Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Yuko wapi Samuel Ngure?
HTML-код
- Опубликовано: 13 июл 2024
- Familia Moja Eneo La Ngong Kaunti Ya Kajiado Inalilia Serikali Kuwasaidia Kumpata Mwanawao Aliyetoweka Wiki Tatu Zilizopita. Samuel Ngure Mwenye Umri Wa Miaka 26 Na Mwanafunzi Wa Masuala Ya Filamu Alionekana Mwisho Jumapili Ya Tarehe 23 Mwezi Juni Katikati Mwa Jiji.
Mmmmh bas ni bahati na aibu watu walitekwa nyara saii wana patikana kwa magunia😢hii serikali 💔
Now this is a complicated situation,, serious prayers is needed
God's grace be sufficient to the family
Ruto must go
You go
Pengine ako kwa ngunia,
I hope he is safe
😂😂😂😂 ati safe iyo ni ndoto miguna ariwbia nini? Waricoma 400
Bodies
God protect him where he is
In heaven maybe 🤷♀️
Ulizeni watu wa sakayo the kidnapping President
Wanaopatikana mukuru ndio hawa na tumechoka na mauaji ya vijana wandogo kwani kazi ya DCI ni gani ?
Wamtafute kwa gunia😢
Before police so stay oohh.
It was cult
Ruto alimuua
AMA ako kwa hizo gunia may God protect him
May God watch over you wherever you are, son to mwalimu
Atapatikana, let's continue praying for the family members 🙏
This is extremely heartbreaking for the family i hope his safe.may God protect him.
Hii imeenda 😢
This is sad😢😢😢😢and Zakayo is saying everything is well
RUTO KNOWS whereabouts of this young man....let's stop playing hide and seek..he was abducted in relation to anti finance bill protests....demand ruto to produce NGURE... aache kuongea kuhusu dialogue etc let him first produce the protesters who were abducted
When your son participates in maadamano it's two ways
freedom to protest isn't a favour given by you or ruto.
amepotea uyo mazee hii kenya
Ruto all this blood
You can fill a whole ocean
May you not know peace
Kenya Police to blame
No dialogue 🖕, we want justice. Kino nyinyi killer cops
You see he was sick with bipolar 2 na you still blame Ruto let's stop this nonsense
Ama alipiga aluta!
The problem of engaging in a dangerous game and pretending to be an hero, you are alway an hero in a crowd but the consequences normaly deals with you in a rude way and when alone
You're a fool who doesn't know your rights
Is that how you also view the mau mau??
According to you participating in a peaceful demonstration against bad governance is "dangerous "😢
Umeongea kama mafala kumi hawajakula wiki mzima🖕 umbwa wewe
Who is this snatching people's brains but giving them RUclips access!
wakenya waambieni watoto wenu kufanya ghasia!!
hakuna faida hata ruto akiondoka kwa madaraka ,wafundisheni watoto wenu kufanya kazi kwa bidii!!
Unaskia ako na bipolar 2...ama uelewi hiyo ni nini?
Mambo ya kenya, tuwaachie sisi wakenya, mind your own country's business, stop sticking your filthy nose where it doesn't concern you.
Ulisikia wamekata kufanya KAZI?? Wajinga Ka ww ndo mana tunaumia.😊
Ulisikia wanalala tu. Zaa wa kwako umpe maelezo ya bidii
We ndo unatulisha punda hii