Hapo kwenye kutengeneza nafasi kunachangiwa na pumzi ya moto ya vijana. Vijana wanakasi, wananguvu, wanapumzi jeuri ya vijana. Hapo ni tofauti na zamani kumbuka tunajenga timu na timu yenyewe inajipata. Sasa ni uzoefu tu ili wapate utulivu wanapoingia kwenye 18 za mpinzani. Mbona mtafurahi?????? Vijana kwa Cs Constantine magoli yalipitia katikati kwa kutumia pasi fupi fupi mahali ambapo palikuwa rahisi kwa vijana wetu, ila sasa hapo wanapita vizuri tu. Sasa timu inapata magoli kupitia 1. Set peaces vizuri tu 2. Kupitia viungo washambuliaji wa pembeni na 3. Sasa kupitia katikati kwa pasi rula. Simba nguvu moja#
Pia kinachotufelisha ni timu kushinda Kwa Maarifa siyo linapofika swala la kusimamia Sheria vikali Kuna baadhi y timu zetu tunashundwa nasema Ivo kwasababu Tz ndio nchi pekee kwenye derby referee hatakiwi kutoa penalty Wala red card pale mchezaji anapokosea eti kisa ataharibu radha ya mchezo😁
Tunapoelekea [ SIMBA SC ] tunaweza kuja kutoka kwa sababu ya kushindwa kupata magoli... Wachezaji wetu wanapata bahati ya kupata nafasi nyingi sana ya kufunga lakini wanabakia wana mbwelambwela .. 1/4 finali unatakiwa kuwa wauwaji haswa haswa...
Kocha wa yanga aache visingizio mbona hakuongea wakati wa mechi za ligi leo katolewa anatafuta kichaka chakujificha yanga washazoea propoganda na hizi siasa wanazo fanya inje ya uwanja ndyo zinawafelisha yanga waache ubabaishaji
Ila swala la kukosa magoli ni timu zote jamani hata man city inatengenezaga chance nyingi lakinj inatumia chache.. ukubwa wa timu nikutengeneza nafasi kwanza
WATU WANAHANGAIKA MPAKA WENGINE WANACHOMA SINDANO 😂😂ALAFU LIKIMVBIZI KIMOJA LIISHIO UJERUMANI LINASEMA LIGI YETU NI ZAIFU,😳😳HAPANA TULIKATAE BILA KUJALI TIMU
Watu wengi hatuna akili ni anguko kweli kocha yupo sahihi kabisa tatizo watanzania tumenyimwa akili yanga mechi kwao ni rahisi mno na ibenge kilichofanyika kocha anajua ni mipango ligi ya bongo ndo usiseme kuna vitimu matawi ya yanga kocha anajua tatizo sisi hatuna akili ndio zengwe
Kocha rama akipigwa vizuri atasema mbna kila wanachokifanya viongozi wa nyuma mwiko
Tuzo and bro milaji coch wa yanga anajambo alitaka kuongea jambo lakin tuzidi kumpa presha tutapata kitu kwa ukweli utajulikana tu 😂😂
Duuuuh,aiseee, mungu ni mwema yanga ingeshinda tusinge kunywa maji hapa tz
Mara moja nakufatilia sana watumie nafas nafasi ninyingi zinapatikana nyingi watumie
God is good
Miraji katika ujinga leo umeongea ujinga yaan kasome kaka ukaelewe maana ya maneno ya ramovic
Akasome wapi sasa😂😂😂😂 wakati huo ndiyo Ukweli
Upo sahihi sana
Miraji mhurumie mtoto wa mwanaume mwenzio 🤣🤣🤣hayo makofi hapo begani na kono lako hilo 🥸dogo atashuka mzimamzima baada ya mahojiano 👆🏿👆🏿ubaya ubwelaa
Tuna shida ya Assec mimosa alitufanya vibaya kwenye makundi, na sisi tunahitaji kumfanyia UBAYA UBWELA msimu huu
Ndiy ninaomb tupangw nae
Assec tulitoa droo msimu juzi hme and away msimu wa kina Sako tulimfanya vbaya hapa kwetu akiwemo Aziz na kramo
Sisi yoyote akuje tumpelekee moto 😂
Tatizo lugha inawachanganya Sana!
Hapo kwenye kutengeneza nafasi kunachangiwa na pumzi ya moto ya vijana. Vijana wanakasi, wananguvu, wanapumzi jeuri ya vijana.
Hapo ni tofauti na zamani kumbuka tunajenga timu na timu yenyewe inajipata.
Sasa ni uzoefu tu ili wapate utulivu wanapoingia kwenye 18 za mpinzani. Mbona mtafurahi??????
Vijana kwa Cs Constantine magoli yalipitia katikati kwa kutumia pasi fupi fupi mahali ambapo palikuwa rahisi kwa vijana wetu, ila sasa hapo wanapita vizuri tu.
Sasa timu inapata magoli kupitia
1. Set peaces vizuri tu
2. Kupitia viungo washambuliaji wa pembeni na
3. Sasa kupitia katikati kwa pasi rula.
Simba nguvu moja#
Wanatumia Bahasha, Uchawi na Sindano
Utopolo wananunua mechi
Pia kinachotufelisha ni timu kushinda Kwa Maarifa siyo linapofika swala la kusimamia Sheria vikali Kuna baadhi y timu zetu tunashundwa
nasema Ivo kwasababu Tz ndio nchi pekee kwenye derby referee hatakiwi kutoa penalty Wala red card pale mchezaji anapokosea eti kisa ataharibu radha ya mchezo😁
Milaji punguza Makofi aiseee maana hilo bega
Tunapoelekea [ SIMBA SC ] tunaweza kuja kutoka kwa sababu ya kushindwa kupata magoli...
Wachezaji wetu wanapata bahati ya kupata nafasi nyingi sana ya kufunga lakini wanabakia wana mbwelambwela .. 1/4 finali unatakiwa kuwa wauwaji haswa haswa...
Miraji,ni sawa sawa sawa sawa.
Kocha wa yanga aache visingizio mbona hakuongea wakati wa mechi za ligi leo katolewa anatafuta kichaka chakujificha yanga washazoea propoganda na hizi siasa wanazo fanya inje ya uwanja ndyo zinawafelisha yanga waache ubabaishaji
Bro nilishakushauri uanze kufanya Mazoezi ya kujenga Misuli ya Mabega maana huyu Miraji na Mabega dah
Kumbe na wewe umeliona Hilo emheee😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Ila swala la kukosa magoli ni timu zote jamani hata man city inatengenezaga chance nyingi lakinj inatumia chache.. ukubwa wa timu nikutengeneza nafasi kwanza
ukowa
Hata simba wasmbiwe waache uchoyo
WATU WANAHANGAIKA MPAKA WENGINE WANACHOMA SINDANO 😂😂ALAFU LIKIMVBIZI KIMOJA LIISHIO UJERUMANI LINASEMA LIGI YETU NI ZAIFU,😳😳HAPANA TULIKATAE BILA KUJALI TIMU
Watu wengi hatuna akili ni anguko kweli kocha yupo sahihi kabisa tatizo watanzania tumenyimwa akili yanga mechi kwao ni rahisi mno na ibenge kilichofanyika kocha anajua ni mipango ligi ya bongo ndo usiseme kuna vitimu matawi ya yanga kocha anajua tatizo sisi hatuna akili ndio zengwe
Ww matako kwer ligi zaifu akifungwa mbn wakati anashinda hajasema