Fursa ya kuhudhuria Kongamano la Watanzania USA | DICOTA CONVENTION IN TEXAS, USA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Website ya kujisajiri ni dicota.wildapr... na contacts za viongozi wa DICOTA WhatsApp +1 512 850-5835
E-Mail president@dicotaus.org na secretary@dicotaus.org
Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Asante.
Mjadala mzuri sana.
Ila Sasa Kuna mahali mmeyumbisha ama la kutoweka wazi ni Jinsi gani yule mshirikinwq kutoka nje ya Marekani mbali na kulipia gharama za ushiriki ni kigezo gani kitakachomuwezesha kuombea VISA na kukubaliwa kama tunavyowajua watoaji VISA Kuna mambo muhimu. Na pia mshiriki mmeandaa vipi gharama za Hoteli kwa ukaribu na eneo la ushiriki.
Tutambue kuwa mshiriki wa nje lazima ajiandae kwa nauli na malazi kwa kipindi fulani atakachokaa hapa.
Tujulisheni hilo la VISA ambalo ni muhimu kabla ya yote.
Asante.
Asante sana EBM. Mungu aendelee kukutunza. Documentary zako zakipekee. Hongera sana
Duu Ebm big up kwa kutupigania watanzania hii ni opportunity ya kuja marekan
Hii nayo umetufunulia fursa kubwa sanaaaa, Tunashukuru
That' s an opportunity,big up sir
So inspirational for opportunities in America and abroad in general
big up brooo❤❤❤
Mimi Sina specialty yeyote nahudhuliaje kwenye hili kongamano?
Ni kitu kizuri, nina wapongeza sana! Na wa Tz wahimizwe kuhudhuria kua pamoja, lkn ktk kila state wa Tz wahimizwe kuhudhuria na kufahamika DICOTA.
🎉🎉🎉 TUTAWAANGALIA KUPITIA EBM NA SOCIAL ZINGINE
Ooh Mungu aendelee kuwatunza hakika nyie Ni wsmfano
I need it's so what can do?
Je MTU yoyote Yule anaruhusiwa kuja kuna kongamano
Vigezo mi binafisi ni welder
Tunashukuru Kwa kuendelea kutoa elimu na fursa hii makini Kwa lengo la kuwasaidia watu wote hasa watanzania
Mimi nahitaji kuja uko
Mchanganuo wa visa ukoje
DICOTA hakuna fursa zozote ambazo zinashawishi mwanadiaspora kujiunga.organization Ina miaka 15 haina Cha kuuza zaidi ya convention na njoo ukutane na wahusika...smh
Habari yako mkuu?Vipi mkuu naona kimnya bado