UKE WENZA - 4/13 SIMULIZI ZA MAPENZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 41

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Год назад +2

    Eeeeeh🤣🤣🤣🤣🤣🤣💕💕💕 D'oen yenii unavyoipambaa kudadadeki tunaenjoy shukran

  • @milhamariam7105
    @milhamariam7105 Год назад

    Wanaume jmn maramoja Lissa angaria Mussmurizi unajuwa kucombeza najikuta nakupenda bure kurje tumenjoy❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 5 месяцев назад

    Nampenda lama jamn❤❤

  • @UwimanaSarah-x1v
    @UwimanaSarah-x1v Год назад

    ❤❤❤tamuuuu sana we hatari🏋️🏋️🏋️

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Год назад +2

    Napenda simuliz za Salma ...🥰

  • @saragh1243
    @saragh1243 Год назад

    Shukraan sana D oen kwa mwendelezo unatupa furaha sana

  • @milhamariam7105
    @milhamariam7105 Год назад

    Lissa unanitiya uruma masikini kubari ushauri umetowa utuwako nawangine wapate somo nawapenda simirzi mix💕💕💕💕💕💕💕😭😭😭😭😭

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Shukran sana wana simulizi mix

  • @zuhuraali5484
    @zuhuraali5484 Год назад +2

    Vipi mzee baba safari ya zanzibar unayo?

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Год назад

    Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake. Rama oa Lisa Kisha uone sofi atakavyotii

  • @bintimrope
    @bintimrope Год назад

    Shukrani

  • @fatomahali6397
    @fatomahali6397 Год назад

    Soph ata asipo kubali atajiji bora iwe Rama amemtarifu mapema kabila la ndoa.Jamani yani simulizi ni ya moto kweli kweli

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 Год назад

    Yani nimecheka kwa sauti , hapo Lisa kwenye kusoma quran 😍😂😂😂

  • @paulinemutheu8165
    @paulinemutheu8165 Год назад

    Tamu kweli ❤❤

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 Год назад

    🔥🔥🔥👌

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232

    😂😂😂😂Yani d oen jamani unatuacha Hoi asate sana simlizi mix d oen

  • @rayaburhan1849
    @rayaburhan1849 Год назад +1

    Aisee wanaume nyie mungu anawaon hutk mwenzako aolew afu ww una mkeo

  • @jazilasaidi7822
    @jazilasaidi7822 Год назад

    Sass Sisi wenye tuko na iPhone tutsa download hiyo app aje?

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад

    Lissa jomoniiii pole maneno ya wa2 nayo balaa

  • @mariethamasika9125
    @mariethamasika9125 Год назад +1

    Am the 1st😁

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 5 месяцев назад

    Mmmmmmhhh

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Год назад

    Wacha tuone mwanajeshi atafanya je akickia lissa kaolewa

  • @munalove450
    @munalove450 Год назад

    Shukuran sana

  • @nawmijdodk733
    @nawmijdodk733 Год назад

    Mungu aliumba adamu na hawa sio na huyu aki wewe🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ainsesseverest1136
    @ainsesseverest1136 Год назад +1

    Some time wanawake tunafeli sana na naweza kusema kwa asilimia kubwa tuachangia wanaume zetu kuwa na mpango wa kando hingawa kuna wanaume wengine wana tabia za asili

    • @banajuliana758
      @banajuliana758 Год назад +1

      Hapana sababu sisi hata kama mume wako nimbaya hauezi enda nje kwahiyo tu waume sio waaminifu wameumbwa hivo🤣🤣🤣

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Год назад

      @@banajuliana758 naungana naww tena ukizaa watoto maziwa ya lale uwii jihesabie. Nothing😂😂😂😂 ila mimi nacho amini wanajiendekeza tu

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Год назад

      Mamy wanaume ata ufanyaje akiamua kuchepu ata chepuka tu 😂😂

  • @AliBadi-p4i
    @AliBadi-p4i Год назад

    😂😂😂😂😂 jamn niutamu t

  • @khadijaaliy7287
    @khadijaaliy7287 Год назад

    5

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Год назад

    Ss huwezi kuoa kwa vle una mke na hutaki lissa aolewe na mtu ss upendo kweli huo

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Mahaba ndindindi

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    God of Israel mbona Lissa unapurupuka kwa haraka hivyo jmn 😏😏😏😏

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Год назад

    Mapenzi ya dawa iko cku itaisha ni miti tu huoza hiyo

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Ila D oen umejua kunichekesha et Adam na hawa sio na huyu

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Huku kweupe watu wote wapo simulizi mix app

  • @vero756
    @vero756 Год назад +2

    Sijui kwa nini nalia ni juu ya lissa ama nikitunguu kinatuma juu napika hapa.sieti lissa alipurupuka jamani alithani ni mapenzi ya dhati 😒

  • @nawmijdodk733
    @nawmijdodk733 Год назад

    Mapenzi yanauma nyie usiseme