Samahani naombeni msaada hapo kwenye utii hata yeye anasema biblia inakwambia utii we hutaki ni kwakumkataza watoto wasiende msikitini kujifunza elimu yao jamani hapo nisimame vipi
@@mjakazieunicelucas ndicho naambiwa sio mtii kwa kukataa kwa imani yake kutaka kufurahisha hata rafiki kushiriki idi vile sasa ndio chanzo cha kuambiwa sio mtii da vero hadi nimeambiwa asilimia 75 sio wana ndoa tena
Amen ndugu zetu katika KRISTO mnatujenga sana
Sifa na utukufu ni kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Ni mimi kabisa tunashindwana haswa swala la watoto wanatakiwa kwenda madrasa nikakataa hadi nimeahidiwa kuachwa yaan8 duh Mungu asimame mwenyewe
Hapo yupo kinyume na maandiko
Amen amen mtumishi wa MUNGU
Amen
Amen amen
Amen
Mimi ninaswali ndugu zangu katika KRISTO YESU je ndoa zilizofungwa kanisa katoliki je zinahesabiwa kuwa nindoa mbele za MUNGU WETU
Ikishatolewa mahari na kama wamekubaliana pande 2..tayari ni ndoa
Mungu atusaidie sana
Amen
Dada mbona unapigiwa simu hupokei?
Ndio natoka kanisani naelekea nyumbani....
Samahani naombeni msaada hapo kwenye utii hata yeye anasema biblia inakwambia utii we hutaki ni kwakumkataza watoto wasiende msikitini kujifunza elimu yao jamani hapo nisimame vipi
UTII NI KATIKA BWANA ..YAANI MAPENZI YA MUNGU..CHOCHOTE KINYUME NA MAANDIKO HATUTAKIWI KUTII
@@mjakazieunicelucas ndicho naambiwa sio mtii kwa kukataa kwa imani yake kutaka kufurahisha hata rafiki kushiriki idi vile sasa ndio chanzo cha kuambiwa sio mtii da vero hadi nimeambiwa asilimia 75 sio wana ndoa tena
Wanawake tujitahidi waroti wetu wasipitie tuliyo pitia zinaa na uasi
Mungu atusaidie saidie sana