UGANGA NI IBADA - SHEKH MZIWANDA - DARSA LA QURANI - RAMADHANI YA 21

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 104

  • @FikretMweneyuni
    @FikretMweneyuni 6 месяцев назад +1

    Mash Allah

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 6 месяцев назад +2

    Hongera shekh kwa kufungua akaunti yako. Ume fanya vizuri sana. Mshauri shekh walidi na shekh abuu iddi pia

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 6 месяцев назад

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe

  • @kazuhan_thobes
    @kazuhan_thobes 6 месяцев назад +1

    Subhanallah limalikil qiddus

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 6 месяцев назад +2

    Mziwanda umesoma wengi hajui ubalikiwe

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 6 месяцев назад

    Baarakallahu fiika shekh Allah akuongezee elimu zaid ili tupate kunufaika na wewe

  • @omarmohammad1528
    @omarmohammad1528 6 месяцев назад +3

    Jaribu kuelewa lugha Sheikh, maana ya Uganga ni ushrikina, huku ni kupotezana tu sasa wala hamna Dalili yeyote kwamba msemo uganga ni Ibada

    • @OmarShela-p2z
      @OmarShela-p2z 6 месяцев назад

      Kwa iyo wewe hugangi wala hugangwi?

    • @masoudmahmoud4813
      @masoudmahmoud4813 6 месяцев назад +1

      Ukienda hospital utakuta ofisi ya mganga mfawidhi au mganga Mkuu pia tuna mganga wa wilya je maana yake ni mshirikina mkuu au mshirikina wa wilya? Tafuta kamusi kisha angalia maana ya mganga.
      Kuna neno la kiarabu twabiibu je kwa kiswahili ni nini? Doctor kwa kiswahili ni nini?

    • @SelemaniSelemani-bw4ps
      @SelemaniSelemani-bw4ps 6 месяцев назад

      Hujui kiswahili basi hospital zote ni washirikina,, hospitali tunatumia mganga mfawidhi , maana mganga maana yake ni daktari(hii nikingereza) au tabibu(kiarabu), sasa kiswahili hasa ni mganga!

    • @OmarShela-p2z
      @OmarShela-p2z 6 месяцев назад

      @@SelemaniSelemani-bw4ps.... Kupanga sio haramu

    • @mkidadiabdallah1447
      @mkidadiabdallah1447 2 месяца назад

      Kwahiyo waganga wakuu wa mikowa ni washirikina nchi nzima

  • @WastarYoussuf-wb7fz
    @WastarYoussuf-wb7fz 6 месяцев назад +1

    Shekhe mziwanda uko vizuri watu waelewe nini uganga. Kwanini watu wameza panado kwani na yao ni ushirikina? Ao sababu wazungu ndio wameleta? Watu wa aache ujinga kwani zamani wakati wa mtume panado ilikuwepo

    • @VnKnvXn-op6qw
      @VnKnvXn-op6qw 6 месяцев назад

      Kwa hiyo ndo nini sasa kama haikuwepo hata wewe hukuwepo enzi za mitume so what?

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 6 месяцев назад

      Huyo ni mganga wa kienyeji (witch doctor)
      Hoja anayotoa ni sahihi ila yeye hayupo sahihi uganga wake

  • @yussufalawi1227
    @yussufalawi1227 18 дней назад

    Hii mada kama hizi zinahitataji ufafanuzi mkubwa ili watu wasielewe vibaya

  • @bigruwas81
    @bigruwas81 6 месяцев назад

    TATIZO LUGHA, KUGANGA MAANA YAKE .NI KUTIBU, NA USHIRIKINA NIKUABUDU ASIEKUA MUNGU PAMOJA NA MWENYEZI MUNGU, HIYO NDO SHIRKI LAKINI KUGANGA NIKUTIBU

    • @Zanzibar-e4h
      @Zanzibar-e4h 6 месяцев назад

      Sasa sialikuwa aseme tu maana na uganga.nini sio kuzunguka sana

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 6 месяцев назад

      Huyo ni mganga wa kienyeji

  • @LatifaMwandu
    @LatifaMwandu 6 месяцев назад +2

    MI NAONA UNGEWEKA KISICHOFAA BAYANA NA YANAYOFAA ILI WATU WAJUE CHA KUFUATA

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 6 месяцев назад

    Uganga wa tiba za asili hauna shaka, unafaa.
    ila wewe si mganga wa tiba za asili, bali ni mganga wa kienyeji.
    Kimsingi wewe ni mshirikina na hapo unajisafisha tu kupitia tiba za asili

  • @Harunery
    @Harunery 6 месяцев назад

    Dawa yko mtihani sana

  • @ZahorJuma-hf8zi
    @ZahorJuma-hf8zi 6 месяцев назад +2

    Msubiri abuu khaula

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 6 месяцев назад

      Abuu Khaula, Kama Kweli Anaelimu Namuomba aende Wakafundishane, sio wakabishane ndio tutajua sio kutuma maclip kwenye mitandao

    • @noordinmilulu8242
      @noordinmilulu8242 6 месяцев назад

      Haya hayana nafasi hapa, hii sisawa, uadilofu ni muhimu sana, na tuacheni ushabiki bali tufanyeni dini.
      Baarakallahu fiikum

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 6 месяцев назад

      Abuu haula ndo shoga yako au?

  • @abdallahmkali3251
    @abdallahmkali3251 6 месяцев назад

    Allah Akbar

  • @nixonmwanguni3094
    @nixonmwanguni3094 6 месяцев назад

    Uganga ni shirki acha kuadaa uma.endelea na shirki zako bana.

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 6 месяцев назад

      Akili ya samaki huwezi kuelewa hapo

    • @Zanzibar-e4h
      @Zanzibar-e4h 6 месяцев назад

      unajuwa km maana ya uganga ni tiba bas alikuwa aweke mana yake sema hawa wengine hutafuta neno wakazunguka mwisho wakalitafsiri ili mawaidha yao yende

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 6 месяцев назад

      Watu wanaandika bila kujua
      Huyo ni mganga wa kienyeji
      Uganga anaouzungumza sio ambao anaufanya yeye

  • @IbrahimWaziri-to3fl
    @IbrahimWaziri-to3fl 6 месяцев назад

    Acha babu afanye tiba.goof

  • @HAJIHAJI-g2i
    @HAJIHAJI-g2i 6 месяцев назад

    Ili upate hukmu ya jambo kila kitu ukiweke mahala pake,wajue makuhani,wanajimu,wapiga ramli,n.k kisha umchambue kila mmoja hapo utapata hukmu zao,yupo ambaye ukiumwa tumbo anachimba mzizi wa mti fulani anakupa ukachemshe unywe asubuhi na jioni huyo ndio mganga,lakini kuhani,mnajimu,mpiga ramli hao sio waganga,wengi wao ni washirikina

  • @bausiwessaomar983
    @bausiwessaomar983 6 месяцев назад

    Hapa naona tatizo ni utumiaji wa lugha ya kiswahili

  • @AmourAbdallah-r5h
    @AmourAbdallah-r5h 6 месяцев назад +2

    masuf hapo wanafurah kua shehe kamwaga elimu ya hal juu ila stor nying dalili zro allah tuongoze katka haq

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 6 месяцев назад

      Lete wewe hizo dalili akili kisoda utaelewa wapi

    • @drsaeedherbs
      @drsaeedherbs 6 месяцев назад

      Sasa unataka upewe dalili yanini wewe nimwehu kichwani huna akili ama kitu gani

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 6 месяцев назад

      @@drsaeedherbs mimi sina akili lkn wewe huna akili timamu

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 6 месяцев назад

      Wanajizima data
      Yeye ni mganga wa kienyeji
      Uganga anaoutolea ushahidi ni uganga wa tuba asili

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 6 месяцев назад +2

    Qauli zako,zinaweza zikaashiria maana nzuri,lkn kwa watu wenye fahmu ndogo waweza ukawatia kwenye mtihani,we ni mtu umesoma balagha,angalia muqtadhwal haal,na hakuna salafi aliesema kua kutumia miti shamba ni ushirikina,ispokua asilimia kubwa watu wengi,huchanganya tiba inayofaa na isiyofaa.

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 6 месяцев назад

    Wakanza Mimi nasikiliza na Nina elewa

  • @abdallahjimile5339
    @abdallahjimile5339 6 месяцев назад +1

    Wewe Kila ukiongelea dini unavurugatu hujui kupangilia mazungumzo nimeshajua dini unataka uiendeshe Kwa ufahamu wako wa lugha

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 6 месяцев назад +2

      Sio kweli, Neno Uganga linatumika sana tu......
      Kwamfano Mganga mkuu wa Hospitali ya Muhimbini ni Mr....
      Mfano mwengine...

    • @dulaseif5001
      @dulaseif5001 6 месяцев назад

      wewe nawe sikiza kabl y kukoment

  • @saidmbaraksaidtwahir3412
    @saidmbaraksaidtwahir3412 6 месяцев назад +2

    Shekhe bado unawatatiza watu na uwongo.... tiba ya miti shamba sio uganga ni tiba. Unaposema waganga wa kisasa watatiza watu inamaana waelewa waganga huchanganya tiba ya miti shamba na elimu ya majini, na hio bila shaka ndio tafsiri ya shirk na HAMNA SWAHABA AWEZAE SUBUTU KUFANYA SHIRK. Shirk huja na kuamini kitu kina uwezo dhidi, au pamoja na Allah. Nabii Musa A.S aliumwa na jino, akamwambia Allah na akaelekezwa na Mola atafune mti fulani na akapoa. Baada ya mda aliumwa tena na jino, akachuma mti akatafuna na hakupoa. Akamuuliza Allah mbona sijapoa mara ya pili, Mungu akam nasihi niponeshae ni mimi wala sio mti. Zingatio ni suala la imani kuendekeza kwa Allah, endapo iman wai elekeza kwa kiumbe cha Allah huwa umekosea...Na ndio inakua mafunzo kusema BISMILLAHI kwanza kwa kila tulifanyalo....kiislamu

    • @SelemaniSelemani-bw4ps
      @SelemaniSelemani-bw4ps 6 месяцев назад +1

      Kiswahili hujui "mganga" maana yake daktari , ushirikina ndo hautakiwi,

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 6 месяцев назад

      Huyo ni mganga wa kienyeji

    • @saidmbaraksaidtwahir3412
      @saidmbaraksaidtwahir3412 6 месяцев назад

      @@SelemaniSelemani-bw4ps Daktari ni tabibu kaka. Na ndipo utakuta tabibu wa dawa za asili na tabibu wa dawa za kizungu au kisasa kumaanisha makemikali. Ila Mganga ni raddi ya mchawi ila wote wawili watumia majini kurogea..... zinduka ubainishe.....

    • @SelemaniSelemani-bw4ps
      @SelemaniSelemani-bw4ps 6 месяцев назад +2

      @@saidmbaraksaidtwahir3412 nikuulize swali wanaondika "mganga mfawidhi, mganga mkuu wa mkoa" maana yake nini? Ndo maana nikasema kiswahili (mganga) kiingereza( doctor) tumetohoa tukapata daktari , kiarabu ni (twabiib) tumetohoa tukapata tabibu. Kaangalie kwenye kamusi,

    • @ramammasa3975
      @ramammasa3975 6 месяцев назад

      Brother utapata shida. Darasani mwalimu mmoja, mtihani mmoja ila matokeo kuna wa kwanza mpaka ila wakati wakujibu kila mtu aliamini yuko sahihi. Hongera kwa elimu ila si rahisi kufundisha mashabi. Waombee dua shekh wangu

  • @Abdallahmohamad-sb5ge
    @Abdallahmohamad-sb5ge 6 месяцев назад +1

    Wewe mchawi tu

  • @karamakarama4639
    @karamakarama4639 6 месяцев назад

    Wacha ukumbavu mjinga sana kumbe wewe shehena

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 6 месяцев назад

    Hawa mawahabi hawa kufaham lakini sisi tuna kufahamu

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 6 месяцев назад

      Wahabi ndio nini?

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 6 месяцев назад

      Mawahabi ni mijitu ina mavi Kwenye vichwa vyao. hayajui yule daktari wa muhimbili kiswahili anaitwa mgang wanajua mganga maana yake mchawi​@@AbuwSuhaylahSalafiy

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 6 месяцев назад

      Kamashairi hulifahamu ya manisha huku andiki wa wewe

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 6 месяцев назад

      @@AbuwSuhaylahSalafiy kama shari huifahamu ya manisha hukundi kiwa wewe

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 6 месяцев назад +1

      Taarifu ya wahhabi hilo neno nalisikia sana si nataka nijue? Na ni ipi hukumu ya mtu kuwa wahhabi?

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 6 месяцев назад +2

    Amesema kweli shekh abuu iddi alipo sema mawahabi wana tatizo la uelewa😂😂😂. Leo muwahabi huyu huyu utamkuta ana ahadi ya kukutana na mganga mkuu wa muhimbili kimatibabu na hapo ana sahau kabisa neno mganga hajiulizi mganga maana yake nini

    • @VnKnvXn-op6qw
      @VnKnvXn-op6qw 6 месяцев назад

      Wewe kweli akili zimeruka au hujasoma unazidi kuonesha wewe na Abuu Iddy wako ufinyu wa akili zenu. Muhimbili hakuna waganga kuna madaktari mganga ni mtu anayetibu kwa njia za kitamaduni hiyo ndio asili ya neno mganga. Kafungue kamusi ebu sio una comment tu

    • @VnKnvXn-op6qw
      @VnKnvXn-op6qw 6 месяцев назад

      Mtu akimpinga shaykh wako basi ni Wahhabi dini ya wapi hiyo? Taarifu ya Wahhabi ni ipi?

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 6 месяцев назад +1

      @@VnKnvXn-op6qw wewe ni demu wa abuu haula . Kwahiyo upo Kwenye siku zako ndiyo maana hauelewi unacho kisema

    • @VnKnvXn-op6qw
      @VnKnvXn-op6qw 6 месяцев назад

      @@abuujibriltv5233 wew ni demu wa Mziwanda kwa hiyo ushamaliza siku zako so he hit that butt from behind.

    • @abdulsakibu
      @abdulsakibu 6 месяцев назад

      Maalim mbn mnatoka katika imani kwa kutukanana matusi mazito kisa kupishana mitazamo tu, tumche Allah jmn!​@@VnKnvXn-op6qw

  • @AllyKarama
    @AllyKarama 6 месяцев назад

    Hio alaa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 6 месяцев назад +2

    Sheikh usiwe unafundisha dini unavuruga kama unatafuta umaarufu jiunge na akina diamond. Mtakuja uliizwa jamaa

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 6 месяцев назад +2

      @Seleman. Wallah muombe Allah akujalie kwanza usiwe na Ushabiki Ktk dini, pili akupe ufahamu wakubambanua mambo.....
      Nikulize swali dogo sana...
      *Neno uganga unafahamu nini*?
      Je ? Watu wakisema mgangamkuu wa Hospitali ya Muhimbili ni Mr Juma. Hapo wamemaanisha nini

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 6 месяцев назад

      ruclips.net/video/_VH9E_kd9cA/видео.htmlsi=ggAS8A8_nusd1iY8

    • @MussaMussa-f7m
      @MussaMussa-f7m 6 месяцев назад

      We mganga si doctor au unamkuaidia yupi

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 6 месяцев назад +1

      Mganga ni Mtua anaefanya matibabu, ama Tiba..
      Na neno Kuganga ni (Kutibu)
      Sasa mi siwezi kushindana na wewe kwasababu sipo kimashindani nipo kufahamishana...........
      Na ninekutolea mfano.....
      Nakutolea tena mfano mzuri
      *Neno Mkunga Lina maana gani*..

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 6 месяцев назад

    Yana na shanga na watu wano ona majabu kusikia neno uganga kkk

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin3016 6 месяцев назад

    hivi kuna wat wanakaa wanaskiliz kwel? mh

  • @Logicentric
    @Logicentric 6 месяцев назад

    Nyinyi wabongo malimbukeni mpaka wa hii dini nayo?
    Nyinyi kwa mpira tu....Simba na yanga?

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص 6 месяцев назад +2

    Subiri utandikwe na kiboko yako Abuu Khawla.... 😂😂😂😂😂😂 amekufanya dhalili maskini...

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el 6 месяцев назад

    Swali langu shehe. Nini maana ya Ibada? Kimueleo wako.

    • @mauidhwa5076
      @mauidhwa5076 6 месяцев назад

      Ibada ni Kila neno au tendo linalopendwa Na Allah na Kuliridhia...Na kila JAMBO analolipenda Allah na kuliridhia ameshaliamrisha Litekelezwa na Likafundishwa Kimatendo Na Mtume Muhammad Swalallahu alayhi Wasalam

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el 6 месяцев назад

      @@mauidhwa5076 Ibada ni kufuata alioamrisha Allah na kuacha aliokataza

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 6 месяцев назад

    Dini ya kichawi hii

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 6 месяцев назад

      Acha kutukana dini kwa makosa mtu

    • @dulaseif5001
      @dulaseif5001 6 месяцев назад

      Mganga wa hospital y rufaa pia ni uchawi?

  • @feisalmohammed1081
    @feisalmohammed1081 6 месяцев назад

    🤔

  • @Abdallahmohamad-sb5ge
    @Abdallahmohamad-sb5ge 6 месяцев назад +2

    Wewe mchawi tu

    • @noordinmilulu8242
      @noordinmilulu8242 6 месяцев назад

      Usifanye hivyo akhui, si sawa

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 6 месяцев назад

      Kwahivo madakrari pia wachawi?erevuka wewe asha mbwe mbwembwe….