ONA BWANA HARUSI AMWAGA CHOZI MBELE YA WAGENI WAALIKWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • ONA BWANA HARUSI AMWAGA CHOZI MBELE YA WAGENI WAALIKWA WAKATI AKIWA ANAPEWA ZAWADI NA BI HARUSI MTARAJIWA ALISHINDWA KUZUIA HISIA ZAKE NAKUTOA MACHOZI

Комментарии • 277

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 6 лет назад +11

    Mungu nisaidie sintapenda mtoto Wangu wakiume aongee kama huyu mtangazaji....Amen...!!!Hear my prayers dear Lord...

  • @hurumavictoria6326
    @hurumavictoria6326 6 лет назад +4

    Safi sana dada zawadi nzuri mno afu mmenoga kweli Mungu awe nanyi

  • @minmianzi
    @minmianzi 5 лет назад +7

    Hahahahhaa huyu bwana harusi atakuwa ni last born 😂😂😂😂maana watoto wa mwisho kulia lia ndo zao

  • @juliethswai9716
    @juliethswai9716 4 года назад

    Ninachoona hapa wamependeza sana,na huwa watu wanapokuwa na matukio kama haya kila mmoja ana hisia zake wapendwa,mwingine akifurahi sana anazungumza hata bila kutulia,tuwaombee wapo safi sana,maisha yao hayo wayaanze na Mungu.

  • @abelbaraka263
    @abelbaraka263 6 лет назад +7

    Mimi ni mweupe sana na wanao nizunguka ni weusi Haaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂dada yangu kama umejariwa ni Bahati yako sio ujigambe

    • @annamachota2661
      @annamachota2661 5 лет назад +1

      Abel Baraka kwakweli kaniboa kwel chefuuuu

  • @nasmahhussein7452
    @nasmahhussein7452 4 года назад +2

    Eti watu wanaomzunguka ni weusi khaaaa we dada kwa weupe gani labda lol😂😂😂

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 4 года назад +9

    Kama umesikia biharusi akisema yeye ni mweupe sana lkn watu walikuja kwenye harusi ni weusi tujuane hapa😂

  • @queengee988
    @queengee988 6 лет назад +16

    Duuuhhh bibi harus mcharo balaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад

      H Alajmi mcharo kawa mtamu

    • @queengee988
      @queengee988 6 лет назад

      @@jescajulius8023 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaliyopo yanafurahish

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад

      H Alajmi ,hahahaaha sana t

    • @utaani1
      @utaani1 6 лет назад

      queen gee nini maana ya mcharo

    • @queengee988
      @queengee988 6 лет назад

      @@utaani1 ni mtu mapepe mapepe yaan hajatulia

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 6 лет назад +73

    Kama umekuja ku watch hiyo part ya machozi skip adi 3:54🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 года назад

    Masha'allah kapendeza Sana bii harusi Allah awadumishe

  • @josephmligo291
    @josephmligo291 6 лет назад

    Hongera bi harusi mtarajiwa hakika umependezaaah

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад

    Eti watu walionizunguka ni weusi😂😂😂😂🤭🤭

  • @marydaud8090
    @marydaud8090 2 года назад

    Pendeza sana

  • @zainabuomari9067
    @zainabuomari9067 6 лет назад +3

    Uyu analia hivi jaman nimeowa mrembo nitaibiwa tyuuu hahahaha

  • @annamashiri3921
    @annamashiri3921 4 года назад +1

    mama mzazi wa biharusi kwakweli hakika unahofu yamungu maana unaongea kwabusara sana. mungu aibariki ndoa yabinti yako. mependeza sana.

  • @olgacaleb6822
    @olgacaleb6822 3 года назад

    Ukimkumbuka pilipili alivyolia siku yake na filomena gonga like twende pamoja

  • @QueenmotherofRoyalty
    @QueenmotherofRoyalty 6 лет назад +2

    Naipenda nguo ya bibi Harusi,jameni naweza nikaipataje??

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 лет назад +2

    Hahahahahaha mwanaume wa dar huyo kaz kulialia

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 лет назад

    Hongeren sana mungu akaitunze ndoa yenu kwa mikono yake

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад

    Mbarikiwe Sana mungu azidi kuwabariki 😍😘 😘

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 6 лет назад +2

    Huyu mama anaongea kwa hekima Sana.. Mungu awatangulie mkigombana mkumbuke zawadi ya bibilia

  • @josephinemecky9278
    @josephinemecky9278 5 лет назад +24

    Tunaoanza na kusoma comment b4 watching tujuane

  • @juliethswai9716
    @juliethswai9716 4 года назад

    Pendeza sana binti.

  • @adelasaid6172
    @adelasaid6172 6 лет назад +6

    Mama wa bibi harus uko poa sana nimekupenda bureeeee

  • @janethbarongo149
    @janethbarongo149 6 лет назад +1

    Wahaya tuko vzr

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 6 лет назад +15

    hahahaaaaaaaa amemkumbuka dem wke wa zaman

  • @husnabbygal5213
    @husnabbygal5213 6 лет назад +1

    makeup ya bb arusi iko smart pk nimetamn😍

  • @sumamwaipopo8598
    @sumamwaipopo8598 6 лет назад +1

    Bi haruc mzuri sana

  • @rosemosses7155
    @rosemosses7155 4 года назад

    Nice

  • @jacobkeleman8001
    @jacobkeleman8001 6 лет назад +7

    Mwanaume wa Dar analia machozi😂😂😂
    Vichipsi vinawasumbua vichwani

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 6 лет назад +15

    Biharusi mcharuko ,bwana ametulia hadi raha punguza kucharuka maana biharusi hapendezi kucharuka kama hivyo.

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 4 года назад

    Mama uko vizuri pamoja na mtoto wako

  • @aishamussa7246
    @aishamussa7246 4 года назад

    Mwanaume haliag bana!!

  • @ZainabuATuli
    @ZainabuATuli 5 лет назад +2

    Wanaume wa dar shkamon, baba mmoja mama mmoja 🤭😂😂😂🤣🤣🤣

  • @BethiBethi-yp7uf
    @BethiBethi-yp7uf Год назад

    Ongets
    😅

  • @mariachares6315
    @mariachares6315 4 года назад

    Pendeza mdada

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 лет назад +2

    Unalia tena

  • @vulfridakessy7148
    @vulfridakessy7148 3 года назад

    Hizi bible huwaga tunazingua xn sidhan km tunazisomaga...hahaaaa

  • @suzymunisi1894
    @suzymunisi1894 6 лет назад

    Anafanana na Lulu

  • @marylema8937
    @marylema8937 4 года назад

    Sasa kalia nini yaani mi sijaeleeeeee

  • @marthagabriel7404
    @marthagabriel7404 6 лет назад +17

    Naona kama mwanamke mkubwa kuliko Mume ndo maana Mume analia

  • @robinazebanga4698
    @robinazebanga4698 5 лет назад

    Mwakasenge mahubili

  • @grasianatesha2718
    @grasianatesha2718 6 лет назад +3

    hahahaaaa jamaa analiaaa vidume vingine naweza vichapa makofi ujue

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 4 года назад

    Bwana harusi usikie bwana

  • @moyanse
    @moyanse 6 лет назад +8

    Bibie mzuri aisee wacha tu atoe chozi

  • @moodrahdule4435
    @moodrahdule4435 6 лет назад +31

    Huyu demu mjanjA kuliko jamaa atakuwa anachepuka afu jamaA analia tu

  • @chobaroko3913
    @chobaroko3913 3 года назад

    Unajililisha ,ngoja mziki unakuja ndani ,atapoanza kupigwa mashine inje ndio utalia vizuri

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 6 лет назад +7

    mama uko mwaaaaah ongera

  • @lucymcharo175
    @lucymcharo175 6 лет назад +27

    Mmmhhh umeteleza kidogo kusema wewe mweupe sijui wengine weusi mmfyuuu kwani wew mwarabu au mhindi chaàaa ngachoka

  • @beatricekiponda4856
    @beatricekiponda4856 6 лет назад +1

    Kwa weupe gan ulionao dyadya

  • @briehjojo1515
    @briehjojo1515 6 лет назад +3

    jaman wahaya tupo vzur....

  • @husnabeiby9365
    @husnabeiby9365 6 лет назад +2

    Mom she is very cute like her daughter it's nice day real ntaman kuolwa

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад

      Husna Beiby hahahaah walio kweny ndoa wataman kutoka ata leo mamy

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад

      kuolewa ni shida sn mamii furaha iyo ni ya muda mfupi tu

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 6 лет назад +2

      Husna ndoa heshima wala usitishwe kama watokaji mbona zama za magu hawatoki tena wanakamatia kwa wazee wa miba , utaolewa insha Allah, MTU chake bwana

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад +1

      Husna John ndy kuolewa ni heshima lkn kuna shida zake mmmmh

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 лет назад +1

      usipokubali kumsujudia mwanaume unaachika asubuh t lkn ukikubal kusujudia utadum

  • @reginaemmanuel8233
    @reginaemmanuel8233 6 лет назад

    bwana Harus mshamba .

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 6 лет назад +2

    Wamependezana

  • @anethkimbe7086
    @anethkimbe7086 6 лет назад +3

    yaan wanawake wa sikuiz, unajikuta tu umeoa kumbe hukua hata nawazo

  • @joharjohn5095
    @joharjohn5095 5 лет назад +1

    Lia baba

  • @rahimatanzani6509
    @rahimatanzani6509 6 лет назад +8

    Biharusi anaejiita mweupe hata mm pia ni mweupe huyo aoni ndani sura yenyewe mbovu amenikera kujiita mweupe nyoko

  • @nicklilianmaxwel6199
    @nicklilianmaxwel6199 6 лет назад +1

    kweli wanaume wa dar

  • @marymamntine1909
    @marymamntine1909 5 лет назад +3

    Mnh ety watu wanaonizunguka weus kwahy mm nivae nguo ya rangi ili waonekane... fyuuuuu mnanimalizia MB

  • @minaside6717
    @minaside6717 6 лет назад +9

    Bibi harus mcharuko unaikata miuno hatar.

  • @lucychande3963
    @lucychande3963 6 лет назад +94

    Sipendi Interview ya kuchanganya kizungu mie... ivi mnafikili kuwa wote wenye Mb ni wazungu???

  • @ashurathabiti1046
    @ashurathabiti1046 6 лет назад +1

    Aka kadada kanaonkna kajanja kwel 😂😂😂

  • @tinamchira6187
    @tinamchira6187 6 лет назад

    Safi sana..pendeza mnoo

  • @neemaclemenc7219
    @neemaclemenc7219 6 лет назад +1

    jmn yawezakuwa anaria kwafurahhaa eee jmnsimchezoo kufikiaaatuahii jmn

  • @upendombwambo6366
    @upendombwambo6366 6 лет назад +3

    Nyie wenye matus, acheni kwan ukikaa kimya utapungua nn

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 лет назад +12

    Cjapenda kuxema wengne weusi akat wapo wamekuzid weupe

  • @rehemand0mwa657
    @rehemand0mwa657 5 лет назад

    Msenge kweli unaweupe gani 🙄🙄

  • @reybony3960
    @reybony3960 6 лет назад +12

    mama anamacho ya kurembua cjui enzi za ubinti wake

  • @fatmabhinda2717
    @fatmabhinda2717 6 лет назад +7

    Yaaani ww kaka kama silaha ya ndoa yako kama kichwa cha familia itakuwa ni machozi basi utapata tabu saaaan

  • @leinaamos
    @leinaamos 4 года назад

    Huyo dada mzur kwakweli

  • @therezadeogratias6616
    @therezadeogratias6616 6 лет назад +1

    Mambo ya wahaya

  • @daddyakida4859
    @daddyakida4859 5 лет назад

    Taarabuzazaman

  • @happyhaule4979
    @happyhaule4979 5 лет назад

    huuuuuuuuu adi chozi

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад

    Mashallah, kapendeza 😜😍😍

  • @جميلةجميلة-ع5ن1ق
    @جميلةجميلة-ع5ن1ق 6 лет назад +2

    Mama biharus mkarim sana

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 6 лет назад

    Vice versa

  • @epifaniamponda5676
    @epifaniamponda5676 6 лет назад +8

    nasoma comments tu 😂😂😂😂😂 nafurahi sanaaaa

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 лет назад

    Mama bibi harusi mrembo

  • @dayanadayana6519
    @dayanadayana6519 4 года назад

    Dayana Moses

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 лет назад

    Aaa, ni mshenzi tu

  • @agapemapembe2483
    @agapemapembe2483 6 лет назад

    daaah huu kweli ni umama

  • @emanuelsitta8015
    @emanuelsitta8015 5 лет назад

    Mmh mama mkwe nae ni mrembooo

  • @nuruissa2782
    @nuruissa2782 6 лет назад

    😃😃😃😃mwaume Alii wewe

    • @rosebiseko4535
      @rosebiseko4535 6 лет назад

      Umenikwaza kusema ww ni mweupe kuliko watu wanaokuzunguka!hao unaowaita weus ndo wamefanikisha hrc yako.

  • @fellygal5414
    @fellygal5414 5 лет назад

    Waooooh

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 6 лет назад +15

    mama mzuri mno

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 лет назад +1

    si anaiga kulia hata pasipo lilika

  • @minnahsevelian9439
    @minnahsevelian9439 3 года назад +1

    Jmn

  • @faridasaid8724
    @faridasaid8724 6 лет назад

    umependeza

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 6 лет назад +16

    Sema kusema we mweupe wengine weusi unakosea you're not Arabs wala mungu, labda ingekuwa albino ndio ungetakiwa kusema hivyo ila hapo wapi weupe tena hata make up hawajapaka wala mkorogo, usijisifu sana

  • @gipsonuisso2967
    @gipsonuisso2967 6 лет назад +7

    Bi harusi kazidisha ucharuko

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 лет назад +5

    Kumbe vya watu kulia bado vipo? Mmependeza sana

  • @fatmabhinda2717
    @fatmabhinda2717 6 лет назад +2

    Heeeh we dada sio kwa kujiachia uko chefuu ukumbi mzm unauliza ww umeboa na ww sio mweupe wa sifa kiasi icho apo umetereza

  • @paulmushi6530
    @paulmushi6530 6 лет назад

    Mwanaume huyu duuh

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 5 лет назад

    Congratulations

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 6 лет назад +14

    Una weupe gani?kwani wewe no mzungu yani unachekesha mbona wewe ni wakaida

  • @salmanuhu4574
    @salmanuhu4574 5 лет назад

    videos

  • @KaguttaEdson
    @KaguttaEdson 6 лет назад +2

    Habari, gusa Picha yangu upande Wa kushoto Kisha bofya Subscribe.
    Asante

  • @winnysiogon31
    @winnysiogon31 6 лет назад

    Mtoto wakiume kulia ivo jmn c umama uo

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 лет назад

    Mtoto jojo

    • @gracemichael5853
      @gracemichael5853 6 лет назад

      Mumy usione raha kuchezewa ngoma hapo na ujue kumpa mauno na kumtunz mume wako ndan akirudi sharty unukie na kumvalia mume vitu vya amsha amsha, na ujue kuchekesha ya watu sio unaambiwa unaanza kumnunia mume ndan ys nyumb haipende

    • @sakinaomar301
      @sakinaomar301 6 лет назад

      Tupo smart hatotuangusha

    • @roselugendo337
      @roselugendo337 6 лет назад

      nimempenda mama wa bi harusi . ni mama nzuri, binti huyu amwangalie mama yake atavuna mengi mazuri zaidi kutoka kwa mama.

  • @marthagabriel7404
    @marthagabriel7404 6 лет назад

    Zuu Said humoni huyo Dada kama anambruza mwanaume