Hapa wameyakuza kikomedi, ila hizi mambo zipo sana, kuna watu kila unachotaka kufanya kina kasoro na ukianza kukifanya wanaanza kupambana kifeli, seriously kabisa
Exactly 💯 unaambiwa ukiamua kufanya jambo lako punguza sana kuomba ushauri kwa kila mtu yani utapewa maneno ya kukutisha ili ufeli na kukata tamaaa na ndio maana wanasema biashara zipo nyingi Sana za kufanya ila awataki kutaja😂
Wana kamati wana kataa biashara ya kilimo apo wakati huo ugali wao mkubwa wanao kula pia imetokana na kilimo, Hii nchi akuna biashara ya mtu moja kwamba ukifungua Ndio inalipa Sana hao wanamkatisha tamaa bure apunguze kuomba ushauri Sana hao wanawivu tuu😄😄
Uwiiii😂😂 unaweza angalia mkate dukani usitamani kuung'ata😂😂 mtaniua kwa kucheka🤣
Dullah io 10M bora aongeze unga🙌😂
It's nice style of comedy I loved it .! every one is trying to be stupid than the other it's dope
Hii kamati naipenda mno 😂😂❤😂😂😂😂😂
kuwekeza kazi sana😂😂😂
Hawa jamaa wanakula ugali na mboga gani???😂😂
😂😂😂me pia sielewi naona ugali mkubwa tu😂😂
@@Awoshy😂😂😂
Kachumbar
😂😂😂😂😂😂😂
@@Awoshy kachumabri na maziwa mtindi
😅😅 hapo wanachokufundisha ni kwamba mipango yako ibaki kuwa yakwako tu, binadamu hataki kuona mafanikio ya mwenzake
Mtumishi we biashara zote ulisha fAnya😂😂😂😂we ni mnoma sana
Hatari sana😂😂
Mjinga tu huyu. Sasa si wamwambie afanye biashara ip
Mtumishi anauliza ipo ndani au bank😂😂😂😂
😂😂😂upendo shingonii
Hahahaha Ila hawa wamekazana hasa Aza Boy biashara ziko nyingi... Ila kumpa mawazo ya biashara aaaaaah 😂😂😂😂😂
Mwagie laaanaa huyo😂😂😂😂😂
Milioni kumi tuu umeanza kumkaba 😂😂😂ukimuua je
Done done 😂😂😂😂😂 muoneshe umtishe.... liana Ina vidonda
Robert Khan, J.j.Thompson, John Stanley, Nyakabere Kasonoji, Nyambura Kufakunoga, Magwela Kanyimpelele
Dulla hajala ugali na bado anasisitiza unga wa milioni 10 uongezwe😂😂😂😂
Hapa wameyakuza kikomedi, ila hizi mambo zipo sana, kuna watu kila unachotaka kufanya kina kasoro na ukianza kukifanya wanaanza kupambana kifeli, seriously kabisa
Exactly 💯 unaambiwa ukiamua kufanya jambo lako punguza sana kuomba ushauri kwa kila mtu yani utapewa maneno ya kukutisha ili ufeli na kukata tamaaa na ndio maana wanasema biashara zipo nyingi Sana za kufanya ila awataki kutaja😂
😂😂😂😂 akanunuwe unga wa million 10
Hiyo milion kumi itakuuuuuwaaaa😂😂😂
Msenge anakula afu anasema asialibiwe swaumu😂😂😂😂
😂😂😂😂😂et au kama una mavi😂
Mpo vzr sana 😂😂
Nom san
Hii kamati walahi nyie sio watu wazuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wana kamati wana kataa biashara ya kilimo apo wakati huo ugali wao mkubwa wanao kula pia imetokana na kilimo, Hii nchi akuna biashara ya mtu moja kwamba ukifungua Ndio inalipa Sana hao wanamkatisha tamaa bure apunguze kuomba ushauri Sana hao wanawivu tuu😄😄
Milioni kumi kaongeze unga tusonge ugali😂😂😂😂😂
Dullah alivyochoka😂😂😂😂
😂😂😂😂utadhania kilitajwa kitu kibaya 😂😂😂
@@zahraabdul9652 😂😂😂
😂😂😂
jaman nyie mnaona mboga kwel au n mm tuu sion vzr😂😂😂😅😅😅
Agriculture 😂😂
Anderson Jennifer Taylor Laura Jackson Mark
Martin Timothy Jackson Jason Williams Robert
mnatisha sana aisee watu hatuna mbavu huku tafuteni mchongo mwingine kama huu mtuletee
Uzeni bangi kwa wingi.
Na kama anamavi akanye😅😅😅
Upendo😂😂 utakauwa😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hawa jamaa daaaa
😂😂😂😂😂 eti rahana unayo wewe miaka yote
Kama una mavi nenda ukanyeeeee😂😂😂
ntawatukana nyie mbwa😂😂😂😂
Magari yanappatia ajali show room.
Hapo kwenye ng'ombe hata mm ckushauli 😅
Dulla anategea kula😅😅
Hawa wajomba wote haziwatoshi...😂😂😂😂
mtumishiiii
😂😂😂au kama una mavi nenda ukanye
Kwan Mboga ipo wapi😂😂😂
Ng'ombe anafuga ng'ombe 😂😂😂
Kamati ya roho mbaya nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂mtumish kila kaz kafany
Kama una mavi uwende akanye😅😅😅
😂😂😂😂 hiyo hela unayo hapo
😂hapo mwishoni.
😁😁🤣🤣🤣
Labda aennde lwanda akalime hii naniii 🚬 wanaruhus😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kula bwana unaongea huku unakula utakuja ujinyee
wanakaula kilicho limwaaa alafu wanakat kilimo 😃 😀 😄
Akuna ushauli apo ila mnatisha
yaan mnasema biashara ziko nying tu halaf hamshaur mi biashar gan
Pata pilipili kidogo🤣🤣
Kamati ya roho mbaya hii imekaaa inajadili
Ugali kwa kachumbali iyoo
Bora aje me nimshauri😂
Naelimisha, Nashauri, Natibu na kufwatilia maendeleo ya afya yako
KARIBU TUJIFUNZE
Eti Magari yanapatia ajali showroom
😂😂mara maduka yana ungua kila siku ,yani wanamkatisha tamaa bure ila hayo Maisha yapo yani Bora uamue Jambo lako peke yako
Ila azaboi et utaweza kuangalia mkate dukani bila kuung'ta,et mkate unatamanisha nyie utatamani uilambe na maziwa
Mchungaji anapata dhambi muongo
😂😂😂
Aza boi wewe ndo fundi hapo
Oya azaboi mmwagie laana huyo
ila content ya kumshauli mtu alime nin au afuge nn nazo zimekaaa poa sema mshaziongelea kidogo hapo
Lewis Shirley Lewis Brian Thompson Betty
😂😂😂au kama una mavi nenda ukanye
😂😂😂😂
😂😂mtumish kila kaz kafany
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂