7.MWANAMKE WA KANISA LA MWISHO LILILO HAI || MJAKAZI VERONICA LUCAS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 19

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 2 месяца назад

    Amen ndugu zetu katika KRISTO mnatujenga sana

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 2 месяца назад

    Ni mimi kabisa tunashindwana haswa swala la watoto wanatakiwa kwenda madrasa nikakataa hadi nimeahidiwa kuachwa yaan8 duh Mungu asimame mwenyewe

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc 2 месяца назад

    Amen amen mtumishi wa MUNGU

  • @anasialauwo4922
    @anasialauwo4922 2 месяца назад

    Amen amen

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 2 месяца назад

    Mimi ninaswali ndugu zangu katika KRISTO YESU je ndoa zilizofungwa kanisa katoliki je zinahesabiwa kuwa nindoa mbele za MUNGU WETU

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  2 месяца назад

      Ikishatolewa mahari na kama wamekubaliana pande 2..tayari ni ndoa

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc 2 месяца назад

    Mungu atusaidie sana

  • @SabathPanuel
    @SabathPanuel Месяц назад

    Dada mbona unapigiwa simu hupokei?

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 2 месяца назад

    Samahani naombeni msaada hapo kwenye utii hata yeye anasema biblia inakwambia utii we hutaki ni kwakumkataza watoto wasiende msikitini kujifunza elimu yao jamani hapo nisimame vipi

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  2 месяца назад

      UTII NI KATIKA BWANA ..YAANI MAPENZI YA MUNGU..CHOCHOTE KINYUME NA MAANDIKO HATUTAKIWI KUTII

    • @christinaisanguisangu2974
      @christinaisanguisangu2974 2 месяца назад

      @@mjakazieunicelucas ndicho naambiwa sio mtii kwa kukataa kwa imani yake kutaka kufurahisha hata rafiki kushiriki idi vile sasa ndio chanzo cha kuambiwa sio mtii da vero hadi nimeambiwa asilimia 75 sio wana ndoa tena

  • @Sarahrobert-ln7th
    @Sarahrobert-ln7th 2 месяца назад

    Wanawake tujitahidi waroti wetu wasipitie tuliyo pitia zinaa na uasi