K2ga - Nifundishe (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 14 ноя 2022
- Stream/Download Click here:linktr.ee/K2ga
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
Listen to K2ga on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/K2ga
Apple Music: / k2ga
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / k2gatz
Spotify:open.spotify.com/artist/1Tg2I...
Follow K2ga on Social Media:
Instagram: / k2ga_tz
Facebook: / k2gatz
Audiomack:audiomack.com/k2ga
Twitter: / k2ga_
+For More Information Booking K2ga:
Manager:Rehemanxl@gmail.com
Contact Digital:Kapastareal@gmail.com
©2022 Kings Music Records.All rights reserved.
#K2ga #RangiRangi Видеоклипы
Kama wewe unamkubali k2ga gonga like, hajawahi kuyumba na wala hakosei.
Kama umeisikiliza hii ngoma Zaid ya mara mbili dondosha like Yako hapa tujuane Kama tuna msapot k2ga
Kama ww mshabiki wa K2g nipe like zangu
Umezipokea like zako blaza
Uzipeleke wapi falaa ww
ruclips.net/video/9lW6og0At80/видео.html
Natali sana
Kwa goma kali kama hili unaachaje kuisikza na kudondosha like zakoo
like za k2ga hapa jamani katisha kinyama🔥🔥🔥🔥🤭😍
Mchizi wa UK... Uku mombasa tunakupenda
Tungekuwa tunafanya Kiki King's hatari sana mziki mzuri mno
Mchizi wa uk umekarisha kinoma sana umu ausee dah Mungu kaumba vingi sana ila alipo umba mziki akatupa #Kingsmusicrecords aisee #NIFUNDISHE 🎼💜😊 n bonge moja la ngoma kaka.....on repeat
Unifundishe mapenzi😘good song am from united states #therock
DAAAH ngoma kali sana PRODUCER solute kwako
Wa kwanza kusikiliza 🔥🔥 likes zenu team kiba from 🇧🇮 bonge moja la Ngoma
Kama unaamini k2ga ni fire 🔥 🔥 🔥 🔥 gonga like zimfikie
Mashabik wote wa Kings Music Records ebu #Like apa Nisomesheni
2ga we mkali ngoja nisikilize kwe bufa najua hukoseagi we mwamba
Wimbo nzuri Sana Kenya tumekubali🇰🇪🇰🇪
Damn this his a hit ,mkenya wa kwanza apa,likes vipi
Nisiringe kwanin kati 2ga yupo kwaajili yetu mashabiki salute mchizi wa uk🙏🙏
team ya kaka king tunajua bhn yan Rebo zima wanajua naomb like zenu ndgu
Nakubali kizazi changu more love naenjoi mziki mzur from king music
Kumekucha jamani k2ga mambo 🔥🔥🔥 sio kwa Ngoma hii twende nalo
Kwa niaba ya familia yangu, mtaa wetu, kata yetu, wilaya yetu, mkoa wetu na taifa zim kwa ujumla nakirii wimbo huu ni mzuriii
Yan kiba kaondoka naona mnazitoa una furahi sna
We nifundi mchizi wa uk 🇨🇩❤️🌎
Wap like Kwa k2g
Mashabiki wa k2ga tujuane kwa like apa ili song la kimataifa jaman💥💥💥💥💥
Dogo unaua Sana Sema na kingine kwenye game mtadumu sanaaa kulingna na mnavyojiweka
Eishiii!❤Mwaka hauishi lazima nimdondokee mtoto wa mtu😍😍maana sio kwa vibe ili❤👑🎶🔥🙌Gonga like twende sambamba!
#Nifundishe
#K2ga
King of melody,sio cristian bella ni m
K2ga au mnasemaje wadau?
🇲🇿🇲🇿Ringa mwana mfalme is the best song🇲🇿
Mambo matam hayataki haraka ume tupa kwawakati sahihi #k2ga
Sisi watu wa mapenzi tumekuelewa
wapi wale mashabiki wa king's toka 🇰🇪
Wa kwanza kucomment naomba like zenu🔥🔥🔥
Kings music atuimbagi matusi 🔥🔥🔥mziki mzuri uko kings music rekodi👏👏🎶🥁🎹🎺🎻✍🏻🇹🇿
Mvumilivu hula mbivu huyu jamaa kaiva sana salute sana 2ga unajuwa sana
Leo nipo hapa, nasikiliza mziki mzuri wa kings music, nakukubali sana k2ga, nipeni likes zangu
Wow nice one good job kwapamoja sana k2ga tunajivuniya mziki mzuri king's music to the world 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Iyo noma sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
K2ga Rangi Rangi Ni Nyimbo Bora Kwa Mozambique ya muezi
Vizuri sana mchizi wa UK
Ngoma Kali sana 🔥🔥🔥🔥 kutoka 🇲🇿
Kwani nalusiwa kuludia ngoma mana ni moto 🔥
Niko hapa shabiki namba Moja wa mchizi wa UK hii nayo ya 🔥 🔥 🔥 hauna KAZi mbovu
Am for kings music 🎵🎵🎵🎶🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪K2ga
Ww mkali
Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya fanyeni hivyo basi👍
Tuga kama tuga, kngs chuo cha mafunzo aei
Hiii ni hit song kama unakubaliana na mimi gonga likes zenu hapa nione
On behalf of my family ,my village people,my ancestors and also my wicked landlord,we approve this hit...we love it ama niaje WAKENYA 🇰🇪🇰🇪'''''watch the insiders show
Tupo
Your wicked landlord is following you🤣🤣🤣🤣
Yeah
Goma kali iyooooooooooo
🔥 kasha jiachia kwangu uyuuuuuuu
Mwana wa Mfalme unafanya mambo kifalme siku hizi ♥
Unafurahisha baba na wanao mpenda baba @#KingKiba
K2GA wewe ni mnoma much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Alaf mtu anasema play 75 Kenyan music🤔🤔aliskia wapi??Kings music ni hatar
Mwanamfalme huhawai niangusha kamwe.....K2ga Burning 🔥 this city
Kwa kwanza kulike na kucomment 💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Ngoja nisikilize kwenye bufa maana we mwamba hukosei
Kama unaniunga mkono
Kwny hil dude✋✋ bax like hii comment
King music k2ga
Mocco huwa haangushi. Pia msanii umeendekeza ubora kwa michano yako ndugu. Tia fora. Mob love from Kenya 😍😍
Mwanamuziki wangu bora kirakitu💯umeuwa mwanawa king yebaba yooooooooo sijuwii itakuwaje kazi wanaoyo wajipange 💯🙏🙏🙏🙏🙏
Ukonga mabegani 🔥🔥💪🏾 Good music 👏🏾👏🏾👏🏾
K2ga fundii ila alikiba hana sapoti kwa vijana wake hasa upande wa pro
Legend never disappoints
Wimbo mzuri...hizi ndo beats tunataka apa KINGS MUSIC
Good job
Yeeebhabha....Kings music for life!.🔥😜🤪🤣😂😂😂🤸🤸🤸
Wimbo mkali sanaaa🔥🔥🔥
Poa Sana Mwanafalume💪🔥💞🔥🔥🔥🔥(From Moza)...
💪💪mchizi wa uk hapa umeuwa aseeh ngoma kwa mara ya kwanza kuisikia sikuielewa kabisa lakini nilicho fanya ni kuipakuwa na kuisikiliza nikiwa nimetulia aseeh ngoma💥💥 sana kilicho haki ni kutiwa video kali sana aseeh umefanya unyama mwingine sana
That's bongo Flava of Tanzania 🇹🇿 that we have known ✌ love you from congo Kinshasa 🇨🇩 guy✌
Mchizi wa UK 💥💥🤴
Wakwanza jaman
King's music for life ye babaa 🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Mwanamfalme huhawai niangusha kamwe..... K2ga Burning 🔥 this city.
ukitaka burudani ya ukweli basi bila shaka ipo KINGS MUSIC
Unajuwa sana mwanangu wafaida 🔥🔥🔥❤️❤️❤️😜😜😜😜😜
Ukonga to the world 🌎 ❤️ 🇰🇪 🇰🇪 🔥 🔥
Kings music tumekuja kuweka dunia kiganjani🔥🔥🔥🔥🎵🎵🎧🎧🎶
You kill it Mchizi wa UK
namkubal sna sana jamaa
Kanda ya ziwa uyu jamaa anakubalika mnooo aseeh
K2ga,kingmusic🔥
Mchizi wa UK umeuwa
twendeni tuwatekenhe kidongo king,s watujuwe
Tz imepoa sana, mwamba arud USA tour aachie dude tufungie mwaka
Kali sana mchizi wa UK
Good Vocal good sound
Nimeirudia mara nyingi hii ngoma dah! Pini la kufungia mwaka
Nyimbo nzuri merody kalii
Moja hatari kaka love from 254🇰🇪
Hit Song 💥💥
Sounds so much good this what we need KingsMusic
Watu wanaimba kiutu na utulivu daah kings mko juu....
Brother unanikosha
Yeyote ambaye ni mshabiki k2ga nip like Zangu kama zote hapo
Iskose Video hii nyimbo Moja Kati ya Nyimbo Ambazo Umenyoosha pia Ya Kali nzur kwanzia beat N ulivo pangilia Melodyz Afu Umeweza Kuelezea Unacho zungumzia tena kwa mashahir na Vituo,,, You so Talented Alafu Unasubira Mziki n Maisha Kutoka na Kufanikiwa N mamb ya Khaibu maana N ktk mfumo Wa Rizki Na Mtoaji n Mungu ether wise Ue Mtu Wa Shirki 😢 ,,, Ila Nakusihi Ukomae Maana Utaenda Unawafikia Watu Taratbu Na Mwishoe Utaona Malipo yake Inshaallah ❤️💪 @k2ga #ANANIFUNDISHA
Aloo uyu jamaa nouma ngoma kali promotion iwe kubwa bro
Mchizi Wa Uk
Eagle🇨🇩
Mdogo Wang wew ni noumaaa sanaaaaa 🔥
Much love❤from johaneabourg🇿🇦🇿🇦🇿🇦
bongo flavour iko kings