Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Yuko wapi Samuel Ngure?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Familia Moja Eneo La Ngong Kaunti Ya Kajiado Inalilia Serikali Kuwasaidia Kumpata Mwanawao Aliyetoweka Wiki Tatu Zilizopita. Samuel Ngure Mwenye Umri Wa Miaka 26 Na Mwanafunzi Wa Masuala Ya Filamu Alionekana Mwisho Jumapili Ya Tarehe 23 Mwezi Juni Katikati Mwa Jiji.

Комментарии • 46

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Месяц назад +7

    Mmmmh bas ni bahati na aibu watu walitekwa nyara saii wana patikana kwa magunia😢hii serikali 💔

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Месяц назад +11

    Now this is a complicated situation,, serious prayers is needed

  • @fredrickochola77
    @fredrickochola77 Месяц назад +5

    God's grace be sufficient to the family

  • @shhhhh.
    @shhhhh. Месяц назад +13

    Ruto must go

  • @Marymuriuki-mp1en
    @Marymuriuki-mp1en Месяц назад +5

    Pengine ako kwa ngunia,

  • @BermingtonGWaweru
    @BermingtonGWaweru Месяц назад +6

    I hope he is safe

    • @Borvia109
      @Borvia109 Месяц назад

      😂😂😂😂 ati safe iyo ni ndoto miguna ariwbia nini? Waricoma 400
      Bodies

  • @ZacharyMichieka-yo4jw
    @ZacharyMichieka-yo4jw Месяц назад +5

    God protect him where he is

    • @Borvia109
      @Borvia109 Месяц назад

      In heaven maybe 🤷‍♀️

  • @johnadera3247
    @johnadera3247 Месяц назад +4

    Ulizeni watu wa sakayo the kidnapping President

  • @Usercintahcin
    @Usercintahcin 27 дней назад +1

    Wanaopatikana mukuru ndio hawa na tumechoka na mauaji ya vijana wandogo kwani kazi ya DCI ni gani ?

  • @bbd359
    @bbd359 Месяц назад +3

    Wamtafute kwa gunia😢
    Before police so stay oohh.
    It was cult

  • @silviamwaura1570
    @silviamwaura1570 Месяц назад +4

    Ruto alimuua

  • @jobjacob658
    @jobjacob658 Месяц назад +5

    AMA ako kwa hizo gunia may God protect him

  • @magzthuni7660
    @magzthuni7660 Месяц назад

    May God watch over you wherever you are, son to mwalimu

  • @salomewamboi3150
    @salomewamboi3150 Месяц назад

    Atapatikana, let's continue praying for the family members 🙏

  • @Hiksonset
    @Hiksonset Месяц назад

    This is extremely heartbreaking for the family i hope his safe.may God protect him.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Месяц назад +1

    Hii imeenda 😢

  • @ayiechaanne6756
    @ayiechaanne6756 Месяц назад

    This is sad😢😢😢😢and Zakayo is saying everything is well

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 Месяц назад +2

    RUTO KNOWS whereabouts of this young man....let's stop playing hide and seek..he was abducted in relation to anti finance bill protests....demand ruto to produce NGURE... aache kuongea kuhusu dialogue etc let him first produce the protesters who were abducted

  • @alextercisio
    @alextercisio Месяц назад

    When your son participates in maadamano it's two ways

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 Месяц назад

      freedom to protest isn't a favour given by you or ruto.

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 Месяц назад

    amepotea uyo mazee hii kenya

  • @andyandre7814
    @andyandre7814 Месяц назад

    Ruto all this blood
    You can fill a whole ocean
    May you not know peace

  • @omondi_wa_butere
    @omondi_wa_butere Месяц назад

    Kenya Police to blame

  • @dennismutinda9875
    @dennismutinda9875 Месяц назад

    No dialogue 🖕, we want justice. Kino nyinyi killer cops

  • @user-vz7ey7ey9i
    @user-vz7ey7ey9i Месяц назад

    You see he was sick with bipolar 2 na you still blame Ruto let's stop this nonsense

  • @ianthepreneur
    @ianthepreneur Месяц назад +1

    Ama alipiga aluta!

  • @huskofoundation254
    @huskofoundation254 Месяц назад +2

    The problem of engaging in a dangerous game and pretending to be an hero, you are alway an hero in a crowd but the consequences normaly deals with you in a rude way and when alone

    • @krystynaha2455
      @krystynaha2455 Месяц назад

      You're a fool who doesn't know your rights

    • @judithokello2857
      @judithokello2857 Месяц назад +1

      Is that how you also view the mau mau??

    • @ShambaroMahamud
      @ShambaroMahamud Месяц назад

      According to you participating in a peaceful demonstration against bad governance is "dangerous "😢

    • @dennismutinda9875
      @dennismutinda9875 Месяц назад

      Umeongea kama mafala kumi hawajakula wiki mzima🖕 umbwa wewe

    • @gracecittoh
      @gracecittoh Месяц назад

      Who is this snatching people's brains but giving them RUclips access!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад

    wakenya waambieni watoto wenu kufanya ghasia!!
    hakuna faida hata ruto akiondoka kwa madaraka ,wafundisheni watoto wenu kufanya kazi kwa bidii!!

    • @charlyb3560
      @charlyb3560 Месяц назад +3

      Unaskia ako na bipolar 2...ama uelewi hiyo ni nini?

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 Месяц назад

      Mambo ya kenya, tuwaachie sisi wakenya, mind your own country's business, stop sticking your filthy nose where it doesn't concern you.

    • @judithokello2857
      @judithokello2857 Месяц назад +2

      Ulisikia wamekata kufanya KAZI?? Wajinga Ka ww ndo mana tunaumia.😊

    • @evelyneokwiri6344
      @evelyneokwiri6344 Месяц назад +2

      Ulisikia wanalala tu. Zaa wa kwako umpe maelezo ya bidii

    • @user-rt2lo8un6t
      @user-rt2lo8un6t Месяц назад

      We ndo unatulisha punda hii