Fursa ya kuhudhuria Kongamano la Watanzania USA | DICOTA CONVENTION IN TEXAS, USA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Website ya kujisajiri ni dicota.wildapr... na contacts za viongozi wa DICOTA WhatsApp +1 512 850-5835
    E-Mail president@dicotaus.org na secretary@dicotaus.org
    Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 19

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 4 месяца назад +4

    Asante.
    Mjadala mzuri sana.
    Ila Sasa Kuna mahali mmeyumbisha ama la kutoweka wazi ni Jinsi gani yule mshirikinwq kutoka nje ya Marekani mbali na kulipia gharama za ushiriki ni kigezo gani kitakachomuwezesha kuombea VISA na kukubaliwa kama tunavyowajua watoaji VISA Kuna mambo muhimu. Na pia mshiriki mmeandaa vipi gharama za Hoteli kwa ukaribu na eneo la ushiriki.
    Tutambue kuwa mshiriki wa nje lazima ajiandae kwa nauli na malazi kwa kipindi fulani atakachokaa hapa.
    Tujulisheni hilo la VISA ambalo ni muhimu kabla ya yote.
    Asante.

  • @valentinemulokozi510
    @valentinemulokozi510 4 месяца назад +2

    Asante sana EBM. Mungu aendelee kukutunza. Documentary zako zakipekee. Hongera sana

  • @ChristopherChacha-fb4oc
    @ChristopherChacha-fb4oc 4 месяца назад +2

    Duu Ebm big up kwa kutupigania watanzania hii ni opportunity ya kuja marekan

  • @shinestudiotz3221
    @shinestudiotz3221 4 месяца назад +2

    Hii nayo umetufunulia fursa kubwa sanaaaa, Tunashukuru

  • @SalimAhmed-vx3nr
    @SalimAhmed-vx3nr 4 месяца назад

    That' s an opportunity,big up sir

  • @ROBERTMAXIMILIAN
    @ROBERTMAXIMILIAN 4 месяца назад

    So inspirational for opportunities in America and abroad in general

  • @Yamaguccilifestyle
    @Yamaguccilifestyle 4 месяца назад

    big up brooo❤❤❤

  • @alexMsangi
    @alexMsangi 4 месяца назад

    Mimi Sina specialty yeyote nahudhuliaje kwenye hili kongamano?

  • @Thyme938
    @Thyme938 4 месяца назад

    Ni kitu kizuri, nina wapongeza sana! Na wa Tz wahimizwe kuhudhuria kua pamoja, lkn ktk kila state wa Tz wahimizwe kuhudhuria na kufahamika DICOTA.
    🎉🎉🎉 TUTAWAANGALIA KUPITIA EBM NA SOCIAL ZINGINE

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 4 месяца назад +1

    Ooh Mungu aendelee kuwatunza hakika nyie Ni wsmfano

  • @AliAli-iq5hs
    @AliAli-iq5hs 4 месяца назад

    I need it's so what can do?

  • @pilitanzania1420
    @pilitanzania1420 4 месяца назад

    Je MTU yoyote Yule anaruhusiwa kuja kuna kongamano
    Vigezo mi binafisi ni welder

  • @ayapoa
    @ayapoa 4 месяца назад

    Tunashukuru Kwa kuendelea kutoa elimu na fursa hii makini Kwa lengo la kuwasaidia watu wote hasa watanzania

  • @AliAli-iq5hs
    @AliAli-iq5hs 4 месяца назад

    Mimi nahitaji kuja uko

  • @kassimkitta6118
    @kassimkitta6118 3 месяца назад

    Mchanganuo wa visa ukoje

  • @hajjikhamis1820
    @hajjikhamis1820 4 месяца назад +1

    DICOTA hakuna fursa zozote ambazo zinashawishi mwanadiaspora kujiunga.organization Ina miaka 15 haina Cha kuuza zaidi ya convention na njoo ukutane na wahusika...smh

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 4 месяца назад

    Habari yako mkuu?Vipi mkuu naona kimnya bado