BREAKING NEWS,! TUMEPATA HABARI HII KUBWA KUHUSU PAUL MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 61

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Месяц назад +15

    Sina Amani mioyoni mwangu ni mpaka nimuone Tena Makonda, Mungu mlinde Makonda na umponye na mabaya yote🙏

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z Месяц назад +9

    Nyie jikanyageni.hakikisheni makonda Yuko salama.lasivyo ndo mtakuwa inchi nichungu kwa kipindi hiki.

  • @Pascaziamugenga
    @Pascaziamugenga Месяц назад

    Duniani hakuna mtumwema mwenyi oa mtumukweli mwenyi anaishi duniani makoda tunakupeda sana makoda mungu akuponye baba wa huruma mufuta machozi yawanyoge

  • @hosianna-td2yr
    @hosianna-td2yr Месяц назад +2

    Mungu mlinde sana makobda popote alipo kama kweli yupo likizo malaika zako wamlinde pende zotd mbinu za shetani zisipate nafas tkt maisha yake mabaya yote waliyopanga kufanya dhidi yako yawarudie wao mara 7 ktk jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai nkiomba nakuamini ameen

  • @user-tz8hj1sd5o
    @user-tz8hj1sd5o Месяц назад

    Stop worrying guys please
    Last two weeks i met Makonda in Dubai with he is wife and he is doing well
    He is ok
    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад

    Mungu akuponye haraka ili uendelee na majukumu yako katika jina la YESU kristo Amen

  • @BarakaWilliam-hc9li
    @BarakaWilliam-hc9li Месяц назад +1

    Mokonda role model Wangu kama wanekupa sumu kweli utapona

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x 29 дней назад

    mm nilisema ccm,akuna atakaekufa akaingia peponi uwo ushungi amna kitu ata bibi yangu anaufunga sana laki hana din

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Месяц назад +1

    Mungu hakutunze Baba kegan🙏🏾🙏🏾🙏🏾🎉🎉🎉

  • @HappyRobert-bu3lu
    @HappyRobert-bu3lu Месяц назад

    ujue hata mimi sielewi mbona kila mtu analipot kivyake

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Месяц назад +1

    Jaman mbona mnatuumiza sana na hizi taarifa zenu

  • @EMMANUELSAYI-ts3ni
    @EMMANUELSAYI-ts3ni Месяц назад

    Je Kuna Nini ase kwann watu WEMA hawana maisha ase,,,,kama yupo kiongoz uyooo makini sana ,,,kwan akiwa likizo hawezi kuonekana Kwa wananchi wake ase

  • @AshoreAa
    @AshoreAa 25 дней назад

    Hbr

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Месяц назад +2

    Kama makonda atakuwa amekufa Genz wa Tanzania tutaandamana Tanzania itakuwa zaidi ya kesha tutauwasha moto nyie majizi wa nchii mna malengo gani na hii nchi au mnafikili nchi ni yakwenu hao mababu zetu waliotutangulia je wangekuwa na upuuzi kama wa kwenu je tungefika hapa tulipo

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад

    Kweli wema wako unakuponza Makonda mungu mponye makonda akutane na familia yake jamani kwelii .Tanzania mmmmmh

  • @tomsijohni
    @tomsijohni Месяц назад +1

    Mh Samia suruh unajua makondo yuko wapi hiyo ndo shida ya serikali ya Tanzania kua watu wanao tetea wanyonge Rais Samia tunaomba Makonda arudi la sivyo tutajua ukweli minaua viongozi kwa sababu wanajua siri zenu inatakiwa utawala wa CCM ubadilishwe na vyama vingine vitawale kauli ya mwisho ya viongozi Rais Samia na viongonzi wake wanajua Makonda alipo au walisha mpu suma serikali ya hovyo sana kua watu wanao tetea haki za wanyonge

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Месяц назад

    Hapana Makonda hatokufa ataishi anakitu alichotumwa na Mungu juu yetu hutokufa Makonda bali utaishi

  • @user-lf5zp3ej4y
    @user-lf5zp3ej4y Месяц назад

    Yaani hapo hatuta elewa lolote, mpaka Makonda aongee mwenyewe. Musitupotoshe MUSIMEMEE AONGEE MWENYEWE

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Месяц назад

    Mungu amtunze awesalama😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Месяц назад

    Namwomba Mwenyezi Mungu Subhaanahu Wata'ala amlinde na kila shari ,Aamiin Yaa Rabbal 'Alaamiin.

  • @maryluhaga1589
    @maryluhaga1589 Месяц назад

    Ukianza kuongea ww hatari inakalibia nilikusikia kwa baba yangu makufuli na ikawa kweli mungu mlinde makonda

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Месяц назад

    Quick recovery sir

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 Месяц назад

    Tunataka msemaji wa serikali atoe tamko watu tunampenda kiongozi wetu alafu gafla atumuoni kuweni wazi haya mambo ndiyo yanaleta hasira kwa jamii

  • @KashinjeShija-rk9fv
    @KashinjeShija-rk9fv Месяц назад +2

    Kama yuko rikizo basi tunamuomba ajitokeze mtandaoni ndo tuamini kuliko kutudanganya kama watoto

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Месяц назад

    Jamani jamani

  • @TelesiaEdward
    @TelesiaEdward Месяц назад

    Kweli yuko hai "? Ngoja tusokie!

  • @MrTiba_T.v
    @MrTiba_T.v Месяц назад +1

    Alieskia sauti ya mtoto anaepigwa anyooshe mkono😅

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 Месяц назад

    Penye moshi hapakosi moto

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Месяц назад

    Inawezekana wameshamtoa roho,hapo wanatafuta tu njia ya kutupa taarifa.

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j Месяц назад

    Kama kapewa Sumu.na huyu aliiyempa Mungu ashugulike name na tunamdondolea kibali

  • @simionemmanuel
    @simionemmanuel Месяц назад

    tayari!!

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Месяц назад

    Nanyinyi watangazaji muache unafki na uongo hali kilasiku zauongo mnatumalizia mb tu

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Месяц назад

    Samia kampeleka wapi makonda jamani

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th Месяц назад +1

    tuna muomba makonda haraka kabra hayajawakuta

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Месяц назад +1

    Tundu halifai kuongoza nchi,Chadema tafuteni mtu mwingine wa kugombea hicho kiti.

  • @MagrethEvaresth-dd1lb
    @MagrethEvaresth-dd1lb Месяц назад

    Kamarasi unataka watazania. Tukupende tunaomba usalama wamakonda plz

  • @Innocentnyika-ml5tr
    @Innocentnyika-ml5tr Месяц назад

    Patachimbika nyie danganyen nchi itanuka hiii

  • @user-gb4el9uy2w
    @user-gb4el9uy2w Месяц назад

    Mamaetu kipenzi tunasubili kauli yako hawa hatuwaelewi ndugu zetu Arusha hawana furaha

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Месяц назад

    agufuli mulimuua kama hivi, tani raisi shupavu kati ya Africa yote hata sisi wakenya tulitamani magufuli angekuwa ni raisi wetu haya mukamuua ,hivi muwamuuwa,makonda nate.Watanzania munashangaza kuua watu ovyo sio urogi sio kuuwa kwa mikono,sijui ni dini gani inawaruhusu kuuwa

  • @sashawambura
    @sashawambura Месяц назад

    KARMA

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

    hizi channel zingine zikitokeza na habari, hakikisha kwanza ujue kama Millard Ayo au global tv wametoa..kama hawajatoa basi hizi zingine sio za uhakika

  • @Baraka-y9k
    @Baraka-y9k Месяц назад

    Hii ndiyo Tanzania ,duu,

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 Месяц назад

    Makonda kama uko rinizo jitokeze tukuone mioyo yetu inaungua kwa ajili yako

  • @CyprianSapi-tq7qj
    @CyprianSapi-tq7qj Месяц назад

    Uko wapi jah man

  • @ThobiasKyando
    @ThobiasKyando Месяц назад

    Lisemwalo lipo kama halipo liko mbioni

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th Месяц назад

    Uuu

  • @yusuphkabora7685
    @yusuphkabora7685 Месяц назад

    Kwani likizo huko ni sayari nyingine

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 Месяц назад

    1:55 1:55

  • @PaschalLufungulo
    @PaschalLufungulo Месяц назад

    dhh

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Месяц назад

    Hata kama wakimuua haisaidii..kwani waliomuua wataishi milele? Au waliompa sumu wao hawatakufa? Ni ujinga tuuu

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge Месяц назад

    Hakuna cha tundu lisu au chama chochotte kutawala naomba jeshi lichukue nchi bola tutawaliwe kijeshi.

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Месяц назад

    Majibu yake ni dhahiri kuw makonda hatupo nae tena ,tuliosoma saikolojia ndo tumemuelew Ras

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Месяц назад

      Ushindwe na ulegee kwa jina la yesu🙏

  • @wiliamkatala6688
    @wiliamkatala6688 Месяц назад

    Duh!

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Месяц назад +1

    Hata kwa jpm ilikuwaga hivi hivi.matokeo yakeee???

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Месяц назад +2

    Huyo ni , muongo ,hata ,kwa , magufuri ,walisemaga hivyo kumbe ,baba, alikufa, watanzania hatuamini, tulisha,gatwa, na ,nyoka, labda ajitokeze ,makonda ,ndo ,tutamini,

    • @dubai8594
      @dubai8594 Месяц назад

      UKO SAWA KABISA

    • @ThobiasKyando
      @ThobiasKyando Месяц назад

      Lisemwalo lipo tusubiri mvua inyeshe tutajua panapo vuja