ajili ya wivu that's not fair watu waache roho mbya

  • @fahimbakari5104
    @fahimbakari5104 Год назад

    Laanatullah waliotengeneza tuhuma hizi

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Год назад

    Wakipatikana na hatia kwa nini wasihasiwe,napendekeza sheria yakuwahasi hao waharibifu.

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 Год назад

    Dah innalilahi wainnailaihi rajjighuun

  • @charitecelestin3730
    @charitecelestin3730 Год назад +2

    Mume mkosea mzee wa watu sasa ame sema hatowahi wa samehi mpaka Siku ya kiyama

  • @thomaspeter2540
    @thomaspeter2540 2 года назад +12

    Hawa viongoz wa dini wafuatiliwe, baadhi yao ni washenzi wataleta janga kwa vizazi vyetu

    • @hassanihussein4479
      @hassanihussein4479 Год назад +2

      Washenzi ni nyie makafiri munaotaka kuuchafua uislam kupitia viongozi wa dini

  • @petrusmakupe2093
    @petrusmakupe2093 Год назад

    Yuda alijinyonga mwenyewe

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 Год назад

    Mm ndio Mzee Jumanne Kingu kesi za kutengenezwa nimezimaliza zote nipo Huru Huku kwenu na sinta msamehe mtu adi Kiama

    • @jumannekingu68
      @jumannekingu68 Год назад

      @@joharimapunda7678 Johari Mapunda. Sinta Samehe hadi Kiama

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 Год назад

      Aqsas haqu namie nakuunga mkono usiwasamehe ila pia kuwasamehe ni Bora mashaallah kamaa tudan tudini, kama ukifanya jema utalipwa jema, ukifanya baya malipo ni baya kwahili ukweli bila hawatubia kwao litajibiwa na Rahman katka vizaz vyao,

    • @issanasir3583
      @issanasir3583 Год назад

      Ni kweli sheikh wetu tumepata somo kubwa Sana Inabidi sauti ipazwe..

    • @issanasir3583
      @issanasir3583 Год назад

      @@abdallahmmary8591 Kuna kusamehe Ila kutokana na kuchafuliwa Inabidi pia wamsafishe maana Kuna waliopata taarifa za swali wakamtuhumu..inabid warud wazungumze kuwa sio kweli kasingiziwa na aliesingizia pia abainishwe anaweza kuwa kasingizia wengi

    • @jumannekingu68
      @jumannekingu68 Год назад

      @@issanasir3583 Ni kwel

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Год назад

    vijana wengi hapa Egypt wanasoma dini lakini uhuni wanaoufanya huku nihatari ndo hawa wakija huko wanasumbua watoto wetu

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад

    Kesi za maostadh zimekuwa nyingi Sana Tena wanawaingilia hatawatt wa kiume madrasa huko jmn 😭

  • @mussakiyondomagoga5051
    @mussakiyondomagoga5051 Год назад

    Nyiee iyoo seemu sioyenu SEMA iposiku mungu atawangamiza semwni Amani iposiku mtaisaau iyoo Amani yenu yaunafiki mnatukana babawawatu mungu atamlinda Amani analetamungu sionyiee filukanjiaa finaliijaanamu nyiee wakenyaa mnajifanya wachagaa

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 года назад +3

    Am tz 😭😭😭huyo mtu AU 💯😱SHEITANI

    • @ibrahimmatola1529
      @ibrahimmatola1529 Год назад

      Usiwe mwepesi kuhukum mzee hana hatia fatilia na mjifunze kukomenti mtalipia kila mnachohukum

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 Год назад

    Hawa walim kwa kweli ni wa mchongo na haya ni baazi ya utumbo wa serekali ya mama samia

  • @masturasudi7394
    @masturasudi7394 Год назад

    Arusha jamani mmekuaje

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Год назад +1

    Malipo hapa hapa Duniani, ukweli umebainika, Ananguvu za kiasi gani mpaka awalawiti wote kwa wakati 1,Mkamlipe fidia na kumtaka radhi, kuanzia Walimu na watoto mliyo wafundisha, uongo, na mtabibu aliye dhibitisha,.

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 Год назад

    Ona sasa mlivoaibika wanafik wakubwa mkuu endelea kutoa maagizo baada ya haki kutendeka

  • @bilaalmuhammad9499
    @bilaalmuhammad9499 Год назад

    Binadam hawana haya

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Год назад

    Hawa walimu wanachuki na msikiti ule pale sio vinginevo

  • @ashatupa6076
    @ashatupa6076 2 года назад

    Mungu atusaidie viongoz wa dini ndio wamekuwa wakatili kiasi kikubwa mno

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 2 года назад

    Mtoto wa darasa la 3 alawitiwe miaka miwili nyuma alikua alikua la kwanza hivyo nianza kumlawiti akiwa la kwanza Mungu anawona

  • @wardali7367
    @wardali7367 Год назад

    Mkuu wa wilaya Kama nakuona vile

  • @mussachigwa4961
    @mussachigwa4961 Год назад

    Wanacho kifanya wanakijua ni uzalilishaji tu ongea yao tu unajua nimipango mung ata walipa apa apa dunian

  • @akibamakinga3477
    @akibamakinga3477 Год назад +1

    Muache unafki mambo haya yatawarudia wenyewe

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Dah 😭😭

  • @issatv2522
    @issatv2522 Год назад

    Allah awaalaani wote walio msingizia, hivi kuna ukweli kwamba mzazi asigundue uje ugundue wewe. Upate kichaa wewe unayeongea uongo

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 2 года назад

    Hili mwalimu chawi.

    • @jumannekingu68
      @jumannekingu68 Год назад

      Hili Mwalimu Chawi kwel ila liko nyumbani

  • @salayasaningo1693
    @salayasaningo1693 2 года назад +1

    Huyo mwalimu anyongwe iwe fundisho kwa wengine wenye matarajio ya kufanya ifyo

    • @jumamapande9195
      @jumamapande9195 Год назад

      Vipi kama angekuwa amenyongwa ilihali mahakama imejiridhisha sasa habari ni ya uongo

  • @musseleng.2124
    @musseleng.2124 Год назад

    Kama mulivyoshiriki kumchafua basi mshiriki kumsafisha

  • @msaysha5886
    @msaysha5886 Год назад

    Kumbe sio ukweli nyie walimu mna hukumu yenu kwa Mungu sio kwa hili mna mzalilisha baba wawatu kumbe sio kweli