Story Nzima: MWALIMU wa MADRASA ADAIWA KULAWITI WANAFUNZI ARUSHA, AAMBUKIZWA UKIMWI...
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Story Nzima: MWALIMU wa MADRASA ADAIWA KULAWITI WANAFUNZI ARUSHA, AAMBUKIZWA UKIMWI...
Wanafunzi Tisa Wa Shule ya Msingi Mkonoo Mkoani Arusha Wanadaiwa kuthibitika kulawitiwa na Mwalimu Wa Madrasa huku Mwanafunzi Mmoja Wao akibainika kuambukizwa virusi Vya ukimwi.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Laana za Alla zikuandameni nyote mliomsingizia Mzee wa watu
Alhmdulillahi ukweli umejulikana Mungu ni mkubwa sana
Mzee jumanne kwanza pole sana ila kiukweli hapa kuna vita ya kitu. mliohusika kuanzia walioupanga huu uongo mpaka waliochukua hatua bila uchunguzi wote Mungu ahukumu kwa ukubwa wake wa hukumu aamin
Allah atawadhibu wote mliomsingizia mzee.
Diwanai mshenzi sana uyu
Mwenyezi Mungu akupe moyo wa subra walaniwe wote waliokusingizia
Allah Awaangamize kwa kumchafua mzee wa watu
Yani nchi hii kwahiyo Hawa watu wote wameshirikiana ili Kumfunga mzee ila wameshinda kweli wanao kwenda jera sio wote wanaatia. Pole sana mzee Allah atukulipia
Nakuomba Mwenyezi Mungu Uadhibu watu waliyo husika kunidhalilisha uaadhibu Duniani na Akhera
Amin mungu atakulipia maana malipo ni hapa hapa na akher ni mahesabu na adhabu
Pole sanaaa mzeee jumaaa
Allah atawaadhirisha insh kl aliyehusika na uongo huo
Hizo ni njama xa makafiri
Allah awaangamize enyi wachafua watu ,,,hamtaachwa salama na allah
Hapo ingekua mkristo ungesikia waislam"am proud to be a Muslim"
Kweli kabixa 😏😏😏😏
Kabisa yaan wanajikuta watu wa dini sana kumbe zero
Msisahau kua bado we are proud to be Muslim.
Wewe unasema ingekuwa mkristo ungesikia waislamu "kwani alichokifanya ndio uislamu imeruhusu hivyo au ni ushetani wa mtu acha kuchanganya mafaili soma dini vizuri uelewe
Huyo diwani na walimu mnadhima kubwa sana kujibu mbele ya Mungu.
Hakuna hata mtoto mmoja niliye mfanyia ukatili huo nakuomba Mwenyezi Mungu Uwaadhibu Adhabu KUBWA SANA walie nifanyia dhuluma hii
Sikuhukumu inawezekana ni kweli au uwongo,,MUNGU ndio anajua ukweli ni upi yy ndio mtoa hukumu
Allah awasamehe wote waliotengeneza njama za kinafiki/fitina na awaongoze ktk swirat'wal mstaqiima
SubhannaAllah yalabi nusulu vizazivyetu na uwaongoze watoto hao ktk njia sahii
Wewe diwani nguruwe na uyo mwalim nguruwe mungu atawalaani
Waliyo niombea ninyongwe waliyo niombea nifungwe maisha na adhabu zote watu waliyo niombe niadhibiwe Nakuomba Mwenyezi Mungu Iwapate waliyo nitengenezea kisi hii na vizazi vyao adi cha mwisho
Allah Akbar .. MWENYEZIMUNGU ALALI ALLAH AENDELEE KUKUPA MOYO HUO HUO MZEE WANG NA LEO UPO HURU. ILA HII NDYO DUNIA NA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIAN MPKA AKHERA
Yani hiyo hospital pia ilibidi ifungwe maana imethibitisha vitu vya uongo
Kama ni uongo mungu atakudhidishia heri na baraka kwa yote uliopitia ila kama ulifanya kweli utaondoka tu kwenye mikono ya serikali ila mungu atakuadhibu milele
Allah ndo muweza wa yote shukuru mungu bado upo hai ni kiwasamehe tu
Shekh nenda kawafungulie kesho ya kukudhalilisha na kukuaribia jina
Mungu yupo,Mungu wetu sio kipofu wala kiziwi kila kitu kitalipwa.hii inaonekana ilikuwa ni chuki na wivu
Waislamu unawauma sana mpaka mnaleta fitina kwa waislamu subiri mfe ndio mjue
KILIO CHA MTU ALIYEDHULUMIWA...
HAKIKA ALLAH ATAWAANGAMIZA NYOTE..
AMIN AMIN AMIN...
HAKIKA UISLAM UTAENDELEA KUSIMAMA, NA UTAINGIA MPAKA MAJUMBANI KWENU...
CHUKI HAISAIDII....
Allah awasamehe buree
Subhanallah 😭😭😭😭
Innalillah wainnaillah raj'uun
Kweli binadamu ni hatari sana sana Mungu Nakuomba Nakuomba Laana zote niliyo laaniwa na watu ziende kwa waliyo nitengenezea kesi hii
Amiin
Aamiin
Mzee wangu malipo ni hapa hapa duniani yote mungu atawageuzia
@@nicospack3893 Mwenyezi Mungu naajalie iwe hivyo
Mzeee nenda kafungue kesi wakulipe wasenge hawo walimu
Mama samia Nakuomba mtumbue huyu mkuu wa mkoa Hawaii kwenye Jamii
Allah mtukufu anawaona
Aya yule Mzee mlie msingizia ametoka na kesi zenu ya uzushi
Mzazi anayemuamini kiongozi Wa dini huo ni upofu, hawa watu wana vijitabia vya kipepo sana ila sio wote.😡😭😭😭😭😭
Hii mnatakiwa mposti Tena huyu mzee hakuhusika 💯 Bali Ni walimu walicheza mchezo kumsingizia mzee wawatu ambae ana Mali na huwasaidia kuwapa Hadi mikopo mtu anapewa 400000 anarudisha hiyohiyo 400000 nendeni mkonoo mkamuhoji ametoka Hana hatia
Imegundulika ni waongo ww Mwalimu una Hatari sana usiwe na chuki Binafsi sio vizuri usipinge maendeleo ya watu mmemsingizia Mzee wa watu inabidi mkamuombe msamaha
M mungu atawalaani nyie watu wazee wazima mnamtengenezea mzee wa watu kesi
Eee Mwenyezi Mungu nakuomba huyu mwalimu wa mkuu wa mkonoo na wote waliyo husika kunidhalilisha waadhibu wao na kizazi chao hadi cha mwisho
Amiin ila sio kizazi chote Kwa walio husika tu
Hapa ndo maana watu Wanamsema vibaya mama samia kwa viongoz kama hawa
Lengo lao ni kuwapaka matope waislam na watu wasiamini masomo ya madrassa
حسبنا الله ونعم الوكيل
Acheni udini na ukabila hozo ni chuki binafsi.
Tena Arusha Kuna udini mnoo
poleni watanzania wenzangu na wazazi
Dunia jmn haitkiwi tuzae sasa daaaah😭😭😭
Hawa wote walio toa tarifa hizi za uongo wanatakiwa wawajibishwe ipasavyo,serikali isilifumbie macho hili swala.
Mwl mkuu mbn umepooza ivyo, poleni wazaz jmn inauma xna!!!
Anapooza kwa unafiki
Awana hofu ya Mungu kunitengenezea kesi Laana ya Mungu itawaangamizi adi kizazi chenu cha wisho
Kwanza huyu jamaa anaongea anaonekana kbs kuna kitu ndani yake amejtwngeneza sana mzee jumanne inshallah mungu ameshakulipia uko uraian
Mkuu ndo ushalaaniwa wew na uzao wako na mzee ........
Mimi ndio Mzee Jumanne Kingu kesi hii nimetengenezewa Namshukuru Mungu kesi zote 22 zimefutwa Namuomba Mungu adhabu zote nilieombewa na watu ziwapate waliyo nitengenezea na vizazi vyao
Mmh
Hivi mzee walitaka eneo lako wataifishe au? Anza kuandaa wosia na mirathi za mali zako mzee wangu maana binadamu wanakutakia mabaya. Pole sana mzee wangu kwa yaliyokukuta
Mungu atunusur kwa kwel
Duh Sina la kusema ,hasad ni kitu kibaya
Hizi madrasa zina wahuniwahuni tu...kwa kivuli cha dini...
Acha chuki za kidini kuna mapadri wangap wanafira watoto ktk makanisa na mashule ya mission hayo yaliotokea hata sisi waislam tunayalaani na huyo aliyefanya hivyo achukuliwe hatua na kazi ya madrasa ni kufundisha watoto maadili ya kidini na upande wa mapadri nao wachunguzwe kuna uozo mkubwa upo lkn haujaibuliwa
@@husseinissa7118 sasa wewe ndio unaleta chuki za kidini hapo angekuwa kiongozi wa dini ya kikiristo ndio kafanya hivyo mgeongea vibaya kama nini acha hizo
@husein hapa haikutajwa dini Fulani Kwa nn ww umejikita kwenye dini Fulani?
@@amour8802 umeona koment ya james lyimo ametukana madrasa zote na kutukana madrasa ni kutukana uislam kwani ndo vyuo vya kufundisha uislam na mm sijatukana ukristo nimetukana mapadri wanaojishirikisha na vitendo vya ulawiti kama huyu mwalimu wa mdrasa alichofanya
@@husseinissa7118 huyu kaka japo ni mkristo lkn alichosema ni kweli hizi madrasa za mitaan haswa za madufu uhuni ni mwingi sana hili suala la upotofu wa maadili halina mkristo wala muislam ni msiba mkubwa sana. Wazazi tuweni makini sana kwa watt wetu usimwamin ustaadh sijui mchungaji au mjomba au babu sijui baba mdogo na binamu hayo mambo yalishapitwa na wakati
Wazazi tunawajibu wa kuwalinda watoto wetu sio kuwa bize kutafuta pesa afu kizazi chetu kinapotea...
Watt wasasa wanamapepo tuwaombee sana yaaaani puuu kizazi cha nyoka watt wadogo wanapenda pesa sana
Waongo wakubwa mzee hakufanya hayo na yupo huru mungu awalaan nyoko nyie udini
Walaanie wote waliomsingizia mzee
Diwani umekosea saana jinsi ulivyoongea sio sawaa mbele za munguu kabisa hizo Ni hila za kimaendeleo daah
Waislam wa icho kijiji jitahidini mufungue kesi muwapelk hawo makafir mahakamani Diwani pamoja na walimu
Usitoe Ushahidi wa uongo unaweza kumdhuru mtu akafa mtaibeba hiyo dhambi kwa kweli huyo alieathirika pengine kazaliwa hivyo kapata kwa wazazi wake
Hili tukio si la kwanza katika kumbukumbu zangu hawa maostadhi vipi.
Nadhani hapa unatengenezwa udini
Laaana wakubwa nyinyi makafili munafiki hamta udhulu uisilamu hata Zanzibar waliifunga madrasa Tena kaimu wamufti aliifunga wote maadui wawaisilamu wafe woooote nawafuasi wao wao wafe tupumzike mungu waaangamize
Ninyi hamnazo hivi mlipanga kumtokomeza yule mzee
Madrasa izi sio kabisa
Surazenyewe zimejawa na uongo pumbavu
Jmn imeniuma sana name nina mtoto😢😢😢
Hao makafiri wamemtengenezea kesi fuatilia mpaka mwisho utajua ukweli baada ya uchunguzi
Dah halafu hii kesi ndio walivyojikusanya ili kumpa kesi mbaya kama hii mzee wa watu, walaaniwe wote
Jamani vitendo hivi Havikubaliki kwa namna yoyote ile lkn pia siku izi watu watu wanao Watengenezea wenzao kesi za namna hii? Naomba kama kuna mtu anajua mwisho wa hili jambo anijulishe Tafadhali je ni kweli au ni Mizengwe?
Hilo zee likatwe viganja vya mikono.
Jamani twende mbele turudi nyuma mimi nahisi kuna ukweli kuhusu jambo hili japokua sijui lakini waswahili wanasema yasemwayo yamo 😞😞😞😞😞
daaah wameumbuka ss wanamuonea wivu sijui babu wa wawatu mzalilisha Mungu ndo mtoa hukumu uko kesho mbinguni
Siasa ni taaluma, kuuongea na kupanga maneno, kunachukua nafasi kubwa ya taaluma hiyo, tusigombee nafasi za uogonzi wa kisiasa, kama hatuna mwanga wa jambo hili.
Nimekuelewa vizuli poleni wakazi wa arusha
Hahaha daah mmemtuhum mzee wa watu bure!!! Inauma sana kumchafua
Allah allah allah tuteteee allah allah allah
Mzee alikuwa anaongea uongo mpaka anajishtukia mwennyewe
mnapo Fanya mahojiano mrekodi
Mkuu wa Wilaya tafadhali rudi tena hapo Kijijini na Umtake radhi na umsafishe Mzee Juma4 kwa Ushenzi ulioufanya na Upumbavu wako wa kutuhumu bila kujirizisha
Mzee wetu wasamehe tu hao nia yao ni kukuchafua ww na waislamu wote hao ni wanaharamu
Aki watu na Leo mwalimu ako free watu wanaekea watu kesi Kwa ajili ya wivu that's not fair watu waache roho mbya
Laanatullah waliotengeneza tuhuma hizi
Wakipatikana na hatia kwa nini wasihasiwe,napendekeza sheria yakuwahasi hao waharibifu.
Dah innalilahi wainnailaihi rajjighuun
Mume mkosea mzee wa watu sasa ame sema hatowahi wa samehi mpaka Siku ya kiyama
Hawa viongoz wa dini wafuatiliwe, baadhi yao ni washenzi wataleta janga kwa vizazi vyetu
Washenzi ni nyie makafiri munaotaka kuuchafua uislam kupitia viongozi wa dini
Yuda alijinyonga mwenyewe
Mm ndio Mzee Jumanne Kingu kesi za kutengenezwa nimezimaliza zote nipo Huru Huku kwenu na sinta msamehe mtu adi Kiama
@@joharimapunda7678 Johari Mapunda. Sinta Samehe hadi Kiama
Aqsas haqu namie nakuunga mkono usiwasamehe ila pia kuwasamehe ni Bora mashaallah kamaa tudan tudini, kama ukifanya jema utalipwa jema, ukifanya baya malipo ni baya kwahili ukweli bila hawatubia kwao litajibiwa na Rahman katka vizaz vyao,
Ni kweli sheikh wetu tumepata somo kubwa Sana Inabidi sauti ipazwe..
@@abdallahmmary8591 Kuna kusamehe Ila kutokana na kuchafuliwa Inabidi pia wamsafishe maana Kuna waliopata taarifa za swali wakamtuhumu..inabid warud wazungumze kuwa sio kweli kasingiziwa na aliesingizia pia abainishwe anaweza kuwa kasingizia wengi
@@issanasir3583 Ni kwel
vijana wengi hapa Egypt wanasoma dini lakini uhuni wanaoufanya huku nihatari ndo hawa wakija huko wanasumbua watoto wetu
Kesi za maostadh zimekuwa nyingi Sana Tena wanawaingilia hatawatt wa kiume madrasa huko jmn 😭
Nyiee iyoo seemu sioyenu SEMA iposiku mungu atawangamiza semwni Amani iposiku mtaisaau iyoo Amani yenu yaunafiki mnatukana babawawatu mungu atamlinda Amani analetamungu sionyiee filukanjiaa finaliijaanamu nyiee wakenyaa mnajifanya wachagaa
Am tz 😭😭😭huyo mtu AU 💯😱SHEITANI
Usiwe mwepesi kuhukum mzee hana hatia fatilia na mjifunze kukomenti mtalipia kila mnachohukum
Hawa walim kwa kweli ni wa mchongo na haya ni baazi ya utumbo wa serekali ya mama samia
Arusha jamani mmekuaje
Malipo hapa hapa Duniani, ukweli umebainika, Ananguvu za kiasi gani mpaka awalawiti wote kwa wakati 1,Mkamlipe fidia na kumtaka radhi, kuanzia Walimu na watoto mliyo wafundisha, uongo, na mtabibu aliye dhibitisha,.
Ona sasa mlivoaibika wanafik wakubwa mkuu endelea kutoa maagizo baada ya haki kutendeka
Binadam hawana haya
Hawa walimu wanachuki na msikiti ule pale sio vinginevo
Mungu atusaidie viongoz wa dini ndio wamekuwa wakatili kiasi kikubwa mno
Una uhakika
Mtoto wa darasa la 3 alawitiwe miaka miwili nyuma alikua alikua la kwanza hivyo nianza kumlawiti akiwa la kwanza Mungu anawona
Mkuu wa wilaya Kama nakuona vile
Wanacho kifanya wanakijua ni uzalilishaji tu ongea yao tu unajua nimipango mung ata walipa apa apa dunian
Muache unafki mambo haya yatawarudia wenyewe
Dah 😭😭
Allah awaalaani wote walio msingizia, hivi kuna ukweli kwamba mzazi asigundue uje ugundue wewe. Upate kichaa wewe unayeongea uongo
Hili mwalimu chawi.
Hili Mwalimu Chawi kwel ila liko nyumbani
Huyo mwalimu anyongwe iwe fundisho kwa wengine wenye matarajio ya kufanya ifyo
Vipi kama angekuwa amenyongwa ilihali mahakama imejiridhisha sasa habari ni ya uongo
Kama mulivyoshiriki kumchafua basi mshiriki kumsafisha
Kumbe sio ukweli nyie walimu mna hukumu yenu kwa Mungu sio kwa hili mna mzalilisha baba wawatu kumbe sio kweli