Tuliokuwa tuna subilia video ya huu wimbo gonga like. Kaka Aniset Butati naomba uwe unaweka English Subtitles kwenye nyimbo zako baadhi ya wafuasi wako tunakufatilia kutoka nchi nyingine tulionao wanatamani kuelewa unacho kiimba. Nakufatilia kutokea China Mungu akubariki Kaka Aniset Butati.
Wimbo wakutia mtu matumaini, yeyote anasoma hii comment, jitie nguvu ukijua shida hazina mizizi, unaehitaji ndoa, mwenye ndoa ina shida, wale wanahitaji karo, wale wanahitaji kodi Mungu awafungulie milango za mbinguni maombi yote mmeomba kwa siri Mungu awajibu kwa wazi... Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 pia sisi Mungu akumbuke nchi yetu tunahitaji amani na watoto wetu wapate ajira🎉🎉🎉❤
Nimekuwa wakwanza ku views hii video, like zangu plz
What a blessing? Any Kenyans here? 🇰🇪
Me always here support my brother Aniset butati
Here we are 🎉🎉🎉🎉❤
Tuliokuwa tuna subilia video ya huu wimbo gonga like. Kaka Aniset Butati naomba uwe unaweka English Subtitles kwenye nyimbo zako baadhi ya wafuasi wako tunakufatilia kutoka nchi nyingine tulionao wanatamani kuelewa unacho kiimba.
Nakufatilia kutokea China Mungu akubariki Kaka Aniset Butati.
Nimejua kwamba kucheleweshwa sio kunyimwa
Nitainuka tena kwa kishindo 😢😢😢😢😢😢
This song has come at my right time God bless you bro
Amen
Niko Burundi ,napenda nyimbo zako asilimia kubwa !!!nyimbo zako zinanisaidia kabisa,que la grâce de Dieu soit avec vous
Nitainuka tena
Nimebarikiwa na hu wimbo barikiwa sana my brother 🥰🥰
From your status here I am blessings sister ❤
Wimbo wakutia mtu matumaini, yeyote anasoma hii comment, jitie nguvu ukijua shida hazina mizizi, unaehitaji ndoa, mwenye ndoa ina shida, wale wanahitaji karo, wale wanahitaji kodi Mungu awafungulie milango za mbinguni maombi yote mmeomba kwa siri Mungu awajibu kwa wazi...
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 pia sisi Mungu akumbuke nchi yetu tunahitaji amani na watoto wetu wapate ajira🎉🎉🎉❤
Amen
Amen mtumishi keep it up 🇰🇪
Daaah!!! Mpaka nakosa chakuandika Mungu akubariki Sana kaka yaani nabarikiwa/nimebalikiwa Sana na huu wimbo 🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana Ndugu Aniseti Butati, Mungu azidi kukuneemesha kwa kazi nzuri. #KweliNitainukaTenaHuuSioMwisho❤🙏
Halelua mugu we nimuzuri san❤❤❤❤❤❤❤❤ Saudia Arabia mutoto wamburudi nagupeda san nyimbo zako zinanifurahisha sana
Huyu mtumishi yuko na Mungu na Mungu ambariki sana kwa kazi zake na amzidishie ukuu na unyenyekevu. The song has blessed me so much
Hii nyimbo imenilenga kwa situation napitia sasa😭😭ila najua mungu ataniwezesha nienuke tena🙏🙏
Kweli kabisa
Amen balikiwa Sana Mtumishi🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉Don't give up😢
Ameeni
Niombee 🧎🏾➡️
You are my favorite my brother, my God bless you richly 🙏🙏
Napenda Sana nyimbo zako butati toka kenya
Mtu wa MUNGU songa mbele
My favorite songs ❤❤, kaka Mungu akuinue zaidi 🙌
Amina mbarikiwe na Bwana na kama unamini popote ulipo gonga like God you bless always🙏👭🤝❤️🤝👬🙏
Kaka Aniset safi kabisa MUNGU Akuinue viwango vingine tena
Nyimbo hii Yani Jenga sana mbalikiwe mtumishi wa MUNGU
Hongeraa sana mtu wa Mungu. Kwa kaz njema ya Baraka sana🎉🎉🎉
Wimbo Mkali Mzuriii
Safi sana Mtumishi
Source of encouragement God bless you as you continue reaching souls for Christ, I love your songs 100%
Hongera Sana kaka Kazi nzuri
Wimbo ni muzuri Sana ubarikiwe mutumishi 🕺💃💪🙏 wewe ni kiboko kweli 🤗
Kaka nyimbo zako zinatubariki sana huku Kenya 🇰🇪
What an awesome song?Glory be to God.God bless you bro.##kenyan boy
Mungu akubariki sana kaka nenda zaidi kimataifaa❤❤
Huu wimbo ni wangu nitainuka tena kwa sasa hakuna msaidizi ila mungu tu,,,naaamini🙏🙏
Wow Beauryfu
Hongera sana kaka mkubwa❤❤❤
Kaka natamani sana tufanye collabo mtumishi
Hongera sana yani kiukweli inabariki....❤
Nabarikiwa sana naizi nyimbo kwa kweli kama vile uli niimbia mimi🙏🙏
This song has hit me harder with my current situation 😢😢. Kweli sio mwisho wangu🙏
Huu sio mwisho nitainuka tena
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Amen wimbo wakutia moyo,barikiwa sana
Amen mtu wa mungu barikiwa sana kasa kabisa kiongozi
Wow that's awesome nitainuka Tena am blessed
Hongera sana Aniseti ,,wimbo mzuri sana wa faraja hakika nitainuka tena mungu akubariki sana 🎉🎉🎉🎉❤
So powerful💪 may God bless you man of God... Keep the fire 🔥burning
🙏🙏
Amen wimbo wakutia moyo barikiwa Sana 😭😭🙏🙏🙏🏾
Mungu akubariki Sana kaka kazi yako njema sana
Amen nyimbo ina ujumbe mzuri mtumishi wa mungu 🙏
Ubarikiwe mtumichi wa mungu, mungu akupe nguvu
Mtumishi hongera kwa huduma ila jaribu kabadili ujumbe itfakali hyo kwa jicho la tatu
Nakubali ❤❤kazi juu ya kazi
Hongera kazi ni nzuri kaka
Pamoja sana kaka nakubali kazi zako
Mungu akubalik ndug aniseti
Duuuuuuh barikiwe saaana mtumish Mungu akutangulie katika kazi zingine
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana
Nice song,much love from Kenya
Balikiwa sana kaka Kaz nzuli mno inainua Iman
asante kwa wimbo mtumishi🙏 Mungu aku inuwe
Kweli
Ni kweli huu sio mwisho ,nitainuka tena
Nimeguswa sana mtumishi barikiwa sana
Nyimbo nzuri sana!!! Like zangu hapa za watu wa Rwanda.
Hakika maombi ni SILAHA kwakila mtu ❤
Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi
Amen Amen Amen In JESUS NAME nitainuka tena
Aksante sana.
MUNGU akubariki.
Kaz nzuri,barikiwa
Naipenda iiinimbo sana❤❤❤❤
Nice song indeed keep it up we love you and may god bless you,
Wimbo mzuri sana kamanda ubarikiwe sana asanteee Desau Mwaweza kupitia ww Kwa njia ya Linki Wimbo umenibariki sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Nyimbo zako zina nifariji sana
Ubarikiwe Butati, Mungu aendelee kukufunulia
Nakupenda Anicet
Wimbo unanitia imani❤❤❤❤❤
Kaka MUNGU akushangaze 🙏🙏🔥🔥🔥
Nyimbo .siko na message
Barikiwa sana butati
Kazi nzuri kaka
Barikiwa sana kaka
Mungu akupe chochote uliemuomba
Wow 👌 thank you for the words of encouragement 🙏 nitainuka tena ,be blessed sana.
So waao nitainuka tena
Barikiwa sana Mtumishi
Nice 🎉 good work 👏 be blessed more 🙌
Amen. Haki nita inuka tena
Amen Amen Amen mungu akubariki
Mungu si yo mwanadumukwel na mimi nirisha wona uwema wake
Waow!! powerful one 👏👏👏🙏
Amen barikiwa sana
🎉🎉🎉🎉 wimbo mzur
Kazi nzuri,ujumbe na matendo ya baraka.
Niwuhakika mugu anateda à santé anateda
hakika ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana
Mungu akubarik❤❤❤😊
Nitainuka tena kwa kishindo, Mungu wangu anatenda