Chege - Mama Feat. Christian Bella (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 31 мар 2022
- Official Music Video for “MAMA” by CHEGE & Christian Bella
Listen to "Burudani" EP here: album.link/tz/i/1550313834
Subscribe to CHEGE: / chegechigundatz
Follow CHEGE:
Instagram: / chegechigunda
Digital Branding & Marketing: Mavin Inc.
Instagram: / mavinmagmt
Email: mavinmagmt@gmail.com
WhatsApp/Call: +255759628220
Chege ft. Christina Bella - Mama Lyrics
Verse 1:
Ulinigunza nikuskilize wewe
nisifate yaduniaa
Nikuskilize wewe tu
Nisije angamia
familia twakukumbuka wewe
twabaki kujiinamia
Nikikumbuka malezi yako mama tu
Nina baki ninalia
Ulinifunza tabia njema
haukunifunza tabia mbaya
Ulale mahala pema ah ah ah
Nakuombea niki lala
Wakati mama ndio nguzo ya dunia
Umesha kwenda sina waku jivunia
Bila mama mimi silolote
Bila mama sisi sichochote
Chorus:
Mama yangu ulale sama
Tutaonana usijali
Wasalimie akina nyerere mkapa na magufuli x2
Verse 2:
Mmmmmmmh mamaaaaa
mmmmmmh CBO
Kwenye safari umetangulia
Nasisi wote ni yetu njiaa
Ila taswira inajirudia
Mapema umeondooka
Nilizoweakudeka deka
yangu madhaifu uli yabeba
Nilipo dondoka ukaniokota
Ulale salaama
Naashindwa kuvumilia
Ooo mamaa
Taaswira kichwani unanijia
Ooh mama
Na na nazidisha duwaa
Ulale salaama
Na na manenyo yakoo
Nayakimbuka sana
Kama ningekua na uwezo
Ningekurudisha duniani
Walisema kua uyaone
Nimekua nina yaona Oiyee
Mama ungekuepo
Tena ninge deka
Mama nina lia
Mwanao nakumiss sanaa
Chorus:
Mama yangu ulale salam
Tutaonana usijali
Wasalimie akina nyerere mkapa na magufuli x2
#Chege #Mama #ChristianBella Видеоклипы
Pole kwa wote mliofiwa na mama zenuuuh one love🥰😭😭😭
Shukran tushapoa
🙏🙏
Ahsante Saaana 🙏😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭asante
Asante mpendwa
nakumbuka baba alivyo kua akikulilia mama na hapo ndo ilikua mala ya Kwanza kuona baba analia kwa kias kikubwa ila yote ya mungu uliniacha bado mdogo na kwa taarifa mama huku kipenzi chako mumeo bado ajaowa tangu uondoke
Kila nafsi itaonja mauti pole kwa sote tulio ondokewa na MAMA zetu na walio hai MAMA zao mungu awape umrii mrefu (AMIN)
nimekukumbuka mama imepita miaka sasa mama tangu unitoke nibola hata tungekua wengi kulikon kua pekee yang kwasasa mwanao na miaka 28 uliniacha na miaka 10 you love my modher
Pole sana ndugu yangu wewe na Mimi ni pacha bola wewe uliachwa na miaka kumi me mwenzio miaka miwili na nusu alaf peke yangu bila Kaka Wala dada😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥💔💔
Poleni aiseee
😭😭😭😭 Pumzika Kwa Amani Mama Yangu Kipenzi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭
Dah yan hii nchi unakuta mtu anatoa ngoma kali sana halafu haifanyi vizuri huu wimbo niwimbo mzuri sana
Harafu zakijinga ndo zinahit cjui nikwaninitu😭😭
Nainjoy kuona unautambua mziki mzuri.. Rushwa sana kwenye sanaa ya Bongo music ndio sababu
Huu wimbo unanigusa sana mama lala salama
Mombasa wanamuita mtoto wa mama said #chege chigunda
MUNGU akupe maisha mareeeefu mama yangu kipenzi na wanawake wooote Duniani. Pia awawekee mwanga wa Milele wote waliotangulia mbele za haki 😓😓😓😓😓 Poleni sana woote mliowapoteza Mama zenu 🙏🙏🙏🙏
Poleni wote walioptezaa mama zao❤️Allah awarehemu na sisi wetu wenye wako hai Mungu awajalie umri mwema inshallaahhh na atulindie wamama wetu 🤲🏾
Happy Mother's Day to all Mothers & all Mothers who left us
Nairobi tunakukubali chege na bella embakasi namba 33 tupo washikaji wako wa nguvu tunaleta noma sanaaa
Allah akuondolee adhabu za kaburini mama yangu kipenzi, nakumiss Sana ma
Baba yangu umetangulia mbele ya haki mungu akuweke mahali pema 😭😭😭
Pumzika kwa amani mama angu🙏💔💔💔💔
Pole sana
vizuli kaka aujawaigi kuniangusha wew ni mwanamuziki bola wa wa muda wote
Polen kwa wote mlioondokewa na wazazi
😍 😍 😍 😍 😍
Pumzika kwa Amani mama yangu.
Dar sawa bana mmenikumbusha mbali😭😭😭😭
Maisha yetu nimafupi hufananishwa na maua leo yapo kesho huyaoni big up for your song brother
Kwel dunian tuwapitaji tu
HAKUNA KAMA MAMA.
This song Ipo na emotional Sana...braza chege Umefanya kweli ndani humu..
Respect to you 💪 bro
Listening from Westlands Nairobi Kenya.....Chege you are always my Mentor, stress killer wallahi 💕
Ulale salama Mama
Allah akuweke pahara pema peponi Mama ang inshAllah 🙏 😔😔😔
❤️❤️❤️🌹❤️💕❤️🌹❤️💕❤️🌹❤️🌹❤️Mm nko apa
Heshimaaa song
Sisi wote tz
Congratulations 🎊 my brother nice 👍 songs 🎵
It's a sad song wallahi always respect all mothers in this world 🌎🌎🌎🌎 they did a lot for US
Kwa ajili ya babangu😭 nilivyokupendaa bado nakukumbuka. Ulale salama❤️
Mtoto wa mama saidooo ze son salute sana kaka🙏🙏🙏
Mama Tunakuombeaa
R.I.P Mao, I did loose you 2 months ago and for real I'm now experiencing the genuine life lessons you were nurturing me with.... "Nani kama Mama - Alikiba ft. Christian Bella" truly hitting me now. Continue resting easy Mao. I'll forever love you with passion Mao and still shaken
HAKUNA KAMA MAMA IN THE WORLD 🌍🔥🔥🙌🥵
Kisiki haking'olewi Kwa Mkonooo
RIP mama🔥🔥🔥
King of the best melodies, did it again...
#ChristianBella
💪🥰
Brother CHEGE all the way from United States 🇺🇸
Pole kweli kwa wale wenye mama Zao wamesh waacha😭😭
I love my Mother ❤️❤️🇨🇩
😭😭😭😭😭😭🙏🏾❤️my favorite song
Pole kwa my just Darling SAK kupoteza mama. Be strong my man.
Xanah Chege kibunda 💯
R.i.p mama
#Nice message to our departed Mothers..Big ups to your nice work bro.
Bella we ni nyoko kaaaaa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Pumzika kwa amani Mama yangu😢
Chege mzee baba
Wa kwanza
No one like your maman❤
Love from
Mama my best 🥳
Aky pole sana chege
dah nimeli aisee na ukamanda wangu
I love you mama 😭😭😭
Mad🔥🔥
Rest easy,my momma Regina🙏🙏
R.I.M 🔥
Ngoma inasikitisha sana hii
chege fundi🇹🇿
Safi chege,,,💯💯💥😭
Good luck
R. I. P mama😭😭😭
Tisha sana brother
I love the song👏👏👏✨✨✨✨
R.I.P mum😭😭😭😭
Original sound. Good music always
Uwezo xn
Bella the vocalist
nice song🇨🇩
#Mama
So sorry touching vocal
a a a aaaam Records 💪💪💪💪
💥🙏🔥
🙏🙏👌
🙏🙏🙏
🌑
Good
Rest in peace mum😭😭😭
Rip
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
😥😥😥😥Painfully true lyrics😥😥😥
Rest peace Mama Salma Bakari
Salute chigunda
So sad really
♥️❤️❤️🤩🇹🇿🦿
My cat is named Bella
Painful
Ngoma ni kali tu kama ambavyo zipo nyingine kali kama hizi swala ni moja, what the matters cbo kuwa collaborated kwenye io ngoma? Atleast ungefanya cha tofauti kidogo.... You did something same like three, two others did before.... Yuko featured kwenye ngoma za mama kama tatu so it makes sense like he's the only one artist who match in this type of songs bout "Mama" so yeye kuwepo kwenye ngoma imefanya kuonekana ya kawaida na sio kama hajui wala hajafanya poa, bali ni choise of artist for collable imekuwa wrong....ameshafanya zaivo kama tatu sjui mbili ivi ka skosei......POSITIVE COMMENT" Ukichange to "NEGATIVE " Niwewe, Yeye ama Nyie,
Tatizo ni unafki Tu zinaweza kuwa hatakumi wala sio tatizo
This is what we call dream killers in the society.... Waswahili Husema msunguti mgomba wa doti,ukiingia hautoki,unafiki kwako ndio chanzo chako kutokuwa msanii...Angalau Kaka Chege na wenziwe wamefanya kazi ya maana sana kwa wale waliofiwa na Mama zao wazazi,kinachokufanya uropokwe hivyo ni wewe kutoskia ule uchungu wa kupoteza,Yakikupata utajua maana ya Kaka Chege Kwa huo Wimbo ..Rip Ma lovely Mom
You don't know the value of "mama" that way you are talking like idiot braza.. acha nongwa ngoma Kali hii wewe.
😭😭😭❤️