Idris/Devy ameitwa baba - Huba | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 19 дек 2019
- Nyumbani kwa Tima kama kawaida vimbwanga haviishi, Carlos na Kashaulo wanawekana sawa, Ni nani amuonye Rani kuhusu Stano?Familia imeungana! Fuli Jr kamuita Devi baba
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - Развлечения
Nawakubali sana
penzi la tima na dev linanoga💘💘💞
MashaAllah ama kweli mungu mkubwa family imetimia
Naipenda 💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
Kwa video zingine kali za Koku na Dora njoo 👉👉👉 Asali Online Tv uenjoy zaidi na zaidi
Jmn huyo jambazi mmoja nyampua hatari
Ila devi na Tima mmependezana yaan
Rehema Bakali saana yaani
One day nataman nifanye kazi na gabo na mkubali xaxa brother gabo
Jmn Tessa wateseka kweli duuh
Ilanahisi Ruki nimsaada mkubwa kwa pachawake japo kidogo wanamuona nikero
Irene Mwakilema Nampenda sana anavoigiza
Uyo baba ana nywele za kiarabu lkn mtoto ana nywel kama CHIDI BENZ
😂😂😂😂😂😂😂chid benz chumaaaa😆😆
Jmn jmn tesa mbn shida uyu mama nimempenda amevaa usika twende sidi ,mgeni, kashauro,mbona huba baraa Bi mwenda bwn ache mambo yawatu mchawi sana
Jamani hizi season mbna czifaham Cjui ipi ya mwanzo Wala ya pili enh hem nisaidieni jamaniiiih 😥😪
Maisha Magic mbona unaweka sana Huba ila Kapuni tunanyimwa kwanini ??
Ila ruki ananifurahisha bwana kama hajatoka kijijini vileeee😂🤣
Lydia Akimana Nampenda mno anavoigiza na pacha ake
Vinguo vya Nand hata havimpendezi vinabana mnoo, anatokea Kama kimjusi,
Kweli kbs asa leo kawa km nn cjui yaan
🤣🤣🤣😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona kanajifanya kanashepu ya kuvaa kizungu nashepu ya babake chefuuu
😂😂😂😂😂
Mtuwekeeni jaman kwa epsd
Tima lv u
Yaan nampenda idris mpaka
David na Tima napenda mnavyo igiza na pia mnapendezana sana
Kweli kabisa
Tima na Devi wame pendezana
Isitoshe koku anaingiza mkono kwenye pochi anamuona harafu spray anapuliza kirahisi tu na macho amepelekewa kabisa
Mtoto kachaganyikiwa na jina la babake
Mamb vp
Damu nzito kuliko MAJI 😜
Gfx
Jamani watu gani wanateka alafu wanamchekea walomteka???? Also mtu unatekwa then unaongea na watekaj kama best zako???
Tesa 🤣🤣🤣
Hapo mmechemsha kwenye kitambaa cha Tesa
😫😫😀
Uwiiiii
Tesa bwana
Wekeni mpangilio basi
Acheni uongo wabongo ivi tesa hujafungwa mikono unashindwake kutoa icho kitambaa?
Tesa wigi limeenda wapi
Kawa mbaya hatar hahahahahahahahaha.
Nc
Kitambaa chenyewe kina macho
💋💕💕💕💕
Damu nzito kuliko maji
M
Ec
Jmn mbn mnatuonjexh tyu
Oooooooooooooooooo
nataman kuion ndoa ya nandy na royi😘😘🌹🌹🌹
Mwenzako
KWA MATATIZO YA NGOZI,MICHIRIZI, MAKOVU, NYAMA UZEMBE, KUONGEZA SHEPU, N.K,DAWA ZIPO, SMS/WHATSAP 0693_330284
Asma Ally ahhhhhh
Upande wa Kapuni Koku na mume wake wa zamani wamekosea mtu hawezi kupuliziwa dawa machoni kirahisi na yule baba anamwangalia tu
Tesa Katekwa ni Watu Wasio Julikana.