#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 13

  • @MaikomaikoMaiko-f9p
    @MaikomaikoMaiko-f9p Месяц назад +1

    Fresh kaka nakubali sana

  • @IbrahimuMussa-xb7lm
    @IbrahimuMussa-xb7lm Месяц назад +1

    Nakubali frij bovu

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 Месяц назад +1

    Nakulipia kiingilio tarehe 8 njoo uangalie yanga anavo fanya vitu freji mbovu njoo

  • @princemuhidin3067
    @princemuhidin3067 Месяц назад +1

    Yaan wew ata mchzaj huwajuw lakn unapng majin ngj tuwaon kwnz

  • @HappyDominoes-jf1ji
    @HappyDominoes-jf1ji Месяц назад +1

    Ahhh friji bovu unajua kusifia 😅😅

  • @JohnKifaru-hz9ir
    @JohnKifaru-hz9ir Месяц назад +2

    Kwa ukweli huo SIMBA IMCHUKULIE HATUA KALI PAMOJA NA CLABU YEKE I❤ SIMBA COCHA MPYA BIG UP TO SIMBA!!!!

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 Месяц назад +1

    Kumbuka kibu Denis ni mkongomani mshamba sana.Wakongomani wengi wanatamaa sana hawafikirii mbele itakuwaje.angalia Enock inonga anatembea na mkatabawake mfukoni

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Месяц назад +1

    Tatizo unatumia taarifa za wengine ndo uongee. We siyo friji bovu

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Месяц назад

      Ni kweli yaaani jamaaa ni muongo
      Hata kusikiliza habari zake ni kumaliza bando tu

  • @PauloNdinganya-mm5tk
    @PauloNdinganya-mm5tk Месяц назад

    Kaenda genk

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba Месяц назад +1

    ww akuna mtu hapo hawana pesa simba

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад

    Kolo wataongopewa kilasiku Hela moo anachungulia we injinia amkosa kolo wampate?

  • @user-mc9vi1ee5u
    @user-mc9vi1ee5u Месяц назад

    Hao kandambili wamefeli simba wamefanikiwa kwakuwa ndio time kubwa hapa nchini hivyo has kandambili wajiandae kwa kilio