Waooow bong sungwa hii thamsilia nimeifuatilia mwanzo mwisho hakika nimejifunza mengi Sana,kupitia sungwa kanifundisha uvumilivu,na ujasiri wa kupambana hasa pale unapoipambania haki yako hatupaswi kukata tamaa,pia nimejifunza yale unayomtendea mwenzio yanakurudia mwenyewe malipo ni hapa hapa ..❤❤❤ bong sumwa love you Sanaa.
Mmmm hii picha nzuri sana inaelezea maisha halisi wanayoishi baadhi ya watu wengine wana roho mbaya sana,tamaa kupita kiasi inatufundisha tusiwe na tamaa sana itatupeleke papaya. 4:59
Ubayà ubweli kweli mapenzi ya kweli haya ,just wmepambana Sanapaka mahala wamefika conggra bonsuwa njaimini my favourite actor nitaimisi Sana hii thàthilia.
Kwakwel hii tamthilia ya Karina nimejifunza meng San moja wa tuwe waaminif kwakwel nimeipenda San Azam Hanna dog nawapa mauwa yen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni movie inayo tufundisha na kuwafundisha vijana au wanaume wasiwe na tamaa ya pesa na kuwa mapenzi siyo pesa na si kila aliye na pesa ni mzuri ❤😊😉😊☺️😌
All good things have pain,kiukwel kukat tamaa sio jamb sahihi, muhim ni kupambana bila kuchok ukwel hujuilikana taratib lkn unamanufaa na uongo hutawala maisha ya kila siku lakin na hatimae kuharib kila kitu,ni mimi muzna kutok zanzibar asant karma❤
Jamani mimi kusemakweli songwa amenifundisha uvumilivu pamojaja namateso alio pata hakujali walakukata tamaa Bali alisonga mbele akijuwa ikosiku tu. Mungu ata muona nakweli mungu kamuona najoakm anatufundisha kuwa sikuzote usipende kumfanyiamwenzio ubaya utakuja umbuka maana utajiri unaisha lakini umasikini hauishi sasa siunaona alikuwatajiri lakini mwisho wasiku Karudi kuwamasikini
Song wa amecheza husika vizuri sana amengusa maisha halisi katika jamii yetu kama jeq na bom sayuki watu wenye tamaa wasiyoridhi kupata maisha Kwa njia sizikuwa Hali na ubaya hadumu ziku zote
COMMENT CHOCHOTE USHINDE. TSH 100,000 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwisho waubaya aibu,namapenzi yakweli tumeyaona usikate tamaa pamban kam su
Imetufundisha maana halisi ya karma👍👏👏🎉🎉❤💝 ni movie bomba sana na imetisha mashallah 🎉😂❤👏👍😘💞💕❤️❤️😍🥰🌹🎁
Waooow bong sungwa hii thamsilia nimeifuatilia mwanzo mwisho hakika nimejifunza mengi Sana,kupitia sungwa kanifundisha uvumilivu,na ujasiri wa kupambana hasa pale unapoipambania haki yako hatupaswi kukata tamaa,pia nimejifunza yale unayomtendea mwenzio yanakurudia mwenyewe malipo ni hapa hapa ..❤❤❤ bong sumwa love you Sanaa.
Zawadi ❤
Movie nzuri sana na imetufundisha mambo mengi sana ❤❤ much love 💕💕💕 Walionakilisha sauti pia wamefanya vizuri sana a hundred percent ❤💕❤️🌹
Nilimpenda sana hii movie kwakeli imenifundisha vitu vingi sana Kama song was. Alivyolipiza kisasi❤❤❤❤
Nimeipenda sana hii movie ❤❤very expensive inatufundisha vizuri nilimpenda sana
Nzuri sana hiii nimejifunza mengi pia ukitaka haki inabidi utumie akili na kuwa wazi pia ujasiri na kumtegemea mungu. 🎉🎉
ZAWADI ❤❤❤
Mmmm hii picha nzuri sana inaelezea maisha halisi wanayoishi baadhi ya watu wengine wana roho mbaya sana,tamaa kupita kiasi inatufundisha tusiwe na tamaa sana itatupeleke papaya. 4:59
Mimempenda sana sunuhaa speed mauwa yake na jeminijaman 🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
kweliiii
Nawapenda wote ❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii movie ni nzuri sana nimejifunza kutorudi nyuma na kutokata tamaa katika maisha hata kamwa nitakumbwa na jambo gani.
Unajitahidi Sana bro kwenye kuelezea upewe mauwa yako🌹💐🌷
Wow dada umetufunza mengi ❤🎉
Nawapendawote❤❤
Wow! The best video ever,hongera sana
Wawoh sumwaa umetufunza sana jmnii ❤❤❤❤
❤❤❤ wapewe tuzo akuna mpinzani
Jamani Karim ni nzuri sana imetufundisha kwamba tuwe wakweli na waaminifu 💯
uvumilivu wa sonwaa naujasiri umeleta mafanikio 🌹🌹kwao na jey min
Karma imetisha sana ❤❤ nzuri mno,
Ubayà ubweli kweli mapenzi ya kweli haya ,just wmepambana Sanapaka mahala wamefika conggra bonsuwa njaimini my favourite actor nitaimisi Sana hii thàthilia.
Kwakwel hii tamthilia ya Karina nimejifunza meng San moja wa tuwe waaminif kwakwel nimeipenda San Azam Hanna dog nawapa mauwa yen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good movie
Best series ever seen in Azam Tv Niko Mombasa Kenya much love
Ujasili wa song umenifunza sana
Ukitenda mabaya utalipwa mabaya filamu ni nzuri sana inafundisha
Ni movie inayo tufundisha na kuwafundisha vijana au wanaume wasiwe na tamaa ya pesa na kuwa mapenzi siyo pesa na si kila aliye na pesa ni mzuri ❤😊😉😊☺️😌
Sonwa apewe maua yake anastahili pongezi❤❤
Usiache kutazama Azam two ❤❤😮😮
Aise tamthilia hii ninzuri ❤❤❤
❤❤❤
Jamani karma imetufundisha sana ❤❤
Jamani naipenda Sana hii muvi
Ikawe heri kwao. Hongera Bonsungwaa ulipambana kikamilifu
Upendo.
subiri majibu
Series nzur san tutaimiss sana wanajua kuekti kwa kweli big up for them .
All good things have pain,kiukwel kukat tamaa sio jamb sahihi, muhim ni kupambana bila kuchok ukwel hujuilikana taratib lkn unamanufaa na uongo hutawala maisha ya kila siku lakin na hatimae kuharib kila kitu,ni mimi muzna kutok zanzibar asant karma❤
Jamani nilinunua Azam kwa ajili ya karima tuu nakupenda sanaaa
Nimejifunza kitu Bora sana tukubali makosa tusamehe kweli wema unadumu daah nizuri nitajifunza katika maisha
Karama imetufundisha mwisho wa ubaya ni aibu,
ubaya ubwela
Siries hii inaongelea uhalisia wa maisha kabisa mwisho wa uvumilivu na kujitoa ni mbivu twajifunza kwa song'haa🎉
Safi sana tumejifunza uvumilivu
hakika
Jamani karma nizuri sn naimenifundisha sana
Jamani mimi kusemakweli songwa amenifundisha uvumilivu pamojaja namateso alio pata hakujali walakukata tamaa Bali alisonga mbele akijuwa ikosiku tu. Mungu ata muona nakweli mungu kamuona najoakm anatufundisha kuwa sikuzote usipende kumfanyiamwenzio ubaya utakuja umbuka maana utajiri unaisha lakini umasikini hauishi sasa siunaona alikuwatajiri lakini mwisho wasiku Karudi kuwamasikini
Mm nampa hogera sana somoa Kwa jitihada zake licha ya maneno lkn hakukata tamaa 🎉🎉🎉🎉
Sunuuh kafanya vzr katufunza vyemaa
Karma ni nzuri inafunisha mambo mengi katika jamii❤
Daah ihi series ina funzo kubwa
Jamani nampenda sana booni sunwa ni binti wenye ujasiri pia ni mwenye subra nimejifunza ya kwamba maisha ni fumbo
Karma ni nzuri sana natamani ingeendelea
Kwa kweli katika tamthilia nimependa namna suwag'waa alivyokuwa hakati tamaa ila nimejifunza mwisho wa ubaya aibu
Nimejifuza kuwa pesa sio kila kitu
Nili jifunza mengi kwenye hi movie.hasa visasi si vizuri pia natakiwa kuwa mvumilivu
Song wa amecheza husika vizuri sana amengusa maisha halisi katika jamii yetu kama jeq na bom sayuki watu wenye tamaa wasiyoridhi kupata maisha Kwa njia sizikuwa Hali na ubaya hadumu ziku zote
Kwa kweli wamependeza
Ujasili nikitubkizuri natusijikatie tamaa tunatakiwa kupambana mpaka mwisho
Mimi naomba kwa mungu azidi kuku nyooshea mamboyako na mafanikio mema
Nimejifunza mengi sana ila kikubwa ni kwamba tamaa ni mbaya sana chengine ni bora kila mtu ajipambanie yey mweyew kwa jasho lake ili kuepusha uovu
Nampenda song wa na pia hilo nifunzo kwa wenye hii tabia
Kwa kweli karma ni nzuri sana pia imerufundisha mambo yenye uhalisia , penda San
Nice
true
Tutawakumbuka sana 😢😢
Imetisha bonge la tamthilia haijawahi kutuboa
Hii move jamani imenifundisha mengi wapendwa tusizalau masikini wanaheshimika sana
sana
Jamani tunatakiwa tuwena roho nzuri
Waoooooo jamn hayawihayaw sasa yamekuw lakini Hawa watu wa na endana San jmn
NAMPENDA SANA SONG WA KWANI NI MUIGIZAJI MAARUFU PIA NI MJUAJI HASA KUIGIZA MOVIES ZA KIKOREA
Jamani karma tam dah
Karma ipew pongezi sana
Tamthiria hii inatufundisha kuwa dhuruma ni mbaya,
Tumejifunza mengi tungeprnda iendelee nampe shumua
hii tathiria imetufundisha kua tusiwe tamaa ya mari tuwe upendo wa kweli
Mafumdisho ni mazuri sana yanafumdisha tuwe wavumilifu tutafukia hatma zeru
Mapenz ni upendo na sio pesa
Kwakelit hiii tamthilia nimeifuatilia nimejifunza kuwa kwenye maisha hatutakiwi kuwa na wivu maana utatupeleka pabaya
Tusiwe na tamaa ya hela jamani
Naupenda. Uigizajiwa. Sunwang
sana
Aah kwakwel karma kwa mimi nimejifunza vingi yaan nimejifunza kuwa mwaminif sio kwenye mahusiano tu bali kwenye kila kitu
Namuonea huruma yulebaba. Yake. Jemin amekosa mali kakosa watoto
Tuwee wakweli kweny kila kt, tucwe na tamaa tamaa mbayaa xanaa, yaan bong la tamthiliaa
Uhaminifu, busara vinahitajika
Napenda kuwashauli wanaume wawe wajasili kama jmii kuwanamsimamo
Pambee👌👌
kweli pambe
Haki ya mtu haipotei,Sonal anatesa na mwanae na mama yake
Jaman karma nzur sana
Sunwaa ana tufunza 2sikate tamaa
kweli kabisa
Kiukweli nimefurahi kuona wahalifu wamehukumiwa na Sumwa kuolewa na Jaimini iwe funzo kwa wore wanaotenda mambo mabaya
Nimejifunza kuwa tusiwe na tamaa na pesa na pia pesa siyo kila kitu kwetu
Zawadi
Halitumiki tena
jaman sonwaa ni mvmilv xana
Penda San sunhwa na jamin
Zawandi
labda utashinda
ZAWADI
Tutawamiss sna jaman mumepambana vyakutosha nimejifundisha mengen kupitia nyie
Huvumili hula mbivu
Kila mtu amepata anachostahiki
Nimefurahi kumuona sumwa akiwa na furaha
vizur kabisa
Nimejifunza ubaya na kissing zivizuri
🎉
SUBIRI TUONE UNAWEZA KUSHINDA