Othman Maalim - Faida ya Kusoma Maulidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 207

  • @hassankhamis7977
    @hassankhamis7977 8 лет назад +19

    Nilickiza mawaidha mengi Sana ya huyu sheikh na hakuna hata mawaidha moja niliyomsikia akitukana watu wala kukejeli masheikh wenzake Mashaallah huyu sheikh ni msomii Sanaa...... Mungu amzidishie

    • @HababahappynewyearNuru
      @HababahappynewyearNuru 8 лет назад +4

      Hassan Khamis Kweli Maa Sha Allah ni Sheikh Mwenye HIKMA NA MWENYEZMUNGU AMJAALIE QABULI KWA KAZI ZAKE ZA KUELIMISHA UMMA...AMPE TAUFIQ...YY NA SOTE..AMIIIIN.

    • @khalfankhamis9083
      @khalfankhamis9083 5 лет назад +2

      Huyo kwa Tanzania mzima utamshindanisha nanan huyo hakuna shekhe ata mmoja anae muweza kwalolote mungu kanampa elimu na mungu amzidishie

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 5 лет назад +1

      Kati ya mashekhe wenye hekma na busara sijapataona

  • @bobsule4036
    @bobsule4036 4 года назад +3

    Masha Allah Shukran sheikh uko vizur sana Allah akuhifadh n akupe umri amiin

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham6567 7 лет назад +17

    Othman maalim ni shekhe ambae anafaham nini atumie ktk elimu yake ni mtu ambaye lazima umuelewe yupo vizuri sana..... sasa ww unaepiga kelele halafu hujasoma dini shauri yako

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 года назад +1

      Inaonekana kuna watu hata wasomi hawawajui uliza wasomi wa nchi hii akina nani ?

  • @rashidibrahim6763
    @rashidibrahim6763 7 лет назад +6

    mashallah mungu akujaze kwa faida juu ya maulidi shukran sana kwa ufafanuzi wako kuhusu maulidi

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 2 года назад

    Shekhe km mtu alikusikiliza ajue ukweli ubainifu si kwa kutafuta kasoro na mabishano umeeleza vzr sana allah akupe umri mrefu mnooo tena mnoooo wee nakupenda shekh kwaajili ya allah

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 6 лет назад +4

    Shukran sana sheikh wetu kwa kutuelimisha kwa undani zaid tunafaidika sana kwa uwepo wako Allah akupe elmu zaid uzidi kutuelimisha

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 3 года назад

    Allahumma Aamiin ya Rab. Allah sub han wa taala akupe umri mrefu na afya njema ndugu yetu. Allah akujaalie pepo/ Jannatil firdaus miongoni mwa waja wake wema in shaa Allah. Aamiin ya Rabbal Alamiin

  • @ashaali4881
    @ashaali4881 9 лет назад +6

    tunamsifu mtume sana kwa sababu mwenyeenzi mungu ame mtjma kwetu atufikishie dini ya uisilamu ambai indie dini ya haki na allhamdulilahi .Mtume [s.a.s]na maswahaba wake [r,a] wamefanya juhudi kubwa sana kutufikishia dini ya uisilamu.

  • @Mrmanguguru
    @Mrmanguguru 13 лет назад +6

    Mashallah Sheikh Othman washushie vitu hadi wafahamu wenye kutaka kufahamu na wasio taka kufahamu basi waachie wenyewe.

  • @farwatskitchen13
    @farwatskitchen13 5 лет назад +7

    Ina thamani elimu. Vijana tusomeni kisawa Sawa elimu haswa elimu ya dini. Allah atujaalie hima na hamu ya kuitafuta elimu.

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 лет назад +3

    Baaraka LLAHU fiiqu yaa Sheykh tumekuelewa. watu wa shekh googol hawatokuelewa milele. kazi yao fitna na farqa tu ktk ulimwengu huu

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 года назад

      Anasema ibn kathiir Amma ahli sunna wanasema kwenye kila kitendo na neno lisilothibiti kwa swahaba hilo ni bidaa.

  • @hassankhamis7977
    @hassankhamis7977 8 лет назад +11

    Mashaallah... Huyu sheikh si kidogo.. Mungu amzidishie... Mti

  • @engamidulutta1496
    @engamidulutta1496 5 лет назад +7

    Sherkh uko sahihi na Allah akujalie wewe na sie ila wewe n mbora katika masimulizi ya hadithi vip unaonaje kama utaitafuta istoria ya maulid mwanzo wake kisha tunaokusikiliza tuamue inshaallah

  • @suleimanhemed9234
    @suleimanhemed9234 5 лет назад +5

    Mashallah shekh ujumbe ushafia waache wenye kupiga kelele wapige ila umefahamika sana Allah akuzidishie inshallah

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 года назад

      Waislaam tunaipima kheri kupitia matendo ya mtume na maswahaba wake watukufu sio othmani maalim wala mwingine mavi yatabaki kua mavi ht ukiyapulizia pafyuum.

  • @yasintabenedict3561
    @yasintabenedict3561 3 года назад

    Alhamdulillah shekh allah akuzidishie elimu na uelewa mkubwa amin

  • @bashirkijoji3437
    @bashirkijoji3437 5 лет назад +4

    Ombi langu kwa waislamu Tusome tusikaririshwe kwenye DVD na tukawa masheikh,

  • @adinanisaidi777
    @adinanisaidi777 3 года назад

    Allah akujaalie heri sheikh wangu

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid 24 дня назад

    Musipende kusikiliza sana, isomeni dini yenu muijue. Sio kila mwenye ufasaha wa kuzungumza yuko sawa. Tuna haja sana ya kuuliza maswali kwa mashekhe zetu na watujibu kulingana na Qur'an na matendo ya Rasulullah. Tusiwe mashabiki tu, baada ya mawaidha tufanye utafiti wa tuliyoambiwa kwenye vitabu ndio tusichanganyikiwe kwenye hii dini yetu.

  • @amalakh1990
    @amalakh1990 12 лет назад +1

    allhhu akbar .. mungu atoungoze ktk njia ya kheri. haifai kwa kila sheikh kujiona yeye ndo yuko juu zaidi kuliko mwengine ,than huwezi kuharamisha kitu cha kheri . bali cha kheri kikichanganyika na shari ndipo kinnatenganishwa na sio kuachwa wala kusema ni bidaa

    • @adamufadhili8056
      @adamufadhili8056 7 лет назад

      allah akubaarik sh.othman maalim.mana napenda sana darsa zako.

  • @mussakimweri2979
    @mussakimweri2979 2 года назад

    Maashaallah tutufuteni ilim waisilamu maana tusiokuwa na ilim tunabaki njia panda nifate wapi

  • @twahahango3968
    @twahahango3968 3 года назад

    Wallah Allah akulipe jannat fordaus

  • @sadasada1291
    @sadasada1291 6 лет назад +4

    SHEKHE OTHUMAN MAALIM ALLAAH AKUZIDISHIE KHER NYUNG NA BARAKA NAKUPENDA KWA AJILI Y ALLAH

  • @smz262
    @smz262 10 лет назад +3

    Ndugu zangu waislamu , hebu mumfahamu Sh.Othman nini anachoongea..
    Jazaku Allah Shekh Munu akuzidishie Elmu yako.....Mashallah.

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653 8 лет назад +3

    mashaa ALLAH darsa mzuri ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupatia mengi mazuri (shukran wa jazakaLLAH kheyr)

  • @sayyidalishariff6068
    @sayyidalishariff6068 3 года назад +1

    Mashallah. Good education. Allah yahfadh hum.

  • @yahayaramadhani
    @yahayaramadhani Год назад

    Shekhe Allah akulipe kher

  • @swabirali1276
    @swabirali1276 3 года назад

    Nakupenda kwa Ajili ya Allah

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Год назад

    Masha Allah

  • @abdulkarim7856
    @abdulkarim7856 7 лет назад +4

    جزاك الله خيرا

  • @bayouhd6729
    @bayouhd6729 5 лет назад +2

    MaashaAllah

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    uoni, ikhlasi na kuwa na nia ya kutaka kuifikia haki
    na kila mtu ayasome kwa ajili ya kupata mazingatio
    na bila ya kufuata wanavyuoni wa nchi zao au
    wengineo kimbumbumbu au madhehebu yao au ada
    na mazoea yao. Ikiwa yaliyo ndani ni haki tuyakubali
    kwa moyo mkunjufu na hivyo kwayo tuende katika
    kumtii Allaah na Mtume Wake, ambao
    wametuamrisha kufuata haki na ikiwa kuna batili
    ndani yake au makosa, tunakushuhudisha kwa
    Allaah usiwe ni mwenye kufuata hayo kwani sisi
    hatufai kufuata isipokuwa yale ya haki ambayo yana
    dalili katika shari‘ah yetu tukufu.
    Tunamuomba Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala)
    Atuwafikishe sote katika kufuata njia nyoofu ambayo
    ametuchagulia Mtume wetu na Allaah Ndiye Mwenye
    kutia tawfiki na Kwake ndio mategemeo yetu.
    2.0 HISTORIA
    Yeyote mwenye kutazama maisha ya Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na historia ya
    Maswahaba zake (Radhwiya Allaahu ‘anhum),
    Taabi‘iyna na waliowafuata kwa wema mpaka kufikia
    zaidi ya mwaka wa 350 Hijri hatumuoni hata
    mwanachuoni mmoja wala mahakimu (viongozi) na
    wala watu wa kawaida waliokuwa wakifanya mawlid
    au wakaamrisha au wakahimiza au wakazungumza
    juu yake. Amesema al-Haafidh as-Sakhawiy:
    “Shughuli za kufanya Mawlid matukufu
    hayakupokelewa na watangu wema (Salafus
    Swaalih) wa karne tatu bora za mwanzo. Kwa hakika
    jambo hili lilizuliwa baada yake” (Imenukuliwa
    kutoka kwa Subulul Hudaa war Rashaad cha As-
    Salihiy, Mj. 1, uk. 439).

  • @anonymousahmadi3826
    @anonymousahmadi3826 7 лет назад +2

    Maashaallah wallahi sheikh uthman anafaa awe muislamu muahmadiyya. I love you sheikh for the sake of Allah. The promised messiah and imam mahdi sayyidina mirza ghulam ahmad as has already come to save the Muslims as the hakam and adl. Please accept him and be saved. Amin.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +4

    kwamba Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) amefanya hiyana katika kufikisha
    ujumbe (aliopatiwa na Allaah), kwani Allaah
    Anasema:
    “Leo Nimewakamilishieni Dini yenu, na Nimetimizieni
    neema Yangu na kuwaridhia Uislamu kuwa ndio Dini
    yenu”(5:3). Hivyo jambo ambalo halikuwa Dini siku
    hiyo halitakuwa leo ni katika Dini” (Al-I‘tiswaam
    ya ash-Shaatibiy, Mj. 1, uk. 49).
    Ya Sita: Yeyote mwenye kufanya amali hii
    anakwenda kinyume na sheria na kujitia katika
    mashaka kwani sheria ishaweka yale yanayotakiwa
    kufanywa na mja kwa njia na namna maalumu. Na
    viumbe wamefupishiwa juu yao kwa kuwekewa amri
    na makatazo na ikatujulisha kuwa yaliyo kheri yapo
    ndani yake na shari ni kuyaepuka, kwani Allaah
    Anajua yaliyo na maslahi kwa waja. Na Allaah
    Hakutuma Mitume na wala Hakuteremsha Vitabu
    isipokuwa aabudiwe Yeye kwa yale Anayotaka Yeye.
    Hivyo, yule mwenye kuzua Bid‘ah hii (yaani ya
    Mawlid) ameyatupilia mbali haya yote akidai kuwa
    ipo njia nyingine ya kufanya 'Ibaadah na kwamba
    yale mambo yaliyoletwa na sheria si lazima. Hivi ni
    kama kusema kwa ulimi wa hali hii yake kuwa
    mtungaji sheria anaelewa na yeye pia anajua. Na
    huenda ikawa kuwa yeye anafahamu jambo ambalo
    mtungaji sheria halijui. Ametakasika Allaah, huu ni
    uongo mkubwa wa wazi kabisa na uhalifu wa hatari
    na dhambi ya wazi na upotevu mkubwa.
    Ya Saba: Hakika katika kusimamisha bid‘ah hii ni
    kupotosha msingi miongoni mwa misingi ya sheria,
    nako ni kumpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa

  • @saidomar1172
    @saidomar1172 4 года назад +3

    sheikh you are top
    just continue to teach them especially who called as SALAFYYYYYY

    • @fatmahussein6085
      @fatmahussein6085 3 года назад

      sure these people calling themselves salafy
      we suppose to teach them

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 2 года назад

    Hekma masha Allah

  • @jeranibanzi2127
    @jeranibanzi2127 5 лет назад +1

    Ahsante Kwa kutujuza

  • @engamidulutta1496
    @engamidulutta1496 5 лет назад

    Alafu mashekh mmesoma kwann kila mtu analindima kwenye mimbali yake kwa nn msikutane mkatafuta suruu kwel Allah atatunusur kwa utengano huu

  • @fadhilimakore6142
    @fadhilimakore6142 6 лет назад +1

    Allah atunufaishe kwa elimu yako

  • @alirashid4291
    @alirashid4291 11 лет назад +3

    nikweli uyu ndo mwalim wa waalim

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +2

    Faatwimiyyuun ‘Ubaydiyyah: “Wao
    walijidhihirisha kwa watu kuwa wao ni
    masharifu (watukufu) kutoka kwa
    Faatwimah hivyo wakamiliki na kutawala
    ardhi na kuwatendesha nguvu waja. Na
    wametaja kipote cha Wanachuoni wakubwa
    kuwa wao hawakustahiki hilo na nasaba yao
    si sahihi bali walikuwa wanajulikana zaidi
    kwa banu ‘Ubayd. Na baba wa ‘Ubayd
    alikuwa ni katika kizazi cha wakanaji Mungu
    na Mmajusi na inasemekana kuwa babake
    alikuwa Myahudi mfua vyuma kutoka
    Shaam. Jina la huyu ‘Ubayd lilikuwa ni
    Sa‘iyd, lakini alipofika Morocco alijiita
    ‘Ubaydullah na akajidai kuwa yeye ni katika
    ukoo wa ‘Alawi Faatwimiy na madai yake ya
    nasaba hiyo siyo sahihi. Yeye hakutajwa na
    yeyote miongoni mwa wajuzi wa nasaba za
    ‘Alawi, kipote kikubwa cha wanavyuoni
    wametaja kinyume cha hayo. Alijinasibisha
    na Bani Mahdiyyah wa Morocco, naye
    alikuwa Zindiyq muovu, adui wa Uislamu na
    alijidhihirisha Ushia wake. Alikuwa na hima
    ya kuiondoa mila ya Kiislamu pamoja na
    kuwaua mafaqihi wengi pamoja na
    wanavyuoni wa Hadiyth. Kusudio lake
    kubwa lilikuwa kuwaondosha kabisa ili dunia
    ibaki na wanyama pekee na hivyo
    kumakinika katika kuleta uharibifu katika
    itikadi zao na kuwapoteza lakini Allaah

  • @sarahsalim1175
    @sarahsalim1175 12 лет назад +5

    mashaallah .

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 года назад

      Hakuna kheri isiyofanywa na mtume na maswahaba . Akuna kheri ya kubuni kheri imeshafanyika tangu zama izo huuu wa Leo ni uzushi mtupu ht mkiupamba vp

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 3 года назад

    Huyu Akili hana kabisaaa,Mzushi na ni Muongo.Hana Elimu hakika.Na hawez isema Hadith hiyo Mzushi kama wew Athuman.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад

    Miongini mwa dalili/ishara as Kiama (mwisho wa dunia) ni kukatana mapande kwa Wasomi/Maulamaa. Masheikh wetu wa Zama hizi wamezidi kupigana mapande na ni mtihan kwa Maamuma.
    Inshaallah Allah atujalie tuhtalafiane lakini tusifarakane ili inshaallah tuupate mwisho mwema.

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 5 лет назад

    Njaa mbaya sana
    We endelea kula tu pesa za mabosi zako

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 5 лет назад

      Hata maana ya bidaa haijui, eti kila asichofanya mtume (saw) ni bidaa

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 года назад

      @@Kekulebenzene kumbe ww una bidaa yko????

  • @didahkassim5844
    @didahkassim5844 10 лет назад +2

    Mashallah nakukubali uko deep

  • @jumayussuf349
    @jumayussuf349 7 лет назад +2

    masha alla
    jazaka llahu lkher

    • @hamisishabani4072
      @hamisishabani4072 3 года назад

      MAA SHAA ALLAH!!! SHEIKH WETU SHEIKH OTHMANI MAALIM.ALLAH AMEKUPA ELIMU,BUSARA NA HEKIMA,UANAJUA NAMNA YA KUSAFISHA MAZINGIRA YA KIELIMU YANAYOHARIBIWA NA MASHEIKH WENYE UCHACHE WA ELIMU NA AMBAO WATUPOTOSHA AMBAO HATUJAFIKIA KIWANGO CHA ELIMU NDOGO WALIYONAYO WAO.NA NDIO WAMEPOTOSHA BAADHI YA JAMII YA KIISLAM KUYAFANYA MAMBO YA KHEIRI,KAMA MAULIDI,KHITMA KUWAOMBEA DUA WAZAZI WETU NA NDUGU ZETU WAISLAM,NA MENGINEYO. JAMANI TUMSHUKURU ALLAH,KWA KUTUJAALIA KUWA NA MASHEIKH WENYE ELIMU,HEKIMA NA BUSARA KAMA ALIYOKUWA NAYO SHEIKH WETU OTHMANI MAALIM.TUNAKUOMBA YA ALLAH UMZIDISHIE KHEIRI NYINGI SHEIKH OTHMANI MAALIM PAMOJA NA MASHEIKH WETU WOTE WENYE KUSIMAMIA NA KUTUHIMIZA KATIKA MATENDO YA KHEIRI KWA AJILI YA ALLAH. AMIIN!!! ALHAMDULILLAH,SHUKRAN SANA SHEIKH OTHMANI MAALIM ALLAH UKUPE UMRI WENYE KHEIRI NYINGI NA MANUFAA KWA UMMA WETU WA KIISLAM NA WALIMWENGU WOTE KWA UJUMLA. SHUKRAN SHEIKH,ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAH.

  • @mohameddara839
    @mohameddara839 4 года назад

    Mashaa Allah

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +2

    “Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni
    neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe
    Dini yenu”(5:3).
    Na yule anayesema kuwa Mawlid ni 'Ibaadah nasi
    tunamuabudu Allaah kwayo anaikadhibisha aayah
    hii, na kufanya hivyo ni kumkufuru Allaah
    Aliyetukuka. Na akiwa anaiswadiki aayah hiyo
    atalazimika kusema kuwa Mawlid si 'Ibaadah.
    Kukubali kuwa ni 'Ibaadah ni kama unampatiliza
    Allaah na Mtume Wake kwamba hawakutuonyesha
    'Ibaadah hii tukufu ambayo tunajileta kwayo karibu
    na Allaah na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Na akisema kuwa mimi sisemi kuwa
    jambo hilo ni 'Ibaadah wala kuwapatiliza Allaah na
    Mtume Wake, naye anaamini aayah hii, atalazimika
    kurudi katika kauli ya haki ya kwamba jambo hili ni
    uzushi ulioingizwa katika Dini. Tunamuomba Allaah
    Atuongoze na Waislamu wate kwa Analolipenda na
    la Kumridhisha.
    Ya Tano: Kufanya na kujihimiza katika uzushi huu
    wa Mawlid ni kama mtu anamtuhumu Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kuwa
    alifanya hiyana na hakuwa ni mwenye kutimiza
    amana, tunajilinda kwa Allaah kwa hilo. Hii ina
    maana ya kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) alificha kwa Ummah huu na
    hakuwaonyesha 'Ibaadah hii tukufu ambayo
    inamkaribisha mwenye kuifanya na Allaah.
    Amesema Imaam Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu):
    “Yeyote mwenye kuzua katika Uislamu Bid‘ah
    ambayo anaiona ni njema, bila shaka amedai ya

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 4 года назад

      Haujaeleweka shekh toa aya inayokataza maulidi mbona shekh othumani ametoa vitu vinaeleweka Sanaa ...lakini kama hutaki maulidi tumuwachie Allah ndiye atakae tuhukumu kama nimetumia kauli ikakuhudhi nisamehe hakuna mkamilifu

    • @hasanisaidishabani3879
      @hasanisaidishabani3879 2 года назад

      Shekh ameongea kiswahili sana kukuelimisheni sana kwani ibada sikila jambo analolizia allah shekh sasa utakiwi kuangalia nnje jina angalia yanayofanyika nenda kwenye mauridi siku moja kaa fany uchunguzi wallah utaona ukienda weka uchunguzi utaona mm nimeona mauridi ibada kubwa tena sana wallah mm nasoma mpk sasa nimetafuta chuo huu mwaka wa7 sababu maurid nilitoka sikumoja nikaenda maulidini sitosaau alisimama shekh waridi kutoa mawaidha bas yaliniingia nayale niliyoyaona pale wallah nasema mtu akiikosoa mauridi namuona ayuko sawa

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +2

    Ajab shekh wasema maulid ina faida Allah akuongoze

    • @suleimanhemed9234
      @suleimanhemed9234 5 лет назад +1

      Kwako ukiona hayafai waache wanaona yanafaa wafanye wapuuzie khasa ww wasikuoe tabu

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 5 лет назад

      Funga mdomo wewe we ndio mnaoambiwa mkasome huwezi kumfikia huyu ahekhe nyie ndio mnaougawa uislamu

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 года назад

      Wewe ninani unaemuonea shekhe ajabu ikiwa hata alifu huna???? Jitathmini kijana kaachini usome achana na mashekh Google

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 4 года назад

      Maulidi yatoka wapi kuna pahal mtume wetu katufunza

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 4 года назад

      @@suleimanhemed9234 mtume wapi katufunza nipe hadith moja ama Aya tumeambiwa tumswalie si kumfanyia birthday

  • @masouddaud4075
    @masouddaud4075 3 года назад

    Nimekaa kusikiliza maiwadha haya. Sijaona poit ya uhakika bado. Jamani tusomeni huu sio kweli kabsa

    • @swabirali1276
      @swabirali1276 3 года назад

      Hujaona point gani na RUclips yenyewe haikuwa wakati wa mtume lakini ni vizuri kuitumia kwa wema

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +2

    Na Mawlid hayawezi kufana bila beti za burdai,
    Allaah Atuongoze na Atusaidie. Na lau kama
    hakungekuwa na uharibifu mwengine isipokuwa huu
    basi ingetosha kuharamisha na kutoa onyo kali
    kuhusu jambo hilo.
    Ya Kumi na Tatu: Kufurahi siku hii na kulisha watu
    na kutoa sadaka ndani yake na kudhihirisha
    bashasha kwa yale mapenzi kwa Mtume wa Allaah
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Na
    wameafikiana wanachuoni wote kuwa siku hii ya
    tarehe 12 Rabi‘ul Awwal ni siku aliyefariki Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Vipi
    sasa watu watakuwa wanafurahi kwa siku kama
    hiyo? Anas bin Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    anatuhadithia kuwa hakuna siku ambao watu wa
    Madiynah walikuwa na furaha ya hali ya juu kama
    siku aliyohamia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) katika mji huo. Na hakuna siku ya
    huzuni kabisa kwa watu wa Madiynah kama siku
    aliyoaga dunia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam). Inaonekana kama sisi tunakwenda
    kinyume na maadili ya wale watu bora waliokuwa
    wakimpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) hata kuliko nafsi zao wenyewe.
    Ama siku aliyozaliwa wanavyuoni wametofautiana
    sana kama tulivyotangulia kueleza hapo awali. Hivi
    itakuwaje 'Ibaadah kubwa yenye kumleta karibu mja
    na Allaah iwe katika siku ambayo watu
    wametofautiana. Ibn Hajar amesema katika
    kuisherehesha Hadiyth Na. 3641 kwamba
    wametofautiana wanavyuoni katika mwaka hasa
    aliozaliwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Na hii imejumlisha ghuluw aina zote katika Itikadi
    na amali za 'Ibaadah.
    Na inajulikana kabisa kuwa sababu ya shirki ambayo
    imepatikana kwa wanadamu ni kuvuka mipaka ya
    sheria katika kuwatukuza watu wema. Imepokewa
    na Al Bukhaariy kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (Radhwiya
    Allaahu ‘anhu) kwamba: Allaah Aliyetukuka
    amesema: (Na wakasema: Msiwaache
    miungu yenu, wala msimwache Wadda wala
    Suwaa' wala Yaghutha, wala Yau'qa, wala
    Nasra.). Akasema haya yalikuwa majina ya
    watu wema katika kaumu ya Nuuh. Watu
    hawa walipoaga dunia, shetani alikuja kwa
    kaumu yao na kuwashawishi wajenge jengo
    la ukumbusho katika sehemu walizokuwa
    wakikaa na waweke ndani yake sanamu na
    waziite kwa majina yao. Walifanya hivyo,
    nao hawakuabudiwa mpaka walipoaga dunia
    na elimu ikasahauliwa”.
    Na fananisha yale yaliyotokea kwa kaumu ya Nuuh
    ('Alayhis salaam) mbali na kuwa hawakuwa ni
    wenye kuabudu chochote hapo mwanzo lakini
    baadae wakaingia katika shirki. Na sababu ya haya,
    nayo ni njia moja ya ghuluwna utazame
    yanayotokea katika Mawlid kwa kupatikana shirki
    kwa kumuomba asiyekuwa Allaah na kumpatia
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    sifa za uungu kama kupelekesha kwake mambo
    katika huu ulimwengu na kujua kwake elimu ya
    ghaibu.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Huu ni mwito kwa kila Muislamu anayetaka kufikia
    kwenye haki na awe ni mwenye kumuabudu Allaah
    kwa uoni na elimu ya wazi kabisa.
    Ndugu Waislamu! Kwa yakini kila mmoja wetu ana
    mapenzi makuu katika vifua vyetu kwa Mtume wetu
    mtukufu na kipenzi na ruwaza njema na Imamu
    wetu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam),
    pamoja na familia yake na Maswahaba zake na
    wenye kuzifanyia kazi Sunnah zake na kufuata
    uongofu wake mpaka Siku ya Qiyaamah. Mahaba
    haya ni msingi mkuu wa Dini yetu na yeyote
    asiyempenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) anakuwa kafiri na tunajiweka mbali
    sana na Allaah kwa kumchukia na kumbughudhi, na
    hiyo ni sifa ya wanafiki. Allaah Anatuelezea kuhusu
    wao:
    “Bila shaka wanafiki watakuwa katika tabaka ya
    chini kabisa katika Moto. Hutamkuta kwa ajili yao
    msaidizi (yeyote)” (4:145).
    Tunawekea makala haya mafupi kwa unyenyekevu
    baina ya mikono na macho yenu ili muyasome kwa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    Watu wa kwanza kuzua kile kinachoitwa Mawlid ya
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    ni Bani ‘Ubayd ambao walikuwa wakijulikana kama
    Faatwimiyyuun. Haya yametajwa na Wanachuoni
    wengi mfano Mufti wa Misri wa zamani, Shaykh
    Muhammad Bakhiit al-Mutii‘y katika kitabu
    chake Ahsanul Kalaam Fi maa Yata‘alaq Bis
    Sunnah wal Bid‘ah Minal Ahkaam; Shaykh ‘Ali
    Mahfuudh katika kitabu chake Al-Ibda‘ Fii Madh-
    har al-Ibtidaa‘; Shaykh Isma‘iyl al-Answaariy
    katika kitabu chake Al-Qawlul Fasl Fiy Hukmil
    Ihtifaal Bi Mawlid Khayrir Rasuul.
    “Wa mwanzo walioyazua Mawlid huko Cairo ni
    watawala wa Kifaatwimiyyah (Mashia) katika karne
    ya nne. Walizua Mawlid aina sita: Mawlid ya Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), Mawlid
    ya ‘Aliy (Radhwiya Allaahu ‘anhu), Mawlid ya Bibi
    Faatwimah (Radhwiya Allaahu ‘anha), Mawlid ya
    Hasan (Radhwiya Allaahu ‘anhu), Mawlid ya Husayn
    (Radhwiya Allaahu ‘anhu) na Mawlid ya Khalifa
    aliyekuwepo” (‘Ali Mahfuudh katika kitabu
    chake al-Ibda‘ Fii Madh-har al-Ibtidaa‘, uk.
    251).
    Je, Wanachuoni wamesema nini kuhusu hii Dola ya
    Faatwimiyyuun ‘Ubaydiyyah ambayo imeanzisha
    jambo hili (Mawlid ya Mtume)? Amesema Imaam
    Shaamah, mwana-historia na Muhaddith
    (aliyeboboea katika mas-ala ya Hadithi za Mtume
    [Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam]),
    mwandishi wa kitabu ar-Rawdhatayn Fiy
    Akhbaar Dawlatayn, uk. 200 - 202 kuhusu

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +2

    viumbe vyake”. Na kwa wengine: “Huyu ni Mtume
    wa Allaah na dalili ya Allaah”. Na kwa wengine:
    “Yeye ni Allaah, Muumbaji, Mwenye kuruzuku”.
    Hapana Mola muabudiwa wa haki ila Allaah tu, Naye
    Hana mshirika, Ametukuka na Hana upungufu wala
    kasoro aina yoyote kwa yale wanayoyasema
    madhalimu kwa kiburi kikuu. Alipoangamia
    alichukua hatamu za uongozi mtoto wake
    anayeitwa, Qa’im, naye alizidisha shari yake juu ya
    uovu wa babake maradufu. Akatoka na kuwatusi
    Manabii na alikuwa akinadi masokoni na sehemu
    nyenginezo: “Mlaanini ‘Aishah na mumewe. Mlaanini
    pango na vinavyounganishwa”.
    Ee Allaah! Mswalie Nabii Wako na Maswahaba zake
    na wakeze walio twahara na uwalaani hawa makafiri
    walioasi na kuvuka mipaka katika ukanaji wa Allaah
    na Uwarehemu waliopambana nao na ikawa ndio
    sababu ya kuing’oa mizizi na utawala wao. Waislamu
    katika zama za utawala wao walipata dhiki na shida
    kubwa kwa ukatili, kiburi na ujeuri wao uliochupa
    mipaka.
    Na juu ya Mawlid ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam) kama tulivyoona asli yake na
    mwanzilishi wake ni kutokamana na Baatwiniyyuun
    (Faatwimiyyuun) waliokuwa na asli ya Kimajusi
    Kiyahudi waliohuisha mwito wa watu wa msalaba.
    Na hapa tunawaambia ya kwamba: Je, inajuzu na
    kusihi kuifanya chimbuko letu katika 'Ibaadah ni
    kutoka kwa watu hawa? Nasi tunarudia mara
    nyingine tena kuwa zile karne zilizo bora na
    kufadhilishwa ambazo waliishi watangu wetu wema
    hakukuwa na athari wala kufanywa mfano wa hizi
    'Ibaadah. Hawakufanya wao wala wale waliokuwa na

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Na miongoni mwa uovu wao ni kuwa walikuwa
    wakiwaamrisha makhatibu kwa hilo (yaani wao ni
    Alawiyyah Faatwimiyyuun) na hayo yalikuwa
    yakisemwa juu ya minbar na wakiandika katika kuta
    za Misikiti na sehemu nyinginezo. Na alihutubu yeye
    mwenyewe mtumishi wao kwa jina Jawhar, aliyeteka
    nchi ya Misri na kujenga mji wa Cairo. Alisema ndani
    yake: “Ewe Mola mswalie mja wako na rafiki
    yako tunda la Unabii na dhuria wako
    mwenye kuongoza muongofu
    anayepelekesha mambo. Naye ni Abi
    Tamiym Imam Mu‘iz-ud-Diinil Llah, Amiri wa
    Waumini kama ulivyowaswalia baba zake
    walio tohara na waliomtangulia kwa
    kuchaguliwa, maimamu waongofu”. Amesema
    uongo adui wa Allaah, hakuna kheri kwake wala kwa
    watangu wake wote wala kwa dhuria wake
    waliobakia na kizazi cha Unabii tohara miongoni
    mwao.
    Na yule mwenye lakabu ya Mahdi, laana ya Allaah
    iwe juu yake aliwachukuwa wajinga na kuwasalitisha
    kwao wale wenye fadhila. Alikuwa akiwatuma
    kwenda kuwachinja mafakihi na wanavyuoni katika
    firasha zao. Na akawasaliti Waislamu kwa Warumi
    na alikuwa na ujeuri mwingi na kuchezea mali na
    kuwaua watu. Alikuwa na kipote cha walinganizi
    (ma-Du‘aat) wake waliokuwa wakifanya kazi ya
    kuwapoteza watu kwa uwezo wao wote. Wao
    walikuwa wakiwaambia baadhi ya watu: “Huyo ni
    Mahdi mtoto wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) na dalili (huja) ya Allaah kwa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    “Na tahadharini na mambo ya kuzuliwa kwani kila
    uzushi ni upotofu” (Abu Daawuud, at-Tirmidhiy,
    Ahmad, Ibn Maajah na ad-Darimi kutoka kwa Abi
    Najiih al-‘Irbaadh bin Saariyah [Radhwiya Allaahu
    'anhu]. At-Tirmidhiy amesema hii ni Hadiyth Hasan
    Sahiyh. Isnadi yake ni Sahihi na imesahihishwa na
    Ibn Hibbaan). Na katika riwaya nyingine: “Na kila
    upotevu ni wa motoni”.
    Na kauli yake: “Kila uzushi ni upotofu” ni
    sentensi ya kijumla na inaingia kila jambo
    lililozuliwa ambalo halina asili na msingi
    katika Dini ya Allaah. Na wanavyuoni
    wameafikiana kwa hilo, hivyo ni uzushi
    mpotofu unaompeleka mwenye kufanya
    kuingia Motoni, Allaah Atuepushe sote na
    adhabu hiyo ya moto.
    Ya Tatu: Yeyote mwenye kufanya bid‘ah hii hatapata
    ujira kwa kitendo hicho bali atarudishiwa mwenyewe
    kwa kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam):
    “Mwenye kufanya amali isiyokuwa na hukumu yetu,
    itakataliwa” (Muslim kutoka kwa ‘Aaishah [Radhwiya
    Allaahu 'anha]). Na katika jambo hilo haitoshi kuwa
    mtu ana niya nzuri bali hapana budi kumfuata
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
    Ya Nne: Allaah Aliyetukuka Anasema:

  • @mwanamisipofu3212
    @mwanamisipofu3212 8 лет назад +1

    Mashallah

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Na amesema tena al-Maqriiziy katika maudhui
    nyengine: “Shughuli za Mawlid ya Mtume mtukufu
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) zilikuwa
    zikifanyika rasmi kama desturi yake katika mwezi
    wa Rabi’ul Awwal”. Kila mmoja anatakiwa azingatie
    jinsi gani Mawlid yalivyoanzishwa pamoja na uzushi
    mkubwa mfano: Uzushi wa kukataa na kuchupa
    mipaka juu ya familia ya Mtume kwa kusimamisha
    mawlid ya ‘Aliy, Faatwimah, Hasan na Husayn.
    Uzushi wa kusherehekea Idi ya Nayruuz, na Idi ya
    Ghatas na kuzaliwa kwa Masihi nazo ni Idi za
    Wakristo. Amesema Ibn Turkumani kuhusu hizi Idi
    za Wakristo: “Na miongoni mwa uzushi inayoleta
    hizaya ni wanaofanya Waislamu katika siku ya
    Nayruuz ya Kikristo na misimu yao mengine na siku
    kuu ('Iyd) kwa kupeana chakula kwa wingi. Na
    sadaka ya chakula isiyokubalika itarudi kwa mwenye
    kutoa kwa haraka au baadae. Na kwa uchache wa
    tawfiki na kufaulu ni yale wanayofanya Waislamu
    waovu kwa inayotambuliwa kama siku ya mazazi
    (yaani kuzaliwa kwa Yesu)” (Al-Lam‘i Fil
    Hawaadith wal Bid’ah, Mj. 1, uk. 293 - 316). Na
    imenukuliwa kutoka kwa wanavyuoni wa Hanafiyyah
    kwamba yeyote ambaye atafanya mambo
    yaliyotangulia atakuwa kafiri mfano wao (hao
    Wakristo). Na wakataja idadi za Idi kadhaa za
    Wakristo ambao Waislamu walio wajinga
    wanashiriki, na jinsi zilivyo uharamu wake katika
    Kitabu na Sunnah na yale misingi ya kisheria yaliyo
    kamili.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Sunnah zake na kujitolea mhanga kwa mali yao,
    familia zao na hata nafsi zao. Allaah Awaridhie kwa
    yale waliyokadimisha ili kuundeleza Uislamu. ni
    jambo ambalo lajulikana kuwa Allaah Amewaridhia
    na Kuwataja katika aayah kadhaa za Qur-aan na pia
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    amewaridhia kwa waliyotanguliza. Na yeyote
    mwenye kuwatuhumu basi yeye mwenyewe ima
    atakuwa ni kafiri wa dhahiri au mnafiki. Allaah
    Anasema:
    “Kwa hakika Allaah Amewapa radhi Waumini
    walipofungamana nawe chini ya mti; na Alijua
    yaliyomo nyoyoni mwao, na Akawapa kushinda kwa
    zama za karibu” (48:18).
    Na Amesema tena Aliyetukuka:
    “Na wale waliotangulia wakawa wa kwanza katika
    Uislamu - Muhajiri na Ansari, na wale waliowafuata
    kwa mwendo mzuri-Allaah Atawapa radhi, nao
    wamridhie na Amewaandalia mabustani yapitayo
    mito mbele yake, wakakae humo milele. Huku ndiko
    kufuzu kukubwa” (9: 100).
    Imepokewa kwa Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) amesema: “Dalili ya Imani ni kuwapenda
    Answari na dalili ya unafiki ni kuwachukia
    Answari” (Al-Bukhaariy na Muslim).
    Imepokewa kwa al-Baraa’ bin ‘Aazib (Radhwiya
    Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Hawapendi
    Answari isipokuwa Muumini na hawachukii Answari

  • @isamkwizu3342
    @isamkwizu3342 7 лет назад +1

    umefanya moyo wangu kujua jahannam ni mbaya

    • @abdallahhemedi8028
      @abdallahhemedi8028 5 лет назад

      anapiga story mtume na maswahaba walifanya hayo mangoma ya maulidi ahaaaa wanaogopa wanajua hawatopiga mpunga teteeni kula pilau

    • @swabirali1276
      @swabirali1276 3 года назад

      @@abdallahhemedi8028 wakati mtume anaingia madina tari lilipigwa na haikukatazwa

  • @abdullaalzeiby9011
    @abdullaalzeiby9011 6 лет назад +1

    Sheikhe ana elimu ana lugha na fikira njema lakini twamlaumu kuwa maneno mengi juu ya jambo hili hakuyasema wala hakuyataja. Zamani alkuwa hatowi rai wadhih kama hivi. Suala ambalo latufaidia sisi ummatulmuslimeen ni kujuwa hii maulidi ni ibada au si ibada? Na ikiwa ni ibada ambayo twaisoma misikitini ..jee mtume salla allahu allaihi wassallam alikuwa akijua au la ...na mbona hakutuleteya kwa wazi kama alivyotufikishiya mambo yote ya dini ..au nini kikwetu hichi ni kizuri na mungu na mtume hawajui. Mambo mengi katika hutbah yake yanashangaza na yatake yazingatiwe. Kama mambo ya shirki na owongo yaliomo katika vitabu hivyo na buradah hakuyataja wala mambo ya kupiga ngoma na kupanda na kushuka na kutuzana pesa shekhe hakuyataja kabisa ...sisi waislaamu hupata taabu kujuwa mamba ikiwa shekhe hatochukwa maudhui kamil kwani yeye hakukubaliyana na yote ya maulid. Alileta jambo mmoja tu la itraa na ambalo watu wa maulidi walilifanya jambo kubwa kwa hata kufika katika shirk kama yaliomo katika burda na makasida ambayo yamtaja ali alhabshi na sayidtna khadija hata wengine kufikakumtaja sayyidna hussein ...maulidi alrasool kutokana na seera za mtume ni kitu kizuri saana lakini bila mambo mengineyo na bila kutiya tarekhe ya kuzaliwa kwani tarekhe haijulikani ...tarekhe ya kifo chake chajulikana.. watu wakipinga huwa sio wahalilisha au watowa fatwa huwa shekhe hakueleza kama amesoma akaona maneno hayo hayana shirki wala haya itraa ya kiharamu. wallahu aalam

  • @abdulsamadkhalfan4075
    @abdulsamadkhalfan4075 11 лет назад +1

    MASHALLAH

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    Inatutosha Hadiyth hii tukufu: Imepokewa kwa
    Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu), amesema:
    Alikuja mtu kwa Mtukufu wa Daraja (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na
    akasema: “Yaa Khayral Bariyyah (Ewe
    mbora wa viumbe)”. Akasema Mtume wa
    Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam): “Huyo ni Ibraahim ('Alayhi
    salaam)”. (Muslim). Allaah
    Anasema: “Alimchukua Ibraahiym kuwa kipenzi
    chake”.
    Haya yanafanywa leo katika Mawlid, ambamo
    kunatumiwa mali mengi na kuimbwa ndani yake
    nyimbo zinazomtukuza Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kwa aina kubwa na
    kuvuka mipaka katika hilo. Na katika beti nyengine
    ni kumpatia hasa sifa za ubwana ambazo Anastahiki
    Allaah peke Yake.
    Ya Kumi na Moja: Bid‘ah ya Mawlid ni kuwa
    tumevuka mipaka yanayokubaliwa na sheria na
    tumevuka mipaka katika tuliyoamriwa katika
    kumpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) na tumevuka mipaka katika
    kusimamisha siku kuu za Kiislamu. Hakika ni kuwa
    hakuna katika sheria yetu isipokuwa 'Iyd mbili na
    atakayezua ya tatu basi atakua amevuka mipaka ya
    kisheria.
    Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu) anaeleza ya kwamba
    alipohama Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) Madiynah walikuwa na siku mbili

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 лет назад

    Asalam aleikum, kuna sheikh anaemfikia Sheikh Abdullah Saleh Farsy,ni mtu wa mwanzo aliyeutafsiri msahafu kwa kiswahili,na akatuasa makosa mengi yaliyokuwemo ndani ya kitabu cha maulidi ya barzanje,lea ufupi aliyapinga,kwa hugo maneno mazuri ya kupanga na kuvutia, hayatohalalisha barzanje, kwa kuwa kimeandikwa kiarabu,na yeye anajaribu kuleta ufasaha wa kiarabu kwa hawaa zake, mfano mdogo tu,maulamaa wa makkah muharram na madina munawari, hawakubaliani ma maulidi na ni marufuku,ni Bora kama ana ufahamu huo ,angekwenda huko kuwafundisha yale aliyoyaona yeye yanafaa,tuone itakuaje, lakini hilo hathubutu na wala hatothubutu,ataishia humu humu vijiweni,na yeye anajua hilo,huko ikiwa kiarabu basi huko atatolewa ngozi walizokuwa masahaba wa mtume wakiandika,asalam aleikum.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Kumpenda iwe zaidi kuliko hata nafsi zetu kama
    walivyompenda Maswahaba - 'Umar ilipoteremka
    aayah: “Nabii ni bora zaidi kwa Waumini
    kuliko nafsi zao” (33:6). Alisema “Ewe
    Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam), hakika wewe ni kipenzi
    kwangu kuliko chochote isipokuwa nafsi
    yangu” Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) akasema: “Bado ewe ‘Umar!
    Mpaka niwe ni mwenye kupendwa zaidi kwako kuliko
    nafsi yako”. 'Umar (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    akasema: “Ewe Mtume wa Allaah sasa wewe ni
    kipenzi kwangu kuliko chochote hata kuliko nafsi
    yangu”. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) akasema: “Sasa ewe ‘Umar”. Maana yake ni
    kuwa sasa umefikia ile daraja ya kunipenda. Kuhusu
    aayah hii Al Bukhaariy amehadithia kuwa Abu
    Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kasema kuwa
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) kasema: “Hakuna Muumini yeyote isipokuwa
    mimi ni wa kupatiwa kipa umbele kwa watu duniani
    na Akhera. Someni mkitaka: “Nabii ni bora zaidi
    kwa Waumini kuliko nafsi zao” (33:6).
    Sisi hatuwezi kufikia kiasi cha mapenzi ya
    Maswahaba waliokuwa nayo na kujitolea mhanga
    kwa roho zao, watu wao, mali zao, n.k. Visa vingi
    vipo vya kusisimua mwili vinavyothibitisha mapenzi
    yao kwake mfano kisa cha Khabbaab bin al-Aratt,
    Khubayb, Umm ‘Ammaarah Nusaybah bint Ka‘ab,
    Zayd, Bilaal bin Rabaah, Zu

    • @fahmisaid8998
      @fahmisaid8998 4 года назад

      Kama Una elmu sana siuende ukatoe khutba kwa mawahabi wenzio maana naona unaumia roho Sana sheikh mawlid sio Bida kila mkiyapinga ndio yaziddi kunawir

  • @abdiamiri8041
    @abdiamiri8041 3 года назад

    Twayb

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Год назад

    Maulid ni upuuz

  • @kherysalum638
    @kherysalum638 4 года назад

    Omba mnakasha sio kuongelea kwenye majukwaa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) kwa siku hamsini na tano, kama
    wanavyothibitisha wanavyuoni wengi. Nayo
    inawafiki mwisho wa mwezi wa Februari au
    mwanzo wa Machi mwaka 571 BI” (Al-
    Mustafa, nakala ya Ansaar Muslim Youth
    Organisation, 1993, uk. 11). Kutokana na mapokezi
    hayo mawili tunaweza kuiweka tarehe ya kuzaliwa
    kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) baina ya tarehe 25 Swafar na
    tarehe 25 Rabiy’ul Awwal na Allaah (Subhaanahu wa
    Ta’ala) Anajua zaidi.
    ‘Afiyf ‘Abdul-Fattaah at-Twabbarah na Abul Hasan
    ‘Ali Nadwi wamesema katika vitabu vyao
    kuwa: “Aminah alizaa alfajiri siku ya
    Jumatatu tarehe 9 au 12 ya Rabiul Awwal,
    mwaka wa ndovu. Mahmuud Pasha,
    maarufu kutoka Misri, amefanya hesabu ya
    tarehe ya kuzaliwa na kupata kuwa ni
    Jumatatu tarehe 20 Aprili mwaka 571 BI,
    inayokwenda sambamba na tarehe 9 Rabiul
    Awwal” (Ma‘al Ambiyaa Fil Qur-aanl
    Kariym, uk. 338 na Muhammad RasulluLlah,
    uk. 91).
    Inaonekana kuwa wanavyuoni na wana-historia wa
    wakati huu wamechukua tarehe 9 ya Rabi’ul Awwal
    kuwa ndiyo aliyozaliwa Mtume wa Allaah (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) {Allamah
    Shibli Nu‘mani, Seeratun Nabi na Prof.

  • @abubakarnassor8280
    @abubakarnassor8280 3 года назад

    😋

  • @mustayoo
    @mustayoo 5 лет назад +1

    Hizo faida mtume hajaziona ukaja kuziona ww?

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 5 лет назад +1

      Kwenda zako wewe nyie ndio mnaopotosha watu

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад

    Wacha kupotosha Maalim.

  • @twalibfaqih9385
    @twalibfaqih9385 Год назад

    Tusomeni maulid ni uzushi hakuna kitu icho kabisa

  • @yanifaakukufaa9032
    @yanifaakukufaa9032 12 лет назад +4

    maneno yamewaingia lkn ukweli sh yupo juu na elimu yake ipo kichwani ni watu wachache km hao

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 года назад

      Wale vilaza sioni ata mmoja akichomoa pua yake hapa hahahahaaa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Sunnah wala Ijma’a wala Qiyaas inayoonyesha
    usahihi wa jambo hilo. Na hakuna pia hata dalili ya
    kiakili wala kimaumbile, na jambo lolote linalokuja
    kwa njia hii basi huwa ni uzushi muovu usiotakiwa
    katika Dini.
    Amesema al-Haafidh Ibn Rajab: “Na asili ya Bid‘ah
    ni ile inayozuliwa na isiyokuwa na asili katika sheria
    inayokuwa ni dalili kwayo” (Jaami‘ul-‘Uluum wal
    Hikam, Mj. 2, uk. 127).
    Na amesema tena: “Na chochote kinachozuliwa na
    yeyote na kisha kikinasibishwa na Dini na kikawa
    hakina asli (misingi) katika Dini atarudishiwa
    mwenyewe. Huo utakuwa ni upotevu na Dini ipo
    mbali na kitu hicho. Ni sawa ikiwa hilo limefungana
    na mambo ya ki-itikadi au amali (matendo) au kauli
    zilizo wazi na zilizofichika” (Jaami‘ul-‘Uluum wal
    Hikam, Mj. 2, uk. 128).
    Bid‘ah katika lugha ni “Kila lenye kuzuka (uzushi)”
    na katika sheria ya Kiislamu ni “kuzuka kitu katika
    Dini baada ya kukamilika” (yaani baada ya mafunzo
    ya Mtume [Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wasallam]) {Shaykh Said Musa, Majadiliano Juu ya
    Mawlid, Chapa ya Kwanza, 1985, Dar es Salaam, uk.
    1}.
    Ufisadi na uharibifu wa kuruhusu jambo hili upo wazi
    kabisa, na hapa tunanukuuu baadhi ya nukta katika
    mas-ala hayo. Nayo ni kama yafuatayo:

    • @9119-r4t
      @9119-r4t 5 лет назад

      Mashaallah maneno yako uko sawa

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 3 года назад +1

    Kwanz Hata Usomaji wako M bovu,Huwez tamka Vzr,halaf hayo maneno yako ni mwanachuon gani Alokuwleza hivyo!? pia sis Ahlu sunna tunapo mahala pa kurudi na kuwasikiliza Salaf wameielewaje hadith hii.
    Ibn masoud Anasema"Fuateni wala msizushe...
    Ibn Omar anasema"Kila Bidaa ni upotevu Hata kasma watu wataona bidaa Hiyo ni nzr..
    Pia Imaam malik anasema Amenukuliwa ktk Kitab Cha Al imaam Shaatwibiyy kiitwacho Al iitwisaam"Yeyote mweny kuzusha Bidaa ktk uislam,Atakuwa amedai kuwa Mtume Mohammad amefany khiyana ya Risala yake..Kwa sabab Allah anasema"Hiv leo nimekukamilishien Din yenu na nikatimiz neema yang Kwenu,Nanimeridhia Uslam Ni Dini Kwenu..Basi Jambo lolote Ambalohalikuwa Dini Siku hiyo Haliwez kuwa Nini Leo."
    Hayo yote Yanasimanga Bidaa zote Na Pia waanachuon wameandik Vtab vingi Sana ktk Mlango huu mfno"Al amru bil ittibaaa'a wannahyu anibtidaab cha Al imaam Suyjutiyy Ambaye ni Shafiyiyy...
    Ila wew Unasimama Unawaongopea watu,Unadhidharau juhud Zote walizofany wanachuoni??Hakika wew ni jaaahil kabisaaa

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 7 лет назад +6

    SHAIKH OTHMAN MAALIM, Huwa hapendi kuongea mada zenye kugawa watu, isipokuwa watu walimtukana sana kwa kumwita shaikh wa bidaa sijui shaikh wa maulid na kuanza kumdharau ndio akawapasha. usidhani wanasherehekea maulid ni watu mazuzu.......Eti niulizeni suali lolote mlilokuwa nalo.....vijana wamesoma miaka mitatu madina basi fujo lingi.

  • @rizikiali8173
    @rizikiali8173 5 лет назад

    nikweli sheikh

  • @sulaymansulayman4284
    @sulaymansulayman4284 10 лет назад

    Kosa kubwa pia baadhi ya maneno katika Maulidi yana kufru ya kumpandisha Mtume صلى الله عليه وآله وسلم cheo cha usawa na Allaah سبحانه وتعالى wakati yeye ametuonya tusifanye hivyo
    ((Msinitukuze Kama Manaswara walivyomtukuza Masiyh mwana wa Maryam, hakika mimi na mja kwa hiyo semeni mja wa Allaah na Mjumbe Wake)) [Al-Bukhaariy na Muslim]
    SHUKRAN NDUGU ZANGU
    Nakupendeni kwa ajili ya Allah
    Abu Abdir-Rahman
    UK

    • @omarjomar6670
      @omarjomar6670 8 лет назад +1

      wapi mtume alipopewa darja ya uungu katk jambo gani

    • @yaziduiddi481
      @yaziduiddi481 6 лет назад

      ssyy ss ww kasome huna unachokijua ktk maulid unaijua kufru ww au unajiropokea tu

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад

      yazidu iddi maulid tutasomaaaa pasukeniiii na mawahabi wenzenu

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 года назад

      Lkn ingekua nivyema ukatubainishia niwap mtume alitukuzwa nakupewa cfa za Allaah sio unaropokatu

  • @9119-r4t
    @9119-r4t 5 лет назад

    Sheikh nimekusikiza vizuri sana kumbe hata wewe mtupu kabisa.hata siwezi sikiza tena durus zako.hufai

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    ‘Abdul-Hameed Siddiqi, The Life of the
    Prophet}.
    Hekima ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Kuificha
    siku hiyo ya kuzaliwa kwake Anaijua Yeye
    mwenyewe. Hivi sasa watu wamevuka mipaka
    katika kuisherehekea siku na mwezi huo na bado
    kuna tofauti kwa siku ya kuzaliwa kwake.
    Jambo ambalo linajulikana kwa uhakika bila ya utata
    wowote ni siku aliyozaliwa, kwani haya aliyasema
    kwa kauli ambayo haina maana mbili.
    Imepokewa kwa Abu Qataadah (Radhwiya Allaahu
    ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) aliulizwa juu ya kufunga (Swawm)
    ya Jumatatu. Akasema: “Hiyo ilikuwa ni siku
    niliyozaliwa na ndio siku niliyopatiwa Utume au
    niliyoteremshiwa Wahyi” (Muslim).
    Na ili tuwe tumemfuata vilivyo Mtume wa Allaah
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika
    Sunnah zake inatakiwa tuwe tunafunga siku ya
    Jumatatu kila wiki na jambo hilo litakuwa
    linatukaribisha kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala).
    4.0 KUBAINISHA HUKUMU YA MAWLID
    Jueni, Allaah Aturehemu sote ya kwamba Mawlid ya
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    hayapo katika sheria na hakuna dalili katika Kitabu
    wala

    • @hasanisaidishabani3879
      @hasanisaidishabani3879 2 года назад

      Shekh kaelezea vzr unatakiwa ili umuelewe kwanz uondoe akili yakujifany unajua tuliza akili utamuelewa sanaa muda mwengine ukisikiliza kwakubishana utoelewa ila shekh kapita ktk mipito ya kiufundii sanaa tenaaa sanaaa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    Ya Kwanza: Jambo hili halikufanywa na Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wala
    hakuamrisha lifanywe wala hawakufanya
    Maswahaba (Radhwiya Allaahu ‘anhum) wala hata
    mmoja miongoni mwa Tabi‘iyna wala waliowafuata
    wala hawakufanya Waislamu katika zama zilizokuwa
    bora za mwanzo. Na hizi zilikuwa ni zile karne tatu
    za mwanzo kuanzia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam) mpaka mwaka 300 Hijri. Jambo
    hili lilianzishwa na watu kama tulivyotangulia
    kueleza waliokuwa karibu na ukafiri kuliko Imani nao
    ni Baatwiniyyuun na baada ya karne hizi tatu bora.
    Jambo hili likifanywa kwa kukaririwa ni kwamba yule
    mwenye kufanya anaingia katika adhabu kali
    aliyoahidi Allaah Aliyetukuka kwa mwenye kufanya.
    Allaah Anasema:
    "Na atakayemuasi Mtume baada ya kumdhihirikia
    uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya Waumini,
    Tutamgeuza alikogeukia mwenyewe na
    Tutamwingiza katika Jahannam; napo ni pahali
    pabaya kabisa pa mtu kurudia”(4:115).
    Hivyo, yule anayefanya Mawlid bila shaka hafuati
    njia ya Waumini miongoni mwa Maswahaba,
    Tabi‘iyna na wanaowafuatia.
    Ya Pili: Mwenye kufanya amali hii anaingia katika
    yale aliyoyatahadharisha Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) pale aliposema:

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад

    Akikipenda mtu kitu,basi lazima akilazimishe,maulidi ni ibada?

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 года назад

    Wazushiwengi wanawafurahia mashekhe wakizushi eti sikuhizi kuna mashekhewengisana yani hatanyinyi mnajifanya mnajua kuliko mtume s a w pia mnayoyafanya mengì ktka dini maswahaba ambao ndio wanafunzi wa mtume s a w hawakufanya maana sikatika dini ilala nyinyi mna yatetea hadidthi imesha shereheshwa na maulama turudietu ktka vitabu tusipambepambe ktka wanachuoni waloisherehesha hadithihii ni imam ibnu rajabul hambaly imam shatwibi ktka iitswam nawengineo

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 3 года назад

    Hio bid'a itakufa pole pole bi'idnillahi ta'ala.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Suala la sisi kujiuliza ni kuwa; Je, haya Mawlid
    yalianza lini? Jawabu ya suala hili kwa mwanachuoni
    wa Ki-Sunnah, Al-Imaam al-Maqriiziyni:
    “Katika kipindi cha uongozi wa Faatwimiyyuun
    (hawa walikuwa ni Rawaafidh (Mashia) katika kipote
    cha Ismailiyyah [Makoja] katika nchi ya Misri)
    walikuwa wanachukuwa hii ni misimu ya sherehe
    ambapo walikuwa wakiwakunjulia hali za raia zao na
    kuwakithirishia neema. Na walikuwa hawa watawala
    wa Faatwimiyyuun katika mwaka mzima wana
    misimu ya sherehe na Idi zao nazo ni kama
    zifuatazo: Msimu wa kichwa cha mwaka, Msimu wa
    mwanzo wa mwaka, Sherehe za ‘Aashuraa, na
    Mawlid ya Nabii (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam), na Mawlid ya ‘Aliy bin Abi Twaalib
    (Radhwiya Allaahu ‘anhu), na Mawlid ya Hasan na
    Husayn (Radhwiya Allaahu ‘anhuma), na Mawlid ya
    Faatwimah az-Zahraa (Radhwiya Allaahu ‘anha), na
    Mawlid ya kiongozi wao aliye hai kwa wakati ule,
    usiku wa kwanza wa Rajab, na usiku wa kati ya
    Rajab, na Mawlid ya usiku wa Ramadhaan na
    mwisho wa Ramadhaan na Msimu wa 'Iydul Fitwr na
    Msimu wa 'Iydul Adh-ha na Idi ya Ghaadir, Msimu
    wa ufunguzi wa Ghuba na Siku ya Nairuuz na Siku
    ya Ghatas na Siku ya Mazazi, na Siku ya Vipandio,
    Kis-wa (nguo) ya Msimu wa Kusi na Kaskazi,
    Alhamisi ya Adasi na Siku ya Ubatizo” (Al-Khutwat,
    Mj. 1, uk. 490 na baada yake). na amesema tena
    katika kitabu chengine: “Na katika mwezi wa Rabi’ul
    Awwal walijilazimisha watu kuwasha kandili usiku
    katika njia zote na vichochoro vyake huko Misri”.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Yule mwenye kufanya mahaba kwa Mtume ni
    kufanya haya Mawlid anabadilisha sheria ya Allaah
    ambayo inasema kuwa mapenzi sahihi inakuwa ni
    katika kumfuata Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam). Bali hii ndio ile hakika ya mapenzi
    ambayo yamleta mtu karibu na Allaah na kumjaalia
    yeye atoke katika zile ada za kufananisha na yale
    wafanyao Wakristo katika sikukuu zao. Na kwa hili
    tunaelewa ya kwamba: “Haihuishwi (haifanywi)
    Bid‘ah isipokuwa huondoka Sunnah miongoni mwa
    Sunnah madhubuti”.
    Ya Nane: Haya Mawlid yanafanana kwa uwazi kabisa
    na Dini ya Ukristo, ambayo wafuasi wake
    wanasherehekea mazazi ya Masihi ('Iysa). Na hakika
    ni kuwa sisi tumekatazwa kushabihiana na wao
    kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam):
    “Na yeyote mwenye kushabihiana na watu yu
    pamoja nao” (Iqtidhaa’ as-Swiratwil
    Mustaqiym ya Ibn Taymiyyah, Mj. 2, uk. 581).
    Ya Tisa: Ni maalumu na yenye kueleweka kwa kila
    mmoja ya kwamba Maswahaba ndio waliokuwa
    wakimpenda zaidi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) kuliko wanadamu wengine kwa
    ujumla na Waislamu wengine hasa katika wale
    waliokuja baada yao. Lakini watu ambao wanafanya
    bid‘ah hii ya Mawlid wanasema kinyume ya hayo
    kwamba wale wasiosoma na kushirikiana nao huwa
    hawampendi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Na hii ni tuhma kubwa kwa watu ambao
    walijitolea mhanga katika kumhami Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), kutekeleza

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад +1

    aalihi wa sallam) na kumfuata kwa kila jambo, kwa
    wazi na siri. Inabidi pia tujiondoshe na ule ufahamu
    finyu wa kuwa kumpenda Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ni kucheza na kupiga
    ngoma wakati na siku maalumu katika mwaka. Na
    wale wanaotekeleza jambo hilo wanasema ya
    kwamba hiyo ndio dalili ya wazi kuwa wao
    wanampenda Mtume (tujiondoshe na ule ufahamu
    finyu wa kuwa kumpenda Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na yeyote asiyefanya
    hayo basi anamchukiza na hivyo kuchukiwa na
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
    Na jambo hili bila shaka ni kuipindua ile maana ya
    mapenzi kwa Allaah na Mtume Wake, kwani mapenzi
    kwa Allaah na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) lazima yawe ni katika kufuata
    Sunnah zake zote. Kumpenda Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ni kufuata zaidi
    sunnah zake kuliko kumsifu sana kama Anavyosema
    Allaah:
    “Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Allaah basi
    nifuateni mimi, Allaah Atakupendeni na Atakufutieni
    madhambi yenu. Na Allaah ni Mwenye Kufuta
    madhambi na Mwenye Kurehemu” (3:31).
    Kumpenda sio kumkumbuka kwa kumsifu mara
    moja kwa mwaka tena kwa njia isio sawa bali kila
    siku na kumsifu bila kufuata Sunnah zake hakuna
    faida wala thawabu.

  • @johrahali583
    @johrahali583 5 лет назад

    Wallai kumbe huyu ni sheikh mtupu mwenye story

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 5 лет назад

      Johrah Ali anaacha kauli za wanawachuoni eg imam malik kuhusu bidaa analeta stori et simba😁😁😁

  • @johrahali583
    @johrahali583 5 лет назад

    Bidaa ni aina mbili....katika dalili ya Quran na sunnah....

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    miaka mingi sana. (Tafsiri ya Mawlid BARZANJI -
    KADHI SHEIKH ABDULLA SALEH FARSY, ZANZIBAR,
    Uk.(iv) )
    3.0 MAZAZI YA MTUME (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam)
    Ni maarufu kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alizaliwa baada ya
    kuaga dunia babake. Lakini wana-taariykh
    wametofautiana kuhusu mwaka na mwezi aliozaliwa
    Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Safi-ur-Rahmaan Mubarakpuri,
    mwanachuoni aliyepata zawadi ya kwanza katika
    mashindano ya kuandika historia ya Mtume wa
    Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    ameandika yafuatayo katika kitabu
    chake: “Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam), bwana wa Mitume,
    alizaliwa katika mtaa wa Bani Haashim
    katika mji wa Makkah, Jumatatu, tarehe 9
    Rabi’ul Awwal, mwaka ule ule wa ndovu na
    miaka arobaini baada ya utawala wa Kisra
    (Khsru Nushirwan) yaani tarehe 20 au 22
    Aprili 571 BI (Baada ya kuzaliwa ‘Iysa),
    kulingana na alivyohakikisha mwanachuoni
    mkubwa Muhammad Sulayman al-
    Mansourpuri na mwana-falaki Mahmud
    Pasha” (Ar-Rahiyqul Makhtuum, uk. 62).
    Sirajur Rahmaan katika kitabu chake
    amesema: “Tukio hili la ndovu lilitokea mwezi
    wa Muharram kabla ya kuzaliwa kwa Mtume

  • @sulaymansulayman4284
    @sulaymansulayman4284 10 лет назад +2

    Watu huwa tunasema haya mambo tumerithi kwa wazee na masheikhe wetu, ina maana wao hawana Elimu nyie masheikhe wa internet ndo mlosoma, Allah anajibu hili kwa kusema سبحانه وتعالى:
    (Na wanapoambiwa: Njooni kwenye yale Aliyoyateremsha Allaah, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyowakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?)) [Al-Maaidah: 104]

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji9790 5 лет назад

    Waisilamu wanakuelewa sheikh ila siyo mawahabi!!! Kwani hata hayo mambo ya karne tatu baada ya rasuli si khabari za mawahabi?Ogopa sana fitna ya najdi ni balaa kubwa katika umma.

    • @bachochosalimu9015
      @bachochosalimu9015 5 лет назад

      Je ninani Alie kusanya quruan kwa kuiweka kwenye vitabu je alikuwepo wakati wa mtume au baada ya kufa mtume je sinijambo la kheri basi yatosha maulidi kuwa ni heri

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 6 лет назад +1

    Kuna watu asili yao ni upinzani tuu hata ukiwafahamisha hawaelewi sheikh wetu

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад +1

      Maimona Bakar walah ni kwelii.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    Maulid ni Bidaa ibn Taymiyyah amwzungumza hayakufanywa na maswahaba kwani hao ndio waliompenda mtume s.a.w na haikuwepo ya kuwazuia iweje ww uhalalushe ubidaa uzushi katika dini
    Mila hii imetokana na makoja,mashia maismailiya walizitawala nchi za kisunni kwa zaidi ya miaka 270 ndio wakawaachia uzushi huuu wa mawlid
    Allwah anajua zaid

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    hawa wasichana ndio walikuwa wanapata fursa ya
    kukutana na wapenzi wao.
    Wengi wetu tumeyashuhudia hayo katika miaka ya
    sitini na kabla ya hapo na baada ya hapo mpaka
    katika miaka ya sabiini waalimu waliokuwa wakitoka
    Lamu kwenda kusoma Mawlid katika visiwa na
    vitongoji vyengine. Mambo ambayo yalikuwa
    yakitendwa na kutendeka ni kinyume kabisa na
    Uislamu na madhambi makubwa zaidi yakifanywa na
    wanavyuoni. Kwa sababu ya ujinga katika Dini hawa
    mabwana walikuwa wanazini na mabibi wa watu na
    kupatiwa kama tunu wasichana mabikra wawe ni
    wenye kulala nao kwa hoja kuwa kitovu cha
    mwalimu kikigusana na kitovu cha msichana au
    mwanamke basi msichana au mwanamke yule
    hataingia Motoni. Allaah Atuepushie na Atuongoze
    katika yaliyo ya sawa.
    Itakuwaje matendo mabaya yote haya yawe ni
    katika kujikurubisha na Allaah Aliyetukuka. Upotofu
    ulioje katika mambo haya yanayofanywa kwa
    kisingizio cha Dini.
    Ya Kumi na Tano: Kufanywa na kujumlisha mambo
    ya kufuja na kupoteza mali kwa watu wasiostahiki
    kabisa. Na Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala)
    Ametukataza kufuja mali wala kuwa mabakhili
    kwani hizo si sifa za Waumini. Anasema:
    “Na wale ambao wanapotumia hawatumii kwa fujo
    wala hawafanyi ubakhili, bali wanakuwa katikati
    baina ya hayo”(25:67).

  • @fadhilsaidina6547
    @fadhilsaidina6547 4 года назад

    Jinyongeni nyie wazee wa bidaa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 лет назад

    isipokuwa Mnafiki. Kwa hiyo Allaah Atampenda
    anayewapenda na Kuwachukia anayewachukia” (Al-
    Bukhaariy na Muslim).
    Hawa Maswahaba wa ki-Answari hawangependwa na
    Allaah isipokuwa wao walikuwa msitari wa mbele
    katika kumpenda na kumfuata Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), kwani Allaah
    Amesema hilo na unaweza kuirudia aya ya 31 ya
    Suratul ‘Imraan tuliyotangulia kuitaja. Twabaan
    Maswahaba wa Ki-Muhajirina pia wapo katika aayah
    tulizozitaja pamoja na Hadiyth nyingi ambazo
    hatukuzinukuu hapa.
    Ya Kumi: Hakika mwenye kufanya haya Mawlid
    ameingia katika yale aliyoyakataza Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kwa uwazi
    kabisa. Amesema Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Msinitukuze
    kama Manaswara walivyomtukuza 'Iysa
    mwana wa Maryam. Kwa hakika mimi ni
    mja, hivyo semeni: Mja wa Allaah na
    Mjumbe Wake” (Al-Bukhaariy). Hakika
    amekataza Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) kumtukuza na kumsifu kupita kiasi sifa
    ambazo zinapindukia kwani hilo ndilo lililowafanya
    Manaswara kupotea katika njia ya haki.
    Na katika hayo ni kukataa kuitwa hata “Khayrul
    Bariyyah (Mbora wa viumbe)”. Na inatosha
    kumuitaRasullullah (Mjumbe wa Allaah) kama
    alivyoitwa na mwenyewe Allaah au walivyokuwa
    wakimuita Maswahaba zake.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад

    Sasa ina maana wale wanyoingoza dini makka Al qubra na madinat al munawari,maktaba al elmu ya waislamu,wanakosea wakiyapinga maulidi,makaka na madina maulidi marufuku,sheikh unayo ya kuwaambia.
    Hivyo sheikh elmu yako umewazidi maulamaa wakubwa wa makka na madina lmunawari,hiyo elmu yako umeitoa wapi,utawadang'anya hao waliopumbaa.