Je Afrika kugawanyika hivi karibuni?
HTML-код
- Опубликовано: 31 май 2024
- Utafiti wa kijiolojia umeonyesha kuwa bara la Afrika huenda likawa linagawanyika mara mbili.
Hii ni kufuatia kuendelea kuongezeka kwa nyufa katika bonde la ufa nchini Kenya.
Ahmed Bahajj anaelezea
#bbcswahili #kenya #afrika
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Sio saw
Hakuna madhara hata likitokea
Hapo hakuna cha mmomonyoko wala nini ukiritimba tu huo ukiritimba unaoendelea divide and rule inaendelea hapo. Afrika si ni shamba la bibi?
Makubwaaa