ANISET BUTATI___NIOMBEE (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 182

  • @alamusictz
    @alamusictz 3 месяца назад +41

    Nimekuwa wakwanza ku views hii video, like zangu plz

  • @edmoh_kenya
    @edmoh_kenya 3 месяца назад +20

    What a blessing? Any Kenyans here? 🇰🇪

    • @gracelinda1460
      @gracelinda1460 2 месяца назад

      Me always here support my brother Aniset butati

    • @aviosilona316
      @aviosilona316 2 месяца назад

      Here we are 🎉🎉🎉🎉❤

  • @egbertcharles
    @egbertcharles 2 месяца назад +7

    Tuliokuwa tuna subilia video ya huu wimbo gonga like. Kaka Aniset Butati naomba uwe unaweka English Subtitles kwenye nyimbo zako baadhi ya wafuasi wako tunakufatilia kutoka nchi nyingine tulionao wanatamani kuelewa unacho kiimba.
    Nakufatilia kutokea China Mungu akubariki Kaka Aniset Butati.

  • @dorrisnduki4237
    @dorrisnduki4237 2 месяца назад +3

    Nimejua kwamba kucheleweshwa sio kunyimwa

  • @ShedrackEstomih-ol9sr
    @ShedrackEstomih-ol9sr 3 месяца назад +3

    Nitainuka tena kwa kishindo 😢😢😢😢😢😢

  • @LucyNjoki-x7s
    @LucyNjoki-x7s 2 месяца назад +3

    This song has come at my right time God bless you bro

  • @WambaliEliphaz
    @WambaliEliphaz 2 месяца назад +1

    Niko Burundi ,napenda nyimbo zako asilimia kubwa !!!nyimbo zako zinanisaidia kabisa,que la grâce de Dieu soit avec vous

  • @evahedsonofficial1062
    @evahedsonofficial1062 3 месяца назад +1

    Nitainuka tena

  • @agnessjonas9357
    @agnessjonas9357 2 месяца назад +1

    Nimebarikiwa na hu wimbo barikiwa sana my brother 🥰🥰

    • @aviosilona316
      @aviosilona316 2 месяца назад

      From your status here I am blessings sister ❤

  • @aviosilona316
    @aviosilona316 2 месяца назад +4

    Wimbo wakutia mtu matumaini, yeyote anasoma hii comment, jitie nguvu ukijua shida hazina mizizi, unaehitaji ndoa, mwenye ndoa ina shida, wale wanahitaji karo, wale wanahitaji kodi Mungu awafungulie milango za mbinguni maombi yote mmeomba kwa siri Mungu awajibu kwa wazi...
    Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 pia sisi Mungu akumbuke nchi yetu tunahitaji amani na watoto wetu wapate ajira🎉🎉🎉❤

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 2 месяца назад +1

    Amen mtumishi keep it up 🇰🇪

  • @GIBSONESTON527-v1g
    @GIBSONESTON527-v1g 3 месяца назад +3

    Daaah!!! Mpaka nakosa chakuandika Mungu akubariki Sana kaka yaani nabarikiwa/nimebalikiwa Sana na huu wimbo 🎉🎉🎉🎉

  • @kellybonface4039
    @kellybonface4039 2 месяца назад

    Ahsante sana Ndugu Aniseti Butati, Mungu azidi kukuneemesha kwa kazi nzuri. #KweliNitainukaTenaHuuSioMwisho❤🙏

  • @DuwayezuAgness
    @DuwayezuAgness 2 месяца назад +1

    Halelua mugu we nimuzuri san❤❤❤❤❤❤❤❤ Saudia Arabia mutoto wamburudi nagupeda san nyimbo zako zinanifurahisha sana

  • @kaitasicoster-jl6hi
    @kaitasicoster-jl6hi Месяц назад

    Huyu mtumishi yuko na Mungu na Mungu ambariki sana kwa kazi zake na amzidishie ukuu na unyenyekevu. The song has blessed me so much

  • @josephngara4275
    @josephngara4275 2 месяца назад +4

    Hii nyimbo imenilenga kwa situation napitia sasa😭😭ila najua mungu ataniwezesha nienuke tena🙏🙏

  • @JohnNgayeOfficial
    @JohnNgayeOfficial 2 месяца назад +2

    Amen balikiwa Sana Mtumishi🎉🎉🎉🎉🎉

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 3 месяца назад +1

    🎉🎉Don't give up😢

  • @Chrismasongs-z7n
    @Chrismasongs-z7n 3 месяца назад +1

    Ameeni

  • @ObbyAlpha
    @ObbyAlpha 3 месяца назад +1

    Niombee 🧎🏾‍➡️

  • @Johnson_9k
    @Johnson_9k 2 месяца назад +2

    You are my favorite my brother, my God bless you richly 🙏🙏

  • @JustusKimeli
    @JustusKimeli 3 месяца назад +1

    Napenda Sana nyimbo zako butati toka kenya

  • @freddybarakasolo
    @freddybarakasolo 2 месяца назад +2

    Mtu wa MUNGU songa mbele

  • @TumepewaFungo-wx9rw
    @TumepewaFungo-wx9rw 3 месяца назад

    My favorite songs ❤❤, kaka Mungu akuinue zaidi 🙌

  • @MlongechaBaraka-ow7kw
    @MlongechaBaraka-ow7kw 6 дней назад

    Amina mbarikiwe na Bwana na kama unamini popote ulipo gonga like God you bless always🙏👭🤝❤️🤝👬🙏

  • @isaya.m.mwakapesa9808
    @isaya.m.mwakapesa9808 3 месяца назад +2

    Kaka Aniset safi kabisa MUNGU Akuinue viwango vingine tena

  • @NoahNyirenda-p5q
    @NoahNyirenda-p5q 2 месяца назад +1

    Nyimbo hii Yani Jenga sana mbalikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @komanyadotto5617
    @komanyadotto5617 2 месяца назад

    Hongeraa sana mtu wa Mungu. Kwa kaz njema ya Baraka sana🎉🎉🎉

  • @kbdmsafi_tz8094
    @kbdmsafi_tz8094 3 месяца назад +3

    Wimbo Mkali Mzuriii

  • @eliud_sanya
    @eliud_sanya 3 месяца назад +1

    Safi sana Mtumishi

  • @rebeccatoo
    @rebeccatoo 3 месяца назад

    Source of encouragement God bless you as you continue reaching souls for Christ, I love your songs 100%

  • @Charlesezekielimaganga
    @Charlesezekielimaganga 3 месяца назад

    Hongera Sana kaka Kazi nzuri

  • @BIJAEZEKIELIshara
    @BIJAEZEKIELIshara 3 месяца назад

    Wimbo ni muzuri Sana ubarikiwe mutumishi 🕺💃💪🙏 wewe ni kiboko kweli 🤗

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 2 месяца назад

    Kaka nyimbo zako zinatubariki sana huku Kenya 🇰🇪

  • @cheddyphannison5084
    @cheddyphannison5084 2 месяца назад

    What an awesome song?Glory be to God.God bless you bro.##kenyan boy

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 3 месяца назад

    Mungu akubariki sana kaka nenda zaidi kimataifaa❤❤

  • @JacklineKamonya-s1c
    @JacklineKamonya-s1c 2 месяца назад +1

    Huu wimbo ni wangu nitainuka tena kwa sasa hakuna msaidizi ila mungu tu,,,naaamini🙏🙏

  • @moto-junior
    @moto-junior 3 месяца назад +1

    Wow Beauryfu

  • @gumimosile2389
    @gumimosile2389 3 месяца назад +1

    Hongera sana kaka mkubwa❤❤❤

    • @gumimosile2389
      @gumimosile2389 3 месяца назад +1

      Kaka natamani sana tufanye collabo mtumishi

  • @hollinessmasanju6518
    @hollinessmasanju6518 2 месяца назад

    Hongera sana yani kiukweli inabariki....❤

  • @MamanEstherEsther
    @MamanEstherEsther 2 месяца назад

    Nabarikiwa sana naizi nyimbo kwa kweli kama vile uli niimbia mimi🙏🙏

  • @josphatmogaka8668
    @josphatmogaka8668 2 месяца назад

    This song has hit me harder with my current situation 😢😢. Kweli sio mwisho wangu🙏

  • @judithmwakilasa4290
    @judithmwakilasa4290 2 месяца назад

    Huu sio mwisho nitainuka tena
    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @metrinemetilda8564
    @metrinemetilda8564 2 месяца назад

    Amen wimbo wakutia moyo,barikiwa sana

  • @revbramwel9573
    @revbramwel9573 3 месяца назад

    Amen mtu wa mungu barikiwa sana kasa kabisa kiongozi

  • @danielngome8
    @danielngome8 3 месяца назад

    Wow that's awesome nitainuka Tena am blessed

  • @emanherman9658
    @emanherman9658 3 месяца назад

    Hongera sana Aniseti ,,wimbo mzuri sana wa faraja hakika nitainuka tena mungu akubariki sana 🎉🎉🎉🎉❤

  • @princessmercy7372
    @princessmercy7372 3 месяца назад

    So powerful💪 may God bless you man of God... Keep the fire 🔥burning

  • @Moiibrahim
    @Moiibrahim 3 месяца назад +1

    🙏🙏

  • @witnesshamisi728
    @witnesshamisi728 2 месяца назад

    Amen wimbo wakutia moyo barikiwa Sana 😭😭🙏🙏🙏🏾

  • @raphaeljohn4544
    @raphaeljohn4544 2 месяца назад

    Mungu akubariki Sana kaka kazi yako njema sana

  • @raphaelymsilu6691
    @raphaelymsilu6691 2 месяца назад

    Amen nyimbo ina ujumbe mzuri mtumishi wa mungu 🙏

  • @EzéchielMughenderwa
    @EzéchielMughenderwa 16 дней назад

    Ubarikiwe mtumichi wa mungu, mungu akupe nguvu

  • @Bongonew
    @Bongonew Месяц назад

    Mtumishi hongera kwa huduma ila jaribu kabadili ujumbe itfakali hyo kwa jicho la tatu

  • @BlessahSaloon
    @BlessahSaloon 3 месяца назад

    Nakubali ❤❤kazi juu ya kazi

  • @methodichristiani615
    @methodichristiani615 3 месяца назад

    Hongera kazi ni nzuri kaka

  • @sephaniaadamu728
    @sephaniaadamu728 2 месяца назад

    Pamoja sana kaka nakubali kazi zako

  • @MosesNtegeye
    @MosesNtegeye 2 дня назад

    Mungu akubalik ndug aniseti

  • @BOIZAHMGAYA
    @BOIZAHMGAYA 3 месяца назад

    Duuuuuuh barikiwe saaana mtumish Mungu akutangulie katika kazi zingine

  • @joelymhega9969
    @joelymhega9969 3 месяца назад

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 3 месяца назад

    Nice song,much love from Kenya

  • @jonathanvyaranse2668
    @jonathanvyaranse2668 3 месяца назад

    Balikiwa sana kaka Kaz nzuli mno inainua Iman

  • @victoirebatechi113
    @victoirebatechi113 3 месяца назад +1

    asante kwa wimbo mtumishi🙏 Mungu aku inuwe

  • @stellahchessi4171
    @stellahchessi4171 3 месяца назад

    Ni kweli huu sio mwisho ,nitainuka tena

  • @emanuelsinkonde
    @emanuelsinkonde 2 месяца назад

    Nimeguswa sana mtumishi barikiwa sana

  • @evangelistaimenk4573
    @evangelistaimenk4573 2 месяца назад

    Nyimbo nzuri sana!!! Like zangu hapa za watu wa Rwanda.

  • @josephsaid6958
    @josephsaid6958 19 дней назад

    Hakika maombi ni SILAHA kwakila mtu ❤

  • @Hosianaamosi
    @Hosianaamosi 2 месяца назад

    Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi

  • @hellenkemunto5357
    @hellenkemunto5357 2 месяца назад

    Amen Amen Amen In JESUS NAME nitainuka tena

  • @davidmugisa
    @davidmugisa Месяц назад

    Aksante sana.
    MUNGU akubariki.

  • @oswardnombo8062
    @oswardnombo8062 2 месяца назад

    Kaz nzuri,barikiwa

  • @DanielNkulu-x8h
    @DanielNkulu-x8h 2 месяца назад

    Naipenda iiinimbo sana❤❤❤❤

  • @AokoObwanda
    @AokoObwanda 3 месяца назад

    Nice song indeed keep it up we love you and may god bless you,

  • @joelymhega9969
    @joelymhega9969 3 месяца назад

    Wimbo mzuri sana kamanda ubarikiwe sana asanteee Desau Mwaweza kupitia ww Kwa njia ya Linki Wimbo umenibariki sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @floramax2168
    @floramax2168 2 месяца назад

    Nyimbo zako zina nifariji sana

  • @AssumpterMshamaAssumpterM
    @AssumpterMshamaAssumpterM 3 месяца назад

    Ubarikiwe Butati, Mungu aendelee kukufunulia

  • @marie-noellemunengela4783
    @marie-noellemunengela4783 Месяц назад

    Nakupenda Anicet

  • @raelmaobe3579
    @raelmaobe3579 2 месяца назад

    Wimbo unanitia imani❤❤❤❤❤

  • @ventusriobaofficial
    @ventusriobaofficial 2 месяца назад

    Kaka MUNGU akushangaze 🙏🙏🔥🔥🔥

  • @JosephineNthambi
    @JosephineNthambi 4 часа назад

    Nyimbo .siko na message

  • @bugramsafi9873
    @bugramsafi9873 2 месяца назад

    Barikiwa sana butati

  • @kelvinaudax8287
    @kelvinaudax8287 3 месяца назад

    Kazi nzuri kaka

  • @erastolucas3210
    @erastolucas3210 2 месяца назад

    Barikiwa sana kaka

  • @DivineKwizera-le8or
    @DivineKwizera-le8or 27 дней назад

    Mungu akupe chochote uliemuomba

  • @Lucyiminza
    @Lucyiminza 2 месяца назад

    Wow 👌 thank you for the words of encouragement 🙏 nitainuka tena ,be blessed sana.

  • @priscamakwetta740
    @priscamakwetta740 3 месяца назад

    So waao nitainuka tena

  • @paulinjohn1819
    @paulinjohn1819 3 месяца назад

    Barikiwa sana Mtumishi

  • @chanilasumbuko
    @chanilasumbuko 2 месяца назад

    Nice 🎉 good work 👏 be blessed more 🙌

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola655 3 месяца назад

    Amen. Haki nita inuka tena

  • @UsamboDesire
    @UsamboDesire 2 месяца назад

    Amen Amen Amen mungu akubariki

  • @MukasineBetty-k5g
    @MukasineBetty-k5g Месяц назад

    Mungu si yo mwanadumukwel na mimi nirisha wona uwema wake

  • @hellenchepkemoi7730
    @hellenchepkemoi7730 3 месяца назад

    Waow!! powerful one 👏👏👏🙏

  • @Barick2
    @Barick2 3 месяца назад

    Amen barikiwa sana

  • @JoyceJulius-r6g
    @JoyceJulius-r6g 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉 wimbo mzur

  • @g.moselnamaswa3858
    @g.moselnamaswa3858 3 месяца назад

    Kazi nzuri,ujumbe na matendo ya baraka.

  • @MupenziVedaste7
    @MupenziVedaste7 Месяц назад +1

    Niwuhakika mugu anateda à santé anateda

  • @lamecknashon7525
    @lamecknashon7525 3 месяца назад

    hakika ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 месяца назад

    Kazi nzuri sana

  • @janesdarabe8495
    @janesdarabe8495 2 месяца назад

    Mungu akubarik❤❤❤😊

  • @AssumpterMshamaAssumpterM
    @AssumpterMshamaAssumpterM 3 месяца назад

    Nitainuka tena kwa kishindo, Mungu wangu anatenda