Aksanti sana kaka, kwa kuwaelimisha wale wasio jua mila na desturi ya mwafrica. Watu wanazani kuvunja mila ao kufata mila ni zambi, waongo watupu, anakataa mila lakini ni mchawi wa hali ya juu, na anafichamia mu ukristu. Navile tunavunja mila na desturi ,ndo tunazidi kwangamia. Kwa mfano: aupashwi kutwanga busiku , aupaswi kwikala kukinu, aupashwi kutembea kama jua inakuwa pa kati mutue yahani 12h00. Nivitu vingi sana tulisha vivunja juu ya ukristu wa ushawi uchawi.
Kabla ya vita ya 1998; Misembe kulikuwa desturi ya kutotwanga (kinu) juwa ikishazama. Pia watu walikuwa hawaingii kijijini na kuni ambayo imefungwa (mzigo).
Kweli kabisa oncle FEMKA: nyimbo na dance ina elimisha, inafundisha. Asante sana, le panafricaniste d'origine Taabwa !
Tuko pamoja
Ok
Aksanti sana kaka, kwa kuwaelimisha wale wasio jua mila na desturi ya mwafrica.
Watu wanazani kuvunja mila ao kufata mila ni zambi, waongo watupu, anakataa mila lakini ni mchawi wa hali ya juu, na anafichamia mu ukristu.
Navile tunavunja mila na desturi ,ndo tunazidi kwangamia.
Kwa mfano: aupashwi kutwanga busiku , aupaswi kwikala kukinu, aupashwi kutembea kama jua inakuwa pa kati mutue yahani 12h00.
Nivitu vingi sana tulisha vivunja juu ya ukristu wa ushawi uchawi.
Nashukuru sana kwa mawazo yenu.
Mungu atuwezeshe
Kabla ya vita ya 1998; Misembe kulikuwa desturi ya kutotwanga (kinu) juwa ikishazama. Pia watu walikuwa hawaingii kijijini na kuni ambayo imefungwa (mzigo).
Sasa ni nini ilisababisha iyo imalizike?
@@femkafelixvipajitokajuu ujuwaji wa watu.
Mupikio uko nakazi ya kusongea ugali, na inakatazwa sana kulalisha mupikio bila kuusafisha
Aksanti sana.
Lakini Bado Kuna mengi inayosema kuhusu mupikio