Duniani hakuna mtumwema mwenyi oa mtumukweli mwenyi anaishi duniani makoda tunakupeda sana makoda mungu akuponye baba wa huruma mufuta machozi yawanyoge
Mungu mlinde sana makobda popote alipo kama kweli yupo likizo malaika zako wamlinde pende zotd mbinu za shetani zisipate nafas tkt maisha yake mabaya yote waliyopanga kufanya dhidi yako yawarudie wao mara 7 ktk jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai nkiomba nakuamini ameen
Kama makonda atakuwa amekufa Genz wa Tanzania tutaandamana Tanzania itakuwa zaidi ya kesha tutauwasha moto nyie majizi wa nchii mna malengo gani na hii nchi au mnafikili nchi ni yakwenu hao mababu zetu waliotutangulia je wangekuwa na upuuzi kama wa kwenu je tungefika hapa tulipo
Mh Samia suruh unajua makondo yuko wapi hiyo ndo shida ya serikali ya Tanzania kua watu wanao tetea wanyonge Rais Samia tunaomba Makonda arudi la sivyo tutajua ukweli minaua viongozi kwa sababu wanajua siri zenu inatakiwa utawala wa CCM ubadilishwe na vyama vingine vitawale kauli ya mwisho ya viongozi Rais Samia na viongonzi wake wanajua Makonda alipo au walisha mpu suma serikali ya hovyo sana kua watu wanao tetea haki za wanyonge
agufuli mulimuua kama hivi, tani raisi shupavu kati ya Africa yote hata sisi wakenya tulitamani magufuli angekuwa ni raisi wetu haya mukamuua ,hivi muwamuuwa,makonda nate.Watanzania munashangaza kuua watu ovyo sio urogi sio kuuwa kwa mikono,sijui ni dini gani inawaruhusu kuuwa
hizi channel zingine zikitokeza na habari, hakikisha kwanza ujue kama Millard Ayo au global tv wametoa..kama hawajatoa basi hizi zingine sio za uhakika
Sina Amani mioyoni mwangu ni mpaka nimuone Tena Makonda, Mungu mlinde Makonda na umponye na mabaya yote🙏
Nyie jikanyageni.hakikisheni makonda Yuko salama.lasivyo ndo mtakuwa inchi nichungu kwa kipindi hiki.
Duniani hakuna mtumwema mwenyi oa mtumukweli mwenyi anaishi duniani makoda tunakupeda sana makoda mungu akuponye baba wa huruma mufuta machozi yawanyoge
Mungu mlinde sana makobda popote alipo kama kweli yupo likizo malaika zako wamlinde pende zotd mbinu za shetani zisipate nafas tkt maisha yake mabaya yote waliyopanga kufanya dhidi yako yawarudie wao mara 7 ktk jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai nkiomba nakuamini ameen
Stop worrying guys please
Last two weeks i met Makonda in Dubai with he is wife and he is doing well
He is ok
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akuponye haraka ili uendelee na majukumu yako katika jina la YESU kristo Amen
Mokonda role model Wangu kama wanekupa sumu kweli utapona
mm nilisema ccm,akuna atakaekufa akaingia peponi uwo ushungi amna kitu ata bibi yangu anaufunga sana laki hana din
Mungu hakutunze Baba kegan🙏🏾🙏🏾🙏🏾🎉🎉🎉
ujue hata mimi sielewi mbona kila mtu analipot kivyake
Jaman mbona mnatuumiza sana na hizi taarifa zenu
Je Kuna Nini ase kwann watu WEMA hawana maisha ase,,,,kama yupo kiongoz uyooo makini sana ,,,kwan akiwa likizo hawezi kuonekana Kwa wananchi wake ase
Hbr
Kama makonda atakuwa amekufa Genz wa Tanzania tutaandamana Tanzania itakuwa zaidi ya kesha tutauwasha moto nyie majizi wa nchii mna malengo gani na hii nchi au mnafikili nchi ni yakwenu hao mababu zetu waliotutangulia je wangekuwa na upuuzi kama wa kwenu je tungefika hapa tulipo
Kweli wema wako unakuponza Makonda mungu mponye makonda akutane na familia yake jamani kwelii .Tanzania mmmmmh
Mh Samia suruh unajua makondo yuko wapi hiyo ndo shida ya serikali ya Tanzania kua watu wanao tetea wanyonge Rais Samia tunaomba Makonda arudi la sivyo tutajua ukweli minaua viongozi kwa sababu wanajua siri zenu inatakiwa utawala wa CCM ubadilishwe na vyama vingine vitawale kauli ya mwisho ya viongozi Rais Samia na viongonzi wake wanajua Makonda alipo au walisha mpu suma serikali ya hovyo sana kua watu wanao tetea haki za wanyonge
Hapana Makonda hatokufa ataishi anakitu alichotumwa na Mungu juu yetu hutokufa Makonda bali utaishi
Yaani hapo hatuta elewa lolote, mpaka Makonda aongee mwenyewe. Musitupotoshe MUSIMEMEE AONGEE MWENYEWE
Mungu amtunze awesalama😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Namwomba Mwenyezi Mungu Subhaanahu Wata'ala amlinde na kila shari ,Aamiin Yaa Rabbal 'Alaamiin.
Ukianza kuongea ww hatari inakalibia nilikusikia kwa baba yangu makufuli na ikawa kweli mungu mlinde makonda
Quick recovery sir
Tunataka msemaji wa serikali atoe tamko watu tunampenda kiongozi wetu alafu gafla atumuoni kuweni wazi haya mambo ndiyo yanaleta hasira kwa jamii
Kama yuko rikizo basi tunamuomba ajitokeze mtandaoni ndo tuamini kuliko kutudanganya kama watoto
kweli jmni
Jamani jamani
Kweli yuko hai "? Ngoja tusokie!
Alieskia sauti ya mtoto anaepigwa anyooshe mkono😅
Penye moshi hapakosi moto
Inawezekana wameshamtoa roho,hapo wanatafuta tu njia ya kutupa taarifa.
Kama kapewa Sumu.na huyu aliiyempa Mungu ashugulike name na tunamdondolea kibali
tayari!!
Nanyinyi watangazaji muache unafki na uongo hali kilasiku zauongo mnatumalizia mb tu
Samia kampeleka wapi makonda jamani
tuna muomba makonda haraka kabra hayajawakuta
Tundu halifai kuongoza nchi,Chadema tafuteni mtu mwingine wa kugombea hicho kiti.
unateseka ee
Kamarasi unataka watazania. Tukupende tunaomba usalama wamakonda plz
Patachimbika nyie danganyen nchi itanuka hiii
Mamaetu kipenzi tunasubili kauli yako hawa hatuwaelewi ndugu zetu Arusha hawana furaha
agufuli mulimuua kama hivi, tani raisi shupavu kati ya Africa yote hata sisi wakenya tulitamani magufuli angekuwa ni raisi wetu haya mukamuua ,hivi muwamuuwa,makonda nate.Watanzania munashangaza kuua watu ovyo sio urogi sio kuuwa kwa mikono,sijui ni dini gani inawaruhusu kuuwa
KARMA
hizi channel zingine zikitokeza na habari, hakikisha kwanza ujue kama Millard Ayo au global tv wametoa..kama hawajatoa basi hizi zingine sio za uhakika
Hii ndiyo Tanzania ,duu,
Makonda kama uko rinizo jitokeze tukuone mioyo yetu inaungua kwa ajili yako
Uko wapi jah man
Lisemwalo lipo kama halipo liko mbioni
Uuu
Kwani likizo huko ni sayari nyingine
1:55 1:55
dhh
Hata kama wakimuua haisaidii..kwani waliomuua wataishi milele? Au waliompa sumu wao hawatakufa? Ni ujinga tuuu
Hakuna cha tundu lisu au chama chochotte kutawala naomba jeshi lichukue nchi bola tutawaliwe kijeshi.
Majibu yake ni dhahiri kuw makonda hatupo nae tena ,tuliosoma saikolojia ndo tumemuelew Ras
Ushindwe na ulegee kwa jina la yesu🙏
Duh!
Hata kwa jpm ilikuwaga hivi hivi.matokeo yakeee???
Huyo ni , muongo ,hata ,kwa , magufuri ,walisemaga hivyo kumbe ,baba, alikufa, watanzania hatuamini, tulisha,gatwa, na ,nyoka, labda ajitokeze ,makonda ,ndo ,tutamini,
UKO SAWA KABISA
Lisemwalo lipo tusubiri mvua inyeshe tutajua panapo vuja