@@Mchambuzi-hv6iq take in what am telling you ,, lunya got international vibe ,, the likes of toxic and others can't complete at his level,, sema tu nyinyi watanzania hamjui hilo,, hawa wengine chenye wanafanya ni kuongea hio si rap,, if you don't get it forget about it
...mtu wa kumgusaa lunya ni conboi lakin nae conboi hana shida na lunya. hawa wengine naona sijui wanafanya nini kwenye game. Maarifa yupo underlabel lakin hakuna anachofanyaaa
Nyimbo nzur imetulia ila wengi wanapend za makelel hii ndo nyimb yangu pendwa sasa❤❤❤MUNGU afungue milang ya baraka na mafanikio
Huyu jamaa apewe SoMo la hesabu akafundishe la mziki kafaulu aiseee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Watu tukisema dogo hajui hamwelewi ona sasa vjana wenye DNA ya rap wanavofanya kweli...shout out kwa maarifa kaondoa aibu kwa raifa 💯
Vanillah umu kapita kama Becka flavour, mara aslay fulan iv karud tena kwenye code zake ambazo zinafanana na baraka umetisha Mzazi🔥🔥🔥
Like za producer zombii🔥🔥
Lapeer bishoo🎉
Mwamba na kukubali Sana unyamwezi mwingi mistari kama yote huyu mbuzi kazinguwa ❤❤❤❤ love from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🖊️🖊️🖊️🖊️🖋️🖋️🖋️🖋️🖋️
Manza Bay bombei🔥
Tunao fatiria hizi seshen tujuwan
Maarifa kapita na mdudu uliomshinda ooooy my😂😂😂😂😂
Noma sana
hii sasa ndo diss track sasaa🔥🔥, sio wale wengine walichofanya ni kutukana tukana tuu jambo ambalo kila mtu anaweza.
Naitwa Maarifaa...
Kibaha BOY 🔥🔥🔥🔥
Ohoooooooh mtoto kalilia wembe😂😂😂...THINKER
Finest ❤
From 254,, ukweli usemwe lunya amewazidi nyinyi wote,,,
Inategemeana kawazidi kwenye kipi fatilia mziki
kumbe nawewe Bado sana eeeh
@@Mchambuzi-hv6iq take in what am telling you ,, lunya got international vibe ,, the likes of toxic and others can't complete at his level,, sema tu nyinyi watanzania hamjui hilo,, hawa wengine chenye wanafanya ni kuongea hio si rap,, if you don't get it forget about it
Amewazidi nn??? Hakuna unachokijua buda. Piga kimya
Kelele ndio kawazidi
Kibahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwamba hana jua
Kwa mathias
Shots fired😂
Unyama sana umetisha mwamba
Mbona hanati na biti 😂😂😂😂
Bigthinker ❤
Punch line, miondoko na speed still lunya haguswi aisee cjui n skio langu tu au ushabiki Ila Mbizi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
...mtu wa kumgusaa lunya ni conboi lakin nae conboi hana shida na lunya. hawa wengine naona sijui wanafanya nini kwenye game. Maarifa yupo underlabel lakin hakuna anachofanyaaa
Ondoa neno Moja hapo punchline sio mzuri labda ivyo vingine
Mbizi asifananishwe na hawa watu aisee yuko mbali sana
*mbuzi
Comment za kumbeba mbuzi 😂😂😂😂😂 Mtu kapewa bit et hajajiandaa mistari
Ooooooyoooo we maarifa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
The real meaning of MAARIFA kibaha finest❤❤
Saf sana kaka nilikusubir sana kikao kikiisha mrudie ukampige mbuzi kagoma kwenda😂
You kill it bruh
Nomaaa bro
King afraa number one of Congo drc rap swahili Big up bro🔥🔥🔥
Kmmmkkk the big thinker we jiniiiiii
Big thinker
Oyaaaaaaaaaaaa😂😂😂
Oy achia hii ngoma
Yaani hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na ndio inatuponza sana, unakuta mtu yupo serious anasoma comment yangu badala
aandike yake😢😔🥹
😂😂😂😂shyenzi
😂😂😂
😂😂😂wejamaa chiz kichiz
😂😂😂😂😂😅 Fala wew
😂😂😂😂
🔥🔥🙌🙌
Maarifa mengi 😂😂😂😂😂😂😂😂
this is a true defination of a rapper RESPECT
Firee
Mtoto wa baba🔥🔥🔥🔥
Kuna watu wanajua afu wala hawana majigambo
Mtoto wa baba🔥
kaka on 🔥🔥
Cannabino umeua lakini ukiekwa kwa target ni Dizasta uko sehemu mbaya.. 🎉🎉🎉
MAARIFA
Wooooowoooo deeeeem ,man this dude got bars ,wow wow now the 🐐 is slaughtered 😂😂😂
Lunya anakuzid kweny kujibland naomba uongoz ulfanyie kaz tafazali
Salm nying ktok kahama
Hatari sana mwanangu
Wooow wew unatakiwa uimbe ivi big up brada ❤️❤️
The big thinker 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Nomaaaaa 😅😅
Khaligraph jones is 🔥
MAARIFA LAMAR💥💥
Umeagiza BARAFU NA CHAI
Kali sana 🎉🎉
Hiiii imeendaaaaa
Boom 💥 💥 💥
Daah kwel kuna utofaut wa kitambi na mimba
Jamani usiweke maneno ya kingereza wakati huwezi yatamka vema
Maarifaa
Maarifa 🔥🔥🔥
Kibaha finest
maarifa ww tishio
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Your really maarifa
Noma
maarifa kanikosha apa DADADEKI 💯💯🔥🔥🔥
Mbuzi kwa hapa wala asijaribu kumjibu atajidhalilisha.....
Why
haya ndo mauaji tunayoyahitaji bongo bila killer na maarifa no young rapper game my man
Bro 🎉🎉
Tunashukuru broo kwa kuitoa aibuu
🔥🔥🔥
Mtoto WA baba
Kibaha fran mtoto.wa Baba
😂😂🔥🔥🐐
kuanzia leo mn ni shabiki yako 🤝🤝
😂😂😂 🔥🔥🔥 haya ni Maarifa
Ww sio mtu mzuriii
Big Thinker
Oyaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉 qaliii
Maarifa na maarifa yake ni noma aisee
Uyu jamaaa ni kichaa wa hip hop
Oy Muda hautoshi wangu mm na kikao🔥🔥🔥🔥 Kendrick Lamar the son✊✊🙌🔝🌍
Mtoto wa baba
🔥🔥🔥🔥
💯🔥🔥🔥
Unajuamwanangu
Maarifa mgonvi sana daah
🔥🔥🔥🔥
"Au kama Beat imemshinda, nipe Mimi...." _bigthinker 😂😂😂
unamsema mbuxi
Mnye baba😂
Hii Imejaa🙌🏽🔥
🔥🔥🔥
Niite maarifa 🔥🔥🔥🔥
sark alafu Og
nakigoma kwenda inakua dogstyle...maaanina umu tuuuuu😂😂😂😂🎉
Jina maarifa 🙌🙌😂
Leo nakuacha sku nyngne nakuchkua vibao😅 Daaah
Maarifa ya maarifa
Mtoto wa baba
"Kama beat imemshinda nipe mimi"
🙌🙌
Jina malifa msisahau kwenda kuchukua malifa