Ukienda hospital utakuta ofisi ya mganga mfawidhi au mganga Mkuu pia tuna mganga wa wilya je maana yake ni mshirikina mkuu au mshirikina wa wilya? Tafuta kamusi kisha angalia maana ya mganga. Kuna neno la kiarabu twabiibu je kwa kiswahili ni nini? Doctor kwa kiswahili ni nini?
Hujui kiswahili basi hospital zote ni washirikina,, hospitali tunatumia mganga mfawidhi , maana mganga maana yake ni daktari(hii nikingereza) au tabibu(kiarabu), sasa kiswahili hasa ni mganga!
Shekhe mziwanda uko vizuri watu waelewe nini uganga. Kwanini watu wameza panado kwani na yao ni ushirikina? Ao sababu wazungu ndio wameleta? Watu wa aache ujinga kwani zamani wakati wa mtume panado ilikuwepo
Uganga wa tiba za asili hauna shaka, unafaa. ila wewe si mganga wa tiba za asili, bali ni mganga wa kienyeji. Kimsingi wewe ni mshirikina na hapo unajisafisha tu kupitia tiba za asili
Ili upate hukmu ya jambo kila kitu ukiweke mahala pake,wajue makuhani,wanajimu,wapiga ramli,n.k kisha umchambue kila mmoja hapo utapata hukmu zao,yupo ambaye ukiumwa tumbo anachimba mzizi wa mti fulani anakupa ukachemshe unywe asubuhi na jioni huyo ndio mganga,lakini kuhani,mnajimu,mpiga ramli hao sio waganga,wengi wao ni washirikina
Qauli zako,zinaweza zikaashiria maana nzuri,lkn kwa watu wenye fahmu ndogo waweza ukawatia kwenye mtihani,we ni mtu umesoma balagha,angalia muqtadhwal haal,na hakuna salafi aliesema kua kutumia miti shamba ni ushirikina,ispokua asilimia kubwa watu wengi,huchanganya tiba inayofaa na isiyofaa.
Shekhe bado unawatatiza watu na uwongo.... tiba ya miti shamba sio uganga ni tiba. Unaposema waganga wa kisasa watatiza watu inamaana waelewa waganga huchanganya tiba ya miti shamba na elimu ya majini, na hio bila shaka ndio tafsiri ya shirk na HAMNA SWAHABA AWEZAE SUBUTU KUFANYA SHIRK. Shirk huja na kuamini kitu kina uwezo dhidi, au pamoja na Allah. Nabii Musa A.S aliumwa na jino, akamwambia Allah na akaelekezwa na Mola atafune mti fulani na akapoa. Baada ya mda aliumwa tena na jino, akachuma mti akatafuna na hakupoa. Akamuuliza Allah mbona sijapoa mara ya pili, Mungu akam nasihi niponeshae ni mimi wala sio mti. Zingatio ni suala la imani kuendekeza kwa Allah, endapo iman wai elekeza kwa kiumbe cha Allah huwa umekosea...Na ndio inakua mafunzo kusema BISMILLAHI kwanza kwa kila tulifanyalo....kiislamu
@@SelemaniSelemani-bw4ps Daktari ni tabibu kaka. Na ndipo utakuta tabibu wa dawa za asili na tabibu wa dawa za kizungu au kisasa kumaanisha makemikali. Ila Mganga ni raddi ya mchawi ila wote wawili watumia majini kurogea..... zinduka ubainishe.....
@@saidmbaraksaidtwahir3412 nikuulize swali wanaondika "mganga mfawidhi, mganga mkuu wa mkoa" maana yake nini? Ndo maana nikasema kiswahili (mganga) kiingereza( doctor) tumetohoa tukapata daktari , kiarabu ni (twabiib) tumetohoa tukapata tabibu. Kaangalie kwenye kamusi,
Brother utapata shida. Darasani mwalimu mmoja, mtihani mmoja ila matokeo kuna wa kwanza mpaka ila wakati wakujibu kila mtu aliamini yuko sahihi. Hongera kwa elimu ila si rahisi kufundisha mashabi. Waombee dua shekh wangu
Mawahabi ni mijitu ina mavi Kwenye vichwa vyao. hayajui yule daktari wa muhimbili kiswahili anaitwa mgang wanajua mganga maana yake mchawi@@AbuwSuhaylahSalafiy
Amesema kweli shekh abuu iddi alipo sema mawahabi wana tatizo la uelewa😂😂😂. Leo muwahabi huyu huyu utamkuta ana ahadi ya kukutana na mganga mkuu wa muhimbili kimatibabu na hapo ana sahau kabisa neno mganga hajiulizi mganga maana yake nini
Wewe kweli akili zimeruka au hujasoma unazidi kuonesha wewe na Abuu Iddy wako ufinyu wa akili zenu. Muhimbili hakuna waganga kuna madaktari mganga ni mtu anayetibu kwa njia za kitamaduni hiyo ndio asili ya neno mganga. Kafungue kamusi ebu sio una comment tu
@Seleman. Wallah muombe Allah akujalie kwanza usiwe na Ushabiki Ktk dini, pili akupe ufahamu wakubambanua mambo..... Nikulize swali dogo sana... *Neno uganga unafahamu nini*? Je ? Watu wakisema mgangamkuu wa Hospitali ya Muhimbili ni Mr Juma. Hapo wamemaanisha nini
Mganga ni Mtua anaefanya matibabu, ama Tiba.. Na neno Kuganga ni (Kutibu) Sasa mi siwezi kushindana na wewe kwasababu sipo kimashindani nipo kufahamishana........... Na ninekutolea mfano..... Nakutolea tena mfano mzuri *Neno Mkunga Lina maana gani*..
Ibada ni Kila neno au tendo linalopendwa Na Allah na Kuliridhia...Na kila JAMBO analolipenda Allah na kuliridhia ameshaliamrisha Litekelezwa na Likafundishwa Kimatendo Na Mtume Muhammad Swalallahu alayhi Wasalam
Mash Allah
Hongera shekh kwa kufungua akaunti yako. Ume fanya vizuri sana. Mshauri shekh walidi na shekh abuu iddi pia
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Subhanallah limalikil qiddus
Subhana almaliku kudhus
Mziwanda umesoma wengi hajui ubalikiwe
Baarakallahu fiika shekh Allah akuongezee elimu zaid ili tupate kunufaika na wewe
Jaribu kuelewa lugha Sheikh, maana ya Uganga ni ushrikina, huku ni kupotezana tu sasa wala hamna Dalili yeyote kwamba msemo uganga ni Ibada
Kwa iyo wewe hugangi wala hugangwi?
Ukienda hospital utakuta ofisi ya mganga mfawidhi au mganga Mkuu pia tuna mganga wa wilya je maana yake ni mshirikina mkuu au mshirikina wa wilya? Tafuta kamusi kisha angalia maana ya mganga.
Kuna neno la kiarabu twabiibu je kwa kiswahili ni nini? Doctor kwa kiswahili ni nini?
Hujui kiswahili basi hospital zote ni washirikina,, hospitali tunatumia mganga mfawidhi , maana mganga maana yake ni daktari(hii nikingereza) au tabibu(kiarabu), sasa kiswahili hasa ni mganga!
@@SelemaniSelemani-bw4ps.... Kupanga sio haramu
Kwahiyo waganga wakuu wa mikowa ni washirikina nchi nzima
Shekhe mziwanda uko vizuri watu waelewe nini uganga. Kwanini watu wameza panado kwani na yao ni ushirikina? Ao sababu wazungu ndio wameleta? Watu wa aache ujinga kwani zamani wakati wa mtume panado ilikuwepo
Kwa hiyo ndo nini sasa kama haikuwepo hata wewe hukuwepo enzi za mitume so what?
Huyo ni mganga wa kienyeji (witch doctor)
Hoja anayotoa ni sahihi ila yeye hayupo sahihi uganga wake
Hii mada kama hizi zinahitataji ufafanuzi mkubwa ili watu wasielewe vibaya
TATIZO LUGHA, KUGANGA MAANA YAKE .NI KUTIBU, NA USHIRIKINA NIKUABUDU ASIEKUA MUNGU PAMOJA NA MWENYEZI MUNGU, HIYO NDO SHIRKI LAKINI KUGANGA NIKUTIBU
Sasa sialikuwa aseme tu maana na uganga.nini sio kuzunguka sana
Huyo ni mganga wa kienyeji
MI NAONA UNGEWEKA KISICHOFAA BAYANA NA YANAYOFAA ILI WATU WAJUE CHA KUFUATA
Uganga wa tiba za asili hauna shaka, unafaa.
ila wewe si mganga wa tiba za asili, bali ni mganga wa kienyeji.
Kimsingi wewe ni mshirikina na hapo unajisafisha tu kupitia tiba za asili
Dawa yko mtihani sana
Msubiri abuu khaula
Abuu Khaula, Kama Kweli Anaelimu Namuomba aende Wakafundishane, sio wakabishane ndio tutajua sio kutuma maclip kwenye mitandao
Haya hayana nafasi hapa, hii sisawa, uadilofu ni muhimu sana, na tuacheni ushabiki bali tufanyeni dini.
Baarakallahu fiikum
Abuu haula ndo shoga yako au?
Allah Akbar
Uganga ni shirki acha kuadaa uma.endelea na shirki zako bana.
Akili ya samaki huwezi kuelewa hapo
unajuwa km maana ya uganga ni tiba bas alikuwa aweke mana yake sema hawa wengine hutafuta neno wakazunguka mwisho wakalitafsiri ili mawaidha yao yende
Watu wanaandika bila kujua
Huyo ni mganga wa kienyeji
Uganga anaouzungumza sio ambao anaufanya yeye
Acha babu afanye tiba.goof
Ili upate hukmu ya jambo kila kitu ukiweke mahala pake,wajue makuhani,wanajimu,wapiga ramli,n.k kisha umchambue kila mmoja hapo utapata hukmu zao,yupo ambaye ukiumwa tumbo anachimba mzizi wa mti fulani anakupa ukachemshe unywe asubuhi na jioni huyo ndio mganga,lakini kuhani,mnajimu,mpiga ramli hao sio waganga,wengi wao ni washirikina
Hapa naona tatizo ni utumiaji wa lugha ya kiswahili
masuf hapo wanafurah kua shehe kamwaga elimu ya hal juu ila stor nying dalili zro allah tuongoze katka haq
Lete wewe hizo dalili akili kisoda utaelewa wapi
Sasa unataka upewe dalili yanini wewe nimwehu kichwani huna akili ama kitu gani
@@drsaeedherbs mimi sina akili lkn wewe huna akili timamu
Wanajizima data
Yeye ni mganga wa kienyeji
Uganga anaoutolea ushahidi ni uganga wa tuba asili
Qauli zako,zinaweza zikaashiria maana nzuri,lkn kwa watu wenye fahmu ndogo waweza ukawatia kwenye mtihani,we ni mtu umesoma balagha,angalia muqtadhwal haal,na hakuna salafi aliesema kua kutumia miti shamba ni ushirikina,ispokua asilimia kubwa watu wengi,huchanganya tiba inayofaa na isiyofaa.
Wakanza Mimi nasikiliza na Nina elewa
Wewe Kila ukiongelea dini unavurugatu hujui kupangilia mazungumzo nimeshajua dini unataka uiendeshe Kwa ufahamu wako wa lugha
Sio kweli, Neno Uganga linatumika sana tu......
Kwamfano Mganga mkuu wa Hospitali ya Muhimbini ni Mr....
Mfano mwengine...
wewe nawe sikiza kabl y kukoment
Shekhe bado unawatatiza watu na uwongo.... tiba ya miti shamba sio uganga ni tiba. Unaposema waganga wa kisasa watatiza watu inamaana waelewa waganga huchanganya tiba ya miti shamba na elimu ya majini, na hio bila shaka ndio tafsiri ya shirk na HAMNA SWAHABA AWEZAE SUBUTU KUFANYA SHIRK. Shirk huja na kuamini kitu kina uwezo dhidi, au pamoja na Allah. Nabii Musa A.S aliumwa na jino, akamwambia Allah na akaelekezwa na Mola atafune mti fulani na akapoa. Baada ya mda aliumwa tena na jino, akachuma mti akatafuna na hakupoa. Akamuuliza Allah mbona sijapoa mara ya pili, Mungu akam nasihi niponeshae ni mimi wala sio mti. Zingatio ni suala la imani kuendekeza kwa Allah, endapo iman wai elekeza kwa kiumbe cha Allah huwa umekosea...Na ndio inakua mafunzo kusema BISMILLAHI kwanza kwa kila tulifanyalo....kiislamu
Kiswahili hujui "mganga" maana yake daktari , ushirikina ndo hautakiwi,
Huyo ni mganga wa kienyeji
@@SelemaniSelemani-bw4ps Daktari ni tabibu kaka. Na ndipo utakuta tabibu wa dawa za asili na tabibu wa dawa za kizungu au kisasa kumaanisha makemikali. Ila Mganga ni raddi ya mchawi ila wote wawili watumia majini kurogea..... zinduka ubainishe.....
@@saidmbaraksaidtwahir3412 nikuulize swali wanaondika "mganga mfawidhi, mganga mkuu wa mkoa" maana yake nini? Ndo maana nikasema kiswahili (mganga) kiingereza( doctor) tumetohoa tukapata daktari , kiarabu ni (twabiib) tumetohoa tukapata tabibu. Kaangalie kwenye kamusi,
Brother utapata shida. Darasani mwalimu mmoja, mtihani mmoja ila matokeo kuna wa kwanza mpaka ila wakati wakujibu kila mtu aliamini yuko sahihi. Hongera kwa elimu ila si rahisi kufundisha mashabi. Waombee dua shekh wangu
Wewe mchawi tu
Wacha ukumbavu mjinga sana kumbe wewe shehena
Hawa mawahabi hawa kufaham lakini sisi tuna kufahamu
Wahabi ndio nini?
Mawahabi ni mijitu ina mavi Kwenye vichwa vyao. hayajui yule daktari wa muhimbili kiswahili anaitwa mgang wanajua mganga maana yake mchawi@@AbuwSuhaylahSalafiy
Kamashairi hulifahamu ya manisha huku andiki wa wewe
@@AbuwSuhaylahSalafiy kama shari huifahamu ya manisha hukundi kiwa wewe
Taarifu ya wahhabi hilo neno nalisikia sana si nataka nijue? Na ni ipi hukumu ya mtu kuwa wahhabi?
Amesema kweli shekh abuu iddi alipo sema mawahabi wana tatizo la uelewa😂😂😂. Leo muwahabi huyu huyu utamkuta ana ahadi ya kukutana na mganga mkuu wa muhimbili kimatibabu na hapo ana sahau kabisa neno mganga hajiulizi mganga maana yake nini
Wewe kweli akili zimeruka au hujasoma unazidi kuonesha wewe na Abuu Iddy wako ufinyu wa akili zenu. Muhimbili hakuna waganga kuna madaktari mganga ni mtu anayetibu kwa njia za kitamaduni hiyo ndio asili ya neno mganga. Kafungue kamusi ebu sio una comment tu
Mtu akimpinga shaykh wako basi ni Wahhabi dini ya wapi hiyo? Taarifu ya Wahhabi ni ipi?
@@VnKnvXn-op6qw wewe ni demu wa abuu haula . Kwahiyo upo Kwenye siku zako ndiyo maana hauelewi unacho kisema
@@abuujibriltv5233 wew ni demu wa Mziwanda kwa hiyo ushamaliza siku zako so he hit that butt from behind.
Maalim mbn mnatoka katika imani kwa kutukanana matusi mazito kisa kupishana mitazamo tu, tumche Allah jmn!@@VnKnvXn-op6qw
Hio alaa
Sheikh usiwe unafundisha dini unavuruga kama unatafuta umaarufu jiunge na akina diamond. Mtakuja uliizwa jamaa
@Seleman. Wallah muombe Allah akujalie kwanza usiwe na Ushabiki Ktk dini, pili akupe ufahamu wakubambanua mambo.....
Nikulize swali dogo sana...
*Neno uganga unafahamu nini*?
Je ? Watu wakisema mgangamkuu wa Hospitali ya Muhimbili ni Mr Juma. Hapo wamemaanisha nini
ruclips.net/video/_VH9E_kd9cA/видео.htmlsi=ggAS8A8_nusd1iY8
We mganga si doctor au unamkuaidia yupi
Mganga ni Mtua anaefanya matibabu, ama Tiba..
Na neno Kuganga ni (Kutibu)
Sasa mi siwezi kushindana na wewe kwasababu sipo kimashindani nipo kufahamishana...........
Na ninekutolea mfano.....
Nakutolea tena mfano mzuri
*Neno Mkunga Lina maana gani*..
Yana na shanga na watu wano ona majabu kusikia neno uganga kkk
hivi kuna wat wanakaa wanaskiliz kwel? mh
Wewe ni mmoja wapo wa wasikilizaji na wasomaji
Nyinyi wabongo malimbukeni mpaka wa hii dini nayo?
Nyinyi kwa mpira tu....Simba na yanga?
Subiri utandikwe na kiboko yako Abuu Khawla.... 😂😂😂😂😂😂 amekufanya dhalili maskini...
Swali langu shehe. Nini maana ya Ibada? Kimueleo wako.
Ibada ni Kila neno au tendo linalopendwa Na Allah na Kuliridhia...Na kila JAMBO analolipenda Allah na kuliridhia ameshaliamrisha Litekelezwa na Likafundishwa Kimatendo Na Mtume Muhammad Swalallahu alayhi Wasalam
@@mauidhwa5076 Ibada ni kufuata alioamrisha Allah na kuacha aliokataza
Dini ya kichawi hii
Acha kutukana dini kwa makosa mtu
Mganga wa hospital y rufaa pia ni uchawi?
🤔
Wewe mchawi tu
Usifanye hivyo akhui, si sawa
Kwahivo madakrari pia wachawi?erevuka wewe asha mbwe mbwembwe….