DR. MANGURUWE AKUTANA NA MWAMBA ALIYEMSAIDIA DIAMOND/ AMWAGIA MIHELA KUDADEKII/ WATU WASHANGAA!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Mfugaji maarufu wa Nguruwe kutoka Dodoma @drmanguruwe amefika Airport ya Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumpokea Mtangazaji Nguli @djaroarungu ambaye ameshinda Tuzo Mbili nchini Nigeria.
    Manguruwe amesema amekerwa na kitendo cha Wasanii wote nchini kutompa heshima anayostahili Mtangazaji huyo licha ya kuwa na mchango mkubwa sana kwenye maisha yao kwani amewatoa wengi sana kimziki.
    SUBSCRIBE Sasa Kama Bado Hauja SUBSCRIBE Ili Uwe Wakwanza Kupata Habari Zote Za Burudani Na Michezo Ambazo Tutakuwa Tukikusogezea Kila Siku Inayoitwa Leo :)

Комментарии •