Комментарии •

  • @shikuhata
    @shikuhata 6 дней назад +10

    Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake.
    Hongera sana King

  • @praizmwabukusi3452
    @praizmwabukusi3452 7 дней назад +7

    Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond

  • @mariamnchimbi7866
    @mariamnchimbi7866 10 дней назад +16

    Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.

    • @user-habarinamichezo
      @user-habarinamichezo 17 часов назад

      😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna

  • @user-qu4wz1wo2f
    @user-qu4wz1wo2f 9 дней назад +15

    Simba nguvu moja❤

  • @alfanimwakipesile19
    @alfanimwakipesile19 6 дней назад +3

    Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 12 дней назад +34

    Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 11 дней назад +8

    Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 12 дней назад +11

    Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d День назад +1

    Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 12 дней назад +12

    Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga

  • @habibukhatib2615
    @habibukhatib2615 День назад +1

    Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__23 День назад

    Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 12 дней назад +10

    Kiba sasa umekomaa safi sana dogo

    • @RashidiTwalibu
      @RashidiTwalibu 6 дней назад

      Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 12 дней назад +7

    Nice king kiba

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo 12 дней назад +7

    king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu

  • @masudiitembele7036
    @masudiitembele7036 6 дней назад +6

    mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy 9 дней назад +3

    Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 12 дней назад +4

    Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea

    • @user-rf7ni6tr2o
      @user-rf7ni6tr2o 11 дней назад +1

      Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama

    • @CatherineAmos-zw8dx
      @CatherineAmos-zw8dx 11 дней назад +1

      Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina 9 дней назад +3

    Asante kwa kjitambua

  • @malikebumoshiselemani440
    @malikebumoshiselemani440 11 дней назад +3

    Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia
    hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma 12 дней назад +4

    Utafika mbari sana

  • @user-pc5uw7qo1x
    @user-pc5uw7qo1x 11 дней назад +3

    Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu

  • @MituniIssa
    @MituniIssa 6 дней назад +1

    Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 10 дней назад +1

    Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki

  • @thobiassamwel4077
    @thobiassamwel4077 День назад

    Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮

  • @Pachaboy-k2b
    @Pachaboy-k2b 10 дней назад +1

    Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 5 дней назад +1

    Sijasikia akisema kurudi yanga

  • @MwilikwaNgongo
    @MwilikwaNgongo 9 дней назад +1

    Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 3 дня назад

    Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 11 дней назад +2

    KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 11 дней назад +2

    KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA

  • @MirroAsinaly
    @MirroAsinaly 23 часа назад

    Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu

  • @winfredmasheyo2477
    @winfredmasheyo2477 11 дней назад +3

    Chaaaamaaaaaaa

  • @ancyblix
    @ancyblix День назад

    Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii

  • @ShabaniSelemani-k7n
    @ShabaniSelemani-k7n 9 дней назад +4

    Safi sana king kuludi yanga

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 12 дней назад +2

    Bado Haji kurudi alikotoka

  • @eliadausen3025
    @eliadausen3025 7 дней назад +1

    Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 7 дней назад

    Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢

  • @NehemiaMagori
    @NehemiaMagori 4 дня назад

    Dah kumbe shabik mandaz😅😅

  • @AsiaKidunu-nm2ik
    @AsiaKidunu-nm2ik 9 дней назад

    Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo

  • @ChegeChigunda-v2g
    @ChegeChigunda-v2g 5 дней назад +1

    Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba

  • @Hellena-ds3bp
    @Hellena-ds3bp 11 дней назад +1

    Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 12 дней назад +2

    Duuuuh

  • @technology.0508
    @technology.0508 6 дней назад +1

    Unamjua simba mnyama

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 11 дней назад +3

    Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2
    K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2

  • @HusseinShuga-e3g
    @HusseinShuga-e3g 9 дней назад +3

    Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?

  • @user-gf9uw1zz3d
    @user-gf9uw1zz3d 11 дней назад

    Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 9 дней назад

    Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 9 дней назад

    Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe

  • @user-hw8bb9jo9j
    @user-hw8bb9jo9j 11 дней назад

    Kwer kaka

  • @Wish_Tv
    @Wish_Tv 7 дней назад

    Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 12 дней назад +1

    Duuuuuuh

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan5814 10 дней назад

    Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana

  • @geraldkirenga7159
    @geraldkirenga7159 10 дней назад

    Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini

  • @JacksonKaloli-du7vq
    @JacksonKaloli-du7vq 11 дней назад

    kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe

  • @CastorOmmy
    @CastorOmmy 6 дней назад +1

    Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga

  • @user-hs7um1rf8s
    @user-hs7um1rf8s День назад

    utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 12 дней назад +4

    Kb anajielewa sana

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 7 дней назад

    Pumbav ndo maana hamuendelei 😠

  • @innosentmolel8057
    @innosentmolel8057 10 дней назад

    mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 6 дней назад

    Acheni uzwazwa

  • @FabianSanga-d2i
    @FabianSanga-d2i 12 дней назад

    Sawa

  • @AhmedAbdallah-cv6rn
    @AhmedAbdallah-cv6rn 11 дней назад

    Simba wabovu Sanaa 😂😂

  • @user-ci6em5kr8g
    @user-ci6em5kr8g 11 дней назад +1

    Kiba Big up

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l 8 дней назад

    Yow

  • @user-cs1im9pc2u
    @user-cs1im9pc2u 11 дней назад

    shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 12 дней назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 10 дней назад +1

    Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 8 дней назад +1

    Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 7 дней назад

      Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king

  • @allysunday8614
    @allysunday8614 10 дней назад

    Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 7 дней назад

      😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 8 дней назад

    Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku

  • @Kadeslersoap
    @Kadeslersoap 9 дней назад

    😂😂😂😂

  • @lundimbekelu8866
    @lundimbekelu8866 6 дней назад

    Mamluki hao

  • @MashakaMakamba
    @MashakaMakamba 6 дней назад

    Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 7 дней назад

    Ukuwahi kuwa Simba wewe

  • @patrickilambona5042
    @patrickilambona5042 7 дней назад

    Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z 6 дней назад

    Hi nimupya

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 11 дней назад

    Xavi mtupu

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m 7 дней назад

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 10 дней назад

    Kiki huna jemgine

  • @JoyceDaniel-g3e
    @JoyceDaniel-g3e 9 дней назад

    Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 12 дней назад +6

    Yanga bingwa adi 230😁

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 5 дней назад

      Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 5 дней назад

      Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.