Duuuh!! MIRAJI Amkaanga Kocha RAMOVIC Mbona Hakusema Ligi Dhaifu Alipomfunga IBENGE? | SIMBA Hatupoi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 32

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 10 дней назад +1

    Kocha rama akipigwa vizuri atasema mbna kila wanachokifanya viongozi wa nyuma mwiko

  • @PauloMkwama-t1g
    @PauloMkwama-t1g 11 дней назад +11

    Tuzo and bro milaji coch wa yanga anajambo alitaka kuongea jambo lakin tuzidi kumpa presha tutapata kitu kwa ukweli utajulikana tu 😂😂

  • @SetMohamed-i9y
    @SetMohamed-i9y 11 дней назад +2

    Duuuuh,aiseee, mungu ni mwema yanga ingeshinda tusinge kunywa maji hapa tz

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 7 дней назад

    Mara moja nakufatilia sana watumie nafas nafasi ninyingi zinapatikana nyingi watumie

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 11 дней назад +2

    God is good

  • @SurprisedAgilityPuppy-tj3wk
    @SurprisedAgilityPuppy-tj3wk 10 дней назад +1

    Miraji katika ujinga leo umeongea ujinga yaan kasome kaka ukaelewe maana ya maneno ya ramovic

    • @melissa_garden
      @melissa_garden 10 дней назад

      Akasome wapi sasa😂😂😂😂 wakati huo ndiyo Ukweli

  • @jofreykanjanja9363
    @jofreykanjanja9363 10 дней назад

    Upo sahihi sana

  • @LaurensiaPeter
    @LaurensiaPeter День назад

    Miraji mhurumie mtoto wa mwanaume mwenzio 🤣🤣🤣hayo makofi hapo begani na kono lako hilo 🥸dogo atashuka mzimamzima baada ya mahojiano 👆🏿👆🏿ubaya ubwelaa

  • @zanblueplus
    @zanblueplus 11 дней назад +5

    Tuna shida ya Assec mimosa alitufanya vibaya kwenye makundi, na sisi tunahitaji kumfanyia UBAYA UBWELA msimu huu

    • @RamadhanMohd-q8l
      @RamadhanMohd-q8l 10 дней назад

      Ndiy ninaomb tupangw nae

    • @busandajames3670
      @busandajames3670 9 дней назад

      Assec tulitoa droo msimu juzi hme and away msimu wa kina Sako tulimfanya vbaya hapa kwetu akiwemo Aziz na kramo

  • @JumaLitto
    @JumaLitto 11 дней назад +3

    Sisi yoyote akuje tumpelekee moto 😂

  • @JosephChacha-w1g
    @JosephChacha-w1g 10 дней назад

    Tatizo lugha inawachanganya Sana!

  • @ezekielmlay8219
    @ezekielmlay8219 10 дней назад

    Hapo kwenye kutengeneza nafasi kunachangiwa na pumzi ya moto ya vijana. Vijana wanakasi, wananguvu, wanapumzi jeuri ya vijana.
    Hapo ni tofauti na zamani kumbuka tunajenga timu na timu yenyewe inajipata.
    Sasa ni uzoefu tu ili wapate utulivu wanapoingia kwenye 18 za mpinzani. Mbona mtafurahi??????
    Vijana kwa Cs Constantine magoli yalipitia katikati kwa kutumia pasi fupi fupi mahali ambapo palikuwa rahisi kwa vijana wetu, ila sasa hapo wanapita vizuri tu.
    Sasa timu inapata magoli kupitia
    1. Set peaces vizuri tu
    2. Kupitia viungo washambuliaji wa pembeni na
    3. Sasa kupitia katikati kwa pasi rula.
    Simba nguvu moja#

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 11 дней назад +3

    Wanatumia Bahasha, Uchawi na Sindano

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 10 дней назад

    Utopolo wananunua mechi

  • @paulkasase7280
    @paulkasase7280 10 дней назад

    Pia kinachotufelisha ni timu kushinda Kwa Maarifa siyo linapofika swala la kusimamia Sheria vikali Kuna baadhi y timu zetu tunashundwa
    nasema Ivo kwasababu Tz ndio nchi pekee kwenye derby referee hatakiwi kutoa penalty Wala red card pale mchezaji anapokosea eti kisa ataharibu radha ya mchezo😁

  • @HudsonMazula
    @HudsonMazula 10 дней назад

    Milaji punguza Makofi aiseee maana hilo bega

  • @Khaleed5767
    @Khaleed5767 11 дней назад +2

    Tunapoelekea [ SIMBA SC ] tunaweza kuja kutoka kwa sababu ya kushindwa kupata magoli...
    Wachezaji wetu wanapata bahati ya kupata nafasi nyingi sana ya kufunga lakini wanabakia wana mbwelambwela .. 1/4 finali unatakiwa kuwa wauwaji haswa haswa...

  • @josephmpagike2481
    @josephmpagike2481 11 дней назад +4

    Kocha wa yanga aache visingizio mbona hakuongea wakati wa mechi za ligi leo katolewa anatafuta kichaka chakujificha yanga washazoea propoganda na hizi siasa wanazo fanya inje ya uwanja ndyo zinawafelisha yanga waache ubabaishaji

  • @jumamkwanda8031
    @jumamkwanda8031 11 дней назад +3

    Bro nilishakushauri uanze kufanya Mazoezi ya kujenga Misuli ya Mabega maana huyu Miraji na Mabega dah

    • @melissa_garden
      @melissa_garden 10 дней назад

      Kumbe na wewe umeliona Hilo emheee😂😂😂😂

    • @alleyd.alleyd
      @alleyd.alleyd 8 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @amossimukoko3208
    @amossimukoko3208 11 дней назад

    Ila swala la kukosa magoli ni timu zote jamani hata man city inatengenezaga chance nyingi lakinj inatumia chache.. ukubwa wa timu nikutengeneza nafasi kwanza

  • @CharlesMganga-k4r
    @CharlesMganga-k4r 11 дней назад

    ukowa

  • @michaelseme7730
    @michaelseme7730 11 дней назад

    Hata simba wasmbiwe waache uchoyo

  • @kakore_jr
    @kakore_jr 11 дней назад

    WATU WANAHANGAIKA MPAKA WENGINE WANACHOMA SINDANO 😂😂ALAFU LIKIMVBIZI KIMOJA LIISHIO UJERUMANI LINASEMA LIGI YETU NI ZAIFU,😳😳HAPANA TULIKATAE BILA KUJALI TIMU

  • @AbuuAyubu-t7c
    @AbuuAyubu-t7c 11 дней назад +1

    Watu wengi hatuna akili ni anguko kweli kocha yupo sahihi kabisa tatizo watanzania tumenyimwa akili yanga mechi kwao ni rahisi mno na ibenge kilichofanyika kocha anajua ni mipango ligi ya bongo ndo usiseme kuna vitimu matawi ya yanga kocha anajua tatizo sisi hatuna akili ndio zengwe

    • @abedykayoka1018
      @abedykayoka1018 7 дней назад

      Ww matako kwer ligi zaifu akifungwa mbn wakati anashinda hajasema