MCHUNGAJI ISSA AZAMA JANGWANI NA KUIBUKA NA TATU MUHIMU KUHUSU INJINIA HERSI NA WACHEZAJI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #simplysports #simbanayanga #kipengaxtra #football #simbasc #middlesimba #tanzaniapremierleague #sportarena

Комментарии • 36

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 3 месяца назад +7

    Mchungaji nakuelewa Sana shida ni kwamba tatizo la Simba ni Uongozi sio wachezaji kaka tumia Nguvu kubwa mubadilishe Katiba tu ili mpate Viongozi Bora Leo umeongea Point

  • @yustinodavidmillungu4585
    @yustinodavidmillungu4585 2 месяца назад +1

    Tatizo lenu muwe mnaelewa anasema nini basi sio mnakurupuka tu, Sasa yeye kasema simba ni timu kubwa lakini timu kubwa imepigwa NJE ndani. Hapo ndio utajua kuwa Yanga ni kubwa Sana African mashariki

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад +2

    Aiseee! Mchungaji nakuelewa sana ni kweli wanalalama sana ooooh chama kauza mechi ,eti Mzee jaman sema kweliiii

  • @MaubaAnzuruni
    @MaubaAnzuruni 3 месяца назад +3

    Huyo mwana soccer anaujua mpira

  • @chochotekitu-hf6of
    @chochotekitu-hf6of 3 месяца назад +2

    Sema wewe mshabiki wa simba nikisema mimi ntaambiwa yanga wacha inyeshe tuone inapovuja.

    • @Mawengitv
      @Mawengitv  3 месяца назад

      Wacha inheshe aisee

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 3 месяца назад +3

    Uyu mtu ni mchambuzi mzuri

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 2 месяца назад +1

    Mchungaji unaujua mpira pia uelewa wako ukojuu sana waambie simba hawataki kuelewa hilo

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 3 месяца назад +2

    Sema wa sikie wanajifanya hawasikii?

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 2 месяца назад +1

    Mchungaji aisee yupo sawa ila mbumbumbuu hawatakubali sijui wanashida gani

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c 2 месяца назад

    Chama akija Simba alikuaje wewe ?
    Chama jina kalipatia Simba wewe sijui nani lakini alipokwenda kwa Warabu kashindwa ama wewe unaishi ulimwengu gani.

  • @leonardbukulu5527
    @leonardbukulu5527 2 месяца назад +2

    Huyu Jamaal anaweza sana simba mpeni timu anaweza

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c 2 месяца назад

    Simba walishindwa kuingia klabu bingwa wakiwepo Chama, Saido na wengineo.
    Tulia utakuuja shangaa wewe lakini mambo ya wachezaji ambao hawaeleki kama ni maduka ama ni nini ndani ya Simba

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 2 месяца назад +1

    Mchungaji kiukweli hapo umeongelea mpila na uko sahihi

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 3 месяца назад +3

    Upo sahihi broo

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 2 месяца назад +1

    Mchungaji ongea wanasimba wakusikie

  • @SurprisedDrums-ep4ur
    @SurprisedDrums-ep4ur 3 месяца назад +2

    Uyu jamaa anaongea point sana

  • @WILLIAMCHILOSA
    @WILLIAMCHILOSA 3 месяца назад +2

    Wewe ndiyo mpumbavu na chizi toa pointi za kimichezo na siyo kutukana wachambuzi mbwa mwenyewe fisi maji we.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад +1

      Matusi yanini? Mkuu kasema ya kwake ya moyoni

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 2 месяца назад +1

      Chuki ya nini?
      Kama humwelewi achana naye!

  • @drvaxminja2133
    @drvaxminja2133 3 месяца назад +2

    Huyu jamaa anaongea points

  • @InnocentNyanga
    @InnocentNyanga 2 месяца назад

    Uzoefu wa roba fainali kwa chama ulipatikana wapi lini na kwa akina nani bro'oo, kumbuka waliuzwa wachezaji 2 kwenye 11 ya Simba Yeye na Miquison na Simba imebakia kuwa Simba ya robo fainali na huyo Saidoo unayemwongelea elewa kuwa mkataba ndio uliowalazimisha makocha wote kumchezesha.

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 месяца назад +2

    upo sai kaka

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 3 месяца назад +2

    Mtu na nusu..nimekuelewa..mpira sio mihemko..wanasajili kwa sababu ya kuona aliwazuia walipo cheza nayo..kocha hayupo wanasajili.duuuuuuh..bg up bro

  • @InnocentNyanga
    @InnocentNyanga 2 месяца назад

    Wana Simba tujitathmini kwenye kweli, je Chama angeishi milele Simba?

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 2 месяца назад

    Mpira bana tatizo yote nikombe ukibebatuu. Tulii

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 2 месяца назад

    Mchungaji nitakuwa nakufatilia upo mkweli sana na Mungu akupe maisha marefu ili ukweli wako uwe njia kwa wengine

  • @JosephBernad-b7b
    @JosephBernad-b7b 3 месяца назад +5

    Hongera sana broo unaongea kama mtu wa mpira kweli

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад +1

    Hamia huko mbwa ww

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 2 месяца назад

    Chaka atawafunga sana simba

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад

    Uko sawa kiongozi🎉🎉🎉🎉

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 2 месяца назад

    Uyu jamaaa noma sana anajua

  • @AbrahamChengula
    @AbrahamChengula 2 месяца назад

    Yes,mahojiano mazuri

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад

    Mpumbavu mkubwa sanaaa